Safiiiiiiiii Daktari Msukuma wewe mwenye udaktari usione wivu endelea kujiamini wewe ni Daktari tu Msukuma Daktari Mbunge hakuzuii wewe mwenye kuitwa daktari wa aina uliyonayo kuitwa daktari tupige kazi kinachomata taaluma yako ilete maendeleo na mafanikio usifurahie kuitwa daktari tuwe km wabeligiji
Nlitamani msukuma angekua ndo m bunge wetu arusha magharibi.tungekua mbali sana.namuona noah lembris yuko bze kusoma vitabu bungeni kuliko kitoka hoja na kero za wananch wa Ar Magharib..😮😮
Mtaka katika viongoz wote wa mikoa Tanzania Hana mpinzani kwani Mungu anamsimamia mno katika kufanya kaz yake akizingatia utu na kujua kuwa hao anaofanyia NAO wanafamilia....na watu wanaomtegemea....Mungu akutangulie mtumishi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dr. Msukuma kichwa sana aseeeee mheshimiwa umanifurahisha.ahahaha. umeonge point nyingi sana japo mwisho umenichekesha ila kwa point akili nyingi
Dah msukuma ni mtu mwenye uezo mkubwa wa kujirleza na kudadavua na anapendaza kuendelea kumsikiliza muda wote,yan ana uezo wakujenga hoja na kui i defend vizur sana sana!!
Kula tano kwanza mheshimiwa msukuma yani nashindwa nikuweke kwenye kundi gan. Aisee nyie wasukuma mnakkipaji cha uongozi siutumishi wa serekali2 Bali hata wachungaji,mapasta mko vizuri kwakweeli. Yani mungu utupatie rais ajae awamu ya7 msukuma, palipo namsukuma kuna madini yachuma😅😅😅😅
Nida nitatizo ! Habari ya kuendelea kubaki namba hakutusaidie kwa 100% .Vitambulisho vyetu vitolewe halisia .ex nilijiandikisha ktk usajili ktk zoezi la awali lakini sijapata kitambukisho naishia kutumia namba za nida na wàkati mwingine makosa huduma kikamilifu kwa kutokuwa na kitambulisho halisi cha Taifa sio namba ya nida tu!
Hicho kitambulisho kimebakia kwaajili ya kubadili kadi ya benk tu hakuna lolote ufala tu Kenya na Uganda wanatumia Kama passport lakini hapo kwenu hajui nn maana ya kitambulisho Cha taifa mama mwenyew anahangaika kujipendekeza na mataifa ya ulaya ninge muona mjanja Kama kitambulusho kitakuwa Kama passport Kenya Uganda wakifika boda wanatoa kitambulisho Cha taifa tu mchezo umeisha
MSukuma unaongea vizr ila usipindixhe pointi ila wanaohusika ni wote yaan serikali na mkuu wa nchi, unajua utendaji ukiwa mbovu anayelaumiwa sio wazr ila ni rais
Hao tatizo linalowasumbua wanafikiri wakifanya kinyuma na alivyofanya jpm eti wanamkomoa kwa sababu walikuwa hawampendi kwa kuwa alikuwa anawafavour Wat wenye kipato cha chini. Wao Sasa Sera yao ata Kama hujaenda shule utagundua ni kuwafavour watu wenye kipato cha juu matajiri na kuwakandamiza watu wenye vipato vidogo ndo mkakati wao. Yaani wanapambana na mtu aliyekufa sijui ni uongoz wa namna gani. Yaani unawaongezea Kodi watu wenye kipato kidogo halafu unajinadi unataka kukuza uchumi. Halafu mnaogopa kusema kweli mnazunguka
Huyu Jamaa asilimia kubwa ya haja zake zinalenga haswa kumsaidia mtu wa chin kabisa Tena habagui.Hongera sana kwake👏
Unanidham sana msukuma Mungu akusimamie na ukafike mbali zaid Nimekupenda gafla msukuma
This man is genius in nature
Shikamoo Dr. Msukuma 💫
Hongera yako msukum
