#LIVE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- Ujumbe: Mungu na Maisha
Pastor: Innocent Mashauri
Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Asante Roho mtakatifu kwa kutuma neno lako kupitia mtumishi wako kutufikishia ujumbe hakika nimejifunza mambo mengi ambayo nilikuwa sijh lakin sas nimeyajua .Mungu nisaiide nizidi kuishi kwenye kusudi lako,ubaliki uzao wangu uishi kwenye kusudi lako.ASante sana Mungu kwa mafundishi uzidi kumuweka na kuachilia mafundisho kwa mtumishi wako uliye mchagua kueneza neno lako.Amen🙏🙏🙏🙏
Najiungamanisha na madhabahu hii kwa danu ya YESU
Bwana tambulika kwenye maisha yangu na kwenye mangumu ninayoyapitia
Amen aeeeee Jesus mighty usiniaza baba unikumbuke unirehemu baba unisaindie 🙏🙏🙏🙏🙏
Ooooh Yes Lord tambulika katika maisha yangu
Ameen
Asante mungu Kwa Neema hii na kibali hiki
Amen
Asante mungu Kwa ajili ya mtumishi wako mungu aendelee kutuponya kupitia mafundisho tunayoyapata Amina
Roho mtakatifu nisaidie kuyafanya yale yanayokupendeza❤❤
Asente mungu kwa kutuma mtumishi wako atufundishe tusiyo yajuwa
Asante Asante MUNGU
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Mungu .Niko hapa Na familia yangu
Nirehemu Bwana,,naomba neema yako ya kutenda mema mbele zako,,,,kwa jina la YESU
Natamani kuyaishi maisha matakatifu
Namshukuru mungu mama yangu alilaaani kitendo cha kuwafungia watoto vitu mikono chingo miguu kiuno 😢
Yaani huu jumbe Asante Mungu kwakupitia mtumishi huyu Mungu akutunze usiache kusema kile Mungu anataka tupone ubalikiwe
😭😭😭hili neno la kuhusu mtoto wangu kuwa kwa bibi ake imenigusa sana pastor 😭😭😭 ee mungu nirehemu karika hili imeniuma imeniuma imeniuma😭😭😭😭😭
Ni Rehemu ee bwana Mimi na uzao wangu, sawa sawa na mapenzi yako
Barikiwa sana mtumishi wa bwana ❤
Asante YESU ASANTE YESU ASANTE YESU
Giza ondoka kwa Jina la YESU KRISTO
Asante Mungu Kwa kuruhusu kuskia hii..inani huzunisha sana lakini nijifunza MUNGU Naomba Nianze na wewe sasa unirehemu Kwa makosa yangu hakika Roho mtakatifu anatulisha chakula kizuri🙏🙏❤️
Jamani Haya mafundisho, maombi na maombezi ni roho Mtakatifu kabisa, kuna vitu roho Mtakatifu anaviachilia unaweza ukawa hujasikia popote , tusikilize kwa makini , kuna code nimezipata humu niza High level, code za kutoka mbinguni moja kwa moja Mpaka kwenye hii madhabahu. MUNGU aendelee kukubariki pastor na akupe maisha marefu Zaidi
Amen amen pastor Asante kwa madini haya MUNGU azidi kukutumia kwa ajili yetu kama ameruhusu maana yake ni kwamba ana mpango mzur kwangu
Barikiwa sana mchungaji
Bwana yesu naomba ubavu wangu ulio sahihi kwangu
Amina naomba Yesu aniinulie mtu wakunivusha kiuchumi nifunguliwe
Natamani kuixhi maixha yanayompeza mungu amina
Asante Mungu
asante bwana kwa upendo wako
asante kwa wema wako bwana
Hakika madhabahu hii sijapotea. 🙏 🙏🙌☺️
Usinipite bwana
Asante YESU KRISTO kwa kumisamehe
Kweli kabisa mtumishi wa Mungu hapo kwa hirizi umeongea point ya ukweli kabisa mm mwenyewe nko na ushuhuda juu ya hilo nlikua nayo nkiwa mdogo na ilinitengenezea mazingiza ya magonjwa kila mara mpaka wakati ilipokatwa na mchungaji nkaombewa ikachomwa ndio magonjwa yalipokoma
Muda mwingi ila umetumika kwa jambo la maana mtumishi
Kuota unapaaa Kuna maana gani sijasikia😢
Namimi nipo.mbele yako usinipite
Nahitaji kukombolewa ee bwana
Amen
Amen