MTANZANIA AISHIE MAREKANI ASIMULIA MAISHA YA P.DIDDY “AMEVURUGA KILA SEHEMU”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 80

  • @yohanakateko
    @yohanakateko 3 หลายเดือนก่อน +7

    Didy ni mtu mzuri anachafuliwa tu

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 3 หลายเดือนก่อน +30

    Huyu muongo kwani kuishi marekani lazima amjue mtu kiundani wengine wanatafta kiki

    • @CashMoney-zf4qr
      @CashMoney-zf4qr 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅

    • @fathers19991
      @fathers19991 3 หลายเดือนก่อน +6

      Na ndio sababu uko maskini kisa ujuwaji

    • @Scolayusuph558
      @Scolayusuph558 3 หลายเดือนก่อน +1

      kwakwel

    • @revocatusawadhi6550
      @revocatusawadhi6550 3 หลายเดือนก่อน

      Kwn ww unamjua vzr,kulko yeye

    • @MichaelCosmasi
      @MichaelCosmasi 3 หลายเดือนก่อน

      Anahaki ya kumjua vzr make yuko aliko p, wew uliyoko Tanzania utamjuaje kiundani nawakati haupo karibu naye

  • @frankbujiku9496
    @frankbujiku9496 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera raisi wangu magufuli kwa vitu vyote ulivyo fanya .😢

  • @mgembepaschal
    @mgembepaschal 3 หลายเดือนก่อน +1

    wabongo bana😂😂kwamba mwamba Diamond hamjui😂😂

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ulikuwa wapi siku zote izo.

  • @loitengia4217
    @loitengia4217 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mmekosa vyakupost kabisa kuishi Marekani ndio anamjua sana😊

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tanzania ngumuuu Sanaaa kiraaa mtuuu anajuaaa yeyeee

  • @binzotv2007
    @binzotv2007 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hapa kuna issue hapa : ukija majuu Madem achana nao kabisa tongoza dem mnajuana toka Home maana hata waafrica wanafanya same thing ; they will call police mzee

  • @EmanuelPeterKabunduguru-xz1ul
    @EmanuelPeterKabunduguru-xz1ul 3 หลายเดือนก่อน +5

    Bingwa yupo sahihi,wanamziki wangangapi wameliwa na kivunja mahusiano Yao Kwa ajiri ya kutolewa kimziki? Tujikumbushe enzi za Ruge😂😂😂

  • @Jihelya
    @Jihelya 4 วันที่ผ่านมา

    Nimekuelewa

  • @BlackKing89-l1u
    @BlackKing89-l1u 3 หลายเดือนก่อน +7

    Watanzania wanamna hii niwaajabu sana..yeye huyo Diddy kamjulia wapi zaidi ya kusoma mitandaoni..au alikuwa anapididiwa ndo maaana anamjua

  • @josephifanda5626
    @josephifanda5626 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kitu hapo

  • @williammsenwa2627
    @williammsenwa2627 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kazi nzuri

  • @jiiwolf2900
    @jiiwolf2900 3 หลายเดือนก่อน

    Uyu man Kama mchongo rafudh ake 😂😂au ndy USA Gangster wa Chado Masters 😂😂😂

  • @JosephatMassae
    @JosephatMassae 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mtanzania au mkenya !! Watanzania hatuna accent hiyo ya uongeaji!! Huyo ni mkenya pure!!

    • @Samweli_William_Muvunyi
      @Samweli_William_Muvunyi 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ana rafudhi ya mkenya wa Mombasa.

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@Samweli_William_Muvunyikwakweli nami najiuliza huyu anaongeaje kumbe nanyi mmeliona hilo hii sio accent ya kitanzaniaa

    • @ShufaaMvugha
      @ShufaaMvugha 3 หลายเดือนก่อน +1

      Anaeza ongea kama mkenya kulingana na mazingira . Ss wengne tuko Nairobi Kenya lakn kuongea kiswahili ile ya tzania hatuwez kitokana na watu na nazingira tunayoishi hapa

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg 3 หลายเดือนก่อน

      Sure

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 3 หลายเดือนก่อน

      Ni wenu huyo wakenya hatuzungumzi hivi.

