Naitwa Mariam Marco paul namshuhudia mungu amenitendea mengi mweza wa 8 tulikuja kawe badaa tu ya kuganyaga mafuta nakujiungamanisha na komboa familia usiku nikiw kawe asbuh yake tukapigiw cm paka wawili wamekufa na niliandika maombi 12 mme wangu aache pombe na tayar ameacha namshukur mungu na mtoto wangu alikuwa na kifafa miaka 12 na shv anaendela vzr mungu mungu akulinde uishi miak mingi baba
Nataka ni zaye wa mapasa tatu waume mbili n'a musichana moka mutoto yangu apate kibali ya kuenda Ichi ya kigenyi niuzeihi nyimba nikonakaa ndani Niki uze kiraisi niuze ngari ki raison tuu yote ninao maitaji itendrke kiraisi tuu amen
Glory to God.Asante Mungu kwa baraka za kufunguliwa kiimani, kimaisha, kikazini, kiafya Na mentioned mengi kwa familia na uzao wangu.Mtume barikiwa sana na Bwana Yesu.
Mungu akubariki sana mtumishi 🙏hakika unafungua wengi hata mamaagu alinusurika na kifo iman yake ndo ilimuokoa kumbeba mafuta ya upako wakati wanasafiri walitetwa na majambazi jiani 😭😭😭lakin hawakufanikiwa nashukuru Mungu alikuwa upande wao
Naomba uniopee na mim niolewe ndio ya Baraka nipete nijilie uzao mwema mungu wangu mutumishi wa mungu atakapo omba na mim poake kwajina la yes Amina Amina nimepokea
Naitwa irine Paulo kutoka karatu nashkuru mungu nilikuwa na tatizo kwenye kizazi lakn baada y kuskiliza maombi haya mda huu nimeangalia nimekuta tatizo limeisha
Baada ya haya maombi naomba mungu hanifunguwe nyota yangu ya mafanikio ingae bwana yangu shaban mmanga hanipe ela nyungi na haniudume vizuli eee mungu nisaidue Emeee
Nataka kujifungua mipango yangu yote ya mwaka 2024,,, nifunguliwe kiafya. Kiuchumi na kifamilia watoto wafunguliwe kiafya na kitaaluma Kwa jina la Yesu kristo
Mm devotha Antony nilikuwa nikibeba mimba ninauguwa sana halaf nikizaa watoto wanakufa lakn nimebebwa hii mimba nikajiungamanisha nahaya maombi siuguwi tena
Mimi ni wiliamu mwaluko kulalu mutumishinakuomba kwa i'mani familia yangu ikae kwenye mukono wa mungu namutumishi wa bwana kupitia maombi haya familia yangu itakaa kwenye mukono wabwana
Naomba nfungue Mimi na watoto na mume wangu 2nipate hela za kusomesha watoto wangu 3 Jana asubuhi akatua jiwa na kufa nilipokaa na wenzanu 4 nyumba yangu mifugo yangu 4 nilikua naumwa nyonga nimepona kutumia maji ya upako
Bwana yesu asifiwe.. Naitwa munira nipo Oman nimeguswa sana na maombi nilikuwa kondoo niliye potea 😭😭mchungaji Asante Sana 🙏🙏 kwakunifungua ufahamu wangu 🙏
Namshukuru Mungu kwa kupitia mafuta ya upako na neno la mtumishi wa mungu God gave me a business idea during this pandemic I asked God to find me a second income and I came with the idea of delivering groceries to people's house. So thank God I have a second income I deliver groceries in the earned income just for four hours every single day the word that says do not be afraid give me the courage to go out when people are hiding I'm out in the grocery store getting groceries for my customers and take it to their home. I live in a town under quarantine in the USA Asante sana bwana Yesu through your 7th of God forgive me this opportunity especially during these difficult times
Bwana yesu naitwa hawa nipo mbeya,kila nikisikiliza maombi kupitia inuka uangaze mungu ananifungulia milango lakini ninapopata pesa zinaishia kwenye ulevi naomba maombi katika hilo kwani nahitaji mafanikio makubwa
Mtume naomba maombi ya ulinzi wa kazi yangu na matumizi sahihi ya pesa kwani nikipokea zinaishia kwenye vitu visivyo sahihi na kushindwa kufanya malengo
Na uibariki kazi ya mikono yangu ujalie familia yangu izidi kuwa na furaha na ujalie maisha yangu yawe yeny furaha siku zote kwa jina la mungu baba na mwna na roho mtakatifu amen naitwa janeth rameki
