RAIS SAMIA ALIVYOKATA KEKI ya 'BIRTHDAY' YAKE na KUWALISHA WANANCHI AKIWA ZANZIBAR...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- RAIS SAMIA ALIVYOKATA KEKI ya 'BIRTHDAY' YAKE na KUWALISHA WANANCHI AKIWA ZANZIBAR...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Happy birthday to you mama yetu mzuri mwenyezi MUNGU akujaarie uzima na afya njema kipenz Cha watanzania na MUNGU azidi kukupigania Kila iitwapo leo na pia akujalie umri mrefu kipenz chetu binafsi nakupenda sana na nakuombea sana umetuheshimisha sana wanawake katika nchi yetu umewafanya wazazi waone umhimu wakuwasomesha watoto wakike na kupunguza ubaguzi katika jamii hasa za vijijini Mimi nakupenda Mama na nakuombea sana❤
Mungu akutangulie mkuu wetu kiongozi wetu jacli wetu amina
hongera mama mungu akupe maisha marefu na afya njema. mama kilio changu ajira mama naomba na mm unijibu comment yangu
Happy birthday mama yetu kipenzi mungu akupe maisha marefu yenye heri na mafanikio tele
Hongera mama yetu mungu akupiganie uishi maisha marefu
Wao hawali keki yenu hawajui imepikwa wap 😢... IMANI ni jambo muhimu sana... All in all MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU RAIS WETU 🎉💐🎂🎂👑
Hongera,🍰
Happy birthday to you our mom allah akuekee , ila nnatatizo mojaa kama kuna njia ya kunisaidia
Hongera sana rais wetu mama mungu akurinde
Hbd Mama mwenyezi mungu akuzidishiye umri mrefu uzidi kututumikia Mama etu
AKI YA MUNGU HAPPY BIRTHDAY MAMA YANGU MAMA maisha marefu kwako mama yangu nikumbuke mama yangu mtaji tuu mama ninadaiwa sana na benk
dawa la den ni kulipa kumbe ulikopo si ulifanyia mahitaji yako lipa
❤❤❤❤mungu akupe maishaaaaa marefu mamaetu kipenz uenderee kupiga kaz
Birthday blessed Mamaa❤
It's a state government cake!!💙💙 Nzuriii💙💙
Jajeee? Happy birthday mama Samia🎉! Trees 4all generations a & 4thecaming generations in perpetuity! Long life
Mama hongera Kwa kukata keki natamani NAMI ningekuwepo mama Mimi nipo simiyu naomba uniongezee mtaji nipo simiyu nauza vitenge asante mama
Mungu akujallie Afya Mama yetu kipenzi, miaka tele uishi
Happy birthday our mama samia
Mung adhid kukupa fadhira zake na uishi miaka mingi na adhidi kukupa afya njema amiin
Mama naomba nionane na wew nahitaji unisupport kipaji changu niimbe pleaseeee
Happy birthday Madam President ❤❤❤❤❤❤
Masha Allah mayangu kwamarayakwanza nakoment nakuomba mayangu laiswa ngu kipenzi changu nakuomba unijengee nyuma ata vyumba viwili tu na mimi nisikie kilio changu mwanao
Aujuwi imepikwa wap ??? Sasa mbona unakulisha awo wanajuw kwenye imepikwa ? 😅😅😅 u funny anyway more blessings and success make sure kila mtazania unamulinda vinzuri nawapate aki yawo kama wenye inchi🎉🎉🎉🎉🎉
Sisi hatuli Keki yao kwani hatujui imepikwa wa😂😂😂😂😂
Mashalhaaa Alha akufanyieni wepesi amjalie laisi wangu umli mlefi wenye kumjua mungu
Mungu akupe Maisha marefu
Mama.mimi siyo mutanzania alakini nakuombea tena ushinde uchaguzi tena.
Mama Samia hongera sana wewe ni pacha wangu kasoro miezi michache tu nakupenda mama unajituma sana kwa ajili yetu watanzania mimi pia pacha wako najituma sana nimeanzisha kiwanda kidogo cha utengenezaji wa chaki ni nzuri sana na za rangi pia zipo ndoto yangu ni kufungua kiwanda kikubwa mkoani kwangu Tabora manispaa ili nisambaze chaki mashule yote mama pacha wangu..nisaidie kutimiza ndoto zangu naomba uniongezee mtaji mama rais wangu nina mengi ya kusema lakini haya yanatosha nisaidie kutimiza ndoto yangu.😂 ❤tbr
Hbd mama samiah
Dah noma sana brand Haina bahati Kwa mfalme
Mama mcheshi una upendo
Unauluma ndomana Alha amekupa uongozi kwakujua wewe ni mwenye
Upendo nakupenda sana laisi wangu❤❤❤
NimefuraiaUPANDAJI wa Miche ya miti Nifikla nzuri Kwa watakao kuwepo Siku za kesho ONGERA Kwa Siku ya kuzaliwa MUNGU AWAPE MAISHA MAREEEEFU 😍🥰🍰🌲🌲
Maza Kasema "HATULI KEKI YAO, HATUJUI IMEPIKWA WAPI" tuliosoma KIUBA tushaelewa
Mate yananitoka uku jamani bimkubwa🎉🎉
safa sana mama
RAIS na mama yangu uishi miaka mingi iliojaa NEEMA
Safi President Mama Samia
Nakuombea kwa allah unisaidie mm atachumba mbilitu
Hbd MH. miaka kama 304.
Mama.nisaidi.niwezeshe.kupata.bajaji.
Heri ya siku yako ya kuzaliwa mama yetu tunakupenda sana
Why a such comment in public .dah
Hatuli cake yao😂😂😂😂
HBD MAMA YETU
❤️❤️❤️👏👏🙏🙏
Vitu vimepanda bei nyie mnafurah mtuache kidogo
Mama samia mwanake mchapazi mwenyezi Mungu akupe umri mrefu yaani unaweza na Mungu akulinde hata mimi nampambana ila msingi ndio unasumbua natamani ningekuwa dungu yako wa damu yaani ungeona jinsi ninavyo pambana najua ungefurahi nakunipushi nasema kisimani veve ni ndugu ya umetuheshimisha allah alibariki sana
Zingatia sisi hatuli cake 🍰 Yao hatujui imepikwa wapi 😂😂😂😂
Namm nataka keki ya samia
fucking things unashindwa kizinduwa miradi mikubwa na kutokomboa ww ndy unatuzamisha God bless 🇹🇿
Njaa inakusumbua wewe
Umeona huyu jamaa hajielewi . Ndoo maana Hana akili. Unahic rais alizaliwa kifungua miradi tu . Na yeye anaprivate life . Acha uboya wew muone mpumbafu mkubwa saana wewe
Alaf ue unajiheahimu . MUONE MJINGA MKUBWA . Wee wazazi wako unawaheshimu kweli ama upo kama mavi tu tasiokua na faida . Huyu ni rais na ni mamaako . Acha ufala unagongwa nini wewe
MPUMBAFU MKUBWA WEWE USIRUDIE. NYAU NA MAVI WEWE
Upuuuzi mtupu
Kakosa kazi mwisho ataenda kitchen party