#Katika Hospitali yetu ya Taifa Muhimbili, tuna vifaa tiba vyenye teknolojia ya hali ya juu kufanya Uchunguzi# Prof. Mohamed Janabi Mkurugenzi Mtendaji
Hongera raisi wetu mpendwa Samia suluhu Hasan kwa kazi kibwa anayoifanya,HOSPITAL yetu ya muhimbili imekuwa bora na ya KISASA mno,MAHASIDI waache wafe kwa chuki zao!! MITANO TENA,
Safi sana Dr. Janabi kwa kutupa elimu ya afya. Mmetumia Technology ya mtandao vizuri kutufikia wa TZ.
So great ❤
Hongera raisi wetu mpendwa Samia suluhu Hasan kwa kazi kibwa anayoifanya,HOSPITAL yetu ya muhimbili imekuwa bora na ya KISASA mno,MAHASIDI waache wafe kwa chuki zao!!
MITANO TENA,
Congratulations for good news and Job
Amina
Mama samia wapewe pongenzii 😅😅😅😅
Hiyo dawa haina mazara munayotumia kwakuangalia tatizo
Kila dawa ni sumu,hata panadol