Naomba ee mwenyenzi mungu kupitia madhabahu hii ya inuka na uangazee binti yangu afunguliwe kwajina la yesu kristo nami nyota yangu ingae niwena maisha ya furaha amani na mafanikio amen.
Mungu naomba uniponye na familia yangu uchumi wangu mungu nipe kibali cha kuingiza umeme kirahis nipate mtaji kirahis nilipe maden kirahis napokea katka jina la yes Amina
Eeee MUNGU , mwaka huu jidhihilishe kwenye maisha yang, nioneshe ni mwanaume yupi sahihi , ktk mahubr haya ya nabii mwamposa , katende miujiza Yako YESU 🙏🙏🙏🙏
Asantee ee mwenyenzi mungu mwenyee huruma kwakunilinda mpaka leo hii naomba uzid kunipigania nilindee dhid ya maadui zang mungu naomba uilinde ndoa yangu ifunike kwadam takatifu ya yesu
E mwenyezi mungu nifanyie wepesi katika kazi zangu na uyafanye Maisha yangu kua mepesi na wazazi wangu waanze kumuamini mungu wamekua wagumu Sana mungu nisaidie naamini imekua amina
Ee mungu naomba nipone hii homa ambayo inanisumbua ambayo bado sijaijua kupitia maombi haya naamin napona na kila dalili znapotea kwa jina la yesu naamin napokea hii leo amen
E mungu wa madhibao ya arishe and shine naomba miujiza maishani mwangu,kwenye bihashara yangu miujiza tu, watoto wangu kufaulu kimiujiza zaindi katika jina layesu.
Ameni hasante Sana Mungu wangu kwa neema yako msaadie Mme wangu afanikiwa kiuchumi na awe furaha naapande cheo kazi na mm nimiliki brach ,nipate nyumban, na usafiri kilahisi,na adaa yamtoto ameni namini utafanya
Kwa kupitia madhabau ya lnuka uangaze napokea uponyaji mie na uzao wangu pamoja na familia yangu kla aina ya vifungo vikafunguke kwa jina la YESU AMEEN 🙏🙏🥰
Ee mwenyezi MUNGU naomba unisaidie leo hii ucku huu mme wangu Yacobo Lazalo anitafte kupitia maombi haya ee mwenyezi MUNGU ucyexhindwa mtenda miujiza naomba ikawe zamu yangu kujibiwa na kupokea ndoa yangu irudi kuanzia sasa AMINA
Mungu naomba ufungue milango yangu passport yangu lrudishwe office pesa yangu lrudishwe office njia zangu zifufunguliwe na watoto wangu wafunguliwe Kwa masomo na Maisha mafanikio lfunguliwe amen
Ameni napokea uaminifu kwa yesu ata uyu mwanaume ataki. Kunitafuta atani tafuta mwenyewe kwa jina la yesu na kwa ushindi mkumbwa atanitafuta yeye mwenyewe ameni nimeshoka kumlilia mtu nieli nimlilie mungu ameni
Mungu ni mwaminifu mtumiahi mimi nasumbuliwa na madeni katika maisha yangu biashara zangu aziendi ni madeni yu kila kukicha namuomba Mungu madeni yote yaishe na biashara zangu zijizungushe zenyewe bila kutegemea mikopo Mtumishi
Mungu niokowe Mimi kwachangamoto yangu ninayo pitia kwasasa nahitaji kuwa nafulaha kwenye maisha yangu na familia yangu najuwa mungu upo pamoja NAMI amen
Mungu naomba tubariki mi na mke wangu tupate watoto na mafanikio na milango ya watu wabaya ufunge juu yeti Mungu tusaidie tunahangaika kutafuta familia Mungu tusaidie
naomba mungu anijalie kwenye biashara yangu nizidi kufaanikiwa zaidi, pia naomba mungu atufungue mm na baba watoto wangu tuweze kuoaña kabs popote alipo, Moyo wake ufunguke kwangu moja kwa moja, aminaa,,
Ee mungu naomba usikie maombi yangu nahitaji kufaulu kakti masomo yangu ya kidato cha Tano na cha sita wote wasemao cwezi wakastaajabu matendo Yako naomba nikiamini amen🙏🙏
Eeeh nakuomba ute njia ya kupata pesa kazi ili niweze kuwalipia watoto wangu school fee's naamini mungu unatoa njia kwa jina la yesu kupitia ibada hii amen 🙏
Mungu kupitia madhabahu ya mwamposa ,naomba nipate kazi, afya kwa watoto wangu pamoja na ndoa yangu nifunge ndoa na mume wangu, naamini kwa jina la yesu kristo amen
Eee mungu naomba unijibu maombi yangu ya kufunguliwa masikio yangu yaanze kusikia kwanzia sasa, na saut yangu itoke vzr, pia na ufahamu wangu kwa jina la yes tenda miujiza leo usaipite bila ya kunifunguwa leo kwa jina la yes
Mungu wa mwamposa unisikilie uruma namiye nipate wa toto ici miaka mungu wa mwamposanisikilie uruma mimi nimwenye Zambie nyingi sisistaili naomba unisamee kwa yote bila mwicho n'a mutoto yangu Pia bila mwicho mujibie n'a yéyé Pia siwezi kosa Ku chukuru 'isikilie uruma Sana mungu wa mwamposa
Yesu naomba ujibu naomba yangu na uingilie Kati hatima yangu Baba nisaidie mwanao nimechoka kulala na kila wanaume yesu nataka ubavu wangu wa milele Baba nipumuzishe yesu
Mungu naomba uingilie kati katika hii biashara umetusaidi tunaenda vizuri katika uendeshaji wa biashara yetu tupo wawili Mimi na mume wangu usiluhusu mungu Biashara hii asimamie mtu mmoja naomba Kila wakati tushilikiane kama ulivyo tuweka tuwe wote pamoja ameni.
Eee yesu umenisaidia katika mengi,nakuomba unisaidie nipate uwanja na kujenga pia nipatie amani ya ndoa yangu katika jina la yesu kristo aminaa
Mungu nataka unitendee miujiza kwenye maisha yangu mwaka huu
Eee Mwenyezi Mungu, kupitia hili somo na haya mafundisho naomba unijalie moyo wa utoaji kama maandiko yako yanavyotufundisha
Mungu naomba ukabali maombi yangu mchumba wangu lukas akubali kwenda nyumbani na tuweze kufunga ndoa ameen
Ee mwenyenzii mungu naomba umponye mwanangu naomba umfungue aweze kukaa na kutembea kama watoto wengine ee bwana amina
Amen napokea kwa jin la jesu
Naomba ee mwenyenzi mungu kupitia madhabahu hii ya inuka na uangazee binti yangu afunguliwe kwajina la yesu kristo nami nyota yangu ingae niwena maisha ya furaha amani na mafanikio amen.
Mungu naomba uniponye na familia yangu uchumi wangu mungu nipe kibali cha kuingiza umeme kirahis nipate mtaji kirahis nilipe maden kirahis napokea katka jina la yes Amina
Mungu naomba mwaka huu 2023 usiishe bila mm kupata mimba
Kaka yangu ameukwa anamiaka 5 toka azekuumwa tukombele zako mungu tunahomba uponyaji kwako mungu wamazapao yainuka huagaze
Yesuchristu naomba kilio changu kigehuke kuwa kicheko kwajina la yesu christu amina. Nimechoka kulia lia kilasiku,magonjwa yana nisonga sana.
Yesu naomba uniponye nipate kupona na nipambane na maisha yng niwashinde maadui wanaonisumbua ameen
Naomba mwenyez mungu afungue milango yng ya rizki na nipate mume