Nimelia sana hii story imenikumbusha mbali sana,haya yalinitokea nikamwacha mtoto wa miezi 7,ila mungu alinifungulia milango nikamchukua mwanangu baada ya mwaka,namuomba Anwar amsikilize mama yake shida hua zinatenganisha watu,huyu mama alimuacha mtoto Ili akue labda angekaa nae kwa magumu angekufa
2napitia magum sana wkt mwingin ata unaona bola uishi mwenywe2 mm pia nimekosana nae lkn nashukulu nilienda muachia mama yngu kamlea kwa shd mpk ss nipo nnchi za kiarabu wana2umiza mno wanaume
Sasa watuwengine hawajui maisha tunayopitia wao alhamdulilah hawajapata changamoto washukuru ila hakuna mama anaetaka kukaa mbali na mwanawe ila ugumu wa maisha jamani wazee wanyonge hawana uwezo unamtowa mwanao kwa uchungu huku ukilia
😭😭😭 Mungu ambariki sana huyo mama na watoto wake waliokaa nae baada ya kaka yake kufariki mpk kujifungua.. Ni vgm kukubali kuishi na binti wa watu mjamzito usiyemjua! Nendeni na mama mkamuone ikiwezekana kuonesha japo moyo wa shukrani, na hata huyo mzee Anuari alikutoa pagumu sana. Yote kwa yote ashukuriwe Mungu hukupata wazo la kuitoa mimba, mabinti wengi kwa mapito hayo wangetoa tuu, Anuar mama yako hana makosa ...hakukutupa aliteseka ki mwili na kisaikolojia...utakua umesikiliza upande mmoja, msikilize na mama sasa
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Sad story uyo mtoto amtunze mamaake ampoze machungu mamake Nampenda saana Mama yangu Mungu amtunze Mama yangu ukiangalia video kama hizi inaongeza mapenzi kwa mama
Shangazi acha chuki maana ww ni baba. Nampenda sana shangazi yangu maana hata mimi nimelelewa na shangazi. MUHIMU "SHANGAZI NI BABA" Msamehe mama anuari
Kila sifa njema ni za Mwenyeezi Mungu Alie wapa afya na maarifa ya kuwakutanisha watu na hi yote ni mipango yako Allah Aqbar Mungu ni Mkubwa , hakuna atakae kufa mpaka mapenzi ya Mungu yatimie.
KUZAA SIO KAZI' KAZI NI KULEA! HONGERA SANA SHANGAZI. HII NDIO MAANA HALISI YA ULE WIMBO KWAMBA NI BORA KUMPENDA MUNGU KULIKO MZAZI! MAANA MAMA ANAWEZA KUKUZAA NA KUKUTUPA!
Shangazi ulijitahidi kumsitiri kakavyako lakini usimlaumu wf yako mwamke menzako. Hongera ka malezi. Anuar wewe ni mwanaume chunga matendo kama ya babako. Utamuumiza mzazi mwenzio
Nimejisikia vibaya sana kutokana na hii story na nimejifunza vitu vingi sana ki ukweli sisi wanaume tunawakosea sana wanawake nimeumia sana nawapongeza sana ninyi watangazaji hii ni elimu kubwa sana kwetu
Wacheni uzinifu nyie wabongo cc wapemba maisha yetu pia magumu tunaowa tunazaliana watoto wengi na hatutelekezwi hata tuwe na miaka 30 tunakuwa na familia zetu nynyi mtoto mmj mnamtupa mnapenda kuishi maisha ya kuiga mda wote starehe na kujipamba hamtaki majukumu bc mczae mnawatesa wanawake na watoto wanahangaika na biashara na watoto migongoni musiishi ka kuiga ishiini maisha halisi oweni mjenge familia kuna uzee
Hata Baadhi ya wanawake ni wakatili sana mimi wangu kaniachia watoto wawili..mmoja anayenipenda sana kaondoka nae... Sometimes nalia sometimes najipamoyo watakua..na tutaonana..
Nyie ni kweli maisha ni magumu ila kuacha mtoto hapana. Nimepitia kulea mtoto pekeangu ni kiwa under18 sikuwa na ata pakuishi ila sikuwahi kumuacha mwanangu hadi leo hii. Huu ujinga mtupu shangazi yuko sahihii kabisaa.
