Eeeh mungu wangu naomba ufanye jambo bwana najua katka nyimbo Kuna uponyaji na miujiza naomba kupitia wimbo huu fanya jambo bwana juu ya kila haja ya moyo wangu,,nabarikiwa Sana mtumishi mungu azid kukulinda na kukutunza kila cku iitwayo leo
🙏🙏🙏🙏🙏oooh God am passing through alot please do something in my life,change my situation 🙏 change my life,give me strength to conquer 🙏give me life🙏🙏give me business oh God I pray🙏🙏🙏
Mbarikiweni watumishi wa maulana. Nami naomba Baba aliye juu mbinguni afanye leo jambo maishani mwangu dunia ishuhudie manake haja ya moyo wangu Iko mbele zake.
Usiuogope uovu, ukemee, uendee nahautakungoja, Mungu amekupa mataifa wakutumikie, ukiwaogopa utawatumikia.Mpe Mungu nafasi, aufukuze uovu kwenye mazingira yako.
Kweli ahadi zako ni ndio na amina,,please God do it for me I do pray,,fanya jambo bwana ili wakujue 🙏🙏,God bless you man of God pastor Anthony and sifaeli
Do something O Lord in my life. I call upon you Lord in my life- education of my children, my promotion,the employment of my dear nieces Purity,Ann, Cynthia and my special love
Fanya jambo Bwana, nifungulie milango Baba ya pesa nimechoka kutengemea wenzangu ndio nile Mungu,fanya jambo Yesu🙏🙏
God bless me 😢put a smile on my face let me help my family 💯🙏
Fanya jambo Bwana mwaka huu nipee mume aliye wangu maana nimechoko kukaa pekee na kutamani waume wa wenzangu. 😢😢
Ameni Man of God utukufu Hadi utukufu
Hakika Sifael una sauti ya injili, nyimbo zako zanibariki sana
Penda❤❤❤xaaaanaah you songs........
Hakika bwana atafanya jambo I'm in love with the song ...watumishi wa mungu mbarikiwe
Amen.fanya jambo Mungu wangu nimechoka na maisha ya ufukara baba unionekanie ee Baba wa mbinguni
Eeeh mungu wangu naomba ufanye jambo bwana najua katka nyimbo Kuna uponyaji na miujiza naomba kupitia wimbo huu fanya jambo bwana juu ya kila haja ya moyo wangu,,nabarikiwa Sana mtumishi mungu azid kukulinda na kukutunza kila cku iitwayo leo
Mfalme wa Ajabu fanya Jambo Niweze Kupenya katika maisha yangu nimechoka kuhangaika, nimechoka kufake smile wakati roho yangu imejaa machozi😢😢
Nice song ....God do it to me and my family
Walai na c chocha I really like and love the song of pst. Antony muse bi I wish one day nifanye naye colabo aki mungu fanya jambo
Nipewe likes kumi za hawa watumishi wa mungu
Amen to this song.....tenda jambo Baba...Peke yetu hatuwezi
Woooo that's corable is wonderful
Fanya jambo Baba....fanya bila wewe hatuwezi baba😢😢😢😢😢tunalia baba fanya jambo baba....
