Nakupenda sana, dadaangu, umetoka mbali sana nakumbuka unapiga Ngoma unacheza, mpka umefika hapo Mungu azidi kukuinunua haijalishi umepitia mangapi kwa vile Uzma upo utafika mbali maana kipaji chako nichtofauti, nahakuna anayeweza kuuiga sauti yako hongera mpz., Mama akulinde love you so much
ramadhani bwitu,,,da kweli mziki sauti ukiwa na sauti nzuli muda wowote unaludi na una hit , kipaji akifi ila kama hauna kipaji kaza ukipumzika tu tunakusahau
Kuna kipindi nilikua nawazaga mwenyewe masikini saida ina maana wadau wa muziki wanamwacha ateketee nashukuru Mungu alisikia kilio changu leo saida huyu hapa
When I listen the songs from Saida , I salute her with lots of respect. It is only that the world praises the western music but Saida could have been given another level of profile. Even in Tanzania we don't recognize who is she until she passes. Saida is a Tanzanian flute. In +254 from +255
Nakupenda dada angu wewe unaweza sanaa komaa sana dada hakuna wakukufuata kwa sauti afrika dada uko vizuri, nimi shamiru swalehe wa bulembo kyaka kwa bi zena.
Old is gold aisee.Mama TZ unatesa sana hadi APA Kenya.wapi likes za wakenya aisee!!
et ee
Adnan Ramadhan junuzage good song
Poncy sulu klibu tz mwana
Namkubali sana
Tuko ndani babaa🤚💃🏻💃🏻💃🏻
Dah mi mwenyewe kawimbo nimekapenda japo maneno mengne siyasikiii umetisha adi mgabe anakusifia
kham ic
Ulikua vzur umerudi vzur zaidi mama mm nazifagilia sana nguo zako na kwetu sote much Luv from 254 Mombasa
Cku Kuu ya anavaa kiheshima huyu mama I love her too
Mama yuko vzuri
Heshema kwaanza
Ahsante saida kaloli🇳🇿🇳🇿🇳🇿🇳🇿🇳🇿🇳🇿
Kweli dadaa uyu.anavaa poa
Wimbo omulungi mno.wakolaaa saidaa.
Hii nyimbo inapendeza ipigwe pale mwanaume anapo peleka posa I'll make wake ajiandae . hainaga ushemeji tunasema
hujakosea 😁
Dah, kweli kabisa aisee😂😂😂
Yazidu Hussein Kwiro. so nice muve mama uko
huyu mama hajawah kukosea kla nymbo aktoa n kal balaa kama vle n msanii wa kazaz kpy .kumbe mama wa zaman xana ...ebu mpe like yake tusepe na kijij
saida wemkal
She is my favorite 😍 😍 Saida karoli 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🎵🎵🎵
Queen of kongo we all love mama afrika
twende sambamba na ngoma hii kali ya saidi kama na wewe imekubamba gonga like hapa
Chuma Huliwa Na Kutu, Cha Mtu Huliwa Na Mtu! Best line🤩
Omuliro bojo .omuliro kuruga mukanwa kange
Saida u the best African maama
Please Saida si tunaeza kufanya collabo, alafu nko late but nmefika please likes naomba
nilivomaliza kutazama interview yako na zamaradi ndio nimekuja hapa, nyimbo nzuri sana
Nani anasikiliza hadi 2024❤😂😂😂
Mii
Mimi nipo nausikiliza hata sasa
😅😅😅😅😅
Hadi Leo hii night nasikiliza.... ❤
🎉
Kila mkoa nilazima msanii mmoja wa Asilia atambulike kama kigoma aimbavyo linex nasisi wabhukobha saida ni fahali yetu love you saida
She is back. The queen is BACK! Go Saida Karoli. Go Saida
kwa sauti sidhani kuna mkali zaidiya saida afrika mashariki
Huyu mama wa sayar nyngne kama ni soka ni Cr7 mungu amjalie na safar yake ndefu amalze salama
Nakupenda sana, dadaangu, umetoka mbali sana nakumbuka unapiga Ngoma unacheza, mpka umefika hapo Mungu azidi kukuinunua haijalishi umepitia mangapi kwa vile Uzma upo utafika mbali maana kipaji chako nichtofauti, nahakuna anayeweza kuuiga sauti yako hongera mpz., Mama akulinde love you so much
Huyu dada yuko makin sana... Kitu cha asili kilicho dum mda mrefu mpka leo....