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa mbona Kama tumbili vile, yupo marekani kweli 😂😂😂

    • @KulwaGuga
      @KulwaGuga 3 หลายเดือนก่อน

      Kwan marekani ni peponi au

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 3 หลายเดือนก่อน

      @@KulwaGuga haishi marekani huyo anatafuta kiki tu, kule hakuna mapori ya tumbili Kama huyo asiejielewa

    • @KulwaGuga
      @KulwaGuga 3 หลายเดือนก่อน

      @@laninjeje8290 basi itakua anaishi chanika

  • @amarikakozi8452
    @amarikakozi8452 3 หลายเดือนก่อน

    SIYO MTANZANIA UYO NI MC ONGO TENA TENA MUBEMBE...

  • @bravomwakibango6485
    @bravomwakibango6485 3 หลายเดือนก่อน +2

    huyu jamaa nimemuelewa sana tamaa mbaya wadau, kingine tutafute hela umasikini unaenda sambamba na roho mbaya

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 3 หลายเดือนก่อน

      Unajua jinsi matajiri wana roho mbaya?

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 3 หลายเดือนก่อน +5

    Sio mtanzania ni mkongo uyo mimi naishi nae hapa kwanz ni muongo

  • @NancyPatrick-il8zj
    @NancyPatrick-il8zj 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi siku hizi unahitaji mtanzania anaishi marekani kupata habari za watu maarufu! Au ndio wale waliotoka vijijini wakiwa na ndoto za kwenda Ulaya au Marekani ndio wanakuja kijitangaza huku kwamba wako Marekani/Ulaya!

    • @GideonKelvin-cm5pp
      @GideonKelvin-cm5pp 3 หลายเดือนก่อน

      Sem mkiambiw ukwel mnaon wat n waongo, hujui km ao wanaoish uko nd wanasem ynayoendlea kiuhalisia ila sio vy mtandaon vy mtu kupost maan n uongo tu. Bongo kul hatutajwi

  • @Kokafamil
    @Kokafamil 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kiswahili cha ki Congo au Burundi huyu sio mtanzania

    • @fathers19991
      @fathers19991 3 หลายเดือนก่อน

      @@Kokafamil yani watu WEUSI sijuw mko je ubaguzi acha wazungu watuite nyani

    • @simpleboytz255
      @simpleboytz255 3 หลายเดือนก่อน +1

      Sahihi

    • @ArunaHakizimana
      @ArunaHakizimana 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@fathers19991kbs upo sahihi sijui kwanini watu weusi hatupendani but we all black skin

    • @Fesary
      @Fesary 3 หลายเดือนก่อน

      Upo sawa hata wasanii anaowataja unaona

  • @olomweneelama1240
    @olomweneelama1240 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nihatari kweli jamaa anawandanganya sana tena sana uliza kusu company tu

    • @fathers19991
      @fathers19991 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yani watu wengine kuku kbs mnajifanya km ndugu kwani kila mtu ndio anatumika campany
      Shame u
      Nyambafu

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 3 หลายเดือนก่อน

    Et naijeria😂😂😂

  • @JosephBilombelejosbimtungwa
    @JosephBilombelejosbimtungwa 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hichi kiswahili ni cha watz wa kigoma bro

  • @Seif-re5lq
    @Seif-re5lq 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mkulima wa miwa au mihogo?

