Mwenzako vevo anaanzisha anamalizia anaanzisha tena hivo ndo tunapenda❤ lifanyie kazi hili tunaitaji kujua mwisho wa shot ya lambalamba na hand sam wa kijiji penzi la jini latifa ndo tumezipenda sana
Huyu dada mke wakicheche ni mpakano kwakweli pastor kicheche eeeeeh anatoa mapepo eeeeeh anponya magonjwa eeeeeh anahokowa wapakani imeheenda ya ni leo mpaka msemee 😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤😊
Hii kazi ni sehemu ya majibu ya maswali ya wengi Miongoni mwetu, Mungu ana majaribu mengi ssana kiasi kwamba unaezakukufuru kama huyu mke wa kicheche, Hongera ssana bro 👏, I hope next episodes zitakua zamoto zaidi😊, kazi nzuri ssana👏👏
Iam smile by myself like crazy because kicheche mwamba from Tanzania ❤❤❤
For the farst time a man is honest 💯 congratulations to kicheche show loves from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wap like za kicheche
Pastor jamaa was makalio kaokoka nani anakubali hii WOW pastor kicheche leta like
Bana kicheche tulikumiss sana❤❤, much ❤from kenya
Huyu dada idaya nampenda jameni bora aombe kazi kwenye bongo movie
Kicheche is back.... Huyo dada anajua sana umechagua mdada anayeweza katika hii kazi daah... Hongereni sana all the way from South Africa
Kali sana hi hakika kicheche we ni king 👑 of new generation
Huyo dada uliye mchagua anajua Sanaa big up🙌🙌🙌 nimemkubalii🔥🔥🔥
Kazi nzuri sauti ila sauti imekuangusha ,inakelele sana
Safi sana mzee kicheche
Mwenzako vevo anaanzisha anamalizia anaanzisha tena hivo ndo tunapenda❤ lifanyie kazi hili tunaitaji kujua mwisho wa shot ya lambalamba na hand sam wa kijiji penzi la jini latifa ndo tumezipenda sana
Umefundiaha jamii
Haya mambo yanatokea sana, Kicheche bahati mbaya jina lako halisi silijui, Mungu asaidie jamii
Kicheche never disappointed 💥
Umeyavagaaa mtot na baba pipaa na.mfunikoooo😅😅😅😅😅😅
Pastor Saimon Nimecheka hapo aliposema Dada umeangusha Hela zako afu mke wake anazitamani😂😂😂
Safi sana
Kwa kutambua Uwepo wa MUNGU
Kwa Kwa Hili MUNGU Akubariki
First God.
Kicheche mimi nakupenda sana alakini chukuwa ata kitabu kingine acha kuweka baibole kwenye mchezo wa comedy
Kicheche atapata nguvu za kichawi ataskilizwa ataponyesha kichawi atakuwa tajiri 😂😂 Okay Lets go baba ❤️
Kicheche hii season umetisha mwamba utauza hatari kuliko zote mwamba wangu mungu abaliki kazi za mikono yako tu
❤
Ww kicheche na uyo mwanamke kuwa makini sana na maneno kaa hayo kwa mungu hivi mungu unamwona kama mwanadamu
Kicheche is the king of New generation....
Nipenii likes zangu from Kenya
Kam unamkubali kicheche gonga liké hapa
Kicheche amerudi...tuko pamoja🇰🇪🇰🇪
Huyu mke wa kicheche ANAJUA KUPITA KUJUA YENYEWE
Kazi hii inaonyesha ukomavu. Uko kwenye mwelekeo mzuri.
