KIJANA WA ZANZIBAR AFICHUA MAZITO FORODHANI/AMEKATWA MASIKIO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 59

  • @OmarAbdalla-vg1qr
    @OmarAbdalla-vg1qr 2 หลายเดือนก่อน +1

    Oyoooo nikweli welcome to Zanzibar kaanzisha yeye

  • @Sultan-o7m9s
    @Sultan-o7m9s 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hamjamfaham aliposema wao Ni wa Kwanza Anakusudia Mfumo huu waliokuja nao wao wa Kupitia Mitandao Ya Kijamii matangazo Media platform kwel wao ni wa kwanza.... Ila Ukweli Ndio wao ni wa kwnza kwa mtindo huu waliokuja nao.... Msimseme kama ni uongo

  • @mohdazad1696
    @mohdazad1696 2 หลายเดือนก่อน

    Daah bro unasema ukweli kwl brooo huku hatutumii gas hizo

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y หลายเดือนก่อน

    Uyuuuuu ndiooo manaaa anagombanaaa naamauzideee manaaa mchokoziii atarii

  • @mohdazad1696
    @mohdazad1696 2 หลายเดือนก่อน +1

    Oyoooo kigojooo nakukubali sana😂😂

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 2 หลายเดือนก่อน +1

    Me nimeanza kusikiliza Mawio badala ya kuwasikiliza hawa vijana wa forodhani wawashukuru sana na wawape hongera wamewahamasisha watu wengi kuifatilia mawio hawakua wakiifahamu

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz 2 หลายเดือนก่อน +2

    Noma sana

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน

    Ahhhh Mtangazaji 😂😂😂 ukitamka tamka vizuri maneno mengine, siyo Zanziba(ri) ni Zanzibar au sema Unguja 😊 Na mambo hayo hayajaanza Leo Forodhani vijana kuchupa (Kachumbe) hapo baharini imeanza zaidi ya miaka 80 sasa…kwa vijana wa zamani…hao ni vijana wadogo wa Mjini.

  • @IssaIra-j9u
    @IssaIra-j9u 2 หลายเดือนก่อน

    Oya naomba pesa yangu

  • @HassanMugire
    @HassanMugire 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hawa wanaitaji tu management hela pale ipo

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kijogoo hiko ndio ulichokua unatafuta kiki kupitia mau

  • @farahmohamedali846
    @farahmohamedali846 2 หลายเดือนก่อน +1

    Waanzilishi ndio cc wao hao wamekuja tu Stone Town ndio wa kwanza kuanza huo mchezo

  • @farahmohamedali846
    @farahmohamedali846 2 หลายเดือนก่อน +3

    Muongo sana uyo kaka

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 2 หลายเดือนก่อน

      Uwongo wake ni kitu gani wakti sisi tumeanza kuruka pale miaka ya 86...mpk 90 tukaondoka kwenda nje..na wala hatukufanya km walivofanya wao ..wala hajakosea wao ndio walioleta mfumo huo..wa kurekodi na kueka mitandaoni.. pamoja na kina jamal..wala hajakosea.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน

      Vijana wameanza tokea sema kwenye 70 huko…. Kwa Mtangazaji ni mambo mepya kwake .

    • @AllySalum-j9y
      @AllySalum-j9y หลายเดือนก่อน

      Uyuuu naaeee Kamaaaa mauzindee tuuuu dizainiii kamaaa wanagombeaa wanaumeee

  • @lidoahmed6696
    @lidoahmed6696 2 หลายเดือนก่อน

    Waazilishi kaka zetu ambao walozaliwa 1970 kisha tukafata sisi wa 1988 sie ndo tukaifungua tena mizingani na kilimanangazi kama wanazijua hizo sehemu na wapiga makachu mizingani na kilimanangazi wawoto wa stone town tu ukiwa hueleweki lazima unywishe mafundo ya maji

  • @IslahiMohamed-qi2jf
    @IslahiMohamed-qi2jf 2 หลายเดือนก่อน +2

    Cc tumeanza kupiga makachu kabla hamja zaliwa

    • @MaithamOmar
      @MaithamOmar 2 หลายเดือนก่อน

      Nendeni mkajitangaze kama nyinyi ndo waanzilishi

    • @Mauwamchicha
      @Mauwamchicha 2 หลายเดือนก่อน

      Hujaelewa kiswahil ndo mana ukambiwa uskilize mpka uelewe watu wanapiga makachu tokea miaka y80 uko ila wao kuruka kwa matangazo wameamzisha wao

  • @hmedoggftherljih199
    @hmedoggftherljih199 2 หลายเดือนก่อน +4

    Forodhani dying zimeanza kabla ya nyinyi hamjazaliwa

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน

      Na’am…. Asante sasa imekuwa Uhuni mtupu hapo Forodhani.

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 2 หลายเดือนก่อน

    Yupo Canada kaka

  • @AbuuMkabugo
    @AbuuMkabugo 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kijogo mauzinde kaku busti kwei

  • @marrowog8975
    @marrowog8975 2 หลายเดือนก่อน

    Kijogoo mau ushampata mara ngapi??

  • @binobino9078
    @binobino9078 2 หลายเดือนก่อน

    Kijogoo, umesema Mau yuko wapi?

