MOTO WA JWTZ KWA MAJAMBAZI PORINI KIGOMA WAKIJIWEKA FRESH NA MAZOEZI, RISASI ZAPIGWA JUU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2021
  • Hili ni zoezi la vizuizi barabarani lilokua linafanywa na Jeshi la Wananchi JWTZ Mkoa wa Kigoma Kutafatuta wahalifu.
    Wanajeshi hawa walikua kwenye mazoezi ya kijeshi yaitwayo Excise masika katika Pori la makere Wilayani kasulu mkoani kigoma ambapo pia walitumia muda huo kutoa funzo kwa madereva kutopakia watu ambao wanawakuta porini na sio kwenye vituo Maalumu.

ความคิดเห็น • 870

  • @zotempyaonline8485
    @zotempyaonline8485 3 ปีที่แล้ว +672

    Waliokuja kucheki video wakizani Ni majambazi kweli like apa twende sawa.. 🤣 1k zinatosha

    • @dalalihakweahakweya6662
      @dalalihakweahakweya6662 3 ปีที่แล้ว +2

      Yani hapo tulio juwa kama nijalibio ni wa chache sana wengi wana juwa nitukio lenye uhalisia kumbe ni wao kwa wao

    • @fatemaligalawa1918
      @fatemaligalawa1918 3 ปีที่แล้ว +5

      Yani nimepatikana🙆🙆

    • @fatemaligalawa1918
      @fatemaligalawa1918 3 ปีที่แล้ว +4

      Ningekuwa kwenyeiyo bas uharoungetoka full

    • @meshackmihayo7480
      @meshackmihayo7480 3 ปีที่แล้ว +1

      Maboya sana hawa

    • @scholamatogolo3493
      @scholamatogolo3493 3 ปีที่แล้ว +2

      Duuuu! Me mwenyewe nimerowa nimeangalia Mara mbilimbili 🙆

  • @alextzmmary5121
    @alextzmmary5121 3 ปีที่แล้ว +81

    Wengi wenu mnaandika tuuu, ila kilichotokea ni kuwa hawa waliofanywa kama majambazi ni wanajeshi wenzao😍😍😍😍😍 wanafanya hivyo kuwapa funzo

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 2 ปีที่แล้ว +16

    😂😂😂😂🇰🇪 Kenyans should copy these kind of exercises......yaani zoezi kama hili Kenya halijawai fanywa,big up sana JWTZ

  • @mohdbornyoung5061
    @mohdbornyoung5061 3 ปีที่แล้ว +9

    Pongezi kwa kazi nzuri wanajeshi watanzani nikiwa kenya

  • @ronaldsariah8760
    @ronaldsariah8760 3 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana. Mazoezi kama haya ni safi. Kuna siku katikati ya zoezi mtakamata vitu vya kweli. Nawapongeza sana

  • @zynabomary4774
    @zynabomary4774 3 ปีที่แล้ว +10

    This is our lovely Tanzanians.... Najivunia jeshi langu.... Salute.

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula4254 3 ปีที่แล้ว +3

    Kazi nzuri sana JWTZ ni kweli wahalifu wanaishi pamoja na sisi pengine ni watu wa karibu kabisa lakini ni wahalifu.

  • @mr.tabasamumedia9740
    @mr.tabasamumedia9740 ปีที่แล้ว +3

    Naamini sana jeshi langu la Tanzania 🇹🇿🔥🔥❤️

  • @drjbmsige4098
    @drjbmsige4098 3 ปีที่แล้ว +40

    kama umejamba kama mimi uliposikia aaaaa anakombati ya jeshi huyu.. mikono juu😅😅😅😅

    • @hasnajuma5567
      @hasnajuma5567 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣😂😂😂🤌🤌

    • @shambaiddi4984
      @shambaiddi4984 3 ปีที่แล้ว

      Hivi ndiyo tunatakaa tanzania iwe kusiwee na watu wanaofikiria wanawezaa kuletaa tabiaa za kutakaa kutuchafuliaa nchi yetu ya amaani kwa kushirikiaanaa na watu wa nchi za jirani kuletaa ujambazi kutaka kutuharibiaa nchi yetu iliyojaaa upendo na amaani Lazima tulinde nchi yetu kwa mfano huu kuwa watanzaniaa tuko makinii

