th-cam.com/video/I038IRu7zaM/w-d-xo.html Mazoezi ya kuongeza makalio na mwili wa chini ya Wiki ya kwanza pia. Jumla ya video hizi mbili zitakupa jumla ya dk 20 na utafanya kwa kuruka siku moja moja usifanye kila siku mwili hautakua, pia ongeza kiasi cha chakula, nitaendelea kuupdate kadiri video nitakavyozidi kuupload 🥰
Sawa, unaweza kufanya mazoezi yote ya viungo hata kama yameandikwa kupunguza mwili au kuongeza kisha ukabalance chakul, chakula ndicho huamua mtu aongezeke au apungue na mazoezi huimarisha mwili
Asante dear, hakika mazingira tunayoishi natambua kuna wakati yanatulazimu kuishi vinginevyo, kwa kushauri jaribu kutumia vitu vingine vya nyongeza unavyoweza kutumia tofauti na vyakula vya nyumbani mfano kutumia protein powder ni suluhisho zuri
Hellow Zulfa jitaidi kufanya idadi na kiasi sawa cha mazoezi kwa kila tako, kwakua moja limeshazidi lingine nakushauri ongeza uzito wa zoezi kwa upande ambao ni mdogo na upate muda wa kutosha kupumzika ili ukue pia
Jitaidi kubalance vyakula na kipindi unaongeza makalio na hips usisahau mazoezi ya tumbo na sehemu zingine za mwili ni kila siku ili uzuie zisiongezeke, makalio na hips mazoezi yake yasiwe chini ya dk 30 jumla na ufanye kwa kuruka siku moja moja
Angalia mwili wako na type yako size yako kwa mda huo sio kila zoezi linamfaa kila mtu mfano mazoez ya huyu mm yananpumguza kalio yana ongeza hips ttzo hilo bora niwe NA kalio nkose hips😂😂 nlianza 42kalio 38 hips kumaliza mwezi nna 40 kalio 42 hips m. Nataka kalio kubw😂😂
@@maryjosephat9797 Jitahidi hivyo hivyo mwisho wa siku utazoea kabisa ....hivyo basi ukizoea utahis maumivu wakati wa zoezi baada ya hapo huhisi maumivu kabisa
Woooh nimependa sana mazoezi yako pia nitakuwa na ww sambamba kabisa
th-cam.com/video/I038IRu7zaM/w-d-xo.html Mazoezi ya kuongeza makalio na mwili wa chini ya Wiki ya kwanza pia.
Jumla ya video hizi mbili zitakupa jumla ya dk 20 na utafanya kwa kuruka siku moja moja usifanye kila siku mwili hautakua, pia ongeza kiasi cha chakula, nitaendelea kuupdate kadiri video nitakavyozidi kuupload 🥰
Mi nataka nijue kanuni za mazoez na vyakula vinavyotakiw cjui napat no ako
Ungeweka group ya Whatsapp ingekua vzr sana
Mazozi nimazuri namm nimejiunga❤
Asante san dada maan matokeo nimeshaaz kuyaona
Kwakweli nayitaji hisp ira binachokesha mwarimuwangi ira najitaidi nafanya
Uko vizuri
Mazoezi yako ni yauhakika matokeo nimeyaona barikiwa sana
Umepata matojeo gani?
Hi
Napenda
nakufatilia san ❤
My dear mimi nimwembamba pote nahitaj kuoengezeka
Ningependa nitafuatilia
Nasukulu nishaaza kuona matokeo mungu akubaliki
❤️❤️
Ansante
Nitakufatilia
Naanza xaxa
Nipo nawewe sambamba
Jaman mi nataka kwenye kusimamisha Matt na kuongeza hipx hapo ndopananihusu dd
Dada Joan mimi sitaki kupunguza mwili au kuongezeka yaan mwili wang ume balance nahitaji mazoezi ya kua fit na flexible kuepuka magonjwa
Sawa, unaweza kufanya mazoezi yote ya viungo hata kama yameandikwa kupunguza mwili au kuongeza kisha ukabalance chakul, chakula ndicho huamua mtu aongezeke au apungue na mazoezi huimarisha mwili
@@JoanfitnessTV Ahsante
Nakua unafanya kula siku au laah
Mim mbn naskia maumiv sana had nashindwa kuchuchumaa
Ni kawaida dear sasa hapo kumbuka kula vizuri chakula cha kutosha ili uongezeke haraka
Naitaji namba yak
Napenda mazoezi yako dada ubarikiwe sana lakin niulize je sis yukouku inchizawenyewe naivo vakula itakuaje mana utakachopewa ndio utakula😂😂😂
