#ZaNdaaani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ส.ค. 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 112

  • @johnndabazi2469
    @johnndabazi2469 ปีที่แล้ว +4

    Umetisha sana mzee wa za ndanii kabsaaa

  • @nuranzubail8134
    @nuranzubail8134 ปีที่แล้ว +4

    ila akpan hajapewa milioni 200 , sio wa milioni 200 , coastal union wamepewa milioni 100 na akpan amepewa 50M kama signing fees

  • @saidijafari2812
    @saidijafari2812 ปีที่แล้ว +20

    Mi ni Simba ila ungozi wa yanga kwenye usajili upo vizur kwel yani hawataki pesa yao ipotee kilamchezaji wanamsajil wanahakikisha atafiti wapo tayar kutoa pesa nyingi ili tu wapate mchezaji wa uhakika kuliko wamajaribio .sio kama wanashindana bali wana uchungu na pesa yao ya usajili

    • @mwikamwika4851
      @mwikamwika4851 ปีที่แล้ว +1

      Kwani umetumwa au umeagizwa? Nenda hukohuko Kwa utopolo

    • @faumahona5769
      @faumahona5769 ปีที่แล้ว

      Unaliwa mkundu ww

    • @amanijtz4831
      @amanijtz4831 ปีที่แล้ว +2

      Nakubali

    • @saidijafari2812
      @saidijafari2812 ปีที่แล้ว +1

      @@mwikamwika4851 Kwan timu ya baba yako ulivyoambiwa , Kuna sehem viongozi wanazingua wanachofanya nisawa na kusema nabana baajeti sinunui chakula mchana leo nitakula andaz mwisho wasiku mpaka jion unaona gharama uliotumia imevuka hata ile ya kununua chakula ndio wanachofanya viongozi wetu . Unamkosa Adebayo kwasababu ya RS Berkane sawa unamkosa mchezaji uliemtaka kwasababu ya yanga ! Huu si upuuzi wakati sisi tulitakiwa tuoneshe umwamba tulitakiwa tukafumue kikosi pale pale tukamchukua mayele kesi ingekua ishaisha saa hizi .huoni warabu wanachofanya ukiimalika wakiona unawasumbua wanachukua wachezaji wenu wazur bc .

    • @saidijafari2812
      @saidijafari2812 ปีที่แล้ว +1

      Sasa wewe Kama hujui mpira pesa zinaingiaje bora unyamaze tu naona hata hujui umuhimu wa mashabiki cjui we mwanachama upo upo tu!

  • @godfreywebiro4058
    @godfreywebiro4058 ปีที่แล้ว +7

    Yanga wapo vizuri kwenye usajiri kwakuwa msajili mkuu na mwenye maamuzi ya mwisho ya usajili anaujua mpira vzuri na yupo smart kwenye kila sajili na anaenda kwa target kwamba anasajili kwakuangalia nini anataka
    Ukija simba wanaosajili ni watu zaid ya wanne au yeyote mwenye uwezo wakusajili anajisajilia tu coz muda ujao mchezaji aliemleta ataweza kupanda dau na akauzwa bei kubwa na kurudisha faida ya aliemsajili
    Yule dada hana anachojua kuhusu mpira yeye yupo vizuri kwenye management & organisation na sio mpira kiujumla ndo mana sajiri za simba nizakufuata mkumbo na zisizo na tija hapo mbeleni
    Kiukweli simba saizi wanadevela sana ukiangalia sajili za mihemko, jezi kusuasua, kuanza msimu japo wameshinda lakini unaona kabisa hakuna future nzuri. vyote hivyo ni kutokana na kukosa kiongozi mwenye vision mwenye anaujua mpira na ubora wa uongozi, kiongozi asieyumbishwa na kiongozi mwenye final say
    Hersi miaka 4 amekuwa yanga lakini unaona kabisa improvement ya mipango yao hadi sasa kakabidhiwa rungu kwa 100% lakini kwa simba unaona kabisa wana drop dah🥲

    • @laqboe8067
      @laqboe8067 ปีที่แล้ว

      Bigilimana 😅😂🤣

    • @herbertbathlomeo4650
      @herbertbathlomeo4650 ปีที่แล้ว

      Kwani nani anasajili pale Yanga?

