MVUTANO MKALI BUNGENI: DKT. TULIA vs DKT MWIGULU, MUSUKUMA ASULUHISHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ย. 2022
- MVUTANO MKALI BUNGENI: DKT. TULIA vs DKT MWIGULU, MUSUKUMA ASULUHISHA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Asante mheshimiwa spika. Taifa hili tunahitaji watu wakweli ili tufike. Dr. Tulia Mungu akutunze mama yangu😍...Msukuma tunakupa PhD nyingine tena😍
Mweshimiwa sipika sisi tunakushukuru kwa pointi
Wewe acha ujinga unatoa ela hizo ela ni zako wewe ela ni zetu za walipa kodi
Tulia unafanya watu wajivunie watoto wa kike
Dr.Tulia Akson ..big up,so smart
Mh. Tulia wewe ni mlezi na mwenye haki moyoni mwako.
Hongera sana Mh. Spika kwa kutokukubali uongo wa baadhi ya mawaziri kama walivyozoea business as.....
Bila kua muongo nchi hii utateseka sana hongera Sana spika
dada tulia mungu akulinde nakupenda tu
Big up sana Dr.Tulia Akson, speaker wa bunge la Tanzania. Tungepata pia na wabunge hata 7 wa upinzani ambao ni machachari hakika tungefika mbali sana.
Upinzani ndo nini we nae! Mlishajiaminisha mtu kua mpinzani ndo anakua mkweli? Humo ndani huwaoni wabunge walio machachali kutetea wananchi? We unawaza upinzani tu, mpinzani ni mTanzania na hao CCM ni waTanzania
@@georgemassebu2083usifikili kuwa kila mtu anayesema wawepo na wapinzani ukahisi na yeye ni mpinzani. Inabidi uangalie mbali ni kwanini huyu mtu kasema hivyo. Ipo siku utakubaliana nami.
Muda wote waliokuwemo mlifika wapi au unaleta ushabiki wa kitoto tu hapa
Ile kulewa mpaka kuvunjika miguu?
Unaona ee!!! big up sana asee!!!!
Tulia sio kwa kumnyuka hivyo mwiguru😂😂atakuwa akikuona anatamani kulia😂😂
Acha alie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lazma aanze kumuogopa, maana siku zile alihojiwa hadi tukapata ile trab na trant...leo tena kajaa kwenye 18 tena
🤣🤣🤣🤣
@@allykamanga4366 haahaha
I see the bright future for this woman...May God bless her
Hii ndio raha ya kuwa na Spika Daktari wa Sheria, Big up sana Mama Speaker, Uishi miaka mingi bungeni mama👏👏👏🙌🙌🙌🤝🤝🤝🙏🙏🙏
Raha ya kuwa na kiongozi mwanamke( mama🥰) anayejua uchungu wa kubeba ndoo
Nakupenda mpk naumwa🥰🥰
Hongera sana Mheshimiwa spika kwa elimu unayotowa mara kwa mara kwa mawaziri na wabunge wanaojifanya wajuaji!
Sijajua Mwigulu anashindwa wapi kumwelewa Spika
Mwigulu kaelewa ila hana jibu la uhakika
Huyu jamaa mchumi lakin 🫥 kabisa
KUNAKITU NINAKIONA HAPA KIZURI SANA NAOMBA ENDELEA HIVYO HIVYO ILI UJE KUWA HAFITHI NZURI KATIKA TAIFA Ila utakuwa MWANAMKE wa 1 MZALENDO mpaka Sasa unakaribia Ila MUNGU akujalie kwa Imani yako mama angu hongera Ila ww NI MZALENDO unakaribia MUNGU akujalie usije ukawa upande wa hao majambazi hongera sana
Ubarikiwe sana Mhe.Spika Tulia Akson. Ninaiman na wewe kwa haki unayointenda katika nafasi yako.
This Lady is future Head of State!!
Kweli ...hili ni jembe
Huyo jamaa hakuna kitu kabisa
Alafu anajifanya mbishi anajua kila kitu ..
