MTOTO WA TAJIRI 🤔🤔
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Kijana Jack, anaefanya kazi ya ulinzi katika jumba la kitajiri.. Ndani ya jumba hilo wanaishi watu wa nne tu... Binti mrembo sana mtoto wa tajiri huyo, mke wa tajiri , tajiri mwenyewe pamoja na Jack mlinzi... Kizaa zaa kinakuja pale ambapo mama na mwana wanazama kwenye penzi na mlinzi huyo, basi inakua ni kutafutana hapo ndani... Sikilizi simulizi hii ya kusisimua utapata mengi ya kujifunza bila kusahau burudani ya kutosha..
Nice story I really like it so much
Nice stroy. I really like it so much
Waooo simulizi nzur sana hata anayesimulia ana sauti nzur sana
dah simulizi hii zuri sana nimeipenda sana
Tamaa mbaya hasira mbaya pia ni hasara
Simulizi ni nzuri na inamafundisho makubwa Sana
namm nimeipenda sana story
Ubaya ukifany unakalia utalud na utaumia🙏
Mary uko vizuri kwakweli mtoto duh acha tu
Simuliz nzur nzur kwel
Nice story
Hapa sasa Jacky anaokota sufuri kwa divah bila kujua Mary alipenda sana
Hapo tuambiwa yakwamba mtaka yote ukosa yote
Nakubali mkuu
Hiyo story imenifundisha mengi sana
Mmmmh yani wanaume bwana
Hio noma
Nice inanihusu mimi kabs
Story nzur nimejifunza pia
Story nzuli san
Maskini merry
Mbona wa kawida sana hana hizooooooo sifa unazo mpa
Nime ikubali
Ipo gud sana
Asante sana kwasimulizi zur
Asante sana
Nimekosa ata neno la kusema but thankx
Nimeipenda
Ubinadamu kazi Bora kufuga mbuz utakula mchuz
Kwani makosa ya Nani
Sitori ni tamu sana
Nic to story
Jack good boy 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nzur san
Nc story jack
Mmh sijui why mnaita simulizi fupi sijaelewa, japo story pia inaenda kwenye ambayo ni unbelievable jamanii duuh!
story imejaa matusi nimeshindwa kuisikiliza kbs
Sasa umejauaj kama ni matusi na hujasikiliza
Uyu jack naye anatama
Jack ni mjinga sana kwa alicho kifanya yani
Kwa nini?
Safi Sana
Hi nisimlizi Kali Sana inatufunza mambo makuu Sana baba na mwana mlinzi na mama mara na mtoto
Huyu askar gongo naye dah! Alikuwa napenda dodo sana🤣🤣🤣
Nice
Kak store nzuri sana
Aki jamani yaani jucky alitoka kwa kina Merry tena yanayoendelea anayajua,kivipi
Asante san
Hahaha ulimi mlefu kama wa kinyonge jamani saluti
Vraiment njo ville
Daah endelea vivyo hivyo
Loh hataree😅
Story ni mzuri, I really like it.
What a provocative story
Story hii ni babu kubwa cn jack hanna makosa ila yy kaitiwa huo uhondo hat ungelikuwa ww ucngl acha
I like it
Nice
Hy
Nimeipend iyo hatr
Waaaa mungu wangu Kuna maneno
Ivi hakuna basata wamshukuwe uyu muandishi, ata kuja kusababisha tuna bakwa jamani uwiii
Ushetani tu huu wa story hii
Nicole pole mrembo njoo nikupe ulinzi na kila ukipendacho😊❤
Mmmmhhh
Hahahaaa ni vizuri sana kwa simulizi hii.
Story tamu kinyama broo
Duh! Jacky kama jacky 😅😅😅
Uyo mtoto ajui mambo
asante simulizi mix
J9
J9
Waaoo anko j
❤✌
ila Jack akili hana na hana msimamo bora kwa kilichompata maan aliyataka
Nani wa kulaumiwa sasa jamani duuuh
Daa ukunaa
Ajabu sana
@Daniel Mollel
Shukurun san simurizi mix
Af niyajuzi.tu
Hello
Mmmh stimu iziiii
Maisha Aya jmn
Waaoooooo
Safi
Nimekumbuka msemo usemao usiteme bgj kwa karanga zakuoja🤷
Mwanamume mwenye tamaa mpumbavu hanamaana mshenzi
Is that true
❤❤❤
Simurizi
Nice ❤️ 🥰
Laana hio
Bikra anyonye 😂😂😂
hahahaha xiamin
Daaah amakwel ni hatar bro
Daaaaaaah
Anaitwa jack ama Jackson mm asiitwe jina langu 🤣🤣🤣🤣
Hahaaaaaaaa atakuwa Jackline huyo
@@leekiss5602 HAhAHahahaha 🤣🤣🤣 gai apana hahahahaha duuu nitaitwa n mm James ama Jackson
@@leekiss5602 m.lmmm.ml.mm l .ml.l .... . mmkmĺl
unaogop?😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
jamani 😂🙆🙆kula MTU jack
mary huyu huyu mtoto wa mzee nguno, anaeuza mama ntilie hapa fery?
Sasa hapo inamaana huyo Mama Merry hakupelekwa polisi
Mie napita sms ZENU tu 😄😄
Unguja
Nice story 👏💖💓
Eeeeeh jaman Nyiee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eeeeeee. Baraaaaa jamani
Eti miss wabuza 🤣🤣🤣
@@alicebutoyi3615 🤣🤣🤣🤣
@@abelfrancis2265 🤣🤣🤣🤣
Hw
Story nzuri sana asante unaesimulia tumejifunza kitu...ila mtoto wa kike hutosheki labda utiwe mchi au aingie humo ndani ndio utatosheka🤔🤔
Huyo msimulizi nae hajambo..
Ww ni mwongo bhana mtu Aishi masaki mara police stakishari,geto la jack lilikuwa tandale police walitoka stakishari mmmmm ongeza ubunifu
Kwann mnaita mguu wa mtoto
Dah! It's a sensitive story but there is a something i have learnt.and this tendency happens in our societies so carefulness is needed duh!
Kijana musa
👏👏
innalilaah waannalilah hakika kila nafsi itaonja umauti wake daima
We ankoj mbna unajisifia sana au unataka tuhamie kwako
Nimejifunza kitu kupitia hii stori ni vitu ambavyo vinatokea kwenye jamiii yetu
Ira Mama merri amekosea Sana mapenz ayalazimishwi
Wara kuchaguliana
Mume wa kuoa au mke wa kumuoa
Huyu Kijana Hakuwa Na Msimamo Na Alifanya Makosa kufuta Namba Ya Mery Akasau Mery Ndiyo Aliyomupa Simu Na Alivyomutetea Police Na Kusema Ni Bwana Yake kisha Akashikana Na Huyu Delvin Na Akamufukuza Akaws Amechelewa Alipomitafuta Hakumupata
From Kenya Akutumia Hekima Alipoenda Akakosa Kununuliwa Gari Heri Angen.ukumbuka Mery Na Kuenda Kumutafuta Kesho Yake Angejaribu Kuenda kumulizia Hapo Kwa Jirani Na Amutumane Angemupata Kama Anataka Kuhama Na Angejua Kila Kitu
Inatia ham bwana mambo gani haya
Ni kweli
Hahah umetega sikio mwenyewe
@@LEAHLIZOhutaki raha
Akinhii story Ina mafunzo mingi walai
skuizi kaka mkubwa sioni ukini invite inbox