    • @shambaiddi4984
      @shambaiddi4984 3 ปีที่แล้ว +1

      Hiii ni kuonyeshaa kuwaa tunawezaakutafanyaa mambo yote Tukiwaaa na uzalendo wa kuipendaa nchi basi hili tu ni heshimaa kwa taifaa

    • @shambaiddi4984
      @shambaiddi4984 3 ปีที่แล้ว +2

      Serikali yetu na nchi yetu kazi iyendeleee heshimaa kwa jamuhuri ya muungano wa tanzaniaa

    • @severindamian9233
      @severindamian9233 3 ปีที่แล้ว

      Hahaha

  • @RebekaNkoma-qd8fp
    @RebekaNkoma-qd8fp ปีที่แล้ว +1

    Tunashukuru Sana kwa umakini wa askar wetu mungu awatie nguvu Amina.

  • @manuelamahwera6090
    @manuelamahwera6090 3 ปีที่แล้ว +5

    Kazi nzuri saaana maana watu wamekuwa waaharifu saaana siku hizi. Kwa zoezi hili lingefanyika mara kwa mara mikowani piya ili kuwapunguza. It was a good thriller and well acted👏👏. One love From London

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 3 ปีที่แล้ว +2

    Elimu nzuri Sana,Hongera kwa jeshi letu.

  • @stevenmhina7222
    @stevenmhina7222 3 ปีที่แล้ว +24

    Kwa kiasi flani sawa, tusipakie watu kwenye mapori. But Hii alert technic ya mafunzo ya tahadhali siyo nzuri sana, watu wanaweza kudhurika bila hatia. Kumbuka kuna watoto na wamama, pengine na wagonjwa mle kwenye basi, wamezingatia vipi afya zao katika kutekeleza hilo zoezi. Pia wanataka kutuambia, makondakta wawe wanakagua mabag ya abiria. Nashauri wangetoa mafunzo kwa wahusika maeneo maalum ya kazi na vituoni. Hizo operation zifanyike ktk uhalisia wake wakiwa na target info.. Siyo kwa lengo kama hilo la kuelimisha.

    • @fundikiraomary7111
      @fundikiraomary7111 2 ปีที่แล้ว

      Unaakili sana.
      Mi nimekuelewa🤜

    • @victorjames3730
      @victorjames3730 2 ปีที่แล้ว +1

      Hiyo hufanyika duniani kote mzee sio Tanzania tuu

    • @edirana5420
      @edirana5420 2 ปีที่แล้ว +1

      Nikwel kitendo hiki hakikuwa kizur kwa watu wote wanawez kuuwa kwa mshtuko afu jukumu anabeba nani

    • @elynego1654
      @elynego1654 2 ปีที่แล้ว

      Kula 5 umetisha sna

    • @hamidamer8849
      @hamidamer8849 2 ปีที่แล้ว

      @@edirana5420 utabeba ww apo

  • @jamilasalum5236
    @jamilasalum5236 3 ปีที่แล้ว +22

    Iko poa sana ila kwa Mimi mfano ningekuwepo kwenye hilo gar saa hii Nina drip ya saba ,,maana si kwa kushuka presha

  • @salunyanda5448
    @salunyanda5448 3 ปีที่แล้ว +2

    Ni habari njema nimeifurahia ni kweli kunawakati tunajisahau, hongera AYO kwa kufikisha ujumbe,
    By Salum

  • @samuelleonse9398
    @samuelleonse9398 2 ปีที่แล้ว

    Mnafanya kazi nzuri kuelimisha jamii Yesu awaongoze salama.Ingekua vizuri kuakikisha Kila basi Lina lindwa na Wana jeshi Wawili mpaka 3 wawe wa navaanguo za kilaiya. Kwaajili ya kulinda Wana nchi.katika safari Yao,hili ikitokea vurugu yoyote
    ndani ya basi au katika sehemu yoyote update kudhibitiwa na kuwachukulua atua mala moja.! lakini Mungu awe namba Moja! Iyo itasaidia sana.

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 5 หลายเดือนก่อน +3

    Congratulations jwtz❤️🇹🇿💪💪

  • @ZainaMalekela-ij6hd
    @ZainaMalekela-ij6hd ปีที่แล้ว +1

    Safi sana 2wakomexhe majambazi

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka6404 ปีที่แล้ว +1

    Well Done JwTZ adui atambue Jeshi la wananchi liko makini.

