shabbiki mkubwa kutoka kenya aiseee movie lina mafunzo tele. na waigizaji waliobobea nataka kuchukua fursa hii kuwapongeza wahusika na waigizaji wote wa filamu hili. hongera!!!!!nyote
Nadhani mimi Mkenya hapa nishafika. Kazi zenu ni tamu sana.Vai, Kase, Mati, Manyanya Cindy na wengine wote pamoja na Asma Films. Barikiweni sana na tuko pamoja.❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉.
Mudi anasahiwishi mkewe apige mbeta hata 1,na kanasa kwenye mtego❤❤❤ like kidgo na kwa manyanya na matilda pia..na mamen tumwangalie vzr vai hawa tunaishi nao..
Hii Couple👫 ya Mudi na mkewe ni noma😅😅😅 kama umewakubali gonga like hapa 😂😂😂😂😂
Wananbamba mm😅😅😅😅😅
Hahaha au na wwe ni Mwenzake mudy 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂weweeeeeeeeeee
Hd wanaimba viviano😂😂😂
😂😂😂😂 Noma sanaaaa
shabbiki mkubwa kutoka kenya aiseee movie lina mafunzo tele. na waigizaji waliobobea nataka kuchukua fursa hii kuwapongeza wahusika na waigizaji wote wa filamu hili. hongera!!!!!nyote
Mundi anateremsha na kachupa😂😂
The best couples ever
Nitamu sèa wanacherewesha kazi hongela sana kazi nziri munao yifanya
Salute kwa team nzima ya Dunia maana kila mtu amevaa uhusika ipasavyo hongereni kazinzuri sana
Mashabiki wa vaileth na manyanya naomba like zenu
Série ya bien sana mina furai Ku toka Congo Kinshasa RDC
Wakwanza mie jaman. Wale waliopenda manyanya kumuona uyo dada na kumnyenyua weka Like apa
Okay nice
Daaah manyanya aisee kumbe una talent kubwa kiasi hicho duuh nakuona mbali kaka push zaidi unawashusha wote nakubali sana manyanya 😅😅😅
Napenda sana hii movie coz inafundisha sana jamii...kazi nzuri sana kwenu hongereni..❤❤kutoka kenya
Wa kwanza from burundi 🇧🇮 nipeni like zanguu
Maashallah n tamu n hii nyimbo yenu mwenzenu yanimalza sjui naeza ipata
Inaelimisha, mapenzi yanaumaa kuliko maradhi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mbona munakawiyakutow jaman nimeyipend muno iyi firam ten naeacezaj nawakubar mun❤❤❤❤
Nadhani mimi Mkenya hapa nishafika. Kazi zenu ni tamu sana.Vai, Kase, Mati, Manyanya Cindy na wengine wote pamoja na Asma Films. Barikiweni sana na tuko pamoja.❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉.
Mko vizuri kwa mnavo waisha move hadi raha maana tunakuwa hatusahau matukio sio kama zingine wanakawia sana
🥳🥳 hii movie kalii imetulia sana nzurii👍
Nataman sana Kama manyanya angejiweka kwauyumtoto ili mke ashikeadabu
Na ndo itavokua
Uyu vaileth ana Ululu falani ivi ndani yake yani Elizabeth Michael adi sura yake kwa mbali
Patamu hapo😂, ok mtuwahishie sasa
Nimependa mafunzo mazuri sana 🎉🎉
Naipenda sana kazi zenu, big up guys
Manyanya yupo vizuri sana ginga like kwa manyanya
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team baba asma familly
Sindi kimemlamba😂😂😂😂😂kafata ushauli wa mudi kindibwi😂😂😂😂
manyanya kaka unajua sana ....ila ushauli wangu usijalibu kuiga chochote ..trust your self.....
Very creative manyanya unajua kaka you will be most of best artist
Mim namkubal san Manyanya jmn mn movie zak nzr san nik na wew milele team Manyanya tujuan
Naomba Mtoe episode kama tatu kwa siku..hii series ni poa kweli Inamafunzo mengi sana❤❤
Mudi 😂😂😂😂 unichekesha sana nakupendaa bure
Mudi kavaa mkononi bendera la Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Tanzania na Congo one love. Ila kesho mpira tuta wafunga😂😂 jirani zetu
Kazi nzuri mungu awape wepesi kila siku
Mbona suzana jmn😂😂😂
Mmetisha sana Niwape Maua yenu 🎉🎉🎉🎉 move nzuri.
Jamani movie hii inafundishe kabisa
Daah hii move tam sana ingekuwa ndan ya uwezo wangu ningewaambia wapost kila siku😂
Jamani sija chelewa tu sana, manyanya naomba like moja tu inatosha, nawapenda sana toka drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 congo.
Mmmm jamani hongereni wenye kuishi na waume walevi
Hatujachelewa pia nice
Kama unahamini ma nyanya atakuwa muigizaji mkubwa Tanzania 🇹🇿 tujuane apa
Nawapenda Sana actor's wote wa Tz mm hapa kutoka Kenya 🇰🇪 🇰🇪
Mudi anasahiwishi mkewe apige mbeta hata 1,na kanasa kwenye mtego❤❤❤ like kidgo na kwa manyanya na matilda pia..na mamen tumwangalie vzr vai hawa tunaishi nao..
