Wema ipo siku Mungu atamjibu na madui wataibika. Kama siyo amani za dini zetu ningemsaidia wema. ilo jambo ni dogo sana mbele za Mungu. Mungu. Mungu akusaidie wema. Amen.
Masha allah walah raha nimeipata ukuona umempakata anko wangu...zawadi insha allah nikijaaliwa sijui naweza pata mawasiliano nitafurahi..penda sana wewe kiumbe mwenzangu...ila kitu moja tu sipendagi kukuona kichwa wazi wallah
Umeniboa sana wewe dada kwani wema unamchukuliaje hauwezi kumhoji mtu mpaka wema aingizwe kwenyemazungumzo ndio story inanoga muacheni mtoto wa mwenzenu apumue
Umefanya vizuri kutomjibu ju anakuuliza maswali y kipumbavu, anatak umtangaze kwa mitandao ndio mapenzi au upuzi yko n maswali y kipuzi sna uyo mtangazaji
Huyu dada mtangazaji, ni mwanga maneno yake, sio mazuri!!!!!!!, tausi anamkunjia sura hapendi ila bado anazidi tu, eti umeadapti Mara mtaachana ndo nini sasa?!!!, Kama sio uchawi laana wewe dada; tausi huyo dada ni mwanga live niamini Mimi huyo dada ni mwanga,
@@jescabrown7499 pole sana jessy,yaani huyo mtangazaji anazingua,hapo ye kakaa chini,tausi akisimama atakua yupo straight na mdomo wa huyo mtangazaji,so akiruka kichwa lazma kitue kwenye domo hilo linalo uliza upuuzi
Mtangazaji labda anataka kujua mume Wa tausi anakazi gan ili amuibie tausi sio kwa maswali hayo jmn dah yani uyu anaefanya interview sio kabisa nikwakuwa tausi ni mwanamke anae jielewa mwanamke Wa viwango Kama ni star mwengine angemjibu vibaya sanaa 🤔
Wema ipo siku Mungu atamjibu na madui wataibika. Kama siyo amani za dini zetu ningemsaidia wema. ilo jambo ni dogo sana mbele za Mungu. Mungu. Mungu akusaidie wema. Amen.
Ongera Tausi INSHALLA MUNGU Akuekee
Woow this is maturity response to the interview... nimekupenda mama ulivyo...all the way from
Kenya
Kweli..watu wanahitaji haya majibu
Hongera tausi mwaya ... mtangazaji acha udaku halafu n hajasomea hii kazi ..mshenzi sana
Nakupenda sana tausi
Hongera sana Tausi ,Kamwwne bee,Mungu amkuze mtt, pia akuwezeshe kumlea ktk njia impendezayo Mungu
Hongera sana Tausi. Una busara sana. Hongera sana una mtoto mzuri sana.
Naweza kumzalia wema...naweza mbebea mimba na nimzalie maana sipendelei akilia. Nakupenda sana wema
Amina taus kweli unahakili, na ww mtangazaji wema kajaje sasa ulikosa maswali au kasome tena maana sikuelew.ata wema atazaa kwa wakati wa Bwana
Jaman,Tausi ongera mama ,mzaa chema make wangu uyo mtarajiwa💝💃
Hafu we mtangazaji unamaswali yakijinga unaboa bora tausi umemjibu vizuri jinga hilo nimekupenda
Kwer nimeamini mmbea aukizwi ww yanakuusunini yote hayo
Tausi nimekupenda sanaaa zaidi ya sana umejibu vzr sana sio kila kitu uweke wazi nakupenda sanaaaa
Irene Gomanga alikuwa
Mtoto rahaa jamani hongera sanaaa mamii, Mungu akitunzie akue akuheshimu sanaaa na kuona wewe wa thaamni
Her husband is so handsome. God bless you tausi and your marriage bby girl
Happy for u Tausi wangu. Big up sana dear wangu.
Masha allah walah raha nimeipata ukuona umempakata anko wangu...zawadi insha allah nikijaaliwa sijui naweza pata mawasiliano nitafurahi..penda sana wewe kiumbe mwenzangu...ila kitu moja tu sipendagi kukuona kichwa wazi wallah
Ally Mbwana Msagati >
Mnadadisi life ya mtu undani sana jmn ..Duh hadi mnaudhi.
