Me n mgeni nikitengeneza hiyo. Smooth . Naweza kutumia kidogo. Na nyingine nikatia katika jokofu kwa ajili y baadae kuitimiza . Ama kila nikitaka kuitumia bc ni tengeneza mpya naomba nieleweshe.
Je n n vizur kutumia spices I mean zle za kupikia kma vle tangawiz ya unga cumin tumeric na n.k hta kma utachemsha kuku wko je naweza nkaeka izo spices
Nahitaj kunenepa sehemu za kufuani mwili kwa ujumla coz sijawahi nenepa tokea utotoni nimekula ingawa matokeo sipati kilo haziongezeki nahitaj unipe ratiba nzur ni nenepe
Asante kwa kuangalia video zangu,, Kama haya maelekezo yanaweza saidia kuelewa sayansi ya chakula na mwili wa binadamu nitashukuru!! Na pia Instagram natumia @joanfitness_ maana napost vingine vingi mbali na TH-cam.
Kwakua ni asili ya mwili (genetics), ongeza tu kiasi cha chakula na ili upate matokeo mazuri fanya mazoezi ya mwili wa juu yanayohusisha mabega ili uyajenge yakae katika nyuzi 90 sio tu kuongeza mafuta maeneo yake bali misuli mizuri
Samahan ninataka kuuliza Kama mm nimunene tumbo nataka kupuguga tumbo ili Ni nenepe shepu nafanya kwa wakati mmoja mazoezi
Hello dear
Kuongeza makalio icho chakula unakitumiaaje kwa pamoja or?
Na uwezi kitumia pasipo kufanya mazoezi?
Mafuta ya olive oil unayatumiaaj?
Nimepat matokeoo mazuri asant my
Naomba namba yako yawasape naomi
Asante sam
Mm nataji niwe na makalio makubwa
❤
Hello dear, Asante Sana kwa mafunzo zidi kutupa faida, hio mafuta ya olive oil jee unakunywa au unatia kwa smoothie na ni kiasi gani
Ni mafuta ya mboga
i know I am kinda randomly asking but do anybody know of a good website to watch newly released movies online?
Me n mgeni nikitengeneza hiyo. Smooth . Naweza kutumia kidogo. Na nyingine nikatia katika jokofu kwa ajili y baadae kuitimiza . Ama kila nikitaka kuitumia bc ni tengeneza mpya naomba nieleweshe.
Tengeneza kiasi unachoweza kutumia kwa muda huo ni bora zaidi
Asante mumy
dada unatoa elimu safiii❤
Asante my
Iyo pinut Bater mi sijui jmni
Ni siagi ya karanga, yaani karanga zilizosagwa na kuwa rojorojo
Naomba kuuliza mimi huwa natumia maziwa ya ASAS je nik sahihi au na kosea maana maziwa kwetu shida kupatikana
Vyakula hvyo watu wanakul🙆🙆🙆🙆Ila daaah hola
Je n n vizur kutumia spices I mean zle za kupikia kma vle tangawiz ya unga cumin tumeric na n.k hta kma utachemsha kuku wko je naweza nkaeka izo spices
Yes ni nzuri zina faida zake pia
Kuhusu protein powder haina tatizo mimi nimenunuwa nataka nianze zoezi
Niko sehemu sahihi, nilipunguza uzito na unene wote Sai nataka kuongeza sehemu muhimu
Hongera lovly
Napenda sn mazoezi yako dada
Mazoezi ya kuto kuutumia. Vyakula plz
Je kwa mtu mwenye umbo dogo tofauti na umri mfano miaka 26 umbo la mtoto antaka kuongeza makalio na hipx je anatakiwa afanye nini?
😂😂
Penant banta husaidia nn dda
Jamn me parachichi tunda kbs linanishinda labda juice yake na karanga mbich zinanishinda labd za kuchemsha
Juice usichuje
Mimi nataka kupunguza tumbo na kuongeza makalio na hips na vyakula ambavyo nastahil kula
Kula njugu,yoghurt, mayai chemsha,ovacado.Mimi Niko na hips smart na tumbo ndogo.natesa wanaume.
Mayai mazuri yapi,yakuchemsha au kukaanga
@@emmymwasyeba4820 kuchemsha
@@polinekilengelu9163 kwa hiyo umeipata kwa kula hivyo vitu au asili yako dear?
Mimi Nina makalio Ila tumbo daaa cjui nifanyeje
Je kutumia vyakula bila mazoez haiwezkan?
Naomba namba yako joan
Hi madam naitwa zuu kilo 41 coz nimepungua sana urefu I don't know but nimekuwa mwembamba sana had najiogopa mpenz naomba npe program my
Usijiogope unaweza kubadili mwonekano wako wakati wowote
Napenda mafunzoyak nimepata matokeoo
❤️❤️ hongera deae
Mie naomba iyo programs
Hallow nahitji program ya kupunguza uzito
WhatsApp 0683836293
Ukiachana mazoezi ukaendelea na mfumo Wa vyakula makalioo yatashukaa
Karanga na parachichi nikila vinanitoa vipere usoni
Madam mm nafanya mazoez lakin chaajabu ninanenepa mwil wote had mashavu nifanyeje
Unazingatia vyakula? Kwasababu vyakula vina mchango mkubwa katika matokeo unayoyapata
Hy daa nakuuliza ivi hata kama umezaa watoto wanne kweli tumbo linaweza kurudi dogo kwa kufuata maangizo yako?