❤❤❤❤❤❤chadema naipenda msukuma nakupa kura ila kumsifia samia niunafik
Hongera sana mh musukuma
Hongera Sana msukuma
Safiiiiiiiii Daktari Msukuma wewe mwenye udaktari usione wivu endelea kujiamini wewe ni Daktari tu Msukuma Daktari Mbunge hakuzuii wewe mwenye kuitwa daktari wa aina uliyonayo kuitwa daktari tupige kazi kinachomata taaluma yako ilete maendeleo na mafanikio usifurahie kuitwa daktari tuwe km wabeligiji
Msukuma Mungu akulinde
Nlitamani msukuma angekua ndo m bunge wetu arusha magharibi.tungekua mbali sana.namuona noah lembris yuko bze kusoma vitabu bungeni kuliko kitoka hoja na kero za wananch wa Ar Magharib..😮😮
Mtaka katika viongoz wote wa mikoa Tanzania Hana mpinzani kwani Mungu anamsimamia mno katika kufanya kaz yake akizingatia utu na kujua kuwa hao anaofanyia NAO wanafamilia....na watu wanaomtegemea....Mungu akutangulie mtumishi
Msukuma upo vizuri sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dr. Msukuma kichwa sana aseeeee mheshimiwa umanifurahisha.ahahaha. umeonge point nyingi sana japo mwisho umenichekesha ila kwa point akili nyingi
Dah msukuma ni mtu mwenye uezo mkubwa wa kujirleza na kudadavua na anapendaza kuendelea kumsikiliza muda wote,yan ana uezo wakujenga hoja na kui i defend vizur sana sana!!
Hata mimi nimesoma lkn nashangaa kuona mbuge msomi anavyomchelewesha Mh Msukuma kushusha nondo zenye maslahi mapana ya nchi kwa taarifa ya kipuuzi.
Hongela mh Msukukuma ww una faa sana unasema kweli kabosa
Msukuma nakuaminia Uko vizuri
Mh msukuma pongeziii kwako kiongoziii mahiliii sana
Kula tano kwanza mheshimiwa msukuma yani nashindwa nikuweke kwenye kundi gan. Aisee nyie wasukuma mnakkipaji cha uongozi siutumishi wa serekali2 Bali hata wachungaji,mapasta mko vizuri kwakweeli. Yani mungu utupatie rais ajae awamu ya7 msukuma, palipo namsukuma kuna madini yachuma😅😅😅😅
Ukiangalia viiongozi wooooooooooooooooooote wasukuma nivichwa nahata Mika, Angalia wenyewe.
MAGUFULI =KICHWA
MPINA====KICHWA
MAKONDA =KICHWA
MH MSUKUMA= KICHWA
Nanani mwingine jamani alikuwa kichwa, Hivi MABEHO Nimsukuma jweli¿¿¿Hivi nae nikichwa kweli,?????????????????????? 😂😂😂😂😂.
Hahahaha msukuma nakukubali sanaa
Mheshimiwa uko sawa, mawazo hayo nilazima tupate mavuno yake 🤝🤝🤝🤝
Kbs
Logaloga, hongera sana King hailiwi uko sawa
Nida nitatizo ! Habari ya kuendelea kubaki namba hakutusaidie kwa 100% .Vitambulisho vyetu vitolewe halisia .ex nilijiandikisha ktk usajili ktk zoezi la awali lakini sijapata kitambukisho naishia kutumia namba za nida na wàkati mwingine makosa huduma kikamilifu kwa kutokuwa na kitambulisho halisi cha Taifa sio namba ya nida tu!
❤❤❤❤❤❤ ukovizur
Antony Mtaka oyeeeeeeeee wakondya brother upo juu km piereee
Huyuu jamaaa Yuko vyemaa Sana msukuma
Yaani mbunge akijalibu tu kuongelea mambo ya muhimu taarifa za kumharibia mudi zinaanza nyamb .......HONGERA MUSUKUMA
Msukuma up vzur
Mbunge wa segerea bona karua anaenda kuuza sura tu jimboni ,hebu mskilize msukuma yan analeta raha kurndelea kusikiliza .
so smart
Msukuma nakubal sana waambie
Huuyu jamaa ninoma kwelii
Msukuma,wewe ni Dr.
