Asante Yesu 🙏 umekua mwema kwangu,unazidi kunipigania kupitia mtumishi wako ninazidi kutoka , kwenye mambo ya Dunia na kukufuata ,ninaamini ninatoka kabisaaa,sema nami Baba don't reject me ooh God,🤲🤲
Usinipite mwokozi mm na watoto wangu pamoja na watoto wangu tunayo pitiable watoto wangu kukosa kazi pamoja na ndugu zangu nakuandamwa na roho za madeni amen
YESU wangu kimbilio langu npe roho ya kukaa Kmya npe nguvu baba nkapate kukusiklza ww na kuu wako,niepushe na vishawish vya kutamka baraka zako🙏🙏🙏❤️🙏🙏❤️❤️🙏🙏🙏❤️Amen
Amen Mtumishi Hakika umenena marifa yaliyo Bora katika Maisha yetu nimefurahi kuskia kwako mtumishi Wa MUNGU, Naomba mwenyezi MUNGU aniumbie moyo wa ukimya na asinipe moyo wakuamini Kila Mtu Kwa maisha yangu,Nisha wahi kukaa nikajiuliza Nini kinacho nifanya nisifanikiwe lakini nili gundua nikuongea kwangu. Nakuamini Kila Mtu, mtumishi mwenyezi MUNGU Anene nawe zaidi,uzidi kutufundisha mambo ya Rohoni zaidi Amen 🙏🙏🙏
Bwana yesu nzia ya ukwel nauzima nakuya kwako katika jilayesu Asante bwana baba nisaidiye niwejeshe kunyamanza kuw naupole sije kusumbua watu lakini baba niw nanyimbo zakukuabudu Asante Jesus
Ba mtumishi,, Mungu akubariki sana kwa upeo wa ufahamu unatuongezea ktk maisha yetu🙏🙏 hakika usemayo wengi tunamuona Mungu kupitia wewe! Mungu aendelee kukupigania na kukupa ulinzi madhubuti uendelee kutulisha chakula cha rohoni, tupite njia sahihi ktk kumtumikia Mungu wetu!
Asante sana mtumishi hakika watu wengi kwa sasa wanataka kuishi maisha ya kujionyesha Mungu atusaidie atupe ufahamu wa kiroho🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Asante Yesu 🙏 umekua mwema kwangu,unazidi kunipigania kupitia mtumishi wako ninazidi kutoka , kwenye mambo ya Dunia na kukufuata ,ninaamini ninatoka kabisaaa,sema nami Baba don't reject me ooh God,🤲🤲
Usinipite mwokozi mm na watoto wangu pamoja na watoto wangu tunayo pitiable watoto wangu kukosa kazi pamoja na ndugu zangu nakuandamwa na roho za madeni amen
Asante yesu kwa neema yako yatosha juu ya maisha yangu kwa jina la yesu kristo amen and Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
YESU wangu kimbilio langu npe roho ya kukaa Kmya npe nguvu baba nkapate kukusiklza ww na kuu wako,niepushe na vishawish vya kutamka baraka zako🙏🙏🙏❤️🙏🙏❤️❤️🙏🙏🙏❤️Amen
Ubalikiwe sana muchungaji wa MUNGU gupitia kwa mafundisho yako, ayo yote alinikuta , nikabebewa mali zoooote kwa sababu ya kutoficha mambo yangu😢😢
Mungu nakusii unisamehee, uniumbe upya, nifundishe kunyamaza Jehovah wangu😭😭😭😭😭😭😭
Dah...kweli Mungu atusaidie sana..Mungu akubariki sana Pastor..Neno kubwa sana hili👏👏👏
MUNGU wangu nidhibiti mimi,familia, na ukoo tusinene ovyoovyo tuwe wakimya na wahekima
Mungu wangu asante kwaneno lako yesu kristo naomba uweze kunisaidia uweze kunijaria roho yakunyamanza pia unifungurie mirango ya mafanikio yangu
Amen Mtumishi Hakika umenena marifa yaliyo Bora katika Maisha yetu nimefurahi kuskia kwako mtumishi Wa MUNGU, Naomba mwenyezi MUNGU aniumbie moyo wa ukimya na asinipe moyo wakuamini Kila Mtu Kwa maisha yangu,Nisha wahi kukaa nikajiuliza Nini kinacho nifanya nisifanikiwe lakini nili gundua nikuongea kwangu. Nakuamini Kila Mtu, mtumishi mwenyezi MUNGU Anene nawe zaidi,uzidi kutufundisha mambo ya Rohoni zaidi Amen 🙏🙏🙏
HALLELUJAH NENA NAMI BWANA KWA SASA NA MAJIRA HAYA USINIPITE NIFUNDISHE KUNYAMAZA
Yesu anipe na mimi hekima na kutembeya sawa sawa na mapenzi yake kiroho
Bwana yesu nzia ya ukwel nauzima nakuya kwako katika jilayesu Asante bwana baba nisaidiye niwejeshe kunyamanza kuw naupole sije kusumbua watu lakini baba niw nanyimbo zakukuabudu Asante Jesus
Mungu wangu naomba unisamehe dhambi zangu unatakase na damu yako
Ba mtumishi,, Mungu akubariki sana kwa upeo wa ufahamu unatuongezea ktk maisha yetu🙏🙏 hakika usemayo wengi tunamuona Mungu kupitia wewe! Mungu aendelee kukupigania na kukupa ulinzi madhubuti uendelee kutulisha chakula cha rohoni, tupite njia sahihi ktk kumtumikia Mungu wetu!
