🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- 🔴#Live: RC CHALAMILA AUMALIZA UTATA wa SOKO la SIMU 2000 - "ACHENI KUFUNGA MADUKA TUTAYAMALIZA"...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hiyo inaitwa kutengeneza tatizo na kuja kulitatua mambo ya kisiasa hayo....
Uko sahihi
Kabisa aisee
Machinga wapo sahiii sana
KITABU CHA ISAYA 10 MSTARI WA KWANZA. YEHOVA ASEMA OLE WAO WATUNGAO SHIRIE ZISIZO ZA HAKI.
Wafanyabiashara wa simu 2000 wasiondolewe jamani,😢 maeneo ya wazi yapo meeeengi, kwa nini muwafuate watu na kuwatia hasara? Peleke karakana hata kule kibaha.Huku bucha ndani ndani nyuma ya Ebonite School kuna eneo kuuuubwa lipo wazi,wapani dart huko, acheni kusumbua watu wakati misitu ipo.
Uchaguzi unatumika kama rushwa
Kamari,aje wandishi bana.kasema jmos ndo anakuja kutoa majibu na watu wengine.sio kamaliza utata.
Wao DAT waende kuweka kalakana pale jangwani eneo lipo linajaa majani tuu eneo halina kazi
sio kalakana ni karakana
Kikubwa umeelewa nn nilimaanisha ingekuwa hujaelewa hapo sawa... Asante
@@Chakol123-k7s shida ilikuwa sio kuelewa nimekurekebisha ili kesho usijekosea tena. kuwa na utayari wa kupokea masahihisho
@@NM-yl2uw okay teacher
Wanataka dar nzima ije barabara tuu 😢
Kumbe vurugu hazitokei wananchi wakisikilozwa kwa wakati hongera chalamila
mbona yy hajitambulishi ni nani?
DAT Waende hata mloganzila huko kuna mapori kibao kwani lazima hapo
Ccm tena duuh hovyo kabisa😂
Hao wote wanaenda kupangwa kwa nini wasiitwe hapo hapo na kuulizwa mpaka uende kuongea nao?
Wafanyabiashara wako sahihi
HUYU KIJANA NI KIONGOZI MZURI.
wananchi wanasema “ANATUITWA MBWA HUYOOO”…baadhi ya viongoz wanaviburi wakati ni wa kuteuliwa/kupigiwa kura
Manispaa ya ubungo ni utumbo mtupu…hakuna anayeridhishwa na utendaji wao…juzi tu apa manzese nao walifunga maduka yao…manispaa ya ubungo ni jipu
Meya anacheeeka
Charamila mtu wa maana kabisa wewe ni zao la JPM ushauli wako Machinga nchi nzima tumekuelewa