Nilikua nataka nishangae mbwa uyu tokalini ameaza kuwa serious😂😂
Nyie sio kwa upole huu alionao kicheche huku hadi nimemuonea huruma ujuee...I love you kicheche kazi nzuri❤
Huyo mdada anamachooo😮 nmempenda bure bureeee she is sooooooo talented, anafanya body gesture and moves kwa ujuzi mkubwa anaonyesha uhalisia
Chukua kura yangu hiyo ni zaidi ya zote ulizowahi igiza
Pumbafuuu kicheche usijisahaulishe na lambalamba muendelezo wake 😂😂😂😂❤❤
Much love from Tanzania 🎉🎉 love kicheche
saf ila sauti kidog aangalie volum inakwaruza cm but very nice mkitaka kujua mwanamke ni nyoka fwatilia hii movie
Lewo wakwanza ku like naku comment 😂😂😂❤Kama you love kicheche Nipeni like basi🔥🔥
Wewe like unazipeleka wap kila mala unaomba like ndugu yangu
Hiki ni niseme huwa sipend watu wanaocoment hv
Hhh
Mambo
Hayaaa like zako hizo hapooooo😂😂😂😂😂
Huyu dada mke wakicheche ni mpakano kwakweli pastor kicheche eeeeeh anatoa mapepo eeeeeh anponya magonjwa eeeeeh anahokowa wapakani imeheenda ya ni leo mpaka msemee 😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤😊
Kicheche hapo umekua rafikiangu naomba uhubiri vzur
Mungu aibariki kazi ya mikono yako!
Watching from Kenya. Congratulations pumbavu zako
Waooooooooooooooooooooooo pastor simon nimeipenda hii. Huyo mama nae ameigiza vyema sana huyo ni actress mzuri sana
The King Of Comedy Is Back.🎉🎉🎉🎉🎉 , No One Like You Kicheche Mbwa Wew Pumbav Zako🎉🎉🎉🎉
Kicheche hii Kali asikudanganye mtuu Clam ananz vizur finishing hamna kituu,,
Kicheche uko vizuli ila ongeza wachungaji Ili inoge sana picha ongeza namapanby utatkamata sana
Wewe unaongeya tu alafu ujuwi unasema nini nyooo
Clam vevo ninae mjua mm?? Hyu bado sana kwa clam best friend kaua tmpen maua yake
Kicheche umekuja juu sana nakukubali sana ❤❤❤❤
Hapa umepata mtu na nusu hadija boli nakubali snan mm huyo demu❤❤❤❤
Sautiii ya 12 mpaka wa changanyikiwe😅😅😅😅
Hii kazi ni sehemu ya majibu ya maswali ya wengi Miongoni mwetu, Mungu ana majaribu mengi ssana kiasi kwamba unaezakukufuru kama huyu mke wa kicheche,
Hongera ssana bro 👏, I hope next episodes zitakua zamoto zaidi😊, kazi nzuri ssana👏👏
😂😂😂😂😂😂😂😂 Nipeni liké zangu
😂😂aki uyu dada anajuwa kucheza sana kanifuraisha ❤❤
Dhaaaa😂😂😂😂😂 kwasauti iyo kheeee😂😂
Mbwa Mimi😂😂😂 napiga sauti solo kumi na mbili😂😂😂😂
Aaah!,Hallelujah, kina phillipo wanasema hujui kuimba,Souti solo sauti ya 12...😂😂😂😂
mke wangu hebu kumbuka neno la mungu linasem....a.....,,,,,,,iiiiiiiiihehehee ;;;;kali sana🤣🤣🤣
Love from Rwanda 🇷🇼 ❤️ kama unamukubari kicheche piga like hapa
The king of new generation is back
Kaz nzr aidia nzr wasanii wazur hongereni sana namuona Hidaya boli fundi mmoja hajawahi kukosea nawakubal
Yaan ni hatarii huyu dada anajuwa sanaaaaa❤
Dah kwenye msungo uliitendea haki na huku pia hongera sana kicheche na mimi pia jaman
Nikwli kabisa watumishi wanapitia mengi sana hasa juu ya family zao hasa mama wa ndan
Pamoja sana pastor simon