  • @jimmymasika8836
    @jimmymasika8836 3 ปีที่แล้ว +14

    Mungu atulindie nchi yetu iwe na amani siku zote hii mirindimo ya risasi isijekutokea nchi yetu pendwa ya Tz

    • @koplomuindi2023
      @koplomuindi2023 2 ปีที่แล้ว +1

      My friend we have the RECCE SQUAD hatari kulko hìi

    • @luqmanmohammed6543
      @luqmanmohammed6543 ปีที่แล้ว

      Amin mungu atusadie kwahilo

    • @mahammadanhag4445
      @mahammadanhag4445 8 หลายเดือนก่อน

      Acha kuogopa ww mm napenda ickike km ukren

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 3 ปีที่แล้ว +6

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🥰🥰aisee nimependa wanajeshi warivokuwa wabunifu hongera zao mung awabariki na hawarinde na kila shar muirinde tz yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥

  • @herimwanyenza4103
    @herimwanyenza4103 3 ปีที่แล้ว +7

    Hilo zoezi la Mafunzo kwa Vitendo Nimelikubali,Nimeli pigia SALUTE

  • @user-ex3gd6vu7h
    @user-ex3gd6vu7h 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera kwa jwtz

  • @jaminussanga3031
    @jaminussanga3031 3 ปีที่แล้ว +1

    Jeshi letu liko vizuri ni hatari ukitaka lidipu kwa kwa ugaidi ama kwa uhalifu ndipo utajione waulize wa kibiti walilidipu walikiona cha moto, MUNGU IBARIKI NCHI YETU MUNGU YABARIKI MAJESHI YETU AMEN.

  • @onlyjesus7831
    @onlyjesus7831 3 ปีที่แล้ว +27

    Dah!!!hawa jamaa ni hatarii huu ndo uzalendo tunao hitaji ndani ya nchi yeti
    MUNGU IBARIKI TANZANIA

  • @frankub8107
    @frankub8107 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana from Burundi 🇧🇮, hapo bahati mbaya uko abiriya umekuwa umesafirisha bunduki, yani ndo utaamini kwamba umekwisha🤗🤗🤗

  • @tumainimnzava320
    @tumainimnzava320 3 ปีที่แล้ว +4

    Abiria wetu wanawaza kufika tu! Bila kujua walioko ndani dah! Hii poa sana kwa jeshi la Tz

  • @geeva99
    @geeva99 3 ปีที่แล้ว +18

    Kumbe hii ni demo tu, kweli show kali ikiwa halisi 🔥🔥🔥

    • @fetychina3273
      @fetychina3273 3 ปีที่แล้ว

      We atali n,nyaitakutoka😀

    • @abubakarramadhan3071
      @abubakarramadhan3071 3 ปีที่แล้ว

      Hamna show yyte wanaajifunza kulinda amani ila sio vita halisi

    • @zamakharisalam6798
      @zamakharisalam6798 3 ปีที่แล้ว

      waache kupoteza muda waje uku mtwar mpakani kuongeza nguvu

  • @mwitachacha6954
    @mwitachacha6954 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awabariki kazi zur

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial4119 3 ปีที่แล้ว +20

    Wengekuwa Wahalifu kweli JWTZ Wangeanza na Mabuti apo apo🔥

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 ปีที่แล้ว +33

    Iwe halisia na endelevu kwa kushtukiza. Mingu tubariki watoto wa Tz

  • @nyekingobwire6327
    @nyekingobwire6327 3 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana kwa mafunzo mazuri hongereni Kaka zetu nazani dereva kondakta wamejifunza

  • @agnesslucas4744
    @agnesslucas4744 2 ปีที่แล้ว

    Kazi mzuriii Sana wanajeshi ogereni

  • @kambiyusuf1329
    @kambiyusuf1329 3 ปีที่แล้ว +7

    Big up xn kwa makamanda we2 wa jwtz. Zoezi nilikua "mswano" (zuri)

  • @molandmakingil7772
    @molandmakingil7772 3 ปีที่แล้ว +5

    wanangu wa makere,nyamidaho,mvugwe kasulu kigoma tz weka like kama iyi road apo una ifahamu

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 ปีที่แล้ว +18

    This is a very good example in our security system especially on the public transportation,job well done JKT🇹🇿👏👏👏

    • @lilianjustin9743
      @lilianjustin9743 3 ปีที่แล้ว +1

      Misaivi ningekuwa mbinguni kwa Baba

    • @f.a6043
      @f.a6043 2 ปีที่แล้ว +2

      Yeah! 👍🏿 You've spoken well but I would like to remain you that
      this is JWTZ not JKT

