Wenye wanangoja Harusi ya Sania na mganga na masozi na Tisa tujuane 😂😂halafu Rahma ubaya ubwela 😁chenye Ulimfanyia Zatiti naona kiko karibu kutimia kwako 😂😂lazima ukubali uke wenza upende ukatae Kama wakubaliana na mm gonga likes 😂😂😂😂😂
Mganga ngonde amepta maaidizi sania😂😂😂. Ila chiko kwa kweli unionyesha makosa sana kwa kina zatiti ery ugali wa mhogo n ulimbo😂😂😂😂😂 wake like kwa chisa n nawake zake yaan round hii chisa lazima asema 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ngonde kimamula utanivunja mbavu,umempenda sania,ndoa tunaigonjea na musicheleweshe,alfu ss Tasha kaenda kuishi ukweni😂😂😂,hivi ndo episode nzima iwe kumbukizi za chiko😢😢
Hzi kumbukumbu za chiko daaa zinakera kwa kwel yaan anaongea bila hta hofu,,ninaimaan watampenda snaa Mr Tasha kwa hekima zake.Yaan kaaa matusi vile sijapenda kweli mm
Jamani mimi nina ombi kwa mashabiki na watazamaji wa Busati na house girl kwa ujumla....naomba msiombe like kabla hamjatoa maoni na ushauri juu ya movie....like tuwape walioigiza ndo waliofanya kazi nzito maana kama tunaishia tyu kuomba like wao watajuaje walipokosea? 🙏🙏🙏Ni hayo tyu❤❤ nawapenda na Asanteni ❤❤🎉🎉🎉 BUSATI TV FOR LIFE ❤❤❤
@@mauamshindo2558 me mwenyew kwel inanikera maana wakupewa like ni waigizaji sisi tunatakiwa tutoe maoni ya movie ila mtu kaingia tyu et nipeni like 😏😏😏😏
Penzi paja kwa kaka chinsa na dada rahma masonzi umedanganyika na wakina kendy kukudanganya na mimba umepewa jamani duu ongereni sana sana mie mnazidi tu kunifurahisha
Huyu rahman ata hamfikii daa mazozi mwenyewe anakaa km kitukutuku vile ila king'ang'anizi na sumbua tu kam kakake na chiko tu,ila Tasha ukarimu wake na busara zake zimewafanya wazazi wa zatiti kabadili majina badala ya mama zatiti ni mama Tasha sasa hongera mzee mkoloni kwa kumuozesha Tasha mwanao❤❤❤
Jamani wanaomba chisa amuoe masozi mke wa 2 gonga like hapo chini kweli Zatiti umepata mume kumbe chiko kawazalilisha wakwe kipindi cha nyuma😂😂 sania kubali kuwa na mganga n'gonde kimamula kwanza ni mhandisome sema Yuko kilingeni 😅usijifanye hazi zako kuolewa nawatu wakubwa 😅hata huyo n'gonde kimamula ni mtu mkubwa hongera Tasha kujuwa kukaa vizuri na wakwe
Uyu masozi naye si umeambiwa mimba italelewa vip tena wataka kuolewa ama watak pia iyo mimba uilee pekeako kama kuna mwenye kukubaliana na mm gonga like
Kwan rahma anateseka na Nini hasa yeye kama anakizalio siangezaa,ulimdhalilisha zatiti sasa kimekugeukia,,,waaaah natamani chisa na masozi nao wakamilishe jambo,,,rahma ukonde huo mwili😂😂😂😂
Chiko hana akili kabisa wanaompa big up tasha like kama zote
Tupoooooo
Tunao furahia doa ya zatiti na Tacha tujuane 🎉🎉