Tausi nakupenda,mwanamke jasiri na unajiaminia,endelea hivyo tausi
Hongera sana apo umewafumbua macho watu weny iman potofu
Umeniboa sana wewe dada kwani wema unamchukuliaje hauwezi kumhoji mtu mpaka wema aingizwe kwenyemazungumzo ndio story inanoga muacheni mtoto wa mwenzenu apumue
Nampa polesana Wema Ila asikate tamaa zaidi naomba anitafute inbox nimwambie jambo ambalo hatahuzunika Tena maishayako
Tausi uko poa ...Mungu awape uzima
Yani Tausi kweri mhehe endelea kuwa namaadili yakihehe nakupenda bureeeee😱😱
Jamani wema pole
Maarufu Watu Ni Fir'an Nimafta Na Wakorofi
Mtangazajiiii unahayaaaa kwako unaonaaa sawaaa kbs.Ila.ulitaka tausi ajitutumie kama alivosema au
Uko fun Sana tausi, hongera!!! GOd bless you!
Umefanya vizuri kutomjibu ju anakuuliza maswali y kipumbavu, anatak umtangaze kwa mitandao ndio mapenzi au upuzi yko n maswali y kipuzi sna uyo mtangazaji
Hongera datausi
Tausi nakupenda saana Ola uyo mutangazaji mujinga Sana aludi Shure kusoma mushenzi huyo
Watangazi muwe nalimit ktk kazi zenu mnaivamia fani mpk mnakera ujuwe kuuliza maswali yanayoendana namaadini
.hongera Sana tausi kuitwa mama rahaaaa
Tausi run for your life..achana na huyo kijana atakula hela zako na kuenda zake
Wema!! Wacha kurukaruka tulia NA umuogope mungu utajaaliwa mtoto si kitungu utanunuwa sokoni, NA uvae mavazi ya kufuraisha mola wako.
Raha Sana kuitwa mama mungu hamnyim mjawake ipo sku atampa
Huyu dada mtangazaji, ni mwanga maneno yake, sio mazuri!!!!!!!, tausi anamkunjia sura hapendi ila bado anazidi tu, eti umeadapti Mara mtaachana ndo nini sasa?!!!, Kama sio uchawi laana wewe dada; tausi huyo dada ni mwanga live niamini Mimi huyo dada ni mwanga,
🤣🤣🤣tn mwanga kwl huy
🤣🤣
Ha haaaa
Kamwene mnyalukolo,penda anko wangu mungu amjaalie afya njema ili akizi furaha ya mama semdegela
Ongera sana kabisa
Usikae sana kiuno hakijakomaa mama yangu
Mashaallah hongera Tausi
Hivi wewe mtangazaji umemuona wema tu kina tanzania yoote wamezaa hebu mpumnzishe wema wetu mpuuzi mmoja wee
jamani watangazaji mjitahidi msomee, nimaswali gani yakumuuliza dada tausi yaani pole my mutafika.
Asha Swaleh wema sio mtu wa roho mbaya
najuwa na cna ubaya na dada wema.
Maswali ni lazima si ako kazi banaa
Hongera Sana tausi kumpata habbty
Tausi ww ni muongo hujawahi wwakati ww mpenzi wako alikuwa masele acha uongo nilikuona mwenyewe kwa macho yangu na sikuambiwa na mtu
Tausi na Dorah wamenifunza vitu vingi...kulingana na busara nyingi walio nayo...
Watangazaji munabowa kasomeni tena nyoo maswali gan hayo
Topic ni ya wema au kumpa hongera tausi udaku mwingine umepitiliza
Atoe tu sadaka na mungu mbariki
We mtangazaji mjinga sana nais umepata iyo kazi kwa bahat fyuuùyuu au unamtaka mme wa tausi nin
Beautiful tausi
Ila wee kadada nakupenda bureee kabisa,Hasa ukicheka na unajielewa sana hongera kwa hilo
Kweli tausi watu wafupi wakorof ata na mm najielewa upo sw
Hongera Sana'a Dada akee,tochi1 iringa nzimaa
Love you ❤❤❤
Wenda sepetu sister doo alilia na kutambua kweli MOLA NI MKUBWA
Ila tausi una sura nzuri hadi raha
nakupendakasana dada
Ongera.sana.mpz
Hongela
Ni kweli wahehe ndo zetu.
