ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Mungu akubariki sana, Mtumishi Ambwene yani wajibu maswali kwa hekima kuu sana na Roho wa Mungu azidi kutumika kwako na kukuinua sana
Mungu akubariki Sana Kaka Ambwene
Hakika kazi yenu ni njema!!Nimejifunza mengi!!
Ambwene umeongea vitu vya msingi na maana sana kwa mtu yeyote anaetaka kufanikiwa kwa Maisha ya kiroho na kimwili pia ubarikiwe Sana Nakupenda Sana
Ambwene unanitia moyo hakika katika huduma yangu ya kumtumikia Mungu, be blessed
Mm pia zinanisaidia sana Mungu akubarik sana
Ambwene you are among the geniuses
Ameen
Ambwene uko mwanaume umejibia vizuri sana .Wewe unampenda MunguKwenda kuimbia inje nivibaya utaaribuKipaji chako uliyo pewa na Mungu
Ubarikiwe na Mungu nyimbo zako nazikubali
Nabarikiwaga sana na ngomma zko Ambwene
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Good
Aise interview nzurisana
Naiona nguvu ya Mungu kwa kakangu Ambwene
Ni kweli kuchelewa kuokoka ni hasara kubwa,nakupenda sana kaka yangu!
Namkubali Sana jamaa huyu na mwaitege ila mama yao Ni 🌹 muhando
Amen
Kwa kweli nyimbo zako ni dawa hata mimi zilitibu,
Kweli amani ndo kila kitu
Mjukuu wangu yuko darasa la pili. Anasema ndoto yake ni kuja kuwa mwimbaji mkubwa na mwalimu vilevile. Na anaimba kweli hata sasa. Je. Nianze kimsaidia vipi?
Sijachelewa sana.
Ubalikiwe mtumishi wa MUNGU
Niseme kweli mimi mkenya,sikuwa mfuasi wa abwene nlikuwa namsikiaga lakini muda nimeaza kumfuata shuhuda zake,kweli nabarikiwa
umebarikiwa kuwa na akili nyingi sana.
Nimependa majibu Yako kaka Ambwene unaji kistarabu mno
Kiingilio kiitwe “ ku-support huduma “
AMBWENE,nimependa majibu yako
Ambwene mwasongwe
Ambwene mwasongweNguvu za nyat
Ambwene
Anayefuata aje bahati bukuku
Big up my kaka ambwene umebarikiwa sana
@@malkiarosemuhando3310 shkamo Dada 😋 rose muhando
Kuwatii wazaz ktk yaliyomema tu vijana tambuen hilo
Ubarikiwe sana, wimbo wa majaribu ni mtaji ulinitoa katika jaribu zito,
Waefeso 6:1 watoto wawatii wazazi wenu katika Mungu.
@@realscholarships-bolde.2344 yaleyale au nimekosea kusema ktk yaliyomema?
Ase nmefurahia sana hii interview! Ambwene una IQ kubwa sana
Mungu akubariki sana, Mtumishi Ambwene yani wajibu maswali kwa hekima kuu sana na Roho wa Mungu azidi kutumika kwako na kukuinua sana
Mungu akubariki Sana Kaka Ambwene
Hakika kazi yenu ni njema!!
Nimejifunza mengi!!
Ambwene umeongea vitu vya msingi na maana sana kwa mtu yeyote anaetaka kufanikiwa kwa Maisha ya kiroho na kimwili pia ubarikiwe Sana Nakupenda Sana
Ambwene unanitia moyo hakika katika huduma yangu ya kumtumikia Mungu, be blessed
Mm pia zinanisaidia sana Mungu akubarik sana
Ambwene you are among the geniuses
Ameen
Ambwene uko mwanaume umejibia vizuri sana .Wewe unampenda Mungu
Kwenda kuimbia inje nivibaya utaaribu
Kipaji chako uliyo pewa na Mungu
Ubarikiwe na Mungu nyimbo zako nazikubali
Nabarikiwaga sana na ngomma zko Ambwene
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Good
Aise interview nzurisana
Naiona nguvu ya Mungu kwa kakangu Ambwene
Ni kweli kuchelewa kuokoka ni hasara kubwa,nakupenda sana kaka yangu!
Namkubali Sana jamaa huyu na mwaitege ila mama yao Ni 🌹 muhando
Amen
Kwa kweli nyimbo zako ni dawa hata mimi zilitibu,
Kweli amani ndo kila kitu
Mjukuu wangu yuko darasa la pili. Anasema ndoto yake ni kuja kuwa mwimbaji mkubwa na mwalimu vilevile. Na anaimba kweli hata sasa. Je. Nianze kimsaidia vipi?
Sijachelewa sana.
Ubalikiwe mtumishi wa MUNGU
Niseme kweli mimi mkenya,sikuwa mfuasi wa abwene nlikuwa namsikiaga lakini muda nimeaza kumfuata shuhuda zake,kweli nabarikiwa
umebarikiwa kuwa na akili nyingi sana.
Nimependa majibu Yako kaka Ambwene unaji kistarabu mno
Kiingilio kiitwe “ ku-support huduma “
AMBWENE,nimependa majibu yako
Ambwene mwasongwe
Ambwene mwasongwe
Nguvu za nyat
Ambwene
Anayefuata aje bahati bukuku
Big up my kaka ambwene umebarikiwa sana
@@malkiarosemuhando3310 shkamo Dada 😋 rose muhando
Kuwatii wazaz ktk yaliyomema tu vijana tambuen hilo
Ubarikiwe sana, wimbo wa majaribu ni mtaji ulinitoa katika jaribu zito,
Waefeso 6:1 watoto wawatii wazazi wenu katika Mungu.
@@realscholarships-bolde.2344 yaleyale au nimekosea kusema ktk yaliyomema?
Ase nmefurahia sana hii interview! Ambwene una IQ kubwa sana