Honger tash kwa tabia nzur uliyoonyesh kwa wakwe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 🎉🎉🎉🎉Tash tulio furahia tash kusifiwa na wazazi WA zatit tujuan kweny comment
Tasha ameweza sana eshima kitu kizuri
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimewahi leo jaman toka nianze kuangalia sijawai pata hata likes mbili 2 😊
Sania Kama nakuona ulivyo Kama kimdori na kitumbo kikitoka Kama mtungi 😂
UTAKAYESOMA HII COMENT MUNGU AKILINDE WW UZAO WAKO INSHALAA🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Amiin inshaallah kwako pia
Amina mtumishi
In shaallsh nawe pia
Allahumma Amiin 🤲 YAARAB 🤲
Amiin inshaallah 🤲
Dakika 3 jameni nimewahi
N'a Mimi Léo nipewe like hâta 10😂😂😂😂
Nimewahi kutoka Kenya 🇰🇪 Bwana Yesu asifiwe watu wa Mungu yoyote atasomo comment hii Mwenyezi Mungu amfungulie milango ya baraka 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina
Amina
Amin
Amen mim pia nimetoka Kenya
@@SaumuJumwa-u4v mm pia natokea kenya
Team zuu siku hiz mnamuona zuu hako Sawa jaman
Nahis ana mimba kweli huyu
@@Fathasssane-vs2thhii itakuwaa mimba kweli sio maigizo ila sasa kiuhalisia ni ya Kai au nani nisaidieni kiuhalisia lakn😂😂😂😂😂
😅😅😅😅 jamani
@@Fathasssane-vs2th kbsa Yani yupo yupo to
@@pendochacha1326 kai 🤣🤣🤣🤣🤣
Tasha hongera zake ameweza kukaza kla Aina ya tusi kutoka kwa wazaz wake zatiti, lkn mwshon kapata asilimia 💯
Baba zatiti amuita mama zatiti, mama tasha😂❤❤ kuigiza kazi kunamazoea aseeee
😂😂😂 duh walishindwa kuedit
Mm nmeelewa kamkubali kijana na ndio maana kamuita mkewe mama tasha
Chiko anadharau ya high standard 😅😅😅
Hamna kwa xaxa kashakuwa mama Tasha
@@MwanahijaMwachanga-q3n true
Wenye tunasubiri harusi ya mr tasha na zatiti mikono juu ❤❤❤❤
Safi ngonde mapenzi umempende Sania 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Ngonde umemuweza tujuane hap chin tulio furahia😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kumbe chiku ww wuna sifa mbaya ukweni. Pole
😂😂😂😂😂😂 ngonde asante sanaa kwa kumpenda sania 😂😂😂😂😂😂😂😂😂sania piskali imeisha...rehma kazi unayo machozi ya zatiti nawe utalia tuuuu😂😂😂😂😂😂😂mr tasha unaenjoy kweli hongera busat tv❤❤❤❤❤❤❤
Wenye wanangoja Harusi ya Sania na mganga na masozi na Tisa tujuane 😂😂halafu Rahma ubaya ubwela 😁chenye Ulimfanyia Zatiti naona kiko karibu kutimia kwako 😂😂lazima ukubali uke wenza upende ukatae Kama wakubaliana na mm gonga likes 😂😂😂😂😂
😂😂😂 siyo tisa ni chisa
Asssaaaanteee😂😂😂😂
@@shamimtv254 aaaah oooh majina mengine niya laana 🤣🤣😂😂😂😂
@@MwanamisiMunnah-x3v 🤣🤣🤣🤣hapo hua kunanipunga
Asaaaaaanti😂😂😂😂🎉
🤣🤣🤣🤣🤣chikoo jamenii ety hata kama tumejifunzaa Kwamba maji hayana rangi lkin sikwa Hali hiyoo nmechekaa
Mganga ngonde amepta maaidizi sania😂😂😂. Ila chiko kwa kweli unionyesha makosa sana kwa kina zatiti ery ugali wa mhogo n ulimbo😂😂😂😂😂 wake like kwa chisa n nawake zake yaan round hii chisa lazima asema 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Na bado hajasema 😂😂😂😂😂😂
Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪 wapi likes sa Busati tv Kwa kazi nzuri wanaofanya jamani
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉kazi nzuri sana ila sania kubali uwe mwana maji wa ngonde kimamula
Ngonde kimamula utanivunja mbavu,umempenda sania,ndoa tunaigonjea na musicheleweshe,alfu ss Tasha kaenda kuishi ukweni😂😂😂,hivi ndo episode nzima iwe kumbukizi za chiko😢😢
Mwacheni Mr Tasha anazoe mazingira ili aepukane na majanga ya chiko
Tasha umepata asili💯💯zote Kwa wakwe zako wallah Hila hyoo chico unajishau bore kwen masasi yup kama hvyo acha zarahau mchi inawejewe kina p Didi 😂😂😂
Ila rahma ikopowa❤❤❤ unapenda watoto 😂😂tulia saniya uzae namizimu yangonde achashombo😢😢eti msaidiye ngonde kutibuuu😅😅😅
BUSATI TV FOR HAPPIEST LIFE ❤❤🎉🎉 Mungu azidishe nguvu na maarifa kwenu wana Busati 🙏🙏🙏💕
Hhhhhh chko nakuchukia vibaya yayayaya nampenda mista tashaaa aishimiweeez
Naombaa like hata mojaa jamanii nimewahi
270,Sania kushwa habari yako.tuzaliye huyo mlic mama 😮😮😮😮😮😮😮😮
Kama🎉 wanaamin tasha ataenda lima kwa mzee mkolon km mm gonga like ndugu❤❤❤❤❤❤
Mimi ninamni ataenda❤
Kumbe chiko anamadharau sana ,kwa familia ya wakwe zake
Jamn na mimi nime wahi leo makofi kwangu haijawahi tokea😂😂😂😂 wazima lakn
Jamani leo nimependezwa na Rahma ❤❤
Wa kwanxa naombeni likes kutoka Kenya ❤❤
Kumb chiko tabia yako na chafu mpak wakwe uliwatukana na Mke umekosa jaman tumzomee chiko aliweka mwany toka Zaman jaman hapo chin chiko🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hzi kumbukumbu za chiko daaa zinakera kwa kwel yaan anaongea bila hta hofu,,ninaimaan watampenda snaa Mr Tasha kwa hekima zake.Yaan kaaa matusi vile sijapenda kweli mm
My fellow kenyans🇰🇪 hizi mboga anazotengeneza mama zatiti sini matawi ya muogo au mm macho mabaya😅
Ndio mboga hiyo kisamvu tunaita
@@zainabzain3434 Natamani kujua taste yake
Sania Mrs mganga😂😂😂😂 hapo ume patikana. I love you guys. Good job🎉🎉🎉
Ndani ndani from Kenya nawafuatilia sana Tasha pongezi kwako kq heshima ya wazazi wa zatiti lakini hiyo Chiko na madharau yake kwa wazazi C viema
Wakwanza mm kufurahi kumuona rahma àmeikubali mimba ya mume wake kwa mwanamke mwenzie ❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂 mnganga jukua Maua yako 💐💐💐💐💐💐💐💐 saniya umekua kierere Sana dada 👍👍👍👍👍
Cisa jua kuyaoga ayo maji uluyacemusha pekeako😂😂😂😂
Kijiji chakishamba,mtandao wakishamba nakila kitu chakishamba
Makofi kwa ngonde👏👏👏👏👏👏👏😂😂😂😂😂
Sania utasaidia kupiga dawa wateja wa ngonde
Jamani hongereni sana kwa kazi nzuri tunajifunza mambo mengi kupitia kipindi hiki 🙏🙏