Nikweli kabisa sisi wafupi hatupendi ujinga
Kaza mwendo dada yangu
Hongera sana Tausi
Songa mbele
Mtoto hatak kumuonyesha ila watu wanaopenda kupokea wananchoshaga
Kwahiyo we unagombanisha wema na tausi siyo?? Watangazaji acheni uboya
Vumilia mpenz wema sepetu mung bad hajapenda il akipenda atakup mtt wal usichukie wal kua n mawaz usichoke muomb mungu dada ang
Vumilia my mungu at a kujib
Mungu ni mwema
Too many questions. I wish i was de one.u can. regret why u enter in my house
Hongera saaana tausi kwamajibu mazuri🇧🇮🇧🇮
Tausi ungemng'ata kabisa uyo mtangazaji ndo maswal gan hayo
Kwahiyo Mmezaa Kabla Ya Kuowana ?
Mwanahabari ana maswali ya kipuzi sana. Mahali anapo Fanya kazi Mme wa mtu inakuhusu Nini?
Tausi mpige kichwa cha mdomo huyo mtangazaji na maswali yake ya kiumbea.
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kd umefanya nimecheka kwa sauti kubwa japo nipo pekee yangu
@@jescabrown7499 pole sana jessy,yaani huyo mtangazaji anazingua,hapo ye kakaa chini,tausi akisimama atakua yupo straight na mdomo wa huyo mtangazaji,so akiruka kichwa lazma kitue kwenye domo hilo linalo uliza upuuzi
maskini tausi ana imani kwa msanii mwenziwe
Muache mwenzio anyonyeshe,,kwanza mgongo haujakaza,,nyokonyoko na maswali yako
Duh pole mway mchukurie hatua
J'aime bien cette femme wema
😘😘😘😘nakupenda sana tausi
Congratulations pretty @tausi,may the Almighty God tightened ur marriage
Mashallah hongera kwa kupata mtt inshallah mola hazidi kuwapa upendo wenu mtt hapate malezi bora pasipo na msukosuko wa haina yoyote. #254
Amina tausi🙏🙏🙏
Amen Mungu akutangulie
Hongera sana
Hongera taus
Mtangazaj unakeraa😬😬😬😬😬😡😡 kama unajijua hii fan huiwez bhas muwe mnafanya rehasal before interview😏😏
Mzuri sna mtoto hongeraaaa.. Ila acha maswali yakijinga mtangazaji
namkumbuka kwenye gumzoo jomon
Kwako Ndugu mtangazaji haiko sawa kwenye uendeshaji wako wa interview
EATV Huyu mtangazaji hafai atawaharibia nikam hajielew
Wema apataj mtoto akati hajaolewa?? Aolewe ndio aombe Mungu amope mtoto
Dada hongera sifa za mwanamke mtt
Na mtoto wake mrefu kweli
Asante tausi maneno tam
Sanaa mhehe
Maisha marefu tausi
I proud of you
Taus nakupend bureeeee
Yani wewe mwandishi wa habar inabidi ukasome uongeze elim uko na nonses questione ningekutukanilia mbali
Hongera sana mpenzi mkuze mtoto
Mtangazaji labda anataka kujua mume Wa tausi anakazi gan ili amuibie tausi sio kwa maswali hayo jmn dah yani uyu anaefanya interview sio kabisa nikwakuwa tausi ni mwanamke anae jielewa mwanamke Wa viwango Kama ni star mwengine angemjibu vibaya sanaa 🤔
Fatuma wahabi ,tausi mi nafanya kazi arabun,nakupenda tausi ingela ,KUNA zawadi ntakuletea zawadi kwa mtoto wako nakupenda Sana tausi ishaalhaa.
Umejibu maswali vzr 🔥....ur so strong 😍
Huyu dada kumbe mjeuri kweli ee
Ghai hii ndo sura yake naturally