Amen 🙏
Ahsante Mungu kwa kunishindia roho ya hofu na mashaka tayari ni mshindi 2024 ni Neema kubwa kwangu.
Very true pastor innocent mashauri
Yesu naomba neema ya kukaa kimya
Ameen Ameen Bwana nifundishe kunyamaza
Bwana nifundishe kunyamaza🙏🙏
Ee mungu Niko apa kwa niaba y familia yng ucnipite baba yng nhurumie n mm
Nifundishe kunyamaza Mungu
Jamani marafiki bora uwe pekeako Fanya Mishe zako mwenyew
Yesu.wangu bila kunichaka moyo wangu siwez kufika mbli nakuitaji yesu,niffundshe hekima kukaa kimya na kuskia sauti yako.
Amen🙏 Amen🙏
MUNGU nipe Hekima ya kukaa kimny
Bwana ni fuze ku ka kimya. Bwana niko apa usinipite
Baba nakutekemea Kwa Kila.jambo
May God bless you.For sure you have made me know much.. Mungu tu akulipe
Amina Amina Amina Mtumishi wa Mungu
Amina Amina Amina jina lako Mungu wangu lina nguvu tuned from Kenya
Asantee Mungu. Jina lako Lina nguvu baba si kwa Neema yako baba mpka Sasa Niko hapa sifa nautukufu baba zikwendeee Ee baba 🙏🙏
Hizi ni Siri kweli !! 🙏🙏
Mungu atusaidie
Ndio Bwana ndio Bwana...thank you because of your Mercy.🙏🙏 Tuned from Saudi Arabia
Thank you father for the knowledge
UBARIKIWE SANA MUTUMISHI WA MUNGU .NIKWELI . MIMI NI LEONARD MUSOLE KUTOKA MOBA CONGO DRC .
Isha nitokeya
Learning about the secrets of HEAVEN !
AMEN,, ASANTE SANA KWA MAFUNZO YAKO BARIKIWA SANA WW NA FAMILIA YAKO
Week hii Mungu amenitendea muujiza mkubwa ,nimeendelea kuniona Mungu akinitendea katika Maisha yangu
Ameni Bwana nifundishe kunyamaza nyakati zote
Bwana yesu niko apa naomba usinipite na maitaji yangu yote amene
Mungu nipatie hekima ya kukaa kimya
Ee Yesu kutana na mahitaji yngu usinipite
Asante sana mtumishi kwa mafudisho mazuri
Thank you for the wisdom
ndio bwana asante yesu eee bwana nifundize nijifunze kukaa kimya ee baba
AMEN !!! AMEN !!! AMEN !!!
Nifundishe kunyamaza eeh mungu😢😢😊
Amen past🙏🙏
😢rafik mimi hmn 🖐🏽😅
Yes
Amen !!!
Amen
Amen🙏🙏
Ni kweli
Kweli mungu atusaidie
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
Ameen
Jina lako lina nguvu bwana😢
Amina amina🙏🙏
Ameni 🙏🙏
Amen 🙏🙏🙌🙌🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏
Amina Baba
🙏🏽
🙏🙏
Bwana nifundishe kunyamaza.
Winfred hi
Winfred hi❤
Mungu nipatie hekima ya kukaa kimya
Amen
Amen