Nimechoka babangu ,nifanyie Jambo moja Hadi maadui wanaonikejeli Waseme n uchawi juu ya ufukara wa kwetu
God just change my life it will take time but I put my trust in you you will 🙏🙏🙏🙏
Amen. Fanya Jambo mungu wangu kwa inchi ya Kenya, powerful song.God bless
Fanya jambo yesu kwa nchi yetu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
My prayer 🙏🙏 do it Lord answer my prayer for your glory 🙏
Amazing Amen Amen 🙏 aki mungu wangu fanya jambo kwa maisha yangu natezeka sana please 🙏 God please fanya hii 2023 wakujue😢😢😢😢😢
Ameni ameni ameni mungu atatenda kwawakati hachilewi
Amen Amen Amen, fanyajambo bwana maishani mwa wateulewako bwana
Fanya jambo kwetu jehova,,,nazo sauti kweli ni za kunyenyekea tu,,,fanya jambo babaaaaa
Fanya jambo BABA peke yetu hatuwezi mbarikiwe sana watumishiii msembi na sifael
🙏🙏🙏🙏🙏oooh God am passing through alot please do something in my life,change my situation 🙏 change my life,give me strength to conquer 🙏give me life🙏🙏give me business oh God I pray🙏🙏🙏
Amen Fanya jambo bwana ili wakujuwe❤❤❤❤❤bila wewe hatuwezi
Mungu fanya jambo kwangu my trust is in you my Father God i trust you will do it soon in Jesus name before the end of 2023🙏✍️
Fanya jambo kwa maisha na na song but pesa ndio shida mungu fungua milango nakuamini yesu
Pia NAMI ninakuomba baba Fanya jambo kwangu badilisha maisha yangu najamii yangu tupe mibaraka neema pesa tuweze kubadilisha kizazi changu ,
Hili ni ombi la mtumishi aliye na mzigo wa kutaka kuona watu wakiendelea vyema... Great tune. God bless you servants of God.
Kweli kabisa
God Fanya jambo kwangu hili ni ombi langu baba
@@cheronohnaomy8012amina
Amen.....they have the burden....
Do something unto my life.thats my prayer
Asanteni sana kwa huu wimbo mwema ,,unabariki alot,,,
Bwana tena Fanya pia kwangu ,,,let smile in my face ,,Amen 🙏🙏
Fanya jambo Bwana kwa huduma yako hapa ulimwenguni 😭😭ombi langu Baba wakujue
Amen,,,, fanya jambo kwangu leo watu wakujue nimechoka bwana
Wachasiri Wa mungu nabupenda kweli kweli, kuimba kwenu si kuimba tu Bali Ni maombi
Jambo ka Bwana linaweza kila kitu,,, fanya jambo kwangu Bwana
Amina amina fanya jambo bwana 🙏🙏🙏💗💗💗👏
AMEN AND AMEN Fanya jambo baba yangu
Mbarikiweni watumishi wa maulana. Nami naomba Baba aliye juu mbinguni afanye leo jambo maishani mwangu dunia ishuhudie manake haja ya moyo wangu Iko mbele zake.
Fanya Jambo bwana kwenyemaisha yangu 😢😢
Fanya jambo jipya ndani ya maisha yangu Buana.... wachilia baraka zako nimechoka kuhangaika
Fanya jambo in life help me to grow in faith 😢😢😢😢😢😢
Usiuogope uovu, ukemee, uendee nahautakungoja, Mungu amekupa mataifa wakutumikie, ukiwaogopa utawatumikia.Mpe Mungu nafasi, aufukuze uovu kwenye mazingira yako.
Wimbo wangu wa urejesho unabariki sana na kuinua mioyo ya wanadamu fanya jambo jipya kwa maisha yangu
Powerful mungu wetu ni mungu atafanya jambo maishani mwetu Amen ❤❤❤❤❤
Kweli ahadi zako ni ndio na amina,,please God do it for me I do pray,,fanya jambo bwana ili wakujue 🙏🙏,God bless you man of God pastor Anthony and sifaeli
That's my prayer tonight
Nifanyie jambo kupitia nyimbo hii baba😢😢😢😢nimechoka sijui nachokifanya
I really like your songs @pst Antony musembi & sifaeli mwabuka 🎉🙏🙏🙏🙏💓
Wow Kasi mzuri 🙏
Fanya jambo baba kwenye duara yangu weka madini mengi kwenye mwamba Mungu wangu. Rudisha heshima iliopotea kwangu.
My uncle has done it again 🎉❤May the lord bless you uncle ❤
Amen fantastic jambo bwana kwa maisha yngu baba
Fanya Jambo bwana nakugonja 😢😢😭😭😭😭ukuu wako ukapate kuonekana katika maisha yangu
Fanya jambo Yesu katika maisha yangu 🙌🙏
Nice and a blessed song.acha Mungu afanye jambo kwetu zote .