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 3 ปีที่แล้ว +2

    Kazi njema jameni nawatakiya Wanajeshi wetu kazi nzuri kuilida Inchi yetu ni njambo njema

  • @feristherrenatus608
    @feristherrenatus608 2 ปีที่แล้ว

    Aah hongereni kwa kazi nzuriii na inayotufurahisha na sisi tunaowatazama🤝🤝🤝

  • @kibwanambelwa3268
    @kibwanambelwa3268 2 ปีที่แล้ว

    hongereni sana wazee wa kazi nawakubali sana Mungu awatangulie katika kilinda na kutetea Taifa letu na sisi wanachi atusaidie kuwataja waarifu

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 3 ปีที่แล้ว +2

    Haja ndogo ikipita halafu uambiwe ni zoezi sio kweli utajiona fala sana

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 ปีที่แล้ว

    Saluuuuuuuuuuuute to you JWTZ.Wale wahuni wa M23 wanaujua moto huu.Big up sana.

  • @mauaally4831
    @mauaally4831 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana Tanzania bilaya majambàz inawezekana

  • @filaretoskimaro3959
    @filaretoskimaro3959 3 ปีที่แล้ว +1

    Ili ni funzo nzuri sana,lazima madeva wawe makini saa zote na abiria wanaowapakia,wasiangalie tu pesa,na pindi watamhisi mtu yeyote watoe taarifa kwa wanausalama walio karibu.

  • @mpijikarim238
    @mpijikarim238 3 ปีที่แล้ว

    Wamewasumbua abilia,, anyway bonge la zoezi nmeipenda hii

  • @exaudmbuya9306
    @exaudmbuya9306 2 ปีที่แล้ว

    Nawapa
    Big up kwa Sana ndio makamanda wetu

  • @charleskamili4074
    @charleskamili4074 3 ปีที่แล้ว +5

    Wamewapotezea muda tu uwezi fanya mazoezi ya kijeshi kwa abilia kuna baadhi ya abilia wana presura kwa hizi pigo wanaweza wapoteza kizembe

    • @abdulyabubakar6247
      @abdulyabubakar6247 3 ปีที่แล้ว

      Na ingetokea vita je bado ungesema watu wana presha

    • @charleskamili4074
      @charleskamili4074 3 ปีที่แล้ว

      Jaribu kutofautisha wakati wa tatizo na wakati usio wa tatizo

    • @hassanmassaga2476
      @hassanmassaga2476 3 ปีที่แล้ว

      😆😆🙌kwani presura yenyewe inasemaje😆😆

    • @kabelwasalim6305
      @kabelwasalim6305 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga kwenye vitu vya msingi

  • @villanybenson3005
    @villanybenson3005 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzur sana JWT

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 3 ปีที่แล้ว +1

    Manshalah mungu azid kuwapa uweled

  • @maxwellezekiel4796
    @maxwellezekiel4796 3 ปีที่แล้ว

    Big up sana maafande

  • @daudichristopher9460
    @daudichristopher9460 2 ปีที่แล้ว

    Jambo jema Sana mungu azidi kuwalinda walinzi wa taifa letu

  • @bellam.vyampi5528
    @bellam.vyampi5528 3 ปีที่แล้ว +4

    Nimeipenda hii

  • @seifmohamed4893
    @seifmohamed4893 ปีที่แล้ว

    Mungu watie nguvu JWTZ uwape maisha marefu yenye amani na neema tele ameen

  • @mwigakatumpula9817
    @mwigakatumpula9817 3 ปีที่แล้ว +15

    Inaitwa usijaribu nyumbani 🤔🏃😃👏👏👏

    • @saidinammenje644
      @saidinammenje644 3 ปีที่แล้ว

      Siafiki mazoezi kwa njia hii kwani yaweza sababisha hata kifo

  • @user-tu4sx5jj3g
    @user-tu4sx5jj3g 6 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli Mimi nawashukuru sana tenasana kwajeshi lataifa kuchukua maamuzi yaulinzi barbrani kasababu watu hawataki kufanya kazi wao nikuwawinda binaadam wenzao kwanzi haowanao kamatwa nasiraha porini niwauwaji hao nikuwamalizatu nandio kukomesha ujambazi aina haja kuwapeleka polisi maoniyangu nihayo

  • @happysanga6595
    @happysanga6595 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimependezewa na kusachi Kwan ndani ya mchezo unaweza kueabaini na najambazi mungu ibariki tz

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 2 ปีที่แล้ว

    Nzuri sana na ni hakika!

