ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Mashaallah ustadh yahya bihaki! Allah akuhifadhi zaid Al habib
Mdogo wangu BAB DEO MILADU muogope Allah,,ujue kua naulizwa kwa yote unayoyaeneza,, mchanganyiko wa wanawake na wanaume utajiri nini kwa Allah.
Ww acha zako ww mjinga ww
Mbn kwenye mashindano wanakaa wanawake na wanaume husemi acha shobo
Ata Makkah wanachanganyika wake kwa waume lengo ni ibada so inamaal amalu bi niyyah kila mmoja atalipwa kwa Nia yake wallahu Aalam
@Yahyabihak umepambana Nahaawand 🔥🔥
Uuu❤❤🎉
Naaam amepambana nahawandi inayompelekea MOTONI asipotubia.
mashallah. mwakani tunataka qaswida mpya
mashallah❤
Ma shaa llah
Maashallah
رائع أيها البطل من دولة تنزانيا ❤❤
Mashallah maneno kuntu
MashaAllah, Hii imefanyikia wapi?
Ujirani vitwaaah maqam nahwandi
Hatwariiii
Taarabu mzilizo zipa jina kwa kasida
Wewe wahabi mwenye elimu tupe tofauti ya kawaida na nyimbo
Nyooko wee unajifanya eti ni taarab wakat umeskiliza,
Wenyewe wamekunja na nne kabsa wanasikiliza kinanda 🤣🤣🤣🤣
@shak😂😂😂ourdutilo3813
Humus wengi mashaki waliiwatwi lazima watetee machafu yakihuishwa na dini na huu sio uislam bali ni ushenzi kama ushenzi mwengine
Ndio mana maasi yanazidi mashekhe hawajielewi watafuta maslahi ya kidunia tu
Wacheni kuuzalilisha uislam nyinyi,yaan sasa naona maji yashazidi unga,yaan munapiga taarab halafu mnasema qaswida,acheni ujahil nyinyi
Ihesabu nafsi yako kabla ya kuhesabu nafsi ya mwenzako
@@altaafkassu2171 wataka hesabu gani wewe usijielewa tafuta elimu,wacha kushahibia ujinga yaan wewe waona ndio dini hio kupiga taarab
Hizi ndio zama zilizobeba ujinga sana watu kuzifanya kaswida ndio kuwa taaarab na music
Huu ndo Uislamu Mtume aliotuachia????
Hii ni Miziki tu.Na hii chanel ni ya Miziki sio ya Dini.
Hujaitwa
@@ustadhomarykifigisa1282 Lakin Raddi imekuingia.
Mpenda muziki hatokosoa hizi ni Dalili mbaya!!!!!!
Hii ni taarab wacheni kuzuga watu
Huu sio uislam ambao unaitajika na nyinyi ni wasanii kama wengne mnachonikera mm kunasibisha na dini
KUHUSU KUCHANGANYIKA SIO JAMBO LA HATARI WW TU NAFSI YAKOO YA TAMAAA TEMBEA NJE UTAONA USILALE TU NYUMBANIIII
Kuna tofauti gani ya TAARABU ambayo ni HARAMU na hii inayoitwa QASWIDA?!
Huku sasa nikuudhihaki uislam,wacheni ujahili ndugu zangu
huo mchanganyiko wa wanawake na wanaume vepeee? hii si KASIDA ni nyimbo kama nyimbo nyengine!wanawake nywele zinaonekana! MTIHANI!
Sasa umeskiliza yanin sasa
@@kiumbeonlinetv4688 Fadhakkir !
Mbona wewe unachanganyana na wanawake kwenye daladala
Huyu wahabi hajitambui .Mara anasema sikaswida ni nyimbo ,mara anasema mchanganyiko.sasa lipi ndo lipi unalokashifu hapo
@@abiabi9353 pole sana! Ila hapo hakuna kasida! Ni nyimbo tena inayoibwa ktk mchanyiko wa wanawake waliojipamba na wanaume wapo pamoja!