Asante dear, hakika mazingira tunayoishi natambua kuna wakati yanatulazimu kuishi vinginevyo, kwa kushauri jaribu kutumia vitu vingine vya nyongeza unavyoweza kutumia tofauti na vyakula vya nyumbani mfano kutumia protein powder ni suluhisho zuri
😂😂😂😂❤❤❤
Joan mimi tako moja kubwa tako jingine dogo makosa yapo wapi
Hellow Zulfa jitaidi kufanya idadi na kiasi sawa cha mazoezi kwa kila tako, kwakua moja limeshazidi lingine nakushauri ongeza uzito wa zoezi kwa upande ambao ni mdogo na upate muda wa kutosha kupumzika ili ukue pia
❤
Hata mimi naitaji kuelewa ni kila siku ama vp
Me BDO sjaelewa mumy Yan kwa cku inatakiwa kufanya mara NGApi
Nahitaj no yak 🙄 dear ili niwez kukufuatilia kw kwel nimeyapend❤
Nmeanza mazoez my dear ila nafany asbh na jion nisawa au najiovadoz mpanz nambie
Mazoezi ya mwili wa chini unafanya kwa kuruka siku moja na ni mara moja kwa siku kuanzia dk 30
Samaan niwez kufanya mazoez kilasiku na kwasiku marangap
Mara tu kwa wiki kwa kuruka siku moja moja sio kila siku
Mazoezi ya kupunguza tumbo
Joan mie nikifanya mazoez ya kuongeza makalio na hipsi nanenepa mwili mzima shida nin nanenepa hadi tumbo
Jitaidi kubalance vyakula na kipindi unaongeza makalio na hips usisahau mazoezi ya tumbo na sehemu zingine za mwili ni kila siku ili uzuie zisiongezeke, makalio na hips mazoezi yake yasiwe chini ya dk 30 jumla na ufanye kwa kuruka siku moja moja
Asante mpenz
Joan mm hips zangu zilikuwa 52 now 48 natami kuacha zoezi nifanyeje
Kama umepungua baada ya kuanza mazoezi jitaidi uongeze kiasi cha vyakula hususani protini
@@JoanfitnessTV ndio naendelea kula kwa wingi protein na ntakuagiza protein powder
Dada nifanye nn ili dmpoz zitoke
Nimefanya haya mazoez lakin najihis hd kichefu chefu shida nn
Wewe tuko sawa sijui shida Nini yaani nakosa amani kabisa😂😂😂
Naomba kuuliza haya mazoezi ukiwa unayafanya kila siku kwa dakika izo 10 matokeo utayaona baada ya muda gani??
Hayafanyiki kila siku bali kila baada ya siku moja
Please naomba unifahamishe
Dada unafanya kila siku au vp
Hapana unaruka siku moja moja ili mwili upumzike na kukua
Hata mm Huwa nafanya mazoez sipat majibu kwa harak a mwezi sasa shida nn
Angalia mwili wako na type yako size yako kwa mda huo sio kila zoezi linamfaa kila mtu mfano mazoez ya huyu mm yananpumguza kalio yana ongeza hips ttzo hilo bora niwe NA kalio nkose hips😂😂 nlianza 42kalio 38 hips kumaliza mwezi nna 40 kalio 42 hips m. Nataka kalio kubw😂😂
@@user-gv3si2mv3lboraww mm hips 52 sasa hivi 48 natamani niache tu zoezi mm napenda hips kubwa
Sorry dada ukitak kujiung na mazoez taarif Zak zikoj au utaratib wak
0683836293 unatuma ujumbe WhatsApp
Sasa dada mbona mimi nikifanya ninahisi maumivu muungine Muguu?
Labda unaanza unafanyq kila sk maumiv utskia
Mhmm mie hapo ndio nachoka ukiacha tu na shape inaondoka....
Kwani kama nikiendelea na mpangilio wa mlo bila ya mazoezi napo bado shape itaondoka?
😂😂😂 hamna namna, ukijenga misuli unatakiwa kuilinda iendelee kukua, unaweza kupunguza Mazoezi lakini kuacha kabisa si sawa
Na je nafanya mazoezi kila siku??
Hapana ni kila baada ya siku moja
Natumia ck ngap napata matokeo
Mabadiliko huonekana kuanzia baada ya wiki mbili
Kwa wiki natakiwa kufanya mara ngapii
3 hadi 4, ruka siku moja moja
My dear lakin mm ni wakawaida tu na nahitaji kuongezeka
Mm ni wakaida tu na nahitaji kuongezeka
mazoez ya juz naumwa mpaka siwezi kutembea 🙄 nasaiv unasema tufnye na haya mweeeeh
Pole na hongera 😂
Me magot yananiuma hd mood ya mazoez inakata
@@maryjosephat9797 Jitahidi hivyo hivyo mwisho wa siku utazoea kabisa ....hivyo basi ukizoea utahis maumivu wakati wa zoezi baada ya hapo huhisi maumivu kabisa