ELIMU DUNIA: MAMA ASIMULIA ALIVYOMTELEKEZA MTOTO WA MIEZI 2, BAADA MIAKA 20 AMPATA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 239

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 2 ปีที่แล้ว +5

    Hii inatufundisha tusiwatupie lawama halaka halaka wazazi wanaotupa vichanga vyao maana hatujui kilichowasibu Mungu nisaidie sana nisiwe miongoni mwa watoa lawama bila kujua kiini chake🙏🤲

  • @melvinkyando9081
    @melvinkyando9081 2 ปีที่แล้ว

    Asantee sana grouo kakunyima aunt maelezo maana nimswahili

  • @wamugimohammed3848
    @wamugimohammed3848 2 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah ! Hii diyo kazi ya mawifi ! Mm pia kapitia hiyo REHEMA Alipitia ! Kwa sasa ALAHAMDULILAH kwa sasa watoto wangu wameniweka salama na ALLAH Awape wema Maishani yao AMIN AMIN! PIL WATANGAZAJI DUA ZANGU ZIWE MAQMBL KWENU AMIN AMIN ! Kazi nzuri ! MAWIFI DIYO KAZI YAO HIYO !

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim1989 2 ปีที่แล้ว +2

    Mama Anuari yupo sahihi ulitaka afanyeje?

  • @dorrinahlutaa7458
    @dorrinahlutaa7458 2 ปีที่แล้ว +3

    Wamama wanapitia magumu.mungu bariki kina mama 😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @desirenathan3734
    @desirenathan3734 ปีที่แล้ว +1

    Shangazi huku mukali. Jamanii. Mama ni mama. Hata ikuwenje

  • @marykakolaki1169
    @marykakolaki1169 2 ปีที่แล้ว

    Mama ni Mama Asantee mtt kumsamehe Mama yko sie wazazi tunapitia Shida sana , Niwashukuru sana .Mbarikiwe wotee mapoja na Mwijaku

  • @irenebaraka9268
    @irenebaraka9268 2 ปีที่แล้ว +3

    Mtu yeyote aliezaa anaejua uchungu wa kuzaa lazima ulie pole mama na hongera sana kwa kukutana na mwanao

  • @rehemajuma2202
    @rehemajuma2202 2 ปีที่แล้ว +3

    Hongera watangazaji,mtoto ni mama....shangazi tulia....

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 2 ปีที่แล้ว +2

      Shangazi kiherehere anaadhirika mama ni mama tu ata kama alimtupa mtoto anataka mamaake shangazi weee

    • @judithmollel626
      @judithmollel626 ปีที่แล้ว +1

      Uyu shangazi mnafiki sana Yani kanikera kweli kuna mzazi anaweza kumtelekeza mtoto wake

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 3 หลายเดือนก่อน +1

      Shangazi hata ubinuke huwez kuwa kama mama utabak kuwa shangazi tuuu

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 2 ปีที่แล้ว +2

    😭😭😭😭😭😭😭 Kipindi kinaniliza sana kwasie tuliolelewa bila mama hatuwezi jua mama zetu walikua wanapiyia yapi kwa baba zetu ilobaki nikumshukuru MUNGU kwakukutana na kusameheana na kuruhusu Maisha mengine yaendelee

  • @olphamoraa6683
    @olphamoraa6683 2 ปีที่แล้ว +7

    Inaumiza sana yaani mama umenitoa machozi sana hila ni raha mungu ni mwema

  • @williammorgan2204
    @williammorgan2204 2 ปีที่แล้ว +6

    😭😭😭😭Mama ni mama2 hakuna mama anae penda kumuona mwanae anateseka ni changamoto za maisha2

    • @shabanihassani7115
      @shabanihassani7115 ปีที่แล้ว +1

      Wapo wengne hawalijali wanawatelekeza makusudi

  • @agnesmgohele2413
    @agnesmgohele2413 2 ปีที่แล้ว +2

    Soo touching 😭😭
    Hakuna mkamilifu
    Shangazi shangazi🙌🙌

  • @rodageoffrey8556
    @rodageoffrey8556 2 ปีที่แล้ว +2

    Ni kaz sana kumuelewa huy mama lkn najiona mm kweny kiatu chake😭😭😭😭😭ila tuliotelekezwa na mmba dah