Its a nice song Saida keep it up dear,lam Bob from Uganda but am yr follower
Umetisha mwana wa mae Saida...Wakola muno
Saida mamyet munguakuzidishie uwezo zaidi ya hapo
Saida mugu
unatisha sana mamaa hatari sana ww nawe moto wakuotea mbari
Umeamua saida uko vizur xna mungu akutangulie
ramadhani bwitu,,,da kweli mziki sauti ukiwa na sauti nzuli muda wowote unaludi na una hit , kipaji akifi ila kama hauna kipaji kaza ukipumzika tu tunakusahau
Dada nyimbo bomba xna kazi nzuli kazi nzuli saida%%%%
Ww mmama ni nomaaaa Yani Ngoma iko 🔥 🔥 🔥 🔥
mama kauwa jaman nice voice big up saidi kalori
Dada saida umetisha sana hongera.
One of the best traditional singer ever happened in East African countries. Maintain your niche mama!
Old is gold, I came from Zambia but her songs reminds me of my late hero Lawrence Tembo
Kiukwr ktk nyimbo za xaida kalor hii xong hua naikubari xana hua xichoki kuitazama 😘😘🙏
Yaaaaaaap nakufananisha na mama Hayvon chakachaka special u'r behaviour ,,thank you mama
Ingekuwa nchi za watu huyu mama angekuwa tajiri maana nyimbo zake sio utani ni nzuri kuna moja inaitwa Kyali Muto Acha kabisa,,,,
duuu wimbo naupenda lakni kaimba kilugha hatari kama na we we unaupenda comment hapa
Omulilooooo,,,,, munywanyi aba mbalaluju, ekita empala kiluga omukanwa kayo, nikwo Mae tolabeiya, ahalwekyo ninkushabila aliluhanga akwebembele,
video na wimbo vimekaa sawasawa.. Omulilo :) ntarudi kutizama tena
Shikamoo mond, dada wa bukoba karudi😁😁😁
Daa Mungu Ni Mwema Sasa Umerejea Rasmi komaa Mama yangu utoke ungende kemondo namahera
Kuna kipindi nilikua nawazaga mwenyewe masikini saida ina maana wadau wa muziki wanamwacha ateketee nashukuru Mungu alisikia kilio changu leo saida huyu hapa
Yan haka kasauti n kasheshe....had kausngz...mpaka raha.tokea 2004 namckia kal had now inazd kuvutia masikion mpaka moyon.saida hongeraaaaaaa
jamani huyu mama anazingua hazeeki!! sio kwa sauti hii love you saidaaaa
When I listen the songs from Saida , I salute her with lots of respect. It is only that the world praises the western music but Saida could have been given another level of profile. Even in Tanzania we don't recognize who is she until she passes. Saida is a Tanzanian flute. In +254 from +255
amen.
I like the message Chuma huliwa na kutu na cha mtu huliwa na mtu big up the legend
nzuuuur love u saida😍😍😘
Ma saida masibootaige !! Boojo akaimbo karungi muno, chwena nitukashemelelwa muno munonga!
Tunakupenda sana,Bi Saida!!!!
Najua maeneo ya izigo,namigaju,kangantebe had kimbugu,katoke iyo nyimbo inafanya vizur sana
asante sana said karori nyimbo nzr sana number 1
welcome kwa game tena najua hukoseagi mama saida, Kali sana ngoma zako kama umeikubali gonga like twende sambamba
Wimbo mzuri Sanaa. Hii inatokeaga kweli.
Watu wa kanda ya ziwa wanajua mana ya omulilo mana yake ni moto chuma uliwa na kutu chamtu uliwana mtu nikweli mm saida umetisha mama
ebwanaaaa ni zaidi ya kukukubari
ambao wameikumbuka hili ngoma jamani ni nzuli sana nimeikubali sana
Nice song...keep it Up ssta Saida
Omulilo nguluga omukanwa aka
N'ngurupha mukanwaka umulilo...i love languages..saida my super mummy
Chuma huliwa na kutu,cha mtu huliwa na mtu,ni kweli na linamana pana sana ukilidadavua neno hili binafsi nimekusoma..
