Ambangile kila Siku anawafundisha mfumo wa 433 n mfumo ambao upo well balanced na lazima uwe na wachezaji wenye sifa sahhi mfano kwenye viungo wako wa3 lazima wawe nasifa tofauti at least lazima uwe na natural DM, then unaweza kuwa na two 8s au one 8 ana no.10 mmoja.then uwe na front 3 yenye ma wings 2 na namba9 mmoja then na back 4 sifa ambazo yanga hakuna hivyo siyo suitable Ku accommodate 4-3-3
Yanga anacheza 4-2-3-1
Fact
hujui kitu ww mfumo utakao waaccomodate ni 4 2 3 1
Ambangile kila Siku anawafundisha mfumo wa 433 n mfumo ambao upo well balanced na lazima uwe na wachezaji wenye sifa sahhi mfano kwenye viungo wako wa3 lazima wawe nasifa tofauti at least lazima uwe na natural DM, then unaweza kuwa na two 8s au one 8 ana no.10 mmoja.then uwe na front 3 yenye ma wings 2 na namba9 mmoja then na back 4 sifa ambazo yanga hakuna hivyo siyo suitable Ku accommodate 4-3-3
Hujawahi kuwa kocha wala kuucheza Leo unajadili wachezaji wanavyocheza 😂
Gamondi anajua jinsi gani atawatumia hata kabla chama hajaja.
Katika kila mechi wageni wanatakiwa wangapi?.