"ANAKATA ROHO TULIKUWA PALE" MABEYO AFICHUA SIRI NZITO SIKU YA MWISHO HAYATI MAGUFULI AKIWA WODINI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- #OFFTRACKTV #offtracktv #mabeyo #magufuli
VIDEO HII NI KWA HISANI YA - #DAILY NEWS DIGITAL @DailyNewsDigital
Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 whatsapp.com/c...
KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
/ offtracktv
Email | info@offtrack.co.tz
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 769 612 166)
🔴 Email: info@offtrack.co.tz
Www.offtrack.co.tz
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
...............................................................................................
Subscribe: / offtracktv
Dah HATUTAMSAHAU HUYU MWAMBA MAGUFULI 😢😢 MAANA SIO KWA TUNAYOPITIA SASA😢😢😢
Ndugu Hadi watoto mke hawakujua ugonjwa Ni hatari sana
Dr. Samia alipaswa kutangaza kifo Cha Rais JPM akiwa ameisha apa tayari kuwa Rais! Kuapishwa vipi mlitakiwa kusoma katiba sio kujadili na Kutumia busara! Pia mungeuliza Nchi zingine Kwa kupata UZOEFU, lakini nimegundua Mabeyo alitumia Hekima sana! RAIS anaugua Hadi kufa bila mwanafamilia yeyote hata mtoto wake kuwepo! Duh! JPM!
Unapolaumu kwa nini anacheka kumbuka huyu ni komando wa jeshi na aliyekufa ni mkuu wa majeshi.. na kifo jeshini ni jambo la kawaida na hivyo.. ni vyema mfanye Exegesis katika kumkoti mtu katika maelezo yake.. hapo ni background ndio inazungumza na sio tukio la msiba tu wa raisi
Huyu hayupo sawa kinacho chekesha sikuoni
Simuamini general. Haionekani anasema ukweli.
Sasa anacheka nini
Hayo niyakuchekesha
Kweli jamani?
General you are a man who loves your country so much
mungu hapangiwi
Kiukweli Mkuu upo vizuri kimafafanuzi, Mungu aiweke pema ROHO ya marehemu Rais wetu John Pombe Magufuri
C
Nasubri sku niwe rais mimi watasema vizuri magufuli arikufaje na irikuwaje razima niware kichwa wote wario huska
Unafurahi kufa kwa mtu au una maana gani we baba
Pengine anacheka tu kwa machungu jamn 😢😢
Mh,inaumiza sana.R I P,JPM
Kip chakukuchekesha unashangaza ulimwengu hujafisha au hujui maumivu yakufisha
Cheka hatawewe mdaukifka kunawatu watacheka
Mbona taifa halikupewa taarifa ya kuugua kwake??
Eti bhana ndoapo
Siri kubwa
Kifo.cha.magufuli
@@EmmanuelLupoja.
Kuna kitu pale kimenipa mashaka sana
Unacheka nn ww mwenyewe utakufa huna hata huruma
Natamani kuhama nchi ya Tanzania
Walitutangazia raisi alikuwa na tatizo la moyo Leo Na wewe unatueleza kitu tofauti sana ukweli uko wapi hapo?
Umefafanua vizuri sana
Jpm alijuwa kwasababu alikuwa mcha MUNGU malaika walimuletea taarifa
Mchamungu anamjua mungu peke yake Wacha kujidanganya nyau ww
Mwenyezi mungu.azidi kumubaliki.mama yetu samia suluhu asani.%%
Magufuri arkua kabira gani
Mbena
Mbena wa njombe Wanging'ombe usuka
Matukio kahama
Au ni ndugu mwafann
Washenzi wanafk
Kwanini mlifukuza watotowake namkewae nani anabaswakuwakalibu katiyamke nawatuwengine hamkuwasahihi katikohilo
Hujui sheria tulia ww
tunakushukuru cdf
But you could have informed his family
He said very well that they informed the family, learn to listen before you start unleashing your stupidity
Yaani mlibaki bila kujua kuwa JPM angeweza kufa! Mungeuliza if the president dies, what do you think could happen? Mungetengeneza shadow transition hapo mungejua kuwa baada ya JPM kufa haraka alitakiwa kuapa haraka mno! Ili atangaze kifo Cha RAIS
nyimbo ya besiti nas
Cyo kila kicheko kinamaanisha furaha
jpm2takukumbukami
milele
Polen san
mbn mnafanana na magufuli
Mh 😭😭😭😭
Mgufuli
Anikatu menoyako ukumbuke hiyo nidhamana uliyo kuwanayo ilakunawatu unawakela bla kujuwa
Hutuba za j p m
Kismi
Duuuuuh
Kilio 😢😢
Unatukumbusha machungu
Maguli alikuw jembe
Sasa unacheka nini
Kama Jenerali Mabeyo Anaukubali Utendaji wa Rais SAMIA nakusema Utendaji wake ni Mzuri Sana, Wengine wote Mnaobeza utendaji wa Rais SAMIA ni MBWA au NGURUWE
Kulingana na nafasi yake Ni Sheria kukubali Uongoz uliopo madarakan ili kuzuia machafuko
Mmmmm unajipa mamlaka na ulimi kuwapa watu majina ya viumbe waliombwa na wanatii kwa kumbwa kwao je wewe nimtu wa aina gani qu unaubora gani je ulitaka wewe kuwa mwanadamu au umejikuta umeumbwa na ALLAH