Aeleza walichozungumza saa chache kabla ya kutoweka mchumba wake
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2024
- Neema Mmasy, mchumba wa muuguzi wa Hospitali ya KCMC, Lenga Masunga (38) aliyetoweka katika mazingira ya kutatanisha ameeleza mara ya mwisho alivyozungumza na mchumba wake huyo akimtaarifu kwamba ametoka kazini.
Amesema wamekuwa na utaratibu wa kuwasiliana mara kwa mara wakati wa kwenda kazini na kutoka.
Amesema Julai 2, saa 10 jioni aliwasiliana naye na kumtaka aendelee na majukumu yake kwa kuwa wangewasiliana baadaye.
Neema amesema ilipofika saa tatu usiku alishangaa kuona amekuwa kimya na hajamtafuta ndipo alimpoamua kumpigia simu na hakupatikana.
Hayo ameeleza leo Jumatano, Julai 10 2024, wakati akizungumza na Mwananchi Digital kuhusu taarifa za kutoonekana kwa mchumba wake huyo.
Muuguzi huyo wa idara ya masikio, pua na koo anadaiwa kutoweka katika mazingira ya kutatanisha Julai 2, mwaka huu nyumbani kwake Mtaa wa Rau Pangaleni, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro alikokuwa akiishi.
Pole sana dada. MUNGU ni mwaminifu atapatikana tu. MUNGU amlinde huko aliko
Mungu amlinde huko aliko!
Pole sana hao wanaume sjuh wamepatwa na kitu gan
Pole sana dada
Pole sana!
Pole sana! Inauma sana!
ndo yule dokta au huyu ni mwingine
Ndo yy
Ni Muuguzi na si Daktarì
Polehn saaana
Sor 4 u
😢😢😢my classmate lenga
Hi inchi inaongozwa na watu wanaopenda kuumiza watoto wa wengine
Ni mchumba wake
.
mbona nimesikia alikuwa singo huyu dada ametoka wapi tena
Sikiliza vizuri basi na uelewe boss
Aweke namba yake tumpe faraja
Acha umalaya.
Acha ushetani!
Ahhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hii imeenda😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅 hiyo anaijua