Wewe ni kiongozi zaidi ya viongozi
Daah huyu msukuma jamn daaah
Yaah
hahahahahahahahahahahaahahahahahahahahaah
huyundio mbunge
Yan huyu jamaa anafaa kuw wazir
Ukosawa nduguyetuu musukumaa 😅😅
Mh mbunge, siku hizi unaupiga mwingi mno. Habari za maendeleo ya bwawa la JNHP na sgr hayaridhishi .
Safiiiiiiiii skulimet
Spika wivu🤣🤣🤣#kataa wahuni🇹🇿🇲🇼
Hicho kitambulisho kimebakia kwaajili ya kubadili kadi ya benk tu hakuna lolote ufala tu Kenya na Uganda wanatumia Kama passport lakini hapo kwenu hajui nn maana ya kitambulisho Cha taifa mama mwenyew anahangaika kujipendekeza na mataifa ya ulaya ninge muona mjanja Kama kitambulusho kitakuwa Kama passport Kenya Uganda wakifika boda wanatoa kitambulisho Cha taifa tu mchezo umeisha
Msukuma chakutudanganya hela umezificha kwenye soks
Akili mingi mingi
Zipo mpesa
R I P JPM 😭😭😭🇹🇿🙏
Msukuma yupo mzuli
Huko nikutucheka wenzio mzee mwenzangu!
Msukuma Unaongea ukweli mno.
Hili li king ni bonge la zuzu,lina watetea wanzibari wakati kwake hakuna lami,Rip JPM
MSukuma unaongea vizr ila usipindixhe pointi ila wanaohusika ni wote yaan serikali na mkuu wa nchi, unajua utendaji ukiwa mbovu anayelaumiwa sio wazr ila ni rais
Msukuma unaeleweka sana
Msukuma hapo kwenye bwawa sijakuelewa au umepiga hela
Saf sana
Vizuli Sana Msukuma una tafuta cheo kwa mama
Dada huna akili yy kasema ukweli kunanchi gani yenye vitambulisho Mia
Mpina uko sahihi wapumbavu wakubwa hawajui
Hi
Mifano ipo Poa Sana doctor
Hutu jamaa kwenye NIDA hapo angekazia
Msukuma nakukubar saana ubunge wako unaufanyia kaz ipasavyo
✋✋
Wewe Msukuma mjinga tu! Wewe mvuvi haramu!
🤣🤣🤣
Bogas wewe
Binge Ra Aida kenani
Uwamz wa Tanapa mbarali
Mh logaloga nakuamini King King MSUKUMAAAAAAAAAAAA
Umemaliza kwa mkwara mzito
Huduma number card loading in Tanzania.
Dah natamni nifike hapo
Musukuma umpewe urizi pesa warudishiwe pesa zao
Upewa Rushes ndio maana unajipendekeza
Ninakuerewa kabisa msukuma
Ukovinzr kaka
Samia mitano tena 2025
😂😂😂
Msukuma?????????????
Msukuma kwenye issue ya bwawa la Nyerere unaleta uchawa! Unaongea upuuzi wewe
Kumbe nawe umeona. Kushukuru kwa kurijuwa hilo
Hong era kasheku
😳😳😳😳😳😳
Bunge la mazwazwa
Karibulupachunyamsukumajimbolalupatunambungehewa
nikweli msukuma
Hao tatizo linalowasumbua wanafikiri wakifanya kinyuma na alivyofanya jpm eti wanamkomoa kwa sababu walikuwa hawampendi kwa kuwa alikuwa anawafavour Wat wenye kipato cha chini. Wao Sasa Sera yao ata Kama hujaenda shule utagundua ni kuwafavour watu wenye kipato cha juu matajiri na kuwakandamiza watu wenye vipato vidogo ndo mkakati wao. Yaani wanapambana na mtu aliyekufa sijui ni uongoz wa namna gani. Yaani unawaongezea Kodi watu wenye kipato kidogo halafu unajinadi unataka kukuza uchumi. Halafu mnaogopa kusema kweli mnazunguka
Msukuma nimeikubali hiyo