Mbunge Musukuma Noma aliamsha bungeni atoa pochi yake mfukoni "Hamna hata buku humu"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 92

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 ปีที่แล้ว +9

    Huyu Jamaa asilimia kubwa ya haja zake zinalenga haswa kumsaidia mtu wa chin kabisa Tena habagui.Hongera sana kwake👏

  • @erodeshayo123
    @erodeshayo123 2 ปีที่แล้ว +6

    Unanidham sana msukuma Mungu akusimamie na ukafike mbali zaid Nimekupenda gafla msukuma

  • @AffectionateMarineShark-sv4tj
    @AffectionateMarineShark-sv4tj 4 หลายเดือนก่อน +1

    This man is genius in nature

  • @edimundrevelian1246
    @edimundrevelian1246 2 ปีที่แล้ว +5

    Shikamoo Dr. Msukuma 💫

  • @FadhiliKayanda
    @FadhiliKayanda 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera yako msukum

  • @SephaniaMsigwa
    @SephaniaMsigwa 7 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤❤chadema naipenda msukuma nakupa kura ila kumsifia samia niunafik

  • @MasareChacha
    @MasareChacha 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana mh musukuma

  • @joowzeyboyjoowzee4474
    @joowzeyboyjoowzee4474 ปีที่แล้ว +3

    Hongera Sana msukuma

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 ปีที่แล้ว +7

    Safiiiiiiiii Daktari Msukuma wewe mwenye udaktari usione wivu endelea kujiamini wewe ni Daktari tu Msukuma Daktari Mbunge hakuzuii wewe mwenye kuitwa daktari wa aina uliyonayo kuitwa daktari tupige kazi kinachomata taaluma yako ilete maendeleo na mafanikio usifurahie kuitwa daktari tuwe km wabeligiji

  • @chikubundala2305
    @chikubundala2305 2 ปีที่แล้ว +3

    Msukuma Mungu akulinde

  • @robbymoy1702
    @robbymoy1702 6 หลายเดือนก่อน +2

    Nlitamani msukuma angekua ndo m bunge wetu arusha magharibi.tungekua mbali sana.namuona noah lembris yuko bze kusoma vitabu bungeni kuliko kitoka hoja na kero za wananch wa Ar Magharib..😮😮

  • @phiniasmugini9037
    @phiniasmugini9037 2 ปีที่แล้ว +5

    Mtaka katika viongoz wote wa mikoa Tanzania Hana mpinzani kwani Mungu anamsimamia mno katika kufanya kaz yake akizingatia utu na kujua kuwa hao anaofanyia NAO wanafamilia....na watu wanaomtegemea....Mungu akutangulie mtumishi

  • @mollelstephano1364
    @mollelstephano1364 2 ปีที่แล้ว +2

    Msukuma upo vizuri sana

  • @patientlazaro6930
    @patientlazaro6930 2 ปีที่แล้ว +6

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dr. Msukuma kichwa sana aseeeee mheshimiwa umanifurahisha.ahahaha. umeonge point nyingi sana japo mwisho umenichekesha ila kwa point akili nyingi

  • @focuserick6162
    @focuserick6162 2 ปีที่แล้ว +6

    Dah msukuma ni mtu mwenye uezo mkubwa wa kujirleza na kudadavua na anapendaza kuendelea kumsikiliza muda wote,yan ana uezo wakujenga hoja na kui i defend vizur sana sana!!

  • @paulmkhoi8144
    @paulmkhoi8144 2 ปีที่แล้ว +3

    Hata mimi nimesoma lkn nashangaa kuona mbuge msomi anavyomchelewesha Mh Msukuma kushusha nondo zenye maslahi mapana ya nchi kwa taarifa ya kipuuzi.