    • @rodageoffrey8556
      @rodageoffrey8556 2 ปีที่แล้ว +1

      Shangazi💏😅😅😅😅😅hzo pole za nn c mwanae huy ahya mwemzie kaeleza alkopata jina la anuar aahya na yy aeleze au anajibebisha hapo nawachukia mawif mm😡

  • @furaharyana5019
    @furaharyana5019 2 ปีที่แล้ว +4

    Kumwacha mtoto wa miezi 3 ni kosa kisheria maana mtoto hakuwa na kosa hata angenyimwa matumizi angepambana tuu ata angefanya kazi za ndani wamama inatakiwa tuwe majasiri ata ukiwa na ali ngumu Mungu angemjalia angepata tu maisha

    • @sharonyasin7521
      @sharonyasin7521 2 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa mi mwenyewe mimepambana kuna wakati najiuliza nilipopita najishangaa

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 3 หลายเดือนก่อน +1

      Usijishangae mpendwa ni Mungu tuu mie mwenyewe nikijiulizaga nakuta namshangaa Mungu sio sisi ila ni Neema tuu Kila jaribu Lina mlango wa kutokea dear

  • @AnethMushi-c3e
    @AnethMushi-c3e 3 หลายเดือนก่อน +1

    Shangaz ni baba kasoro surual ww ulisimama kwa niaba ya kaka ako inatosha ila chanzo ni nduguyo

  • @jamilamwangoka1055
    @jamilamwangoka1055 2 ปีที่แล้ว +2

    Akuna lolote mama ni Mama tu mbaona uyoshangazi take aeleweki anataka kumtia ubaya kwamwanae ilimtoto amuone mbaya

  • @fridaernestmkedege900
    @fridaernestmkedege900 2 ปีที่แล้ว +4

    Tusimlaumu sana mama anuary... huenda alikuwa na umri mdogo!

  • @saumugunga8453
    @saumugunga8453 2 ปีที่แล้ว +1

    Habari zenu mimi ninafuraha sana kwa kazi nzuri mimi ni saumu kutoka kenya mombasa ninaomba msaada kwenyu niko na kijana anaitwa RAJAB SALIM kutoka Dar salama. Ako na miaka mingi sana hajaenda kwao naomba msaada

    • @khadijaabdul1970
      @khadijaabdul1970 2 ปีที่แล้ว

      Rajabu na mie namtafuta ndugu yangu mtoto wa dada angu tumepoteana tokea mwaka2003 baba ake alipo kuja kumchukua mkononi kwa Bibi ake 0659175958

  • @zainakurro5698
    @zainakurro5698 2 ปีที่แล้ว +1

    Maskin mama Anuary mpk anatetemeka pole alhamdulilah

  • @juneydeatakujadaimondomar5549
    @juneydeatakujadaimondomar5549 2 ปีที่แล้ว +3

    Mama anuary bado alikuwa ni mdogo ictoshe hana wazazi

  • @gililwise
    @gililwise 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu wangu wasaidie wamama wanaopitia katika matatizo kama haya.

  • @juliethjohn413
    @juliethjohn413 2 ปีที่แล้ว +4

    Mmh aisee nimelia Sana Leo jmn kwakweli wanaume Wana weza kusababishasisi wanawake tukaonekana tuna roho mbaya sana hat wanaotupaga watoto Maji yanakuwa ymefika shingon kulingana na maadili mtu anaona familirahi Bora atupetoto atapata mweingin e mmh Mungu tusaidie wanawake Mimi ninalea watotl watatu Kila mtoto na baba yake na sikuwahi kuwaza Hilo nasijui huwa nakosea wapi mpaka sio lew mmm hhhh nimelia sana jm😭😭😭😭😭😭😭😔😔😔😭

    • @adrophinakamugisha5014
      @adrophinakamugisha5014 2 ปีที่แล้ว

      Mungu ndo anaepanga maisha yetu,kikubwa watoto unao kuna wenye ndoa na hawana watoto,hakuna fraha kama kuitwa mama,tuko wengi ila life linasonga alafu milo yote 3