Waandaji wakipindi Mungu awape maisha maisha marefu
Jina La Bwana YESU Libarikiwe Mungu Wetu Ni Mema
Mama pole Sana unaongea huku unatetemeka na pressure just ni jinsi gani umeumia daaaaaa pole Sana mama Mungu atakulipa kwa uliyo yapitia
Nimelia sana hii story imenikumbusha mbali sana,haya yalinitokea nikamwacha mtoto wa miezi 7,ila mungu alinifungulia milango nikamchukua mwanangu baada ya mwaka,namuomba Anwar amsikilize mama yake shida hua zinatenganisha watu,huyu mama alimuacha mtoto Ili akue labda angekaa nae kwa magumu angekufa
2napitia magum sana wkt mwingin ata unaona bola uishi mwenywe2 mm pia nimekosana nae lkn nashukulu nilienda muachia mama yngu kamlea kwa shd mpk ss nipo nnchi za kiarabu wana2umiza mno wanaume
Sasa watuwengine hawajui maisha tunayopitia wao alhamdulilah hawajapata changamoto washukuru ila hakuna mama anaetaka kukaa mbali na mwanawe ila ugumu wa maisha jamani wazee wanyonge hawana uwezo unamtowa mwanao kwa uchungu huku ukilia
@@gulfomanbb2119 baadhi ya wanaume wabaya mno na wanawake wengine pia wabaya sana
Huyu mama naye.....
😭😭😭 Mungu ambariki sana huyo mama na watoto wake waliokaa nae baada ya kaka yake kufariki mpk kujifungua..
Ni vgm kukubali kuishi na binti wa watu mjamzito usiyemjua!
Nendeni na mama mkamuone ikiwezekana kuonesha japo moyo wa shukrani,
na hata huyo mzee Anuari alikutoa pagumu sana.
Yote kwa yote ashukuriwe Mungu hukupata wazo la kuitoa mimba, mabinti wengi kwa mapito hayo wangetoa tuu,
Anuar mama yako hana makosa ...hakukutupa aliteseka ki mwili na kisaikolojia...utakua umesikiliza upande mmoja, msikilize na mama sasa
Asa kumbe ulimtupa!Acha kulia
Umetuliza kwakweli
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Sad story uyo mtoto amtunze mamaake ampoze machungu mamake
Nampenda saana Mama yangu Mungu amtunze Mama yangu ukiangalia video kama hizi inaongeza mapenzi kwa mama
Nyie machozi yananitoka
Saana Yani
Shangazi acha chuki maana ww ni baba. Nampenda sana shangazi yangu maana hata mimi nimelelewa na shangazi. MUHIMU "SHANGAZI NI BABA" Msamehe mama anuari
Daah leo nimemkumbuka marehemu mamangu. Rip mom
😭😭😭 Mama ni mama tu
Pole sana
😢😢😢😢😢
Allah awajaalie kina mama wote wanaotelekezwa na waume zao
Daaah hii imenitowa machozi mm jamani🇰🇪
Nafurahi sana kufatilia kipind hiki..shida nazidiwa na machozi jmn naumia
Hongera pia shangazi kwa kumlea hadi kukua Mungu akubariki ila mawifi daah
Pole sana mama, kwnn hy mjomba alikupiga alitakaje sasa na wkt kwk kakufukuza, mama unaongea kwa uchungu hadi unatetemeka
Wallah imeniliza mno sina la kusema clouds nawapendaaaa woootee
Jamani msituuimize tunawaumiza watoto😭😭😭 wifi Kwa mdomo huo mama asingefiti kwenu
Daaaa! Nimelia mnoo ila Baba ndio aliesababisha hayo uyo shangaz nae anaongea tu ila kosa la kaka yake
Kabisa my
Anamtetea udugu wake
Kila sifa njema ni za Mwenyeezi Mungu Alie wapa afya na maarifa ya kuwakutanisha watu na hi yote ni mipango yako Allah Aqbar Mungu ni Mkubwa , hakuna atakae kufa mpaka mapenzi ya Mungu yatimie.
Uwiiiiiiiiii 😭😭😭😭😭 inatia uchungu jamaniii 😭😭😭😭😭
Khaa nimelia Sana wallahi 🙌 mpka macho kuvimba 😭😭😭😭
Pole sana, Hilo, janaume halina hofu ya mungu,kwa Lina kataa damu yake,
KUZAA SIO KAZI' KAZI NI KULEA!
HONGERA SANA SHANGAZI.
HII NDIO MAANA HALISI YA ULE WIMBO KWAMBA NI BORA KUMPENDA MUNGU KULIKO MZAZI!
MAANA MAMA ANAWEZA KUKUZAA NA KUKUTUPA!
Mashaalah ❤️🙏 mungu Ni mwema
Anuary Mungu akuongezeee
Jamani nimelia mwenyeezi mungu awatangulie kwa kweli
Pole nimelia Sana pole mwanamke mwenzangu
Wanawake tunapitia magumu sana imeniuma sana😭😭😭
Jamani mungu hashindwi da geya na jopu lako lote mungu awabariki
Alhamdulillah 🤲 mwenyeezi mungu mwema hakika machozi yamenitoka jamani😭
Umuunganishe na ndugu gani wakati walikataa kukusaidia kulea
Maskini wa maman tuheshimike 😭😭😭
Hongera kwa kumpata mama ila usimsahau Aunt
Pole shangazi umefanya sehemu yako. Imetosha
Clouds hongereni sana nawapenda 😭😭😭
Mungu Awatie Nguvu
Bwanaeee mama ni mama tu ata iweje.❤❤
Kbsaaaa
Wallahi nimelia sanaaa😭😭😭
Yani Acha Tuu 🤔🤔🤔😭😭😭
Shangazi ulijitahidi kumsitiri kakavyako lakini usimlaumu wf yako mwamke menzako. Hongera ka malezi. Anuar wewe ni mwanaume chunga matendo kama ya babako. Utamuumiza mzazi mwenzio
Nimejisikia vibaya sana kutokana na hii story na nimejifunza vitu vingi sana ki ukweli sisi wanaume tunawakosea sana wanawake nimeumia sana nawapongeza sana ninyi watangazaji hii ni elimu kubwa sana kwetu
Ur right kk
Uko Sahihi Kabisa Kakaangu Yani Kuna Muda Tunaumizwa Saana Na Baadhi Ya Wanaume Na Waotaabika Ni Watoto😭😭😭
Allah awalipe inshaallah nimelia sana
Hongera Shangazi japo unadukuduku ila kaka yako ndo chanzo
Mashaalah kaka mwijaku leo amepoa
Ukiangalia huyo shangazi alivyo tuu mama kapitia magumu kwa hyo familia ya mume3
Mungu wambinguni amubariki sana 🙏🏼🙏🏼
Uyu shangazi lengo lake anuari amkatae mama ake au 😢mi sijamuelewa
Pole saana mama mungu akusaidie
Poleni na watangazaji naona mko katika hali ngumu inauma sana
Nimejikuta nalia 😭😭😭😭😭
Dear God mkumbuke kila mama apitiaye magumu I can't hold my tears 😭 😭 😭 😭 😭 😭
Hamja mtendea haki shangzi jamani!
Miezi3🙌🙌🙌🙌
Subuhanallah polesana mama inauma jamani basitu
Story kama hii inahitaji muda why did you call her?
Kwa kweli clouds ni Radio ya watu
Hongereni sana Leo tena kwa ubunifu wetu
Mungu awabariki sana
Leo nimemkumbuka marehemu mwl Agatha Shigongo mama yangu mzazi rest in peace my mom😢😢😢😢
Nimelia sana jaman 😭😭😭😭😭😢😢
Kuna mahali ukiwaza unapitia magumu lakini ukisikiliza ya wengine utaona afadhali ya kwako....😢😮
Naliya sana namaneno kijana anamwambiya mamayake 😭😭😭😭😭from 🇧🇮🇧🇮
Bora kaongea hajawa mnafki
ndioooo duh nimelia dah bc tyu😢😢😢
Uyu shangaz ana mdomo sana
Nampenda sana mwanangu jamani tena sana sintamwacha kamwe labda nife jamani
Kweli kbs my
Raha Sana kukutana na mama nmelia Kwa furaha
CLOUDS MEDIA GROUP LEO TENA JOSEPH KUSAGA💪🏾💪🏾
Wallah nimelia 😭😭😭
Pole sana
Shangaz ana sumu kwa mtt sijapenda yaliopita si ndwere
Pole sana mama
Hongereni kipindi kizuri
Jaman😭😭😭😭😭😭
Shangazi hayaoni Makosa ya kaka yake😢
So touching😭😭😭😭😭
Nimelia sana daaah😭😭😭😭😭
Huyu kijana katiwa sumu kwao anaamini km mamaake kamtupa tu hajui kuwa alikuwa na sababu yakumsave yeye uhai wake .
Dh pole sana
Dahhh imeniliza mno ,,, anuary anajitambua mungu awape umri mrefu na awape afya njema dahhhhhh,,,, ni wangapi wametelekezwa km anuary
Umeiona huyo mama anavoongea kwa uchungu had anatetemeka, uwe unasikiliza story kuanzia mwanzo had mwisho😢😢😢😢
😭😭😭😭😭nimelia Sana jamani stori ya huyu mm Mungu ni mwema kwakweli
Hongereni sana clauds naona mmechukua staili ya ulaya
Na huyo Anwar kalishwa sumu sana kuhusu mama ila ampe nafasi mama yake angesikiza ushauri wa watu angemtupa au angetoa mimba
Shangazi ni mnoko anangenga hatar roho mbaya yan inavyoonekana alimfukuza kweli huyu mama
I see myself on that shoe
Anuary kijana muelewa sana❤❤
Jamani nimelia sana😭😭😭
Uyu shangaz mbaya namuona kabisa ilA uyu dada alikua anawakati mgumu sana, wanaume sijui mnani nini ehe
Hakuna mzazi anaependa kuacha mtotot wake Jamani ni maisha tu 😢😢😢😢😢
Mmmm nani kama mama😢😢😢😢😢😢😢
Clouds mbarikiwe
Wacheni uzinifu nyie wabongo cc wapemba maisha yetu pia magumu tunaowa tunazaliana watoto wengi na hatutelekezwi hata tuwe na miaka 30 tunakuwa na familia zetu nynyi mtoto mmj mnamtupa mnapenda kuishi maisha ya kuiga mda wote starehe na kujipamba hamtaki majukumu bc mczae mnawatesa wanawake na watoto wanahangaika na biashara na watoto migongoni musiishi ka kuiga ishiini maisha halisi oweni mjenge familia kuna uzee
Sharing zenu
Da yani nimelia sana 😢😢😢
Lailahailallah mohamad rasuli llah pole mom anuari
Nimeshindwa kuvumiliya nimeliya sana roho imeniuma
Mshikien bas maic anatetemeka asikiki vzr
Hata Baadhi ya wanawake ni wakatili sana mimi wangu kaniachia watoto wawili..mmoja anayenipenda sana kaondoka nae...
Sometimes nalia sometimes najipamoyo watakua..na tutaonana..
Usijal tunza watoto watakufaa baadae
Ni kati ya baraka nayo ipenda sana toka kwa Mungu..naamini wananifaa hata sasa
@@chellynpanja3970 M/Mungu Aendelee Kukucmamia Ndugu Yangu 🙏🙏🙏
Baba ndo chazo walla sio mam shangazi tulia
Nimelia sanaaa
Shangazi ana gubu😢😢😢😢😢
Daaah nimelia
Lzm utoe chozi
Inauma Sana
Lkn Mungu yu mwema
😭😭😭 kwakweli maisha yanachangamoto Sana
Ukwel umeniliza jaman dada kijana nimekuped sana upo Makin
Mm mwenyewe nilifukuzwa na Sina wazazi Wote wawili na nnawatoto naumia sana
Nikweli kabsa hakumuacha kwa ubaya alimuacha kufatan na changamota za maisha
Mhhmm kiukwel haya maisha yanachangamoto zake japo hazifanan kuhusu wazaz jaman inauma
Duu inauma sana jaman
Zimeni muziki uliopo background unasumbua
Nyie ni kweli maisha ni magumu ila kuacha mtoto hapana.
Nimepitia kulea mtoto pekeangu ni kiwa under18 sikuwa na ata pakuishi ila sikuwahi kumuacha mwanangu hadi leo hii. Huu ujinga mtupu shangazi yuko sahihii kabisaa.
Pole kwa Hilo lkn kila mtu na mapito yake
Kabisa jmn kila mtu na mapito yake tisihukumu Bora alimuacha salama kuliko kumtupaa
Miaka hiyo na Miaka ya sasa hivi kunautofauti
@@zulfajohnkilongozi4943 ahsante dear ila siyo kwa kumuacha mtoto wa miezi 2 pia ukisikiza maelezo yake unaona ujana bado ulikuwepo😅😅
@@mwanaishamkindi7763 ni sawa ila mtoto wa miezi 2 yuko na roho haki
Jamani 😭😭😭😭😭😭
It’s pain jamani 😥😥
Nimaumivu makali sana ,wanaume wawe na huruma watu tunapitia magumu sana ,imenigusa sana nimelia sana
Daaaah kijan mpende mama ako jaman