  • @kiluwaselemani4246
    @kiluwaselemani4246 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongela mh Msukukuma ww una faa sana unasema kweli kabosa

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 2 ปีที่แล้ว +5

    Msukuma nakuaminia Uko vizuri

  • @eliassirocha3988
    @eliassirocha3988 2 ปีที่แล้ว +3

    Mh msukuma pongeziii kwako kiongoziii mahiliii sana

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 17 วันที่ผ่านมา +1

    Kula tano kwanza mheshimiwa msukuma yani nashindwa nikuweke kwenye kundi gan. Aisee nyie wasukuma mnakkipaji cha uongozi siutumishi wa serekali2 Bali hata wachungaji,mapasta mko vizuri kwakweeli. Yani mungu utupatie rais ajae awamu ya7 msukuma, palipo namsukuma kuna madini yachuma😅😅😅😅

    • @chachamturi259
      @chachamturi259 17 วันที่ผ่านมา

      Ukiangalia viiongozi wooooooooooooooooooote wasukuma nivichwa nahata Mika, Angalia wenyewe.
      MAGUFULI =KICHWA
      MPINA====KICHWA
      MAKONDA =KICHWA
      MH MSUKUMA= KICHWA
      Nanani mwingine jamani alikuwa kichwa, Hivi MABEHO Nimsukuma jweli¿¿¿Hivi nae nikichwa kweli,?????????????????????? 😂😂😂😂😂.

  • @thetwen2167
    @thetwen2167 2 ปีที่แล้ว +4

    Hahahaha msukuma nakukubali sanaa

  • @eliaswambura861
    @eliaswambura861 2 ปีที่แล้ว +2

    Mheshimiwa uko sawa, mawazo hayo nilazima tupate mavuno yake 🤝🤝🤝🤝

  • @hawahawa6132
    @hawahawa6132 2 ปีที่แล้ว +2

    Kbs

  • @enologamapaloga8778
    @enologamapaloga8778 2 ปีที่แล้ว +2

    Logaloga, hongera sana King hailiwi uko sawa

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 2 ปีที่แล้ว +4

    Nida nitatizo ! Habari ya kuendelea kubaki namba hakutusaidie kwa 100% .Vitambulisho vyetu vitolewe halisia .ex nilijiandikisha ktk usajili ktk zoezi la awali lakini sijapata kitambukisho naishia kutumia namba za nida na wàkati mwingine makosa huduma kikamilifu kwa kutokuwa na kitambulisho halisi cha Taifa sio namba ya nida tu!

  • @HidayAbdal
    @HidayAbdal 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤ ukovizur

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 ปีที่แล้ว +1

    Antony Mtaka oyeeeeeeeee wakondya brother upo juu km piereee

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 2 ปีที่แล้ว +6

    Huyuu jamaaa Yuko vyemaa Sana msukuma

  • @adelphinusbikonya8534
    @adelphinusbikonya8534 2 ปีที่แล้ว

    Yaani mbunge akijalibu tu kuongelea mambo ya muhimu taarifa za kumharibia mudi zinaanza nyamb .......HONGERA MUSUKUMA

  • @tumaintarra9960
    @tumaintarra9960 2 ปีที่แล้ว +1

    Msukuma up vzur

  • @focuserick6162
    @focuserick6162 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbunge wa segerea bona karua anaenda kuuza sura tu jimboni ,hebu mskilize msukuma yan analeta raha kurndelea kusikiliza .

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist 2 ปีที่แล้ว

    so smart

  • @mariethaodilo-mp3hi
    @mariethaodilo-mp3hi ปีที่แล้ว

    Msukuma nakubal sana waambie

  • @sharifally3481
    @sharifally3481 2 ปีที่แล้ว +1

    Huuyu jamaa ninoma kwelii

  • @anthonysulula766
    @anthonysulula766 2 ปีที่แล้ว +2

    Msukuma,wewe ni Dr.