Hakika fanya jambo Bwana ninunue shamba nijenge nimechoka kuishi maisha ya kulipa rent, Bwana naomba🙏🙏🙏
Fanya jambo bwana kwa nchi yetu,kwa family yetu ,kwa kazi yangu and God bless pastor musembi and mutumishi Sifael Ohn jesus
Simba mbili zikishikana kunazuka wokovu tele my favourite artists
Fanya jambo Kwa Maisha nyangu Mungu l need your strength nifugulie mirango
Great 👍, fanya jambo kwa huduma yangu baba
Kweli Yesu Fanya njambo kwetu sisi watoto wako Dunia ijue sisi ni wako Daima
Just a word from you Lord, and am healed of my afflictions. Fanya Jambo Bwana🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Fanya jambo bwana katikat ya maisha yangu Yale magumu yote mungu ukayaondoe
Amen watumishi🙏🙏
Fanya jambo bwana iliwakujue Amina
Do something Lord, tunakutegemea hapa chini ya jua Mungu 🙏🙏🙏
Nice woooowe 🎉🎉❤❤❤
Nice song....mungu fanya jambo kwangu na familia yangu❤❤🎉🎉
Fanya jambo bwana ili wakujue 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 mungu naomba 🙏🙏🙏🙏
fanya jambo kwa life yangu....... blessed here
Nifanyie jambo bwana
Playing it a hundred times here 😢😢😢 Jehovah fanya jambo
Powerful message, glory to the most high 👏 keep pressing on, the anointing men of God,mbarikiwe sana🙏
Sifaeli mungu amekufanyia jambo ktk maisha na akuzidishie
Sina cha kuwapa ila Mungu azidi kuwainua juu Sana Kwa wimbo mzuri.
Ubarikiwa sana mtumushi wa Mungu huu wimbo una mafundisho ya Maisha kwaeli
Fanya Jambo Bwana .. maishani Mwangu 😢 . Oh GOD .
God do a great wonderful things in my life oooh Lord, I need your help I'm nothing without you my Father God 🙏✍️
Kazi safi My Pastor Anthony Musembi
Nitendee mungu siku ya leo nifurahi. Nimelia ya kutosha.
Yes my God Fanya jambo Hali NI ngumu,ombi langu ,Hali hii ni ngumu
🔥 🔥 I'm so much blessed,najua Bwana anaenda kufanya jambo,Maana nimemsubiri kwa mda sana,
Mbarikiwe sana watumishi wa mungu , kwakwel bila mungu hatuwez Fanya jambo mungu🙏
Amen Amen Amen Amen Amen mbarikiwe Sawa shuja wamungu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮👌
Fanya jambo ninakungoja bwana.......what a message🙏🙏
Amen 🙌🙌🙌 ubalikiwe saana wimbo huu unagusa maisha yungu
Do something O Lord in my life. I call upon you Lord in my life- education of my children, my promotion,the employment of my dear nieces Purity,Ann, Cynthia and my special love
😊 ombi moja tu kwako mungu nijibu ombi langi 😢 nahitaji ufanye jambo mungu wangu
Kazi nzuri watumishi wa mungu barikiweni sawa .
❤
God bless you men of God, you have blessed my evening
Powerful song 😢😢Shuka ufanye Jambo bwana 🇰🇪
Fanya Jambo Mungu wangu nimechoka na hii maisha ya uzuni na mawazo
Nice song , from citizen tv advertisiment to TH-cam, to listen full song, be blessed mwaaaaaah
Fanya jambo bwana siku ya leo nimechoka na ufukara nibariki😢😢😢😢
Mungu atatenda
From your mouth to God's ears 🙏
Fanya Jambo jipia bwana,...nibariki yaweh 😢😢😢😢
AAA kwa wimbo mzuli
Mungu akuonekanie 😢
Fanya jambo mungu niondolee umaskin na mme wang apate kaz nzr
Eeeh Mungu Fanya jambo maishani mwangu na familia yangu yote🙏🙏🙏wimbo mzuri zaidi
Mimi Nina Imani bwana Yesu Kristo atafanya