  • @ramadhanyusuph7633
    @ramadhanyusuph7633 3 ปีที่แล้ว +1

    Saluti sana mmejiongeza na kuwapa taadhali madeleza na abilia

  • @henryjanuary5150
    @henryjanuary5150 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana jeshi letu

  • @isaiahisaac7240
    @isaiahisaac7240 11 หลายเดือนก่อน +1

    Big Up sanaa

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 3 ปีที่แล้ว +3

    So cool and best way to remind our mindset

    • @mdasad2148
      @mdasad2148 2 ปีที่แล้ว +1

      Huro zoez saf sana

  • @idrisaramadhani2022
    @idrisaramadhani2022 ปีที่แล้ว

    Vizuri Sana Asante kesho ra kigoma

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 ปีที่แล้ว +1

    Nimeipenda duh..!!

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 3 ปีที่แล้ว +2

    Kama zoezi hili lilipangwa vizuri kwa ajili ya mafunzo itakuwa jambo safi sana.....
    Lakini kama ilishutukiza na abiria wa kawaida wakiwepo ndani ya gari... na kuwachelewesha safari yao.... hii ilikuwa matumizi mabaya ya nguvu ya kiutawala.....

    • @GoldenFirdausMedia
      @GoldenFirdausMedia ปีที่แล้ว

      Na kama kweli kungekuwa na wahalifu je? Wakakamatwa huoni kama ingelikuwa ni faida, sio kila kitu kubeza kumbuka wahalifu ni wat kama ww so kufanya ukaguzi ni muhimu hata kama watu safari yao itachelewa tusipende kubeza kila kitu na kuleta ujuaji

  • @rifathoola8654
    @rifathoola8654 3 ปีที่แล้ว

    Hilo ni zoezi zuri nawapongeza lakin wasikomee apo wafanye sehemu zote ili vitendo vya kialifu visiwepo pia mtakapo fanya zoezi ili maeneo mengine msitangaze hadharani kwani app adui anapata njia nyingine ya kufanya!, Ahsanteni.

  • @EdisonMtega
    @EdisonMtega 6 หลายเดือนก่อน

    nimependa kazi ya jeshi letu la taifa i love you jwtz

  • @user-wj8ld4hq9c
    @user-wj8ld4hq9c 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mmekosea Kama wahasi wangejiripua na warinda amani wetu msioneshe mricho jifundisha
    Saruti kwenu wakuu

  • @yahayaomary5639
    @yahayaomary5639 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana ni mazoezi mazuri

  • @ezrachaulajr3789
    @ezrachaulajr3789 2 ปีที่แล้ว +1

    Hapo sawa

  • @omarymweta779
    @omarymweta779 2 ปีที่แล้ว

    Hapo kuna kosa hao wanajeshi wamelifanya , mara baada ya kugundua huyo abiria au muahalifu ana short gun hakupaswa awe na umiliki nayo , ilitakiwa apokonywe kwa maana angeweza kuwajeruhi au kusababisha vifo kwa wanajeshi wetu , but all in all nimeipenda hii operation/ hayo mafunzo

  • @abdulsefu4009
    @abdulsefu4009 ปีที่แล้ว

    Hongera JWTZ kwa Nazi nzuri

  • @user-wx7mr9ts6f
    @user-wx7mr9ts6f 6 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli sasa jishi linawajibika hongera mama hongera mkuu wa majeshi na wakuu wa vikosi nichini safi sana

  • @ktvofficial.2693
    @ktvofficial.2693 2 ปีที่แล้ว +1

    Every educative great job

  • @frederickfredepsywakilongo6941
    @frederickfredepsywakilongo6941 3 ปีที่แล้ว

    kazi njema kwa jeshi letu la taïga💖💖💖jwtz

  • @juliuselisha3532
    @juliuselisha3532 2 ปีที่แล้ว

    Tunaamini kwamba tuna ulinzi wakutosha na serekali tunaomba wanajeshi waongesewe mshahara kwa kazi inzuri wanaofanya asandeni

  • @wakali7849
    @wakali7849 3 ปีที่แล้ว +6

    Kama umeskia baba yalete huku like

  • @selemanimtalika571
    @selemanimtalika571 3 ปีที่แล้ว +5

    Hawa ndio wanastahili kulipwa mishahara vizuri cyo wah wetu hamna wanachofanya bungeni