Pastor saimon umbwa Pastor pumbavu zako najuwa uta tu chekesha tu kulembe twende tu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂
It was worth waiting for 😅
Big shout out to the king of comedy in Tanzania we missed you so much but finally you’re back ❤❤❤
Ubwa kicheche ameanza kuwakimbiza kama Bata 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
We mpuuzi umerudi kama pastor😅
We missed you, kumbavu zangu, tupppeee bbaaaabbaaa,🇰🇪🇰🇪🇰🇪
sana makini ila unadeni la penzi la jin latifa tunaitakaa
😂😂😂 hiyo wana iita Sauti Soul
😂😂
Amen nimepend Ili neno👏 mtumishi saimon
Imani isiyo dhaifu lakn ukimpata mwanamke kama huyo anaweza kukurudisha nyuma kiuduma
Kicheche pumbavu zako proud of you 😊😊😊
Huyo Mzee amefanana na marehem Adam kuambiana
Kicheche og _ tena hapa Kwa hio niwaombeni like hata tano basi ❤️😂😂😂😢😢😢... tulikumisi sanaaaaaaa❤❤❤ mbwa wewe 🤣💯
Mama shetani apo atuendqni😊
Aiseeeee kicheche babaaaaaa umekuja na ki2 kikal ebwanaeee unakipaji❤❤ Amina 🙏🙏🙏🙏 sana
Kicheche hii nzuri kweli.
Endelea na episode hii. nakufuatilia.
Uko vzr kicheche
Kumbe kicheche yuko vizuri ila ananikera anapojichetua .kazi nzuri mheshimiwa kicheche .unatakiwa utupe kazi iko strong
Kam Mimi akijichetuaga ananikeraga
Kam Mimi akijichetuaga ananikeraga
Kazi nzurii sana nakupenda kicheche wangu
Waaaaaah.... TG Omori in the House....Igweeeeee🎉🎉🎉
jamani kicheche ameokona I like this 😂😂😂😂😂😂
Waooh huyo mdada namkubaligi sana
Aise noma sna yani walokole na majaribu ndo kwao vumilia bba kicheche yatapita na Mungu atakuinuwa
😊😊😊 Kazi nzuri sana
Pastor Saimon Big up 👆 saan
Kicheche ameanza kuokoka iko njia nawa ambia Nini tabiri kwa jina la yesu kristo
Amen 🙏
First
Whenever i see kicheche nashindwa kuzuia kichekoo😅😅
Wow uyu mdada namkubali❤️❤️❤️
Baba weka kazi tmezisubiria sana umbwa ss
Bonito irmão kicheche Moçambique ,,,,,,,,,,,🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kicheche mwamba ❤ lakini na clam vevo njechi❤🎉
Finally kicheche is back💪
Baba na mtot washenziii😅😅😅😅😅
Number one
Kicheche baba waoneshe❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Duuuuuuh eti sauti ya 12 inaitwa sauti sol😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Eeee wanawake, wanawake😭!!! Ya rabbi utupe utulivu moyoni wakati ule matatizo ao tunapigwa na ziki maishani mwenu, tuweze kubakiya tu kiimani
Congratulations on love from kenya
mkuuu uko vizuri ila vua hiyo kofia
Nyinyi wenyewe mrishindwa kufunga mlango sasa Mungu aje kuwa mlinzi wakati nyinyi wenyewe mnazubaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ameniuzi kicheche kuhusu hela
Mzee mogadishu leo katokelezea
Kicheche uko na ubunifu mzuri lakini mbone nikama tafsiri yake nimbaya, mbone kukufuru Mungu tena
Acha haraka kunywa mtori nyama zipo chini hakuna kitu chenye mazur tu hapa duniani...kwan kwenye maisha ya kawaida hakuna watu wanao kufuru Mungu??
Character ya Pastor sioni kama imemkaa vizuri sasa nani ataongelea mitulinga 😂😂😂😂