  • @AbdulJabbar-hc2wd
    @AbdulJabbar-hc2wd 3 หลายเดือนก่อน

    Ingewezekana uchaguzi unao fata taifa hili linge penda kaachana na chama Cha mapinduzi, na kuhamia nyumbani kwa p Diddy

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mwamba anataka upepo wa p did hana lolote

  • @MussaRobart-w2y
    @MussaRobart-w2y 3 หลายเดือนก่อน

    Kwani shida nini

  • @TambweMasimango-u8s
    @TambweMasimango-u8s 3 หลายเดือนก่อน

    Hila watu niwapumbavu kweli sasa hunajitaje mtanzania wakati wewe ni mcongomani huyo mjinga nimcongo naapa marekani akuna chausanii tofauti nakuingia mcampany nimbembe jina lake anaitwa bichwabele

    • @NyapambaSadokiSango
      @NyapambaSadokiSango 3 หลายเดือนก่อน

      Hayo yote unayoyanongea hapo umeulizwa ?
      😂😂😂😂 yahani watu wengine bana
      Wakati mwengine nibora ukae kimya ili watu wasijue uwezowako wakufikiri

  • @adamkipenga6512
    @adamkipenga6512 3 หลายเดือนก่อน +2

    Media kubwa mnasuport uongo kuishi sio kumjua p diddy makuma nyie mimi nipo marekani mwaka wa 10 sijawahi kukutana na msanii yeyote wasenge nyie acheni uongo

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 3 หลายเดือนก่อน

    HataUkiishi namtu jiran baadh ya mambo huwezi yajuwa

  • @shanizuberi7984
    @shanizuberi7984 3 หลายเดือนก่อน

    Muongo kabisa huyo kwani kuishi marecani ndo kuwajuwa hao wa sanii? Mbona unaweza kuishi marecani miaka na usimuone msanii yeyote

  • @williumgeofrey9587
    @williumgeofrey9587 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni mkongo

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda 3 หลายเดือนก่อน

    Mda wote ulikuwa wapi wew achakuwazuga wabongo wewe p did ni mafia

  • @fidelbinmalouda558
    @fidelbinmalouda558 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @getajo1153
    @getajo1153 3 หลายเดือนก่อน

    Mkubwa Milard Ayo hapa umepuyanga,, tunaokufuatilia tupo wa uelewa tofauti... Labda kama kuna wapumbavu bado wapo wakiskia mtu anaishi Marekani basi wanaamini anajua kila kitu.. Maisha ya P Diddy hata jirani yake anayasoma mtandaoni itakuwa huyu uliyemwokota sijui wapi?.... Ujinga mtupu...

  • @AnnaGeorge-p2i
    @AnnaGeorge-p2i 3 หลายเดือนก่อน

    Anatafuta kiki huyo.

  • @simonshija2476
    @simonshija2476 3 หลายเดือนก่อน

    mwanaume kuvaa hereni mikama mbwa kuvaa viatu tu!!!

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo s muokota makopo tu nan anamjua

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 3 หลายเดือนก่อน +1

    mbona mchafumchafu

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwn amekufunua sketi?

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 3 หลายเดือนก่อน

      @@rumdeesonsoa1811 we unaonaje ndugu??

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 3 หลายเดือนก่อน

    Stori za uongo uongo sometimes aiseee Ulaya magharibi au Marekani mtu mweusi ukiwa bilionea lazima baada ya miaka kadhaa utafutiwe sababu wakufilisi

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 3 หลายเดือนก่อน

    Mnashindwa kujadili vitu vya muhimu munajadili upumbavu nyie wachokonozi ndio saizi yenu

  • @revocatusawadhi6550
    @revocatusawadhi6550 3 หลายเดือนก่อน

    Mtu unakaa Buza kw Mpalange ndan Ndan unakuja kusema et uongo,semen na nyie ukwl wenu

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 3 หลายเดือนก่อน

    Mjinga mmoja mweusi anamsema vibaya mwenzake bado hatuwezi kumwelewa asitushawishi

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 3 หลายเดือนก่อน

    Mbwa wewe

  • @Rennyanselim
    @Rennyanselim 3 หลายเดือนก่อน

    Mjinga tens mbea kaongee ya kwako

  • @Rennyanselim
    @Rennyanselim 3 หลายเดือนก่อน

    Mjinga tens mbea kaongee ya kwako