  • @maulidjulius
    @maulidjulius 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni kiongozi zaidi ya viongozi

  • @saimonsaid7385
    @saimonsaid7385 2 ปีที่แล้ว +1

    Daah huyu msukuma jamn daaah

  • @shharifamirandou211
    @shharifamirandou211 2 ปีที่แล้ว

    Yaah

  • @doktamathew
    @doktamathew 2 ปีที่แล้ว +2

    hahahahahahahahahahahaahahahahahahahahaah

  • @RamadhanNapinda
    @RamadhanNapinda 2 หลายเดือนก่อน

    huyundio mbunge

  • @kauyegeorge3335
    @kauyegeorge3335 2 ปีที่แล้ว +1

    Yan huyu jamaa anafaa kuw wazir

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv ปีที่แล้ว

    Ukosawa nduguyetuu musukumaa 😅😅

  • @nyambegamatoro6817
    @nyambegamatoro6817 2 ปีที่แล้ว

    Mh mbunge, siku hizi unaupiga mwingi mno. Habari za maendeleo ya bwawa la JNHP na sgr hayaridhishi .

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 ปีที่แล้ว

    Safiiiiiiiii skulimet

  • @boniventuresonda
    @boniventuresonda 2 ปีที่แล้ว +1

    Spika wivu🤣🤣🤣#kataa wahuni🇹🇿🇲🇼

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 2 ปีที่แล้ว

    Hicho kitambulisho kimebakia kwaajili ya kubadili kadi ya benk tu hakuna lolote ufala tu Kenya na Uganda wanatumia Kama passport lakini hapo kwenu hajui nn maana ya kitambulisho Cha taifa mama mwenyew anahangaika kujipendekeza na mataifa ya ulaya ninge muona mjanja Kama kitambulusho kitakuwa Kama passport Kenya Uganda wakifika boda wanatoa kitambulisho Cha taifa tu mchezo umeisha

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 2 ปีที่แล้ว +2

    Msukuma chakutudanganya hela umezificha kwenye soks

  • @mathiasvicent9955
    @mathiasvicent9955 2 ปีที่แล้ว +1

    Akili mingi mingi

  • @otianasanga9106
    @otianasanga9106 2 ปีที่แล้ว +2

    Zipo mpesa

  • @jeshilamtu863
    @jeshilamtu863 2 ปีที่แล้ว +2

    R I P JPM 😭😭😭🇹🇿🙏

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 2 ปีที่แล้ว +1

    Huko nikutucheka wenzio mzee mwenzangu!

  • @phiniasmugini9037
    @phiniasmugini9037 2 ปีที่แล้ว +2

    Msukuma Unaongea ukweli mno.

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 ปีที่แล้ว

    Hili li king ni bonge la zuzu,lina watetea wanzibari wakati kwake hakuna lami,Rip JPM

  • @edwardmalila5230
    @edwardmalila5230 2 ปีที่แล้ว

    MSukuma unaongea vizr ila usipindixhe pointi ila wanaohusika ni wote yaan serikali na mkuu wa nchi, unajua utendaji ukiwa mbovu anayelaumiwa sio wazr ila ni rais

  • @lekumolukumay6832
    @lekumolukumay6832 2 ปีที่แล้ว +2

    Msukuma unaeleweka sana

  • @abrahamkibona7038
    @abrahamkibona7038 2 ปีที่แล้ว +1

    Msukuma hapo kwenye bwawa sijakuelewa au umepiga hela

  • @deogratiusjoseph1758
    @deogratiusjoseph1758 2 ปีที่แล้ว

    Saf sana

  • @patrick-qm7xo
    @patrick-qm7xo 2 ปีที่แล้ว +2

    Vizuli Sana Msukuma una tafuta cheo kwa mama

  • @SamsungGalaxy-kx2zj
    @SamsungGalaxy-kx2zj 2 ปีที่แล้ว

    Dada huna akili yy kasema ukweli kunanchi gani yenye vitambulisho Mia

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 2 ปีที่แล้ว +1

    Mpina uko sahihi wapumbavu wakubwa hawajui

  • @aleluyathobias9847
    @aleluyathobias9847 2 ปีที่แล้ว

    Hi

  • @zabronjmanyama4274
    @zabronjmanyama4274 2 ปีที่แล้ว +1

    Mifano ipo Poa Sana doctor

  • @jamessimba749
    @jamessimba749 2 ปีที่แล้ว +1

    Hutu jamaa kwenye NIDA hapo angekazia

  • @zuberimkuba2324
    @zuberimkuba2324 2 ปีที่แล้ว

    Msukuma nakukubar saana ubunge wako unaufanyia kaz ipasavyo

  • @mrsjerome9981
    @mrsjerome9981 2 ปีที่แล้ว

    ✋✋

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe Msukuma mjinga tu! Wewe mvuvi haramu!