Mwakaaa huu ni wake
Huyu hadi ndanj kwa mkewe ni boya mpumbavu huyu
Tumtumbue et
TRAB NA TRAT😎🎼🎶🎵🎧
Akuna kitu hapo hyooo msanii tyu
🤣🤣
Nakumbuka Magufuli aliwahi kumpiga gwala toka siku ile ndio nikatambua kabisaa ya kwamba Magufuli anaona mbali sana 🤣🤣
Hapo ndiyo unafahamu kwamba spika ni msomi anasimamia haki hatetei ujinga
Asante madam Kama Jimbo letu la kibamba ni asilimia moja tu ya watu wanaopata maji asilimia 99 hatujui maji ya bomba tunatumia maji chumvi je uko vijijini si ndio kabisa
Mwigulu bwana!!! Hoja IPO wazi,,,,,msukuma anaweza kuwa mbunge no 1 kwa hoja ambazo Ni real
dr Tulia your the best and you deserve to be in that position
Asante spika Tulia. Nimekukubali kwa kusimamia hoja. Keep it up💪💪👍
Huyu mama kiboko
Huu siyo u daktar wa darasani. Tuna madoctors wengii Tanzania. Huo ni udoctor wa damu. Anajua kutetea haki na ukweli bila kigugumizi. Hongera sana dada Yetu na Spika wa Bunge la 🇹🇿 Nimeupenda msimamo na hoja zake.🙏
Yaan huyu jamaa huwa simuelewi Haki ya Mungu asee huyu jamaaa liwekwe jiwe na yeye bora nichague jiwe kuliko huyu jamaa asee
Hata mimi sijawahi kumwelewa. Ni kilaza kufa mtu 😃😃😃😃
Yan mwaka huu, kiukwery aisee dah😥😥😥yan hata kwenye maj bado watu wanajing'ata ng'ata eeh mungu weeeeh😥😥😥
Tena mbunge na waziri mwenye dhamana kubwa.
Unajua Haya majibu ya serikali lzm ya we yanajitosheleza. Naona Kama Waziri hayuko happy sana kubanwa hivyo.
Mzee wa TRAT na TRAB anazingua
Shauri yake kubanwa. Ndiyo maana kuwa waziri wa michongo. Mwigulu ni tunda bovu.
Hongera sana mh tulia mana umetusaidia nasisi wananchi kujua/ kupata ufafanuzi zaidi ubalikiwe sana.
Uyo waziri hafai kabisa
Mama yetu Dr. Tulia you have wisdom God bless you mum🇹🇿
Congratulations sana mama yetu Dkt.Tulia, waziri ameshindwa kuelewa swali kabisa kabisa
You are so smart madam Speaker..all the best
Punguzeni Saisa nchi mnaitia hasara kubwa
😂😂😂 Siku akiwa kwenye kiti Docter Tulia Nafurahi sana kulitazama Bunge Maana sio Spika Wamchongo hata kidogo
Huyu Mwigulu atupishe kazi imemshinda
Nashangaa Raisi sijui kwa nini anambeba mtu hawezi kabisa
huyu mwanamke saiz kabadilika aiseee 🤣🤣🤣 ahsant sana 🙏
🤣🤣🤣
Dr Tulia 🔥
Mwigulu ni tatizo sijuwi sijawahi kumwelewa kabisa
Mama amtoe huyu mtu watu wanamshambulia sana uwezo wake wa kutatua mambo ni mdogo
Mzee wa trab na trat big up Dr Tulia unatufurahisha
TRAB na TRAT...🙄
Trab na trat imejaa longolongo😂😂😂
tuwe tu wastaarabu jamani kwa suala la waziri wa fedha tumepigwa, naomba kuwasilisha.
....Trab na trat 😂😂😂😂
Msukuma😂😂😂😍
Mwigulu has attended the class in a Parliament Meeting Hall. Congratulations Dr. Tulia Ackson
Huna uwezo kuwa sipka huna huruma
Mzimu wa magufuli umemuingia Tulia Acson . Big up mama
Kwa kweli mwenyewe nimekuelewa spika toka mwanzo maana haihitaji kwenda shule kuelewa concept hizo mbili ziko sahihi kulingana na kila mmoja anapovutia sema waziri wa fedha kwa hapo kazingua.