    • @nassoralinassor1698
      @nassoralinassor1698 2 ปีที่แล้ว

      Innaumaaa yaaniii annuar huyo ni mama ake shukuru kwa kukubeba tumbonii kwake na kukuleta duniani

  • @mamarazaki8975
    @mamarazaki8975 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyu shangazi inaelekea kampa sumu nyingi anuari Ila kwamungu hakuna linaloshidikana anuari mpokee mama yako hakuna mkamilifu chini ya jua Allah atakufanyieni wepesi kwakila jambo

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 2 ปีที่แล้ว +1

      Ndio mana anaazirika usikute yeye ndio aloficha mtoto halafu anaongea uongo eti kasema anapiga debe na mtoto shangazi shangazi hakuna kama mama wewe shangazi tu

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 2 ปีที่แล้ว +3

    Mwacheni Shangazi alie kwasababu
    alisimamia makuzi ya mtoto.

  • @leylascherer3111
    @leylascherer3111 ปีที่แล้ว

    Hichi kipindi😢 is the best 😢 Mimi nimenyanganywa watoto wangu😢kila siku nalia umama nikazi

  • @Kanezaestella1481
    @Kanezaestella1481 2 ปีที่แล้ว +3

    Nimewapenda sana group bongo 5 kwa kumnyima shangazi muda wa kuongeya kwani hakuna kama mama.

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 2 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa shangazi anataka kuleta kiherehere chake

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 3 หลายเดือนก่อน

      Akae Kwa kutulia

  • @jackdaniels9323
    @jackdaniels9323 ปีที่แล้ว

    Daaah imn nmelia hd kwikwi

  • @emmyfoyi8461
    @emmyfoyi8461 2 ปีที่แล้ว +3

    Nisingemuacha mtoto wanguu mburaaaaaaaa

  • @houseofbeatytv9682
    @houseofbeatytv9682 2 ปีที่แล้ว +2

    Aii mejikuta nalia but All in all Pole mama shukran anuary kwa akili yako ya kujua mama ni mama

    • @ummyyusra6740
      @ummyyusra6740 2 ปีที่แล้ว

      Mashangazi wamerogwa na nani mtoto kasamehe mengine mapito hayo

  • @matswelopelemphela261
    @matswelopelemphela261 2 ปีที่แล้ว

    Pole Sana Sana na hongera kwa kumpata mwanao.

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana mama na hongera kwa kukutana na mwanao

  • @Estherbongo
    @Estherbongo 2 ปีที่แล้ว +2

    Nilichojifunz kwa anuar si kwamba ni kibur ila anajikaz

  • @annakinyami2998
    @annakinyami2998 2 ปีที่แล้ว +6

    Shangazi. Wa anuary hakutumia hekima kabisa akumbuke chanzo nikaka ake alitakiwa amchukuwe mama na mtoto ili amnyonyeshe mwanae huyu mama angeweza kujiuwa au kutoa mimba au kumtupa

  • @conymbetsa9377
    @conymbetsa9377 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimelia sana

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 2 ปีที่แล้ว +16

    Waraaah wanaume kuna muda huwa wanasambalatisha family daaaah huyu mama moyo wake unamaumivu anaongea mpaka anatetemeka

    • @lisahhans295
      @lisahhans295 2 ปีที่แล้ว +1

      GEA KAPENDEZA NA GAUN LAKE NA ILE RANGI YA MTUME KAWA KAMA MWARABU JAMANI.MWIJAKU ANATUNZAAÀ!!!!.

