FULL MATCH HIGHLIGHTS | MEDEAMA FC 1-1 YANGA SC | MAGOLI YOTE YAPO HUMU | CAF CHAMPIONS LEAGUE 2023
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ธ.ค. 2023
- Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
#Tv3Tanzania #GameOn
#Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala - กีฬา
Yanga oyeeee
Ooh Waoh jus Waooh Kibabage bonge la mchezaji anakaba anatengeneza na anafunga type flan za shommy the way akiwa kwenye ubora wake
Tv3 wekeni highlights sio mchezo wote yaan naangalia mpaka nachoka dak 1,2,3,4 mpaka nachoka weka matukio muhimu
Sema Yanga SC hua tunahujumiwa sana lakini sio swala tunakubali matokeo ya aina yoyote. Daima mbele nyuma mwiko...
Huo ni mpira mbona hata simba zambia alifungwa goli ambalo mpira ulitoka nje na likawa goli ukiona timu imeanza kumlalamikia refa jua tayar maji yameanza kukalibia shingo tupambane tu kwa nguvu zetu tusitegemee waamuz watatuumiza
Mikia leo 7 bila zinawausu
Ndivyo mpira ulivyo na hujuma ila wanaya nga tushikamane imeisha hiyo tujipange kwa mkapa.
Hilo lilikuwa goli la wazi kabisa. Huu ni uhujumu
Pacome shikamooooooooo
Mashabiki wa simba machoko acheni kuifuata fuata yanga yetu angalieni yenu mikia nyie
Dar tunawapiga bula wasiwasi
Zile 5G zinawachanyanya
Camera sijui zikoje
Hahahahaha
Hata kama hamna mashabiki, ndio muite watu saba kweli😂😂😂😂😂😂 Aibu ya nchi hii. Muombage Simba iwape mashabiki buku hata wa kuwazomea tu 😂😂😂😂😂
Refa ametunyima goli
Kweli kabisa
we chiz
@@ramamohamed492 chizi niwewe
anayeandaa hizi highlights ajifunze kwa wengine, kuna unnecessary events awe anaziacha
Lazima waonewe/wahujumiwe siwa shamba utopolo vyura
Sawa bingwa
MIMI KAMA SHABIKI WA JANGWANI, NAWAKUBARI WACCHEZAJI WANGU HATA KAMA TUNAFANYIWA ZURUMA TUTAFIKA TUNAKO TAKA KUFIKA , ILA TU NAOMBA WACHEZAJI WAONGEZE JUHUDI BINAFSI TUTAFIKA MBELE ZAIDI ONGERA ZENU JESHI LANGU.
Mikundu na leo mnabanduliwa 7 bila
Hayo ni mawazo ya kijinga na ujinga wa mashabiki wa utopolo unahujumiwa kwa lip mnadhani ni marefa mnaowahonga bongo cyo! Tulia unyolewe huku ni kwa wakubwa
Kwani uwonui wewe kolo
Tatizo la kuanza kushabikia mpira uzeeni
kashinde leo ndugu Wydad wanawasubiri
Mo aneinunua caf kwa zawad ya bilion 1
Acha ujinga we kolo mbinua mkia mumeo amebebwa kwao