  • @AizackosicarLukonde
    @AizackosicarLukonde หลายเดือนก่อน

    Binge Ra Aida kenani

  • @monicawasuha8650
    @monicawasuha8650 ปีที่แล้ว

    Uwamz wa Tanapa mbarali

  • @enologamapaloga8778
    @enologamapaloga8778 2 ปีที่แล้ว

    Mh logaloga nakuamini King King MSUKUMAAAAAAAAAAAA

  • @davidjohn8276
    @davidjohn8276 ปีที่แล้ว

    Umemaliza kwa mkwara mzito

  • @DrPanadol-001
    @DrPanadol-001 2 ปีที่แล้ว

    Huduma number card loading in Tanzania.

  • @SarahThomas-n3i
    @SarahThomas-n3i ปีที่แล้ว

    Dah natamni nifike hapo

  • @omansinaw7538
    @omansinaw7538 2 ปีที่แล้ว

    Musukuma umpewe urizi pesa warudishiwe pesa zao

  • @godfreybikukana2079
    @godfreybikukana2079 2 ปีที่แล้ว +1

    Upewa Rushes ndio maana unajipendekeza

  • @omansinaw7538
    @omansinaw7538 2 ปีที่แล้ว

    Ninakuerewa kabisa msukuma

  • @mrsjerome9981
    @mrsjerome9981 2 ปีที่แล้ว

    Ukovinzr kaka

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 ปีที่แล้ว

    Samia mitano tena 2025

  • @HidayAbdal
    @HidayAbdal 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @kikongajoel5172
    @kikongajoel5172 2 ปีที่แล้ว

    Msukuma?????????????

  • @puyaka1849
    @puyaka1849 2 ปีที่แล้ว

    Msukuma kwenye issue ya bwawa la Nyerere unaleta uchawa! Unaongea upuuzi wewe

    • @rashidngwawile9062
      @rashidngwawile9062 2 ปีที่แล้ว

      Kumbe nawe umeona. Kushukuru kwa kurijuwa hilo

    • @jonhjoseph
      @jonhjoseph ปีที่แล้ว

      Hong era kasheku

  • @hizamwaimu3918
    @hizamwaimu3918 2 ปีที่แล้ว

    😳😳😳😳😳😳

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 2 ปีที่แล้ว

    Bunge la mazwazwa

  • @paulinanzunda
    @paulinanzunda 6 หลายเดือนก่อน

    Karibulupachunyamsukumajimbolalupatunambungehewa

  • @saidybhokey5744
    @saidybhokey5744 2 ปีที่แล้ว +1

    nikweli msukuma

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 2 ปีที่แล้ว

    Hao tatizo linalowasumbua wanafikiri wakifanya kinyuma na alivyofanya jpm eti wanamkomoa kwa sababu walikuwa hawampendi kwa kuwa alikuwa anawafavour Wat wenye kipato cha chini. Wao Sasa Sera yao ata Kama hujaenda shule utagundua ni kuwafavour watu wenye kipato cha juu matajiri na kuwakandamiza watu wenye vipato vidogo ndo mkakati wao. Yaani wanapambana na mtu aliyekufa sijui ni uongoz wa namna gani. Yaani unawaongezea Kodi watu wenye kipato kidogo halafu unajinadi unataka kukuza uchumi. Halafu mnaogopa kusema kweli mnazunguka

  • @maluhismadila9593
    @maluhismadila9593 ปีที่แล้ว

    Msukuma nimeikubali hiyo