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว

      @@lisahhans295 kwani gea mumuwe ni mwinjaku

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 ปีที่แล้ว +3

    Pole mama inaliza😭😭😭😭😭

  • @emmyfoyi8461
    @emmyfoyi8461 2 ปีที่แล้ว +1

    Uyooo shangaz mwendawazimuu kaongopaa nn hapooo

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 2 ปีที่แล้ว +1

    Mie nimefurahi Sana nawashukuru clouds. Mwiaku mungu awabariki maana mashangazi hamuwajui itakuwa huyo kaka yake alikuwa na pesa. Mie yangu ni makubwa mpk nimelia nayaona ni yangu

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 2 ปีที่แล้ว

      Mie wangu aliambiwa nimekufa na mashangazi we Mungu acha aitwe Mungu asaivi nafuaha na Mwanangu wamebaki njoo Manunu njoo wapii pale mlipo ninyanganya na kunipeleka polis 👮‍♀️ na kunipeleka mahakamani mtoto wangu mwenyewe tena mdogo tena baba amefariki machungu na Msumari wa moto juu

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 3 หลายเดือนก่อน +1

      Pole mtoto ni mama!Labda akukabidh mwenyewe sio kumnyang'anya

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 2 ปีที่แล้ว

    mhh aiseh nimeumia sana mimi niliteseka kwanzia mimba mpk kulea mtoto japo sikumtelekeza mtoto au kumtupa ila niliyopitia mpk leo sijasubutu kuzaaa tena,kifupi tunaowapenda na kuwapa mioyo yetu wakishindwa kututhamini kipindi tumatatizo ni rahisi kufanya maamuzi magumu na huwa yanaumizaa baadaye,3 months my man married his x and chase me to his mother house,ila leo ninamaisha yangu na bado nalea mwanangu.more man's are evil,really nimerudisha siku nyuma nilizoteseka duh wacha nikae alone with my son.

  • @iloveoman7515
    @iloveoman7515 2 ปีที่แล้ว +2

    Uyu shangaz hapo ametuonuesha kua hakua na Tabia njema

  • @malkiawanguvu3150
    @malkiawanguvu3150 2 ปีที่แล้ว +5

    Aiseee hivi vipindi vinaliza saana saana ctaki tena kuangalia😭😭😭😭😭😭

    • @imeldaelias6303
      @imeldaelias6303 2 ปีที่แล้ว

      Unalia coz Kuna Mahali umepita ni pachungu Sana! Always aliyepitia kwenye kipindi kichungu lazima Alie tu we are the same road hata Mimi nimelia sana

    • @malkiawanguvu3150
      @malkiawanguvu3150 2 ปีที่แล้ว +1

      @@imeldaelias6303 nakumbuka mamayangu nilimjua nikiwa darasa la 4 sasa hiyo siku nililia saana tena saana na huwez amini alikuja shulen nikaitwa ofisin nikaulizwa huyu nani ,. Nikilio tu na machozi huku nikisemama mama wakati cjasahi kumwona ndio ujue damu nzito

    • @malkiawanguvu3150
      @malkiawanguvu3150 2 ปีที่แล้ว +1

      Ila kwa mwanamke yeyote kwa maelezo ya huyu mama lazima ulie tu! Kilanmmoja anamapito na historia za machozi ktk maisha yake, history zangu ni nyingi saana, nikifumba macho hiviiiiiiiiiii nikiwaza na nikifumbua ni machozi! Ila Mungu ni mwema mpaka sasa nasema asante ndio kujifunza ktk dunia hilii

    • @sashahauke2032
      @sashahauke2032 2 ปีที่แล้ว

      Kweli ndugu mimi nimelia sana sana sana san

  • @madawakemikali776
    @madawakemikali776 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyo shangazi kiranga Sana na inaonekana alikuwa mtu mbaya Sana anavtoho mbay

  • @charlessilwimba4770
    @charlessilwimba4770 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwajinsi ninavyowajua mashangazi jamani! Huyu shangazi pia ni mama, ahsante Kwakua hukustahili iyo adhabu ilihali starehe zilkuwa zao wawili, ilipaswa akuombe msamaha na akushukuru hakupaswa kulipwa hayo, sawa n sahihi mama kukutana na mtoto ila aombe msamaha & amshukuru, hongera kwa busara anuari ni wazi shangazi amekulea kwa maadili mazuri.

  • @halinotialicenunu656
    @halinotialicenunu656 2 ปีที่แล้ว +2

    mungu azido kuwabariki

  • @tinnabenben2328
    @tinnabenben2328 2 ปีที่แล้ว +2

    Inaumiza Sana jmn pole Sana mama angu uchungu wa mtoto aujuae mama nimelia sana

    • @gracembise906
      @gracembise906 2 ปีที่แล้ว +1

      Wow Gea na timu yako...
      Nmewapenda ....
      MUNGU AWATUNZE...