  • @ashafaki1574
    @ashafaki1574 2 หลายเดือนก่อน +5

    Nimegundua kun chuk nawiv ndan yak nilifkir mamb hay yacc wanawak 2 kumb mpk wanaume daahhhh

    • @dullamuwise4802
      @dullamuwise4802 2 หลายเดือนก่อน +1

      hamn chuki kwa wanaume bali wanaume tuna chanana live ukumaindi pow tu

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 Interview ya kijinga hamna kazi maswala hayajulikani mwanzo wala mwisho. Jipangeni kwa hizo Interview mjuwe nini cha kuuliza na nini cha kujibu 😂😂😂😂

  • @kulthumsaleh5579
    @kulthumsaleh5579 2 หลายเดือนก่อน +4

    Makachi yalikua yanapigwa Toka mwanzo

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 2 หลายเดือนก่อน

      Namshangaa sana sie utotoni tumeruka sana sa sjaelewa anaposema wameanzisha watu wa tano

    • @Jeff_Tz
      @Jeff_Tz 2 หลายเดือนก่อน

      Lakini mlifahamika kama Hawa au😅😅😅😅​@@fahadfaraj6474

    • @fahmyisco2912
      @fahmyisco2912 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sw nyie mlopga mwnzo makachu mpo wp saiv au mmefnya nn acheni wivu wasaport wenzenu kwa wnachokfanya coz ŵalichokibuni ni ktu kikubwa sna

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 2 หลายเดือนก่อน

      @@fahmyisco2912 tupo ulaya tunakula Maisha hakuna mwenye wivu makachu si jambo geni kwa mtu yoyote wa mjini asije mtu kusema ye kaanzisha ilhali ilikuepo wivu hatuna na tunajivunia wameifanya iwe world wide known thing .

    • @JamalSleiman-yc1er
      @JamalSleiman-yc1er 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@fahadfaraj6474nyie mlikua mkiruka makachu tu
      Wao wameanzisha mfumo wa kibiashara ndivyo ilivyo maanishwa apo

  • @Leylah-pz5sc
    @Leylah-pz5sc 2 หลายเดือนก่อน

    Mgeni Akida wa habari za mawio

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 2 หลายเดือนก่อน

    Muongo huyo jamaa kwa sababu walioanzisha pale ni kima Yes Jamaal

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda6554 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu naye shoga

  • @farahmohamedali846
    @farahmohamedali846 2 หลายเดือนก่อน

    Hatumtambui uyo

  • @abdulshaq-qx8wz
    @abdulshaq-qx8wz 2 หลายเดือนก่อน +2

    kuruka apo foro ni enz na enz toka vjna wazaman sema kunzsha iyo kuruka kwa matangazo wamefanya wao lkn makachu apo ndio asl

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hakika, makachu yapo kabla huyo muandishi na huyo muulizwaji hawajazaliwa

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน

      @@mohdkhatib223Ni kitu cha asili hapo Unguja ilikuwa jioni mpaka Magharibi, kwa wasoijuwa Unguja ndio wanaona mambo mepya lakini ni zamani sana ila kulikuwa hakuna kuruka na hizo picha kama sasa hivi.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน

      @@mohdkhatib223Ni kitu cha asili hapo Unguja ilikuwa jioni mpaka Magharibi, kwa wasoijuwa Unguja ndio wanaona mambo mepya lakini ni zamani sana ila kulikuwa hakuna kuruka na hizo picha kama sasa hivi.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน

      @@mohdkhatib223Ni kitu cha asili hapo Unguja ilikuwa jioni mpaka Magharibi, kwa wasoijuwa Unguja ndio wanaona mambo mepya lakini ni zamani sana ila kulikuwa hakuna kuruka na hizo picha kama sasa hivi.

  • @MansourYussuf-k6u
    @MansourYussuf-k6u 2 หลายเดือนก่อน

    Hamjaelewa Kilicho ongelewa na Muhammad kijogooo wao ndio walio leta mfumo wa kukaribisha wageni sio km wao nd wa mwanzo mue waelewa

  • @ahsadonlnetv4077
    @ahsadonlnetv4077 2 หลายเดือนก่อน +2

    Uyo jama ni muongo bwana pale muanzilishi na aliyetangaza haswa iyo kuruka katika dunia ...ni yes jamani ...uyo muhamedi ni kiruka ruka njia tu😅😅

  • @FeysalRajab
    @FeysalRajab 2 หลายเดือนก่อน

    Kibunda around

  • @IssaIra-j9u
    @IssaIra-j9u 2 หลายเดือนก่อน

    Una siri gani za mauzide

  • @HaleemaSur
    @HaleemaSur 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @KiremboAliOmar
    @KiremboAliOmar 2 หลายเดือนก่อน

    We foro ipo kitambo

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน

      Miaka 100 labda sasa wenyewe watu Wa Unguja ndio wanoijuwa😀

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 2 หลายเดือนก่อน

    Ilo eneo mimi tokea mdg mwaka 2000 nlikuwa najirusha

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน

      Basi wenzako wameanza 1960 hapo……

  • @IssaIra-j9u
    @IssaIra-j9u 2 หลายเดือนก่อน

    Interview ovyo ,Tatizo shule

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli 😮 Malezi na Elimu ni kitu muhimu sana.

  • @lastborn7810
    @lastborn7810 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂burundi iyo vepe 😂😂😂nasubiri majibu ya mau tu apa 😂😂