Jamani Nimeumssss huo ungali wa Muhongo nawapenda wote nakupateni vizuri oman
Lahima nimekupenda umekua nahuluma namwenzio nakupa🎉🎉🎉🎉 mauwa kwahuluma nimwanamke unayejua uchungu
Jamani mimi nina ombi kwa mashabiki na watazamaji wa Busati na house girl kwa ujumla....naomba msiombe like kabla hamjatoa maoni na ushauri juu ya movie....like tuwape walioigiza ndo waliofanya kazi nzito maana kama tunaishia tyu kuomba like wao watajuaje walipokosea? 🙏🙏🙏Ni hayo tyu❤❤ nawapenda na Asanteni ❤❤🎉🎉🎉 BUSATI TV FOR LIFE ❤❤❤
Wanakela sana baada ya kutoa maoni wanataka like tuh😂
@@mauamshindo2558 me mwenyew kwel inanikera maana wakupewa like ni waigizaji sisi tunatakiwa tutoe maoni ya movie ila mtu kaingia tyu et nipeni like 😏😏😏😏
wajinga sana
@@SakinaMubaKweli kabisa
Kwan izo like wanalipwa? naomba kujua mi mgen jaman
Chisa kautaka 😂😂😂kazi anayo wake wawil
Nimewai jamani naoba like kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪
Chiko kanivunja mbavu apo kw ugali wa mihogo😂😂😂😂😂
Ila Sania ety ngomde kimamula mganga wa kienyeji😂😂😂😂😂
Jamani wameni tamanisha ugali wa muhogo. Sie tuliokua nje ya TZ chakula adimu hichi jamani. Chiko anakidharau.🤤🤤😋😋
Nipen like nimekuwa wa kwanza❤❤❤
Wa 42. Nami pia cjachelewa saana jamani leo. From 🇴🇲. Nawapenda saana Busati TV. Kazi nzuri. Na kl la heri.❤
Chiko untk chipsi. Nd auna ng.....😂😂😂
Kumbe dharau ya chiko ilitoka kitambo 😢😢😢😢 kweli Zatiti hukustahili kuishi na chiko kabisa 😢
Mbona maji nikama ya singida😅😅😅ila chiko siyokwakuchamba huko😅😅😅
Hata mm sijachelewa sana pa 25 seconds mm kutoka 🇿🇲
Jamani Busati TV kuweni mnapunguza kumbukumbu msiwi mnaifanya ndefu
Penzi paja kwa kaka chinsa na dada rahma masonzi umedanganyika na wakina kendy kukudanganya na mimba umepewa jamani duu ongereni sana sana mie mnazidi tu kunifurahisha
Rahma umenifirahisha sana kumbe kuna muda una utu ❤❤❤❤
Sania kula chuma icho na babakijacho wako😅😅😅😅
Kweli Zatiti kumbe iyo ndoa ya kwanza ulikosea kabisaa,,,,, heri tuh Sasa umempata Tasha wako❤❤
😂😂CHIKU bwana ulimbo maji yameekwa sabun
Chisa kautaka chisa kauliy wap baba vijacho chisa na ngonde ngonde maua 🎉🎉🎉 bad msr Tasha
Jaman chiko ulikua najipa laan tmwenyew toka zaman sas zinakuendesha w huna adabu chiko
Jamni chiko kumbe alikuwa mjingaa sana jamni 😅😅wapi like❤🎉za tashaa wetu
Chisa kumbafffff Sana ww Yani ww n nyoka mkubwa Sana wallai Yani nakichukia Sana 😢
Nikajua bas nimewah kumb duuhh Aya hongereni ❤❤❤
Huyu rahman ata hamfikii daa mazozi mwenyewe anakaa km kitukutuku vile ila king'ang'anizi na sumbua tu kam kakake na chiko tu,ila Tasha ukarimu wake na busara zake zimewafanya wazazi wa zatiti kabadili majina badala ya mama zatiti ni mama Tasha sasa hongera mzee mkoloni kwa kumuozesha Tasha mwanao❤❤❤