Wazir wa fedha ni ziro hakuna kitu
Spika Mungu akulinde
Huyu mwingulu nasemaga kila siku hakunaga kitu kwenye kichwa chake nakama anajua achokifanya Basi huyu ni mwanasiasa
Mheshimiwa Raisi mtoe huyu Waziri wa Fedha hafai hata kidogo kwa nini unamngangania nini?anakutia aibu tu kwani msomi ni yeye tu
Mwigulu awe waziri wa Nchi za mchongo tu kwanza Jeuri sana huyo na kauli zake zakejili kwa raia
Du! Nimeamin kweli tulia ni zaidi ya NDUGAI
dah tunapigwa sana waziri hajui kit
Tulia ndio kiongozi tunaowataka sio zungu mpigaji tu na hana faida yeyote bungeni afukuzwe
Anaubabe wa kjnga kwanza zungu
Tulia huyu mhuuuuuh 😁😁😁😁😁😁😁😁atawanyoosha afu inaonekana anamalengo mapana kuliko hako kausipika
Yan Katka viongoz huyu mweshimiwa sjawaig kukuelewa.🙇🙇🙇🙇
mwigulu amezoea kutudanganya😂😂😂😂😂😂😂leo kapatikana,i appreciate you tulia ackson
Upinzani ulikua unachangamsha bunge bwana🤣🤣🤣🤣 hili bunge limepoa sana
Tulia anaupiga mwingi kuliko mama yenu
Huyu akigombea urais nampigia kura
SURE 💯
MWIGULU UNACHEMKA, WAKATI WENZAKO WANAWATETEA WANANCHI WEWE UNATETEA MASLAHI YAKO BINAFSI UTAFIKIRI KIJIJINI KWENU HAWANA SHIDA KABISA....Yaani kila kitu kwako ni "TRAB & TRAT" tu.
KWELI TUNAPIGWA AISE😭😭😭😭😭😭😭😭
Shkamoo mh spika nakuombea sana wasije wakakuuwa
Mwigulu na Makamba hawaaminiwi na wananchi wengi
weka na nape hao watu ni wa mchongo...
Huyu dada tulia anajua xana pia ni anajielewa sana
Mheshimiwa Tulia Mungu wa mbinguni akutunze🙏
Mwigulu mpaka umueleze vzr madame spika uwazir uliupataje pataje😎😎😂😂😂
😂
MAMA YENU HUYO KAMUWEKA KIJANA WAKE
Amesoma kweli huyo Mzee, au dhambi za watanzania inamsokota.
Spika endelea na mkazo wa namna hiyo ili wawe wanajibu hoja walengwa
Dr Tulia anaupiga mwingi sana
Yan Dr tulia anaakili Sana Mungu akubariki Sana ! Huyo mwingine anajiita dokta wa hesabu ona sasa udaktar wake sasa zero plus
Huyu mwizi huyu Yani Nchi Inaviongozi wa hovyo sana
Tulia ajengewe Mnara pale Nyerere square pembeni 😊😊😊😊💥💥💥
Madame speaker your doing an amazing job na hongera sana kwa kweli.
Kwa hiyo Mwigulu kama takwimu za kitaifa ni 74 percnt then kila kijiji ni asilimia hiyo hiyo.... ??? Ni kwamba kuna vijijini vitakuwa havina maji na kuna ambayo vitakuwa na asilimia zaidi ya 90.....
Waziri bwana😂😂 mama Tulia Ackson ni 🔥🔥🎻🎷🎷🎷🎸
Mh spika🔥🔥
Hatuna waziri wafedha tanzania
Hatari Sana hwa Mawaziri
Uelewa wa Mwigulu ni Mdogo alichosema na kilichosemwa ni kile kile ama kweli kichwa yake nzito.