    • @kelvingeorge8679
      @kelvingeorge8679 ปีที่แล้ว

      Unavoongea utadhan kuna kitu unatoa tofauti kumbe ni ushabiki tena yanga kwa kusajili makapi ndo hawajambo kabisa timu unbeaten msimu mzima usajili wote ule unataka kubadilisha nn yan naona momo anaongea mapoint ila ww unataka kubishana na wapinzan ndo shida iliyopo haya kaa na hayo unayoona n miyeyusho ach inyeshe tuone panapovuja

  • @godfreyndulu1764
    @godfreyndulu1764 ปีที่แล้ว +10

    Namkubali sana mzee wa kudere 🙌🏾🙌🏾

  • @daudsimon5417
    @daudsimon5417 ปีที่แล้ว +2

    Wa kudere na kuelewa sana

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana momo

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 ปีที่แล้ว +4

    Nikweli kabisa simba inahitaji washambuliaji wapya wenye manufaa makubwa sio kuleana wakati simba inahitaji mafanikio makubwa

  • @othmanjkamhanda4208
    @othmanjkamhanda4208 ปีที่แล้ว +2

    Safi kabisa

  • @burudanitiv324
    @burudanitiv324 ปีที่แล้ว +3

    Broo umeongea point sanaa ndio maana soka letyu tuna feri sana duhhhhh

  • @ChikwendeNde
    @ChikwendeNde หลายเดือนก่อน

    Simba iyooo

  • @joejux1380
    @joejux1380 ปีที่แล้ว +6

    Shida kusajili bila kuwepo kocha sasa kocha akija anaona hawaingii kwenye mifumo yake sasa hata kama ww ndo kocha utafanyaje unadhani😂

  • @islamibrahim4525
    @islamibrahim4525 ปีที่แล้ว +1

    Ni ya kweli kabisa

  • @rashidikawanga2941
    @rashidikawanga2941 ปีที่แล้ว +9

    Imeisha hiyo sema kocha kenge sana 😢

  • @slumujaibu7205
    @slumujaibu7205 ปีที่แล้ว +1

    Daaaah jomba uyu mtata sana sijuh taarifa anapata wapi

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 ปีที่แล้ว

    Kweli nimeona hayo sawa

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 ปีที่แล้ว

    Nakubr Sana

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 ปีที่แล้ว +3

    Loooh kumbe nawao wanatoaga Mali kauli wanavojigamba basii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @flova7022
    @flova7022 ปีที่แล้ว +3

    Shida ni kwamba tunasajili bila ma kocha

  • @mecksonjoseph2522
    @mecksonjoseph2522 ปีที่แล้ว +4

    Ukweli ndio huo.. Basi wata umia kuambiwa ukweli

  • @TravellersTv1
    @TravellersTv1 ปีที่แล้ว

    🔥

  • @lamecanton7523
    @lamecanton7523 ปีที่แล้ว

    Hapa anamzungunzia kocha zoran kipindi kile anapewa mkataba alitoa masharti na alisema wazi boco, chama, phili, onyango alisema kabisa hawa siyo

  • @yohanalukindo3737
    @yohanalukindo3737 ปีที่แล้ว +2

    Kocha anataka alete wazungu wengine nini

  • @watch5380
    @watch5380 ปีที่แล้ว +1

    Momo nomaaa

  • @festovenas502
    @festovenas502 ปีที่แล้ว +1

    Nime kuelewa mzee wa kudere viongoz wa Simba waaache ushamba

  • @HafidhJuma-fg2nu
    @HafidhJuma-fg2nu 5 หลายเดือนก่อน

    Dah

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 ปีที่แล้ว

    Umetisha momo mm kama msemaji wa wana thimbaaaa nashindwa ata kutoa maamuzi nawangalia tu watu wanavyopiga pesa sina nguvu ndio maana hata sauti yangu haitoki vizuri bajeti ya mshahara wangu tu watu wanakula asilimia zangu leo nimeona bora niseme ukwel nipo tayari kujutoa kwenye usemaje mwezangu manara kule anakula Bata tu.