  • @fsaad5116
    @fsaad5116 2 ปีที่แล้ว

    Mbona music ya nini

  • @mauasylla5024
    @mauasylla5024 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyu shangazi alijuwa huyo mama hatomtafuta mwanaye. Na bila Shaka walimjaza huyo Anwar maneno mabaya kuhusu mama yake. Sasa analia sababu huyo Anwar atapata stori kutoka pande mbili na ukweli ataujuwa. Huyo shangazi analia kwa mengi. Jamani , "tenda wema nenda zako, usingoje shukrani". Mungu ndiye mlipaji usilazimishe malipo.

    • @nuruemma7258
      @nuruemma7258 2 ปีที่แล้ว +1

      Shangazi hakutaka mama amtafute Anuary

  • @emmyfoyi8461
    @emmyfoyi8461 2 ปีที่แล้ว +1

    Uwiiiiii nimeliaaa

  • @daimamagehema8919
    @daimamagehema8919 2 ปีที่แล้ว

    aisee inahuzunisha sna jamani hongera janual kukutana na mama yako

  • @saniasezzy9085
    @saniasezzy9085 2 ปีที่แล้ว +11

    Shangazi anasahau njinsi kaka yake alivgomtesa mkewe, huyo shangazi mshenzi hakupaswa kuwa hapo wangemleta huyo mume wake akaumbuka kwa tabia yake chafu

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 2 ปีที่แล้ว +2

      Basi shangazi ndio ukome unaadhirika kweupe Anwar mamake uyo

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 3 หลายเดือนก่อน +1

      Keshamjaza sumu za kutosha

  • @angelmollel3339
    @angelmollel3339 2 ปีที่แล้ว +6

    Hapa nilipo nalia😭😭😭😭😭

  • @BEATRICENYONGOLE
    @BEATRICENYONGOLE 4 หลายเดือนก่อน

    Mashangazi mmmmmmhhhh.Haya

  • @Kanezaestella1481
    @Kanezaestella1481 2 ปีที่แล้ว +2

    Shangazi hajafurahiya mtoto na mama kukutana. Shangazi pole ila NANI KAMA MAMA?

  • @julianamasato5655
    @julianamasato5655 2 ปีที่แล้ว +3

    Mimi naona hapo mama anualy hakuwa sahihi kumuacha mtoto miezi 3 eti kisa hakuwa anapewa matunzo na baba anualy .miezi 3 hata kazi yamama ntilie angefanya akiwa na mwanae mgongoni .na kama maisha yamjini yarishindikana angeenda kijiji kwao na mtoto wake.hapo mama anualy aombe msamaha asiangarie kosa la mzazi mwenzie kutokumpa matumizi aangarie yeye kumuachia mtoto shangazi mtu akiwa na umri wa miezi 3 kulea nikazi jamani ,hata kufukuzwa na huyo baba alikuwa sahihi kabisa kumfukuza .

    • @halimarahma7450
      @halimarahma7450 2 ปีที่แล้ว +2

      Mama ntilie wawapi anakupokea na mtoto wamiez 3 mfumo wa utaftaji n ngumu sana kama hujapitia unaweza ukaona wenzio wazembe

    • @rehemafungo7387
      @rehemafungo7387 ปีที่แล้ว

      Mimi nilijitegemea na kulea mwanangu.sasa anaoa,baba karudi Kwa ushindii.siachi mtt

  • @abigaelshossy5966
    @abigaelshossy5966 2 ปีที่แล้ว

    Hii ngumu jaman machozi hayaishi. Pole mama Anuary kwa mitihani hii hakika Mungu ni baba wa Yatima. Yaan unamfukuza mtoto nyumban kisa kabeba ujauzito jaman

  • @peninabernardo2504
    @peninabernardo2504 2 ปีที่แล้ว +5

    Uyu shangaz nyie wenzangu mmemuelewa?😳kwamba hatak mtt awe na mama ake au?