Uhakika 100%
Ni mazoezi na chakula tu dear one
Ndio Dada linarudi vizuri Sana
@@babyhamisi5331 tufahamisheni bs maana hali sio shuari uku
Asant mamy
🥰🥰
Punguza matangazo
Na dagaa je?
Mumy naomb namba zako
0683836293 kwa mahitaji ya program, jiskie huru kuuliza maswali hapa hapa yt ntajibu
Na mapaja je
Nahitaj kunenepa sehemu za kufuani mwili kwa ujumla coz sijawahi nenepa tokea utotoni nimekula ingawa matokeo sipati kilo haziongezeki nahitaj unipe ratiba nzur ni nenepe
Wewe utakuwa umetengenezwa na saflet😂😂😂
Nunuwa protein dear ikupush
Thanks
You’re welcome
Kiukweli me nimefanya ila nimeongeza mashavu tuy
😂😂😂aki nimecheka waah
😂
😂😂
Na vpi je kuku wa kuchoma nxawa ama si xawa
Ni sawa, kukaanga katika mafuta mengi ndo kitu kisichoshauriwa
Ivii kukaa sehem moja kilasku kama officin kunaeza kusababisha kupunguza makalio yako nawewe hutak yapungue
Ndio inaweza kuchangia ila kama baada ya kazi walau siku tatu kwa wiki ukafanya mazoezi ya makalio utakuwa poa
Lov u babe
Thanks hun!
Kama m2, ana umbo dogo na hana tako na Hips inatumia nn
Mazoezi na chakula
Je kuna maziezi ya kujaza miguu kua mguu wa bia
Kwamwez shingp
Mm napenda kuuliza unategeneza matiti ukiwa umevaa brezia
Hayo mafuta ya olive oil unayapaka au unayatumiaje
aina ngapi ya mazoezi mtu anatakiwa afanye kwa kuongeza makalio na hips?
Tuone yako
Asante kwa kuangalia video zangu,, Kama haya maelekezo yanaweza saidia kuelewa sayansi ya chakula na mwili wa binadamu nitashukuru!! Na pia Instagram natumia @joanfitness_ maana napost vingine vingi mbali na TH-cam.
Na kupunguza unapotaka
Ni rahisi kupunguza mafuta mwilini lakini si rahisi kupungua sehemu moja tu, utapungua sehemu zote zenye mafuta yaliyokithiri
Nambayako napataje
0683836293 kwa mahitaji ya program
Sasa mbna hutaki kujibu text watsap na nnahitaji hiyo program
Samahani dear, nitakuwa nimechelewa kujibu tu siwezi kukataa kuna muda chat ni nyingi ila lazima nipitie zote.
almond ni mbeg gan
Je nilazima usikie maumivu ukitoka kufanya mazoezi
Nina maswal muhimu natk nkuliz
Dada Mimi nanenepa chin sana ila shingon Nina makorongo sana niganyaje ili nijazie
Kwakua ni asili ya mwili (genetics), ongeza tu kiasi cha chakula na ili upate matokeo mazuri fanya mazoezi ya mwili wa juu yanayohusisha mabega ili uyajenge yakae katika nyuzi 90 sio tu kuongeza mafuta maeneo yake bali misuli mizuri
Unaongea sana
Km mie mvivu kula na c unajua pesa nayo tihan
Kula vinavyopatikana love
@@JoanfitnessTV Asant my na je karanga gram tu inatosha kuzila au kunakias chake
@@JoanfitnessTV karang nukazim kuzifanya km diz Kuwait mar 3 au nara moja tu inatosha
My dear tafadhari nisaidie mmewangu anapenda sana makario namimi kwa Sasa mwili wangu umeshuka sana sijui nifanyeje
kuku yeyot t au kuku wakienyej😘😘😘najee unamchemsha t au
Wakienyeji ni bora zaidi ila akikosekana tumia aliyepo
Je mtu mwenye miaka 26 umbo la mtoto je anatakiwa kutumia chakula gani ili apate hpx na Tako
Kula nishati lishe nyingi zaidi ya mwili wako unavyotumia na kwa kiasi kikubwa itoke katika vyakula vyenye protein nyingi
Mbn ujib txt watsap
Najibu mpedwa ila chat zikiwa nyingi kidogo naweza kuchelewa kujibu, unaruhusiwa kupiga simu kwa uharaka zaidi
Naitaj program bei Gan
@@minaahs695 nitumie sms kwa njia ya kawaida
Mambo dear asante kwa ushauri wako naomba number ya WhatsApp plz🇰🇪🇰🇪
+255683836293 kwa mahitaji ya program
+255683836293 kwa mahitaji ya program
+255683836293 kwa mahitaji ya program
Asante mumy