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 ปีที่แล้ว

      Sasa shidann pole maana unapoteza hata Nuru vumilia yatakuwa Sawa tuu

  • @daffangov6074
    @daffangov6074 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sn mze

  • @allychautundu6729
    @allychautundu6729 ปีที่แล้ว

    sahihi asee

  • @mohamedsalum3112
    @mohamedsalum3112 ปีที่แล้ว +7

    anaongea sanaa , ila kama yanaingia akilini hasa hasa hii point ya mwisho

  • @omarymlawa5221
    @omarymlawa5221 ปีที่แล้ว

    Uyoo muongo sana tu

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 ปีที่แล้ว

    Mbona mzungu hawezi

  • @zuli.comedy.
    @zuli.comedy. ปีที่แล้ว

    Topsella tv

  • @kemmyelisha695
    @kemmyelisha695 ปีที่แล้ว +2

    Ukweli mtupu wanasimba tuamke 😭 hadi Yanga watatupita

  • @issamsangi1887
    @issamsangi1887 ปีที่แล้ว

    Ila nimekuelewa broo

  • @plumbingandtilesservce5271
    @plumbingandtilesservce5271 ปีที่แล้ว

    Kwel izo zandani kaka

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 ปีที่แล้ว

    Weweeeee

  • @jacksonmofulu9336
    @jacksonmofulu9336 ปีที่แล้ว +2

    Simba tunapigwa sana

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 ปีที่แล้ว +1

    Simba inahujumiwa na viongozi wake nishasema zamani sana

  • @yoanadaudi4907
    @yoanadaudi4907 ปีที่แล้ว

    Mzee wa kuderee unajua

  • @raphaelkyando1094
    @raphaelkyando1094 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo ni hansipope kufa

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 ปีที่แล้ว +2

    Momo, Momo uongezewe ulinzi

  • @edgarayubu2077
    @edgarayubu2077 ปีที่แล้ว

    Naitwa edger natokea mbeya grean city bana timu yangu ya simba atup raha kama turivo zoea yan kwa kipind hk tunapata shida t

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli mtupu

  • @othmanjkamhanda4208
    @othmanjkamhanda4208 ปีที่แล้ว +1

    Mzee wa kudere wachane

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 ปีที่แล้ว

    Momo watakuteka ooooooh

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 ปีที่แล้ว

    Kiongo hichooooo

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 ปีที่แล้ว

    Kama nimekuelewa

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 ปีที่แล้ว +2

    Kocha ana akili sana huwezi ukampa masharti ya nusu fainali shirikisho halafu wachezaji utumbo

  • @titobernard383
    @titobernard383 ปีที่แล้ว

    🤣🤣 🗣️ zaaandaaaaniii !!!!😂

  • @athumanjafar2776
    @athumanjafar2776 ปีที่แล้ว

    Aa nimekuelewa sana umeongea sana wakudele

  • @gaudinamosnchobe4909
    @gaudinamosnchobe4909 ปีที่แล้ว

    Nakuunga mkono momo

  • @assadyabdull5146
    @assadyabdull5146 ปีที่แล้ว

    Poit muhimu ni ya mwisho

  • @pesangwasalim5258
    @pesangwasalim5258 ปีที่แล้ว

    Mm

  • @handgodmunuo6602
    @handgodmunuo6602 ปีที่แล้ว

    Vp

  • @husseinmasangya1272
    @husseinmasangya1272 ปีที่แล้ว +2

    Momo 😂😂😂😂

  • @MrInno-fk8th
    @MrInno-fk8th ปีที่แล้ว

    hahahaha huyu mkuda kwel yan

  • @decomarcos7458
    @decomarcos7458 ปีที่แล้ว

    Imeisha iyo momo

  • @edwardkongo1599
    @edwardkongo1599 ปีที่แล้ว

    K kubwa wote hao

  • @saidijafari2812
    @saidijafari2812 ปีที่แล้ว

    Viongoz bure kabisa hawa

  • @raro5506
    @raro5506 ปีที่แล้ว +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkataba wa ZORAN kama wa pikipiki....😢🤣🤣

  • @florianscarion5085
    @florianscarion5085 ปีที่แล้ว +1

    Huyu taarifa zake huwa ni za uongo, yani kinachomjia kichwani analileta kwenye radio, huyu si ndo alitwambia Sakho Hana mkataba na Simba.