Sania acha kumkazia Mr aasanteee😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Ila.mie kitu sijapenda kendy kurudi kuongeya na kayi zuu angeanza kipata raha namume wake bana mana kateseka sana mwanzo
Chisa ningekua wewe naachana na movie juu mwanamke hawezi niendesha
Kwa huu muchezo Rahama namupenda sana
Chisa acha kujifanya unamkana mtot wew
Jamn saniya kashakuwa pis ya gondeee😂😂😂😂
Leo chiko umenichekesha sanaaaaaa😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥huu siulimbo kabisa jamani
Sania tulia mgaga kashafanya yake😂😂saii tukiz pisi kali namimba ya mizimu😂😂😂
Kwanza Chisa waendana na Masozi huyo Rahma aaah
Ja'mani natamani sania ageuzwe nyoka na Mganga a.k.a Baba kija 😅😅😅😂😂
Astaghfirullah, mhurumie😂😂😂 mlitaka mimba akapata...sai nyoka! Aaaaweeeeh 😊
😂😂😂😂
Haaa😂😂
Kazi nzuri wana busati na mungu awabariki❤❤
Kumbe chiko dharau ni za kwake tokea zamani duuuh
nimewahi jaman .naomben like zenuu🎉🎉🎉🎉🎉
❤jaman mauwa ya mama zatiti hayo🎉🎉🎉❤
Jamani wanaomba chisa amuoe masozi mke wa 2 gonga like hapo chini kweli Zatiti umepata mume kumbe chiko kawazalilisha wakwe kipindi cha nyuma😂😂 sania kubali kuwa na mganga n'gonde kimamula kwanza ni mhandisome sema Yuko kilingeni 😅usijifanye hazi zako kuolewa nawatu wakubwa 😅hata huyo n'gonde kimamula ni mtu mkubwa hongera Tasha kujuwa kukaa vizuri na wakwe
Chiko 😂😂😂huna lako Tasha kakula pawa si kwavituko ivyo ulivyokuwa navyo ukweni😢Cisa umeyatimba unajuwa vizuri mkeo nimkali alafu unajitowa akili😂😂
Maji asilia ya kijijini nayapenda hayana dawa
Chiko afai katika hii familiya majidevu tu 🇸🇦 🇸🇦
Chisa mwenyewe Sasa Anaegombaniwa😂😂😂😂😂
Xaxa sania apo cjui unabixana nn na ngonde apo we bebatu mimba ya mganga uo mdomo utaisha tu nijambo la mda
Mganga sania😅😅😅😂
Eeeeh lakini chiko umeweza leo kilakitu kwako sumu😂😂😂
Uyu masozi naye si umeambiwa mimba italelewa vip tena wataka kuolewa ama watak pia iyo mimba uilee pekeako kama kuna mwenye kukubaliana na mm gonga like
Jmn mama na baba zatiti mumenikumbusha kijijini kwetu ugali km huo na maji hayo yalivyo tamu 😢😢😢😢nakumbuka mbali sana
Chiko kama chiko kitu kama huwez siunaacha tu kulko uongee Huna haya wee kwa wakwe waongea ww tu 😂😂Ila hayo maji mmmh pia mm singeweza kunywa 😂😂
Kwan rahma anateseka na Nini hasa yeye kama anakizalio siangezaa,ulimdhalilisha zatiti sasa kimekugeukia,,,waaaah natamani chisa na masozi nao wakamilishe jambo,,,rahma ukonde huo mwili😂😂😂😂
Wivvu
Wivvu😊
Jamani mpumbav mwenzangu kapoa kweli
We mshenzi chiko unavotuzalilisha we fala kwiyo cc wandengereko washamba sawa bwan
chiko ugali unasema ni ulimbo😂😂
Chiko kumbe toka mwanzo hakuwa mume sahihi Ila kwa Tasha sasa ndio ndoa sahihi ❤❤
Nikweli baba zatiti tasha ni mwanaume bora sana kwa mwanao