Ndio kabisa tulia spk upo sahihi wabunge wanatakiwa waelezee mpk mwananch wa huku kijijini nielewe
mwiguru hakuna kitu hapo tumepigwa ndio maana jpm alimtumbua akabaki na ubunge tu yaan hapo hakuna kitu kabisa
Hivi Mama kuweka tahila kama huyu kwenye wizara kubwa kama hii ya fedha aliona nini hivi Kwa hali kama hii tutatoboa kweli?
Hongera sana Spika wetu. Unasimamia ukweli. Hicho kiti kinakutosha sana. 👏👏👏👏
huyu waziri wa fedha hakuna anachokijua zaidi ya wizi tu sijui huyu mama kamtoa wapi
Huyu mwigulu sio kua swali ajalielewa swali amelielewa isipokua anafanya makusudi ili yakwake yamuendee mana huyu bwana siku zote huwa si mkwel
Hapo Sawa kila Mhimili ufanye kazi yake...Taarifa kama haipo Sawa kutoka Serikalini lazima isimwe haipo Sawa na hiyo ndo kazi ya Bunge na haki isipopatikana Mahakama Lazima isimamie haki ipatikane🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Huyu waziri ni zero!
Wababaishaji watanyoooka tu hivi u Dr mwigulu aliupataje??maana anaonekana zero brain
Hivi huyu mvaa tai ya bendera ya Taifa kasona kweli mjinga huyu
Safi sana tulia napenda unavowabana huwangalii sura ya mtu sio waziri sio sio nani ukiona vitu haviendi sawa unambana Safi Sana hupendelei nakuelewa sawa doct TULIA ACKSON
Hapo Dr Tulia umeonesha wewe ni bora kuliko huyu waziri
Waziri kachemka huyo ndio waziri huyo..... Mhuu kazi kweli kweli
I like her. Give this woman the presidency.
Nafasi yake ni kubwa zaidi ya hiyo ya urais
Hongera spika uongo hauna nafasi
We we we usithubutu kabisa
Waziri kama huyo Alitakiwa aachia ngazi.. ni mzingo . Harafu anajifanya eti amesoma uchumi. Hovyo..
Sema waziri, mmh, hv unashindwa kumuelewesha spika wako, hiv asa unatusikilizaje wananch wako, 😥
Mimi ni mmoja kati watu ambao walikua awakufagilii sasa nikili tu kunakitu nimekiona kikubwa sana kwako niseme tu kuanzia Leo nimekukubali aisee na ninaomba uendelee ivyo ivyo tusaidie kama Taifa
Safi Sanaa Do Rulia umemwuliza swali gumu kwa mwugulu. Ana Cha kujibu.
Big up mama uko vizuri👏👏
Asante Spika. Uko sawa kabisa
Safi sana Dr Tulia 🙏🙏🙏
Mbegu yamagufur
Yaani enzi za JPM angekuwa ameshapigwa chini huyu Waziri wa Fedha.
Yaani mwingulu ndo Rais.
Mnasumbua kile alichoagizwa kuyatekeleza na namna ya kuyajibu.
Mzee wa Trab na Trap kabananishwa tena😆😆😆
Hakika ww Ni mpenda haki
Dr. Tulia anaitwa tulia (relax) lakini hawezi kuTulia ikiwa mtu anabisha sehemu ambapo sheria au hoja inaeleweka wazi alafu mtu anaendelea kumpinga.
waziri wa fedha anapaniki, wa nishati naye hivyo hivyo ndo awamu ya 5 hawakuwepo.hawa wapigaji ndo maana wanapaniki
Kwani lazima kuwa na wabunge wasielewa jamani , Dr tulia leo umenikosha na msukuma
Napata mashaka kama wizala ya fedha inamtosha mwigulu kichwa kigum kuelewa safi sana spika tulia nakupenda sana
Ukweli Spika uko vzr xana big up
Huyu Mr Trab na Trat miyeyusho sana kwakwel
Huyu ni mbishi tu! Uhalisia wa takwimu za maji kitaifa sio sahihi!