Naomba kupokea uponyaji, naomba kufunguliwa kila kitu kwenye maisha yangu, naomba kupokea uponyaji kwenye kizazi changu, kazin kwangu, kila njia ya mafanikio, navunja kila mikosi, laana, kupona ugonjwa, Leo napokea katika Jina Yesu Amen
Asante mungu nikaweze kufungulia ugonjwa wa yutihai inasisumbua sana hakika wewe jemedali wangu nimetumia dawa lakini siponi mala sindano lakini kwako hakuna linashindikana
aleluyaaa mwamposa tupe neno amen naomba uniondolee hofu ninachohitaji ni heshima kwa kila mtu na mafanikio amen naomba nisaidie baraka amen amen baba yetu naomba nipate hela kimiujiza and kuniomba msamaha
Naomba kupokea kupona mwili wangu naomba ndoa mm khalid naomba na watoto mapacha umri wangu umeenda sana nimeteseka sna na majin uchawi nimezunguka kwa waganga wengi sana nipo oman nafanya kazi za ndani nimepata mchumba mwarabu aitwa khalid mm naitwa mariam lkn huyu mchumba sijui nini kinakwamisha
Amen nimepokea kutoka Dubai nilikua nasumbuliwa na miguu kufa ganzi lkn kwa dk chache nagusa miguu nahisi .kitu.nilikua nimelalal ghafla nimeamka ahsante mtume Dr mwamposa barikiwa baba
Ubarikiwe mtumish Boniface kwa Kaz yako na mm naomba uniombee maombi yangu Saba niiyoweka mbele ya mazabau yako.amina
Naitwa Mariam Marco paul namshuhudia mungu amenitendea mengi mweza wa 8 tulikuja kawe badaa tu ya kuganyaga mafuta nakujiungamanisha na komboa familia usiku nikiw kawe asbuh yake tukapigiw cm paka wawili wamekufa na niliandika maombi 12 mme wangu aache pombe na tayar ameacha namshukur mungu na mtoto wangu alikuwa na kifafa miaka 12 na shv anaendela vzr mungu mungu akulinde uishi miak mingi baba
Nataka ni zaye wa mapasa tatu waume mbili n'a musichana moka mutoto yangu apate kibali ya kuenda Ichi ya kigenyi niuzeihi nyimba nikonakaa ndani Niki uze kiraisi niuze ngari ki raison tuu yote ninao maitaji itendrke kiraisi tuu amen
Amen naomba mume wangu apate oro ya maajabu ndani ya chimu yake yote mupaka watu wa ndunia yote wa changae ataka abarikiwe kimiujiza yani tinguba ❤
Naitwa mwamini nahitaji kuombea manymbani and shine nayipendasana Asante nipo ichi ya burundi mupakan y Tanzania
Glory to God.Asante Mungu kwa baraka za kufunguliwa kiimani, kimaisha, kikazini, kiafya Na mentioned mengi kwa familia na uzao wangu.Mtume barikiwa sana na Bwana Yesu.
Amen naomba mume wangu apate oro ya maajabu ndani ya chimu yake yote mupaka watu wa ndunia yote wa changae ataka abarikiwe kimiujiza
Amen 🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏 napokea kutoka Saudi Arabia napokea muujiza wangu kulipwa madeni yangu napokea uponyaji na ndoa yangu kulejea
Napokea uponyaji wa mwanangu janeth kupata kazi nzuri kiurahisi
Amen naomba mume wangu apate oro ya maajabu ndani ya chimu yake yote mupaka watu wa ndunia yote wa changae ataka abarikiwe kimiujiza yani tinguba
Naomba mchumba wangu khalid afunguliwe maisha yake na mwili wake apate kutembea vizr arudishiwe maisha yake yaloharibika na nguvu za majini
Mungu akubariki sana mtumishi 🙏hakika unafungua wengi hata mamaagu alinusurika na kifo iman yake ndo ilimuokoa kumbeba mafuta ya upako wakati wanasafiri walitetwa na majambazi jiani 😭😭😭lakin hawakufanikiwa nashukuru Mungu alikuwa upande wao
Nipatie Mme mwema,nishinde mitihani yangu ,nipate nafasi ya flied ,napokea naomba kufunguliwa kwa jina LA Yesu
Naomba mungu anipenguvu za kila Aina iliniweze kufanya mambo yangu kwa kurud kubwa amen
Naomba mungu anisaidie nipate Mme pia nlgunguliwe uzaz nopata families pia nifunguliwe kiuchumi
Naomba ntume,mimi nahishi n ndoa yaa Kufugua na washawi. Ubariki. Family yangu na witoe mangojua wote kwajila lá yesu.
Asante Mungu naomba nipone hofu na wasiwasi naomba aman moyon nimekosea aman baba naamin katika jina lako
I received in the name of Jesus 🙏. I'm watching from Dubai
Uchumi ukaongezeke kila kazi iongezeke kwa kasi Amen 🙏 🙌 ❤️
Naomba uniopee na mim niolewe ndio ya Baraka nipete nijilie uzao mwema mungu wangu mutumishi wa mungu atakapo omba na mim poake kwajina la yes Amina Amina nimepokea
❤❤nataka mungu anitendee nifanikiwe kiuchumi
Naomba no pokeeupako naomba kazi nanijege nyumba yangu amina
Naitwa irine Paulo kutoka karatu nashkuru mungu nilikuwa na tatizo kwenye kizazi lakn baada y kuskiliza maombi haya mda huu nimeangalia nimekuta tatizo limeisha
Ee mwenyezi mungu niko mbele zako nakuomba unitendee muujiza nipone uvimbe kwenye mrija wauzazi nanibebe mimba nipate watoto wawili wakike na wakiume
Baada ya haya maombi naomba mungu hanifunguwe nyota yangu ya mafanikio ingae bwana yangu shaban mmanga hanipe ela nyungi na haniudume vizuli eee mungu nisaidue Emeee
Napokea uponyaji wa mwili wangu na napokea mambo mazuri na mafanikio yangu Kwa jina LA yesu
Mungu Ni Mwema Nimesikiliza Haya Maombi Leo Lakini Nimehisi Kama Kitu Kimeachia Tumboni, Asante Yesu Ubarikiwe mtumishi Wa bwana
Napokea kwajina la yesu Krist niweze kubeba mimba myaka 23 nime olewa sijawahi kushika mimba ❤❤❤
Navunja roho za utasa ktk uchumo wangu,roho za unyumba wangu nazivunka amina
Namshukuru mungu pia nilmefunguliwa kiuchumi.
Ee mwenyezi mungu naomba unisaidie mume wangu aniheshimu anijari
Sohpia swendeni nipone nauzo wangu namumewangu kikohozi nipone❤❤❤
Naomba mungu anidaiye nijifungue salama nakunisaidiya kutimiza yale niliyo yapa ngapa yakafanikiwe
Mponyeshe mjukuuu wangu junior gusa kila Alison kwenye familia yangu uchumi wangu ukaongezeke wateja wa mchele wakanizidie bsriki uzao wa tumbo yangu amina ndugu zangu wakaolewe
Nahitaji kufunguriwa tombo rangu rauzazi niweze kubeba mimba mtume aniombee kupitia Sim yangu and shine nayipendasana Asante Samuel
Najiungamanisha na maombi haya komboa familiy kwa jina la yesu kirsto ameeeen,
Mungu naomba ubadilishe Baba watoto wangu aweze kuaudumiya
Baba napokea neema napokea upako ninamimba ya miezi 2 inanitesa sana naumwa sana napokea uponyaji ameeee
Amen najiunganisha na madhabuu hii mdg wng afunguliwe ache ulevi anaitwa nashony
Nafunguliwe na mm leo hii kiuchumi biashara yangu nizidiwe nawateja amina wateja
Mungu nakuomba nifungulie kiuchumi nakuomba mungu nikapone tumbo nakuomba mungu wadogo zangu wakabalikiwe na mama yangu akapone tumbo
Napokea miujiza kwenye ndoa Yang,biashara ,watt Wang mama yangu ambae ni mgonjwa
Mi pia ugonjwa sukari napokea uponyaji
Amen
Amen
Ameen naomba Mungu atend mujiza kwenye ndoa
Napokea uponyaji wa mwili wangu Kwa jina LA yesu
Naomba, mungu uwaepushe wanangu maradhi
Naamini napokea nguvu za Mungu,kama Prophet Mwamposa mtumishi wa Mungu ulivyosema.Amen
Namuchukuru mungu nirikuwa nasikiya maumivu ubavuni sayivi siyasikiyi tena naitwa rucia mboma Niko seychelles
Nataka kujifungua mipango yangu yote ya mwaka 2024,,, nifunguliwe kiafya. Kiuchumi na kifamilia watoto wafunguliwe kiafya na kitaaluma Kwa jina la Yesu kristo
Kwa kupitia madhabahu ya inuka uangaze Leo nafunguliw biashara yangu amen
Bwana safiwe MTUMISHI najiganisha nikiwa namanga
Naomba mungu anipoye casa yadamu na sina kazi ata watoto mungu anisikiliye uruma anifunguwe ndachuudiye manguu yamungu
Namim apostle naomba uniombee nipo Rwanda ndoa yangu inamsukosuko sana ifunguriwe kwa jina la yesu christo
Naomba nipate mume sahihi kwenye maisha yangu nifungulie ameeeeeen
Amina Amina !!!!!!.
Nimepokea ❤❤🎉🎉
Nataka mungu anitendee uponyaji wa tumbo.
Amen ninapokea kibali cha kupona kwangu naninapokea kibali cha kurudi kwa ndoa yangu kufunguliwa 5:55 5:59
Napokea taarifa njema kwa mtoto wangu ramadhani amepokea furaha katika maisha yake
Naomba uniondolee hofu kwamoyo wang yesu❤❤❤❤❤
Naitwa Rebekah mwashambwa naomba mumuombee baba yangu anakisukali pia naomba miujija itende mungu wangu
Mungu naomba unipe watoto mapacha mwaka huu na uponye Juma msunza akapoke uponyaji popote alipo mungu naomba
Naitwa mariam naomba kufunguliwa mwili ndoa na watoto na maisha yangu
Amen nitapona namu.yangu nauzawo wangu
Asante mungu nimepata faraja sana leo amina
Nipo Oman . Mimba yangu nimshahara mdgo . Nataka Leo nijifungue bila uchungu wa LAAANA mshaara wangu uongezwa
Nataka mungu anitendee nilipe hela ya marejesho niliyo mkopeshea mtu flan
Nataka mungu anitensee niuze shamba kirahii
Na mm napokea
Mm devotha Antony nilikuwa nikibeba mimba ninauguwa sana halaf nikizaa watoto wanakufa lakn nimebebwa hii mimba nikajiungamanisha nahaya maombi siuguwi tena
Amina mtumishi
Naomba motor wangu Lillian kufunguliwa kupata mume kutoka kwa yesu amina
Mwenyezi mungu kupitia mazabahu yamtume burudosa mwamposa uniponye maradhiyote yanayo nisumbua,ipepe familia yangu uwezo na mafanikio
Mimi ni wiliamu mwaluko kulalu mutumishinakuomba kwa i'mani familia yangu ikae kwenye mukono wa mungu namutumishi wa bwana kupitia maombi haya familia yangu itakaa kwenye mukono wabwana
Ninahitaji kufunguliwa maisha yangu ktk jina la yesu
Mungu naomba unifunguwe vifungo vyote nilivyo tupiwa katika maisha yangu
Naomba nfungue Mimi na watoto na mume wangu 2nipate hela za kusomesha watoto wangu 3 Jana asubuhi akatua jiwa na kufa nilipokaa na wenzanu 4 nyumba yangu mifugo yangu 4 nilikua naumwa nyonga nimepona kutumia maji ya upako
Mungu naomba nijibiw ombi langu nimalizie kujenga kwa njia rahisi
Bwana yesu asifiwe.. Naitwa munira nipo Oman nimeguswa sana na maombi nilikuwa kondoo niliye potea 😭😭mchungaji Asante Sana 🙏🙏 kwakunifungua ufahamu wangu 🙏
Leo nafunguliwa mm Leo napokea ameeeeeen
Napokea uponyaji wa mwanangu kuacha bangi kiurahisi .amen
Nataka kupona UTI wa mgongo leo. Kila nguvu za Giza zikome leo katika maisha yangu
Naomba nipate kazi ameeen
Ee yes saidia maisha yangu yawe ya fulaa siku zote
Naomba mungu aniteteye katikanyumba ninayo ishi
Nitendewe miujiza nipate wateja wengi changu kikawe changu.nipate mtu atakae niinua kiuchumi 🙏🤲
Amina mtumishi mina taka watoto mapacha wakike na wakiume
Nataka yesu anifunguliwa kwenye uchumi wangu
Mimi naomba mungu anibadirishie maisha najiuza naomba mungu anibadishie maisha
Naomba maombi nipate mme mwema 🙏 amen
Namshukuru Mungu kwa kupitia mafuta ya upako na neno la mtumishi wa mungu God gave me a business idea during this pandemic I asked God to find me a second income and I came with the idea of delivering groceries to people's house. So thank God I have a second income I deliver groceries in the earned income just for four hours every single day the word that says do not be afraid give me the courage to go out when people are hiding I'm out in the grocery store getting groceries for my customers and take it to their home. I live in a town under quarantine in the USA
Asante sana bwana Yesu through your 7th of God forgive me this opportunity especially during these difficult times
Bwana yesu naitwa hawa nipo mbeya,kila nikisikiliza maombi kupitia inuka uangaze mungu ananifungulia milango lakini ninapopata pesa zinaishia kwenye ulevi naomba maombi katika hilo kwani nahitaji mafanikio makubwa
Mtume naomba maombi ya ulinzi wa kazi yangu na matumizi sahihi ya pesa kwani nikipokea zinaishia kwenye vitu visivyo sahihi na kushindwa kufanya malengo
Mtume nimepokea baraka na mafanikio kuanzia leo eee mungu nabarikiwa na kuinuliwa kupitia maombi ya inuka uangaze nipo live kupitia you tube
Dada unabidi kuwa mpekuzi wa bibilia usifuate sana ,miujiza,utaingizwa mjini
Huu niunajimu
Mungu naomba maombi yangu yajibiw ndan ya mweza huu tanesco waondoe nyaya zao bila garama yeyote
Ee Mungu naomba jibu kila hitaji la moyo wngu.
Mwanangu rehema afunguliwe kazi zimkimbiliye
Kupitia dhabahu hii ifungue familia uchumi uzao biasshara ndugu zangu roho za kutoolewa nanafunguliwa Amina
naomba mungu anifungue vifungo nie namayisha mampya
Na uibariki kazi ya mikono yangu ujalie familia yangu izidi kuwa na furaha na ujalie maisha yangu yawe yeny furaha siku zote kwa jina la mungu baba na mwna na roho mtakatifu amen naitwa janeth rameki
Naomba kupokea uponyaji, naomba kufunguliwa kila kitu kwenye maisha yangu, naomba kupokea uponyaji kwenye kizazi changu, kazin kwangu, kila njia ya mafanikio, navunja kila mikosi, laana, kupona ugonjwa, Leo napokea katika Jina Yesu Amen
Asante mungu nikaweze kufungulia ugonjwa wa yutihai inasisumbua sana hakika wewe jemedali wangu nimetumia dawa lakini siponi mala sindano lakini kwako hakuna linashindikana
Mungu..nataka..nipate..kazi..kiula..hihi..Sana..kwa..jina..la..yesu
Aminaaa najua shida zangu zote zinaishia leo maisha yangu yawe ya furaha na upendo mme wangu anaiheshimu ndoa yetu.idumu .
aleluyaaa mwamposa tupe neno amen naomba uniondolee hofu ninachohitaji ni heshima kwa kila mtu na mafanikio amen naomba nisaidie baraka amen amen baba yetu naomba nipate hela kimiujiza and kuniomba msamaha
Naomba nizidiwe na wateja na niipate mafanikio ,nitumiapo majia yaha🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Naomba kupokea kupona mwili wangu naomba ndoa mm khalid naomba na watoto mapacha umri wangu umeenda sana nimeteseka sna na majin uchawi nimezunguka kwa waganga wengi sana nipo oman nafanya kazi za ndani nimepata mchumba mwarabu aitwa khalid mm naitwa mariam lkn huyu mchumba sijui nini kinakwamisha