    • @mamasaahil6468
      @mamasaahil6468 3 ปีที่แล้ว

      Hizo ndo habar za kuongelewa sio Kila sik mm dangote mind na zari

    • @stylishgenius9886
      @stylishgenius9886 2 ปีที่แล้ว

      Wazo zury sn

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว +1

    Subhannallah, mtihani

  • @soleimaniabdul8898
    @soleimaniabdul8898 3 ปีที่แล้ว +1

    Piga fimbo kweli hao majambazi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤🙏

  • @emmanuelyohana8787
    @emmanuelyohana8787 2 ปีที่แล้ว

    Hongereni jeshi la wananchi no Nazi nzuri sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 ปีที่แล้ว

    Ahsanteni jeshi mnafanya kazini vizuri

  • @fabianndimanya2055
    @fabianndimanya2055 3 ปีที่แล้ว +35

    Bora nikavamie mzinga wa nyuki mchana sio hawa jamaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fredynyandoro4266
    @fredynyandoro4266 3 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana wapiganaji wetu

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 3 ปีที่แล้ว +3

    Iyoo milio ya silaha walikuwa wasipige apo maana kuna watoto wadogo kwenye safari iyoo, na kuna wagojwa pia, ila sio mbayakufanya kitu kama icho ni silaha tu kupiga ni kosa kwa watoto na watu wagojwa

    • @benadethamagembe6949
      @benadethamagembe6949 3 ปีที่แล้ว

      Hizo ni blankoo ,yani risasi za mafunzo hazima mdhara kam unavyodhani na hata mlio wake ni wakaida kabisa

  • @aishahaji3128
    @aishahaji3128 2 ปีที่แล้ว

    Vizuri sana wanajeshi wetu

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri sana...big up

  • @alyasaluum1850
    @alyasaluum1850 2 ปีที่แล้ว

    Yeah nimependa sana kwa hili somo

  • @user-gf9ej9nd8m
    @user-gf9ej9nd8m 6 หลายเดือนก่อน

    Ongeren sana ktk ayo mazoezi

  • @abdalakombo1595
    @abdalakombo1595 2 ปีที่แล้ว

    Ni nzuri sana zoezi hili

  • @ummimohammed9359
    @ummimohammed9359 3 ปีที่แล้ว

    nzuri sana na iwe inafanyika kweli marakwamara

  • @pyuritjuvenal7657
    @pyuritjuvenal7657 3 ปีที่แล้ว +1

    Wako vizury good job💃

  • @nyanziratatou5404
    @nyanziratatou5404 2 ปีที่แล้ว

    Raha Sana Tanzania mko makini Sana !

  • @tumainmwakabenga1804
    @tumainmwakabenga1804 2 ปีที่แล้ว

    Ni wa2 wasio na mda wa majadiliano Mungu awabark

  • @hdmakunda2037
    @hdmakunda2037 3 ปีที่แล้ว +6

    Nzuli hii

  • @NdosiLazaro-fs2ve
    @NdosiLazaro-fs2ve ปีที่แล้ว +1

    Apo sawa

  • @mtaitamtaita3834
    @mtaitamtaita3834 2 ปีที่แล้ว

    Kazi mzur san....n elimu kubwa san imetolewa hpo pongz ndug zang

  • @ashimchandey2655
    @ashimchandey2655 2 ปีที่แล้ว

    Funzo zuri sana kwa makobda ambao wao ujifanya wanajua sana pesa popote mtu akipungia gari wao usimama na kumchukua kwakeli sivyema kabisa wengine ni majambaka tu

  • @mohammedhaji7382
    @mohammedhaji7382 2 ปีที่แล้ว

    Hongereni,kwa zoezi

  • @seifmohdtz2275
    @seifmohdtz2275 3 ปีที่แล้ว +12

    Ningekua mmi Nipo hapo ningezimia2 kwakweli😂😂😂😂

  • @dullahmiraji9255
    @dullahmiraji9255 ปีที่แล้ว

    Safi Sana kwa Ukaguzi Lazima Jeshi Kama Jeshi litambue vitu Ambavyo wewe Raiya wa Kawaida huwezi kuvigundua Safi Sana

  • @ZainabSuleiman-ti2wt
    @ZainabSuleiman-ti2wt 5 หลายเดือนก่อน

    Hongereni kwa mazoezi