Jamani mnachelewa sana kutupatiya ep,from Moçambique 🇲🇿... pessoal estão demorar muito nos dando ep, from Moçambique 🇲🇿...
Hii moja nimeshindwa kujizuia film nzuri kabisa kk naikubal sana from Uganda 🇺🇬 Kampala kuna mwenzangu mwengine hapa tujuane basi❤❤
Wooow....,movie nzuri saana imejaa mafunzo , naomba episode 7 isichelewe kutoka please.
Nmekuwa wa kwanza
Nafatilia kutoka south Africa 🇿🇦 mna Jua mpaka mna boa naona mtafika mbali ila lipaneni vizuri tu ili kundi lisivunjile❤
Jaman wakwanza nipen likes zangu hapa
N chart
Wanaboa kweli Kila mtu nipeni like
🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hongereni sana kbs
Mudi na mkewe wana patia sana 🤝
Inshort waigizaji wote wako powa
NINAYO FURAHA KUMUONA MOHAMEDI KWENYE UBORA WAKE ANAKULA UGALI AKISUKUMIZIA KWA BIA😂😂😂😂
Vraiment manyanya, you are talented, keep going, we are behind you from Congo 🇨🇩🇨🇩
Leo mimi wa kwanza naombeni like zenu ata tatu😢
Nimekuwa wa kwanza kutoka kigoma naomba like zenu manyanya tunakukubali
Wee mudi vipi eti ukinywa pombe inafanya unaishi kwa ndoto zako mie jmn ndoto za ulevi au vipi uku😂😂😂😂😂
Matilinda au huyo rafk ake na Manyanya watakuja kuoana huwez amin, Vai dharau nyng mwanamke
Daah hii movie naipenda sana
Cinema nzuli saana tunawafatilia kutoka🇷🇼❤
Aliyeona love bite kwa mdada weka like hapa 😂😂😂
Leo nmewah haya mnipe hizo like namie niziweke kabatin maana kila siku watu wanaomba like tu
Namkubali mwamba manyanya ni mshauri mzuri
Jaman hii dunia ni dunia kweli nimeipenda na kuikubali hongereni sana
🎉🎉🎉napenda kazi yenu iko chap chap nilingoja kwa hamu
Hii series wamajua saan tuwape TU maua yao🎉🎉🎉🎉🎉
Mnachelewesha sana
Duuuh don't talk any hahhhhhh mwambaaa kingerexaa chakeee hatal
Mundi na mkewe... best couple I ever seen before 😅😅❤❤❤
I have been following this series since epi 1 is a really nice work
Kazi zuri kabisa musikawe kutocha nainpenda sana usisheleweshe
Jamani munafanya kazi nzuri sana kuliko, hii ya leo kali kabisa
Kitu kimeachwa love from Kenya
Nakubal sana ❤😂🎉🎉😅pisi 😅😂😅
Wakwanza jameni kutoka Kenya likes zikam
Nimeipenda sana mna maneno ya busaraa
Wewe mudi na mkeo mm ndio nawapendaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nawakubali sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Naenda kusoma kingereza jaman
Manyanya kazi nzuri sana 👏👏👏👏👏👏🇰🇪🇰🇪🥰🇰🇪 we love you bro
Big up💪💪from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nawapenda sn kbs ndo Dunia iyi kbs
NAJUA SIJAWAHI WA KWANZA.. ILA UNAESOMA HII COMMENT MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU AMEEN 🙏🙏🙏🙏🙏
Kwako pia❤
Mundi anateremsha na kachupa😂😂
Haki. Kizazi cha kanumba. Kinarudi. Pambaneni😂😂😂🎉❤❤
Ila we manyanya unajua mwamba😅
Nawapenda sanaaaaa ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
jamn mimi nafurahia sana ndoa ya mudi😂😂😂😂 yan noma mzee
Wakwanza apa jamani kutoka Kenya wapi likes zangu jamani❤
Iii move mmetulia sana jaman nzr mnio❤❤❤
Kazini zuri sana mungu hawabatiki sana❤❤❤❤❤❤
Waoooo jmn vaileth leo kanikosh jamn kafny lamaan saaan, next pleaz
Wa kwanza Leo nawaombeni likes zangu😂
Yaaa🙏🙏🙏 vai leo umenifuraisha sana 👍👍
Dunia sehemo inayo fatiya isichelewe sna jamani nimeipenda sana from mozambique 🇲🇿
Wakuni jaman naomba like zangu plz😂😂😂
Nawatazama kutoka kenya nawapenda sana
Nimekua wakwanza leo naombeni like zangu from mozambique
Sema uyu jamaa anajua sanaaa yaan
Jamanii likr moja kwangu plz
Napenda movies zenu kbs
Jordan 😂😂😂😂😂 kimemlamba 😂Vai funguka
Manyanya. Na zinduna. Wamekutana. Haya. Wachatuone. Mwisho wao. 😂😂😂😂😂😂😂