Amen Daddy nimepokea package yangu kwa sehemu kubwa sana Mungu aniongoze sana mimi na uzao wangu atupe neema ya kuweka akiba kwa ajili yetu na uzao wetu , nafurahi kuwa sehemu kubwa ya neema hii {Mwanafunzi wako & SBC kahama Team media } Mungu azidi kufunua kazi yake maradufu ndani yako Baba na ninakiri Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye Nguvu {WAFILIPI 4:13} Love you more daddy & Mommy ❤🩹🙏
Baba Mungu wa mbinguni naomba UNISAIDIE unipe Neema ya kuweka Akiba kwa ajili yangu na watoto na wajukuu wangu oooh LORD HELP ME I connect to the Grace of apostle mtalemwa in Jesus name
Nimesali makanisa mengi wachungaj tofaut tofaut lakin wew mtalemwa ni kiboko unafundisha kwa matokeo hii inadumu licha ya kupakwa mafuta unatufundisha mno❤
Asante sana Apostle. Mungu nisaidie kulifanyia kazi hili neno.
Amen Daddy nimepokea package yangu kwa sehemu kubwa sana Mungu aniongoze sana mimi na uzao wangu atupe neema ya kuweka akiba kwa ajili yetu na uzao wetu , nafurahi kuwa sehemu kubwa ya neema hii {Mwanafunzi wako & SBC kahama Team media } Mungu azidi kufunua kazi yake maradufu ndani yako Baba na ninakiri Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye Nguvu {WAFILIPI 4:13} Love you more daddy & Mommy ❤🩹🙏
Mungu atupe neema ya kutunza akiba kwa vizazi vijavyo
Kwa kweli huu ni ubinafsi inaumiza sana Mungu atutie nguvu Mungu ibariki nchi yetu
Mungu atusaidi sn kuweka akiba
Baba Mungu wa mbinguni naomba UNISAIDIE unipe Neema ya kuweka Akiba kwa ajili yangu na watoto na wajukuu wangu oooh LORD HELP ME
I connect to the Grace of apostle mtalemwa in Jesus name
Bonge la somo sana! Natamani hata baadhi ya watumishi wangesikia hili somo
Mungu anipee neema ya kujiwekea akiba God bless apostle.
So powerful
Ni njema hii. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Sifa na utukufu umrudie Mungu kwa kukupa hekima ya kutufundisha yaliyo mema
Nimesali makanisa mengi wachungaj tofaut tofaut lakin wew mtalemwa ni kiboko unafundisha kwa matokeo hii inadumu licha ya kupakwa mafuta unatufundisha mno❤
Amen.thank God for your servant
Amen Papaa
Amina Mungu anipee neema ya kujiwekea akiba
Amen and amen!
Ameen Baba
Amen
Amen 🙏
❤❤❤❤
🙏🙏🙏
AMEN CHIEF MUNGU ANIPE NEEMA HII YA KUJIWEKEA