Nakupenda dada angu wewe unaweza sanaa komaa sana dada hakuna wakukufuata kwa sauti afrika dada uko vizuri, nimi shamiru swalehe wa bulembo kyaka kwa bi zena.
sana tuu,nice song my sister.
umetisha umetisha mama waletunao panda new force kila wiki ngoma hii huwa mnajua tuna anza kuisikiliza wap
sstr kazi mzuri unajua
Though I can't interpret the language , am enjoying the song and I think I am getting the concept.. beautiful song. 🇿🇲🇿🇲
Ni kweli mama uko vzr, kumbe kuna marafk vinyonga aise
bojo omulilo, nguruga, omukanwa,, penda sana wimbo huo, hongera sana
Aaaaa Kweli unajua nyimbo ina hisia zoteee inatekenya mpaka rohoni sauti iyooo haipo apa duniani ni kwako tu 😘😘😘😘😘😘
ahsante sanaaaa nyimbo nzuri kwel
Mama dah naumia sawa na saut yako inanitoa chozi nakupenda cn
Bonge la ngoma Saida
Jamani saida yuko wapi siku hizi❤
Duh!..."omunywanyi mbalaluju" kweli kabisa
Nyimbo nzuri sana mungu aendelee kukusimia mama kwa ujio wako mpya
Sautii ako tyu saida naielewaa balaaa
penda sana saida japo maneno mengne sielew lakini nafarijika kwanza na sauti yako dada
Big up saxa mama ngoma iko vizuri muno unatisha
antidius mugashe ubalikiwe
Wakora muno ngoma nzur sana, Omuliro nguluga omukanwa
Chuma huliwa na kutu, cha mtu huliwa na mtu....... Omoliro, wande kanda mbelowa
Kiukweli dada saida uko vizuri, mungu akutangulie kwakazi nzur unayoifanya,, omukama akwine otatinai.
kazi nzuri, saida ulikuwa unajichelewesha mwenyewe tu.Tanzania hakuna mwimbaji mwingine mwenye style kama yako, ulikuwa unatunyima burudani kwa kweli
Saida 👌💝 Omururo 🔥
Mambo vp best
Nc saida kaloli
Leo wakwanza jaman
HUYU MDADA YUKO JUU NAWEZA SIKILIZA SONG HILI KUANZIA ASUBUHI ofisini, kwenye gari na nyumbani BIG UP MAAAAAAAAMAAAAA SAIDA
Ngoma kali mama me huwa nakukubali sanaaaaaa,,,,ila naomba kilugha punguza me napenda niimbage na nielewe unachoimba jaribu kutumia sana kiswahili
Mugabe kajihuzuru urais aje kuusikiliza ngoma hii ya Saida...ni noooma
nyimbo nzuri (chuma huliwa na kutu cha mtu huliwa na mtu)
Kama hauta mshukuru diamond utakuwa hauna shuklani Saida nakumbuka mbali sana ulipokuwa umefikia but sema asante mond kukuludisha kwenye game.
Nakupenda sana aunt saida jaman
Ni kweli kuna marafiki ni vinyonga hivyo chunga sana.Hongera dada Saida
Hello Saida,your songs are always awesome,i love then day by day,long live dada and give us even more!
Loveeeee it Karoli Mama
hongera sana mama waukwee nakukubal sana
umerudi tena kwa nguvu Mpya
Love you 😘😘 saida
Much ❤ from here Salima Malawi 🇲🇼
Penda sana saidu kwakuimba nyimbo za kikabila. Japo sielew. Mazipenda 2 lov
chuma uliwa na kutu cha mtu huliwa na mtu napenda hiyo sehemu
Ata Mimi napenda sehemu hii
I like this hit saida you remain my best,tionge malwi
Hongera mamy nyimbo tamu sana chuma huriwa na kutu chamtu huriwanamtu
Nyimbo zako nzul umerud kwenye fomla yako mungu akupe akil nying uzd kuleta vt vipya mama wa africa
Sauti yako nzuri itapendeza kwenye gospel
karoli ako juu tu sana
mungu akuzidishiye mahisha yamziki wako kazi nzuri unayo ifanya