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahaaaaaaa

  • @fressoj-mova5686
    @fressoj-mova5686 ปีที่แล้ว +2

    Akpan

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 ปีที่แล้ว

    Kudere leo umeongea point kidogo biashara za watu wajinga SN sio kwa NN wanakuwepo Simba pale

  • @donmoofmmawaidhaaudio4508
    @donmoofmmawaidhaaudio4508 ปีที่แล้ว

    Angalia Nasheed Nzuri 👇❤🤍
    th-cam.com/video/keekDotg4uM/w-d-xo.html

  • @saidijafari2812
    @saidijafari2812 ปีที่แล้ว

    Yani viongozi kujikubali saana Kama wanafanya kwa weled Ila huo weled hauna uhalisia , imagine unamuacha AZIZ ki mchezaji abaejituma ambae unajua kabisa Kama atafiti kwenye eti unamuacha sababu kataka pesa nyingi halafu unamsajir mchezaji kwa pesa nyingi Kisha hamumtumii hiyo pesa c bora mungeongezea kidogo tu na nyengine ingebaki mukamchukua azizi ki

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz ปีที่แล้ว

    th-cam.com/video/Rrtc4BO-RTA/w-d-xo.html mdada wa kazi kafumaniwa wakifanya mapenzi na mlinzi jikoni duh dunia imevaa chupi

  • @costantinopaul4887
    @costantinopaul4887 ปีที่แล้ว

    Kocha wa simba hatufai haendan na las na uzito wa lig yetu tunaomba uchebe waturudishie klabuni

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 ปีที่แล้ว +1

      Si mlisemaaa bonge la kochaa

    • @titobernard383
      @titobernard383 ปีที่แล้ว

      Si tuliambiwa ni kocha wa vikombe huyu au tumepigwa hapa ?

  • @hdmsasa3355
    @hdmsasa3355 ปีที่แล้ว

    Gusa maandish ya blue ukatazame Video nilivyomfunika DOGO BALAA th-cam.com/video/ZXoVZuZFMy8/w-d-xo.html

  • @ibrahmmgaya312
    @ibrahmmgaya312 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ayoubmbwambo9604
    @ayoubmbwambo9604 ปีที่แล้ว

    Hhhhhhhhhhh

  • @damarygaratulu9135
    @damarygaratulu9135 ปีที่แล้ว +2

    Huyu nae porojo tu mdomo du kama herufi za mwisho za jina lake

  • @chollejr_
    @chollejr_ ปีที่แล้ว

    Ila ila jamaaa .😂😂😂😂

  • @jonathansirkintungi3440
    @jonathansirkintungi3440 ปีที่แล้ว

    Wapigaji wapo Kwa boss wako gsm Kwa mo hayo hayapo. Sasa tuone Kama utadhubutu kumsema utakosa bahasha kenge wewe usituletee vurugu msimbazi.

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 ปีที่แล้ว

      Tulia ww mkiambiwa ukweli mnanunaa umeona Yanga asahv Wana sajili kihoreraa kama zaman? Mtaumbuka mwaka huu

    • @jacksonnchimbi1966
      @jacksonnchimbi1966 ปีที่แล้ว

      GSM alikuwa anapigwa zamani sasahivi kazi za usajili zinafanywa na rais enginer hersi said habahatishi anawapandia mwenyewe usibishe watu wanapiga mpunga sana hapo simba wameanzisha kamtindo hako wanamleta mchezaji hata wa majaribio baadae anasepa wewe unafikiri ghalama za kuwaleta nani anahusika yaani Barbra sikuhizi kanenepa sio miss tena anapiga mpunga na ahmedy Ally wake sikuhizi kanenepa hela za michango pia

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 5 หลายเดือนก่อน

    huyi hana jipya muongo kweli

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 ปีที่แล้ว +2

    Mambo yake kama joti!!!