Mashaallah ustadh yahya bihaki! Allah akuhifadhi zaid Al habib
Mdogo wangu BAB DEO MILADU muogope Allah,,ujue kua naulizwa kwa yote unayoyaeneza,, mchanganyiko wa wanawake na wanaume utajiri nini kwa Allah.
Ww acha zako ww mjinga ww
Mbn kwenye mashindano wanakaa wanawake na wanaume husemi acha shobo
Ata Makkah wanachanganyika wake kwa waume lengo ni ibada so inamaal amalu bi niyyah kila mmoja atalipwa kwa Nia yake wallahu Aalam
@Yahyabihak umepambana Nahaawand 🔥🔥
Uuu❤❤🎉
Naaam amepambana nahawandi inayompelekea MOTONI asipotubia.
mashallah. mwakani tunataka qaswida mpya
mashallah❤
Ma shaa llah
Maashallah
رائع أيها البطل من دولة تنزانيا ❤❤
Mashallah maneno kuntu
MashaAllah, Hii imefanyikia wapi?
Ujirani vitwaaah maqam nahwandi
Hatwariiii
Taarabu mzilizo zipa jina kwa kasida
Wewe wahabi mwenye elimu tupe tofauti ya kawaida na nyimbo
Nyooko wee unajifanya eti ni taarab wakat umeskiliza,
Wenyewe wamekunja na nne kabsa wanasikiliza kinanda 🤣🤣🤣🤣
@shak😂😂😂ourdutilo3813
Humus wengi mashaki waliiwatwi lazima watetee machafu yakihuishwa na dini na huu sio uislam bali ni ushenzi kama ushenzi mwengine
Ndio mana maasi yanazidi mashekhe hawajielewi watafuta maslahi ya kidunia tu
Wacheni kuuzalilisha uislam nyinyi,yaan sasa naona maji yashazidi unga,yaan munapiga taarab halafu mnasema qaswida,acheni ujahil nyinyi
Ihesabu nafsi yako kabla ya kuhesabu nafsi ya mwenzako
@@altaafkassu2171 wataka hesabu gani wewe usijielewa tafuta elimu,wacha kushahibia ujinga yaan wewe waona ndio dini hio kupiga taarab
Hizi ndio zama zilizobeba ujinga sana watu kuzifanya kaswida ndio kuwa taaarab na music
Huu ndo Uislamu Mtume aliotuachia????
Hii ni Miziki tu.Na hii chanel ni ya Miziki sio ya Dini.
Hujaitwa
@@ustadhomarykifigisa1282 Lakin Raddi imekuingia.
Mpenda muziki hatokosoa hizi ni Dalili mbaya!!!!!!
Hii ni taarab wacheni kuzuga watu
Huu sio uislam ambao unaitajika na nyinyi ni wasanii kama wengne mnachonikera mm kunasibisha na dini
KUHUSU KUCHANGANYIKA SIO JAMBO LA HATARI WW TU NAFSI YAKOO YA TAMAAA TEMBEA NJE UTAONA USILALE TU NYUMBANIIII
Kuna tofauti gani ya TAARABU ambayo ni HARAMU na hii inayoitwa QASWIDA?!
Huku sasa nikuudhihaki uislam,wacheni ujahili ndugu zangu
huo mchanganyiko wa wanawake na wanaume vepeee? hii si KASIDA ni nyimbo kama nyimbo nyengine!wanawake nywele zinaonekana! MTIHANI!
Sasa umeskiliza yanin sasa
@@kiumbeonlinetv4688 Fadhakkir !
Mbona wewe unachanganyana na wanawake kwenye daladala
Huyu wahabi hajitambui .Mara anasema sikaswida ni nyimbo ,mara anasema mchanganyiko.sasa lipi ndo lipi unalokashifu hapo
@@abiabi9353 pole sana! Ila hapo hakuna kasida! Ni nyimbo tena inayoibwa ktk mchanyiko wa wanawake waliojipamba na wanaume wapo pamoja!