    • @lulutweve3516
      @lulutweve3516 ปีที่แล้ว

      huyu shangaz mbaya sana inaonyesha ana kinyongo rohon mwake

  • @hellenhamani6056
    @hellenhamani6056 2 ปีที่แล้ว

    Mama anuary pole mumy❤️

  • @eusebiaurassa3417
    @eusebiaurassa3417 2 ปีที่แล้ว +1

    Shangaz kupewa🎤 ataka kuanza kumchamba mama Anuary mweee, haya tunashukur kwa kumlea kijana, afu kingine huyu shangaz anaonekana amemlisha maneno mengi Sana ya sumu😒

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 ปีที่แล้ว

    Shangaz Bado una nafasi Kwa huyo Mtoto....Usilie tulia...Huyo Mtoto Yuko Bounded na Wewe. Anamfariji tu Mama yake.... Kisaikolojia hawezi kuwa na Upendo nae

  • @aishamohamed1210
    @aishamohamed1210 2 ปีที่แล้ว +2

    Pole mama 😭😭😭😭😭 nimelia mm jaman

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 2 ปีที่แล้ว +5

    Mama anual aombe msamaha kwa shangazi anaonekana ujana wake alikua mshenzi huwezi acha mtoto wa miezi miwili alafu akalizika

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson1525 2 ปีที่แล้ว +1

    JAMANI MMENILIZA... UPENDO NDO MAISHA MAKUU YA UWEPO WA MWANADAMU DUNIANI...

  • @samiakikwete1762
    @samiakikwete1762 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu anakupa mtihani ambao unauwezaaa

    • @rechogoda8920
      @rechogoda8920 2 ปีที่แล้ว

      Mtihani pole sana ndugu yangu

  • @faridaali6850
    @faridaali6850 ปีที่แล้ว

    Inauma Sana 😭😭😭

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu Shangazi tatizo kubwa sana amebeba mzigo wa kaka ake

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mwache abebe si kimbelembele chake?Angeongea na kaka yake halafu stake kujua huyu to mwanamke aliyezaa na kaka yake Kuna shida gan yy si slimsikilizaaa alimsikiliza kaka yake tuu!!

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 2 ปีที่แล้ว +1

    Shangazi hongera lkn hayo mengine hayakusemwa lbd km wamekata

  • @yustakipenya6231
    @yustakipenya6231 2 ปีที่แล้ว +3

    Ila kulea mtoto ni kazi kuliko kuzaa shangazi anaona kama kanyanganywa mtoto lakini asamehe tuu mtoto atakuwa na upendo kwa shangazi yake kuliko mama lakini

    • @nasizakayo3592
      @nasizakayo3592 ปีที่แล้ว

      Mwanamke hafi kwa kulea ila anakufa wakati wa kujifungua mama niwa muhimu baba asingekuwa msumbufu haya yasingetokea

  • @suleshmacs1286
    @suleshmacs1286 2 ปีที่แล้ว +2

    Shangazi yuwakaa kiherehere sana

  • @paulobonnifasi9215
    @paulobonnifasi9215 2 ปีที่แล้ว

    Hongera kwa kumpata mtt,

  • @emmyfoyi8461
    @emmyfoyi8461 2 ปีที่แล้ว

    Pole sanaaaa lkn

  • @rehamalafari3357
    @rehamalafari3357 2 ปีที่แล้ว +1

    ,shangazi shikamooo

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 2 ปีที่แล้ว +2

    Wanaume tunadhambi sana ila wanawake wafundishwe tangu wadogo namna ya kujikinga na mimba tangu wadogo liwapo somo mashuleni hii inauma sana

  • @samiakikwete1762
    @samiakikwete1762 2 ปีที่แล้ว +3

    Allah ndio mjuzi

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja8609 2 ปีที่แล้ว +1

    Shangazi chizi

  • @salharunguma4210
    @salharunguma4210 2 ปีที่แล้ว +1

    Shangaz mchawi co bure..wnzke wanajenga yy anaharibu

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete1228 ปีที่แล้ว

    Daha❤❤❤❤

  • @emmyfoyi8461
    @emmyfoyi8461 2 ปีที่แล้ว

    Uyoo Mjomba hana utuu jmn anakwepaa kuumpa chakulaa

  • @annamachaki3644
    @annamachaki3644 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu shangaz katoa wp hayo maneno mbona mama Anuar hajayasema hayo?

  • @khadijaabdullah6328
    @khadijaabdullah6328 2 ปีที่แล้ว +3

    Shangazi mnafiki ata anuar anaonekana kumbeza Hahahaha mama ni mama Weee kwani si kaka ako ndo aloharibu Mambo au kapaniko kusemwa mumewe uchafu wake wa kumtimua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mashalaizer3152
      @mashalaizer3152 2 ปีที่แล้ว

      Kumbe na wewe umeona eeeeh anazingua mama ni mama tu

  • @treyvissy9854
    @treyvissy9854 2 ปีที่แล้ว

    Huyu shangaz Vipi ?

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 2 ปีที่แล้ว +4

    Shangazi udimlaumu huyo wifiyo. Likakazako ndio lilikuwa maharuni

  • @JamallyHMlela
    @JamallyHMlela 2 ปีที่แล้ว +1

    Shangazi pole

  • @hellenhamani6056
    @hellenhamani6056 2 ปีที่แล้ว

    🙏🙏mungu

  • @neemadaniel570
    @neemadaniel570 2 ปีที่แล้ว +1

    Shangazi roho mbaya kama sura yake hata kama umelea ila una roho mbaya

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 ปีที่แล้ว

    Huyo shangazi mnafiki tu.Anaona kama mtoto utampa msaada,msaada utakwenda kwa MAMA Masasi.

  • @aishamohamed1210
    @aishamohamed1210 2 ปีที่แล้ว +3

    Shangazi kila mja wa ALLAH anamapungufu yake msamehe tu mama Anuary kikubwa mmekutana wote niwazima tuseme Alhamdulila hakuna kama MUNGU

  • @africa7479
    @africa7479 2 ปีที่แล้ว

    jamani.... MAMA NI MAMA

  • @janechaungu9573
    @janechaungu9573 2 ปีที่แล้ว

    Jamani uchungu wa mwana aujuae ni mzazi nimelia

  • @wariditambi8679
    @wariditambi8679 2 ปีที่แล้ว +2

    Uyu shangazi kaniacha hoi

  • @melvinkyando9081
    @melvinkyando9081 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyu mma anamaumivu sana ilaunaweza msema mtuu bila kujua historia yako. Inatia uchungu sana ila usipojua maisha yamtuu utamkosea Mungu

  • @ungwamwangaza7297
    @ungwamwangaza7297 2 ปีที่แล้ว +3

    😭😭 I cried a lot

  • @miriamhassan6566
    @miriamhassan6566 ปีที่แล้ว

    shanganzi ake anuar ana jaziba hatariii

  • @mamuwilly6182
    @mamuwilly6182 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah adi tumbo la uzazi limeanza kuniuma tunapitia mengi Sana😢😢😢

    • @rechogoda8920
      @rechogoda8920 2 ปีที่แล้ว

      Huyu shangazi sio kwa hiyo ulitaka mtoto amkatae mama yake sio bhana

    • @basilisamsaka8469
      @basilisamsaka8469 ปีที่แล้ว

      Acha tu!

  • @joycekiza2302
    @joycekiza2302 2 ปีที่แล้ว +1

    Sasa shangazi alikua ataki mtoto alone mama?

  • @davidsemvua5336
    @davidsemvua5336 ปีที่แล้ว

    Msikatishe mazungumuzo

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj ปีที่แล้ว

    Wazazi wanapitia magumu dah😭💔

  • @ghazughazu4812
    @ghazughazu4812 2 ปีที่แล้ว +3

    Nani mwengine amemuona mama alikua ashindwa kusimama alipoambiwa mwanawe yuangia😭😭😭

  • @leoniaolomi6779
    @leoniaolomi6779 2 ปีที่แล้ว

    Dah maisha haya

  • @aishaaisha4549
    @aishaaisha4549 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna wakulaumiwa but mama alibeba anuary tumboni na kumzaa kwaiyo yaliopita achana nayo hakuna kama mama