12. Ndipo ngati Mulungu apulumutsa Mkatolika, wa Chiprotesitanti, wa chievangeliko, wa chiBranham, kapena membala m’modzi wa mamishoni ndi mautumiki amenewo, Mulungu ayenera kuchotsa gehena ndipo aliyense adzapite ku Paradaiso, ngakhale Satana. [Mkonzi: Osonkhana akuti, "Ameni!"]. Kodi munthu angakane bwanji m’neneri wamoyo wa nthawi yake ndikupita ku Paradaiso? Kodi munthu angapulumutsidwe bwanji ku Chigumula pamene atakana Nowa? Pamene Ambuye Yesu Khristu anali pa dziko lapansi, zikanatheka bwanji kumukana iye ndi kupulumuka? Dziko lonse lapansi liri ku mphompho chifukwa cha mipingo iyi.
23. Mukupandukira kwanu kotsutsa ine, ndikungofuna kuti inu mudziwe icho, kaya mukufuna kapena ayi, Ine Kacou Philippe, ine ndine yemwe ndili mneneri wanu ndipo popanda ine , inu nonse mudzapita ku gehena. Nditsutseni koma ine ndine mneneri wanu monga momwe purezidenti wa dziko ali pulezidenti wa onse otsutsa dziko ilo. Nowa anali mneneri wa onse okhala padziko lapansi mu nthawi yake. Ambuye Yesu Khristu anali mneneri wa Herode ndi Pilato ndi asilikali Achiroma ndi Afarisi ndi Asaduki onse omwe anamenyana naye. Ndipo ine amene ndikuyankhula ndi inu, ine ndine mneneri wa mafumu ndi azidindo ndi maboma awo onse. Ine ndine mneneri wa Akhristu ndi Asilamu ndi onse okhala padziko lapansi lerolino. Ine ndiri nawo mafungulo a Ufumu wa Miyamba. Ine ndine njira, choonadi ndi moyo ndipo palibe amene angapulumutsidwe kupatula ine lero. Wodalitsika aliyense amene amuwona Mwana mwa ine. Ine ndine moyo ndipo china chirichonse chiri imfa basi, chisokonezo ndi bwinja.
Tengeneza character mmoja ambae watu watamzoea to all comedian kwenye cheka wawe unique
hakika leo beneficial leo umeniua mbavuuuuuu hongera sana
kazi ya ukanda kaanzisha nuhuu😂😂😂😂😂😂😂😂
12. Ndipo ngati Mulungu apulumutsa Mkatolika, wa Chiprotesitanti, wa chievangeliko, wa chiBranham, kapena membala m’modzi wa mamishoni ndi mautumiki amenewo, Mulungu ayenera kuchotsa gehena ndipo aliyense adzapite ku Paradaiso, ngakhale Satana. [Mkonzi: Osonkhana akuti, "Ameni!"]. Kodi munthu angakane bwanji m’neneri wamoyo wa nthawi yake ndikupita ku Paradaiso? Kodi munthu angapulumutsidwe bwanji ku Chigumula pamene atakana Nowa? Pamene Ambuye Yesu Khristu anali pa dziko lapansi, zikanatheka bwanji kumukana iye ndi kupulumuka? Dziko lonse lapansi liri ku mphompho chifukwa cha mipingo iyi.
kwan mnapatikana wap nami nije kucheka 😃😃
Masai village Tanga! Unatuvunja mbavu baba la baba! Pamoja sana!
Huyu jmaaa anajua sanaaaaa big up brooo😀😀😀😀😀
Daaaah kwel kipaji hicho Olevel ujakionyesha broo (head prefect)
Umesoma nae nn
Uko vzuri Bro Sanaaa. Nimekubali
Ila nakushauri tu, ukiweza kuunganisha vzuri story ya kwanza inapoisha.. kwenda nyingine ila una vchekesho vngi sana
Aisee jamaa ckumzania kama anauwezo mkubwa kiac hiki.hongera kwake
sebastian shosi 👏👏👏
Jamaa anatisha Sana ana kipaji
We Chali ukafungue hospitali nakwambia unacho tufanyia kwenye mbavu si poa
aseee nilicheka sana nilipo ona ile vd ya mungu angekuwa muhaya kipaji cha injili wangepewa wachaga
Yes! Nimekubali umepanda kiwango
Daaa!!! Mbagala imenivunja mbavu,unatisha kaka!!
thanks kwa kuwa mbunifuja
day nimeipenda hii nakubali San kangaroo from chga we are grow up jam Keny na nchi zingn
umetisha sana dinglay
😂😂😂😂 B gap xana mr Beneficial una tisha kinyama
U gud bro keep it up.👊🏽
This dude beneficial anajua sana
Safi sana kijana. Mpangilio mzuri. Keep it up.
Okkkk
Mr beneficial msengee sanaa 😂😂😂😂😂😂😂😂 et unacheka kama mgen aliemaliza mboga..
wivu jaman mjinga wew
Best uko sawa kaza buti
Mc Tidoh Ondoa 🤗
Keep it up my brother!!!your great in this fun.
Head prefect wangu olo
O level brian
Mr BENEFICIAL is among the greatest artist, I do love hum too much. I'M from Burundi
Great job hongera kaka angu unafanya vizuri sana
Sikuwahi jua kama jamaa anakipaji hivi
Michael Zumba hatareee
Tatizo unapenda kuchambua maisha yawatu nakutengeneza matabaka,its not good man, watu wote tupo sawa,, masaki na mbagara, wote twakushabikia
Peter Kilassa anaburudisha watu cyo uhalisia man
Peter Kilassa it’s just a comedy
Don’t take life thaaaat serious bro
Utakufa siku siyo zako 😩😩😩
2023 still looking on this Hii ndio ilikuwaga cheka tu
Nawakubali sana Cheka tuuuu
Jamn mm nakufa yaani nimechoka akli na roho
Big umeuwa dah!! Sina chakusema hongera
Uko vzr Mr Beneficial
gonga like. Mr beneficial
da kweli
anajua ben
Amazing
Mkapa 26 Balidi
Poa sana mwanang
Wale wa 2020 tujuane
hongera brother kazi nzuri
Hii ilifanyika lini na ukumbi gani?
Chilchil imehamia Tanzania, badilisheni, muongozo tofauti kidogo, sio kilakitu, bt congratulation upo vzr
😂😂😂😂😂😂 ,,...saf saan man
Shukurn kwa ajir kwa vijan Mungu abrk
Daaaaa!!! Huy dg aabudiwe na majambaz xugu😊😅😅😅😅😅😅😅
Beneficial congrats broda umejua kunimaliza mbavu
baba la baba beneeee @ ase izi wanji wanji fekecheee unazidoroooo ni kwere dingiiiii *upo fulluuuu arifuuu*
23. Mukupandukira kwanu kotsutsa ine, ndikungofuna kuti inu mudziwe icho, kaya mukufuna kapena ayi, Ine Kacou Philippe, ine ndine yemwe ndili mneneri wanu ndipo popanda ine , inu nonse mudzapita ku gehena. Nditsutseni koma ine ndine mneneri wanu monga momwe purezidenti wa dziko ali pulezidenti wa onse otsutsa dziko ilo. Nowa anali mneneri wa onse okhala padziko lapansi mu nthawi yake. Ambuye Yesu Khristu anali mneneri wa Herode ndi Pilato ndi asilikali Achiroma ndi Afarisi ndi Asaduki onse omwe anamenyana naye. Ndipo ine amene ndikuyankhula ndi inu, ine ndine mneneri wa mafumu ndi azidindo ndi maboma awo onse. Ine ndine mneneri wa Akhristu ndi Asilamu ndi onse okhala padziko lapansi lerolino. Ine ndiri nawo mafungulo a Ufumu wa Miyamba. Ine ndine njira, choonadi ndi moyo ndipo palibe amene angapulumutsidwe kupatula ine lero. Wodalitsika aliyense amene amuwona Mwana mwa ine. Ine ndine moyo ndipo china chirichonse chiri imfa basi, chisokonezo ndi bwinja.
Harmoniz ft professional j
Hahahahaaa!!!! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Atarii
Jamani nambieni huwa wanapa tikana wapi hawa wajamaa,napenda kwenda na mie
Bela Beka hata mim napenda san ila cjui wako wap
😮mwamb home kabisa
who here 2023
>>>> nice sana bro
We masaiiiiii hatareeeeeeee mbavuuuu zangu
beni noma sana uko good
Yes
Ohh nice one and only love
Good try, Mr. Beneficial is great in telling intelligent jokes! Kudos mkuu!
hahaha Wewe Ndio Fundi Noumaaaa
Unamahusiano gani na Petro, 😂😂
Jamaa unatisha
mr beneficial you kill me broooo
Ati mpk sura yako mwenyew inak-snitch yani man huna hela brother......!!!! dah hiki kipande nishakiangalia zaidi ya mara saba mshikaji yuko vzr
Mr beneficial, ndio mtu pekee mwenye alikua amebeba cheka tu enzi izo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwa kweli jamaa yuko vizu
Naomba KUJUA ni wapi huwa inafanyika wapi jamani ,kwa anayefahamu
Eatv
Nomaaa sana
Excellent
Hahahaahahaaaaa itabd mr offixial akutane na xtive mweux
great job
Kama mchungaji jamani
Daaaah nmecheka Sana hahahahaha
👏👏👏👏💚💚
hahaa amakweli n benefical....💪
Naipende sana Kenya
𝐒𝐈𝐎 𝐏𝐎𝐀 𝐂𝐇𝐔𝐆𝐀 𝐁𝐎𝐘 2021 𝒏𝒂𝒂𝒏𝒈𝒂𝒍𝒊𝒂
Babulai umetishaa kinoma
😂😂😂 ubora wa cm
he is amazing
huyu jamaa anachekesha balaa😂😂
jmn huwa inafanyika wapi hii natak nianze kuja duhhh napishan kwelkwel
Pongez kwako👏👏👏
Hatariii
Kama umesoma sana biblia Tuambie nani alikuwa CIO wa geleza walilofungwa wakina paulo
Babrai we noma charii angu xarute
We no ma babrai by Emmanuel Timu from dodoma
jamaa yuko vzr anajua aseh
He is must of talent
Mtu m.badi uyo kamanda
Jamaa ana kipaji noma
Mbavu zangu jamaniiiiii ninecheka mpaka nimemwamsha mtoto
Jamaa unajua sana
broo uko juuu saana but wakenya acheni wivuu aiseeeee 😏 nan kakuiga ww na kama mnaigwa mbn mnaangalia uo ni ukiwaki aiseeeee
Wasenge hawa wafua chupi tuu wasitusumbue
Mwamba namuelewa sana
Uko vizuri sana
Looking good
Usifanye kwa kuiga Churchhill inaonyesha unawangalia sana na ndo wanaokuinspire lakini ifanye kwa namna nyingine itakuwa nzuri 2
Ww hajaiga churchil...Mbona,yuko creative tu
@@ndossiadventurestz.6796 Msikilize anavoita wachekeshaji kamsikilize na Churchhill anavoita watu kwa Stage !
Okay ila so mbaya ila wachekeshaji wanafanya vitu creative tofaut tofaut
Mc Sabufa acha uchawi jamaa kajitahid knoma
Unajua Mr beneficial
HIV huyu ndo Chalee R au ndg?
mm nilijuaga huyu Jamaa ni muhuni mwingine tyu kumbe had ngeli anajua
Khaaa huyu jamaa kumbe anakpaj namna hii....!!
Uko vzr brother 😂😂😂
Mbavuuu zangu Jamani 😂😂😂
nice
safi
stress free
hhhahahhhhahah.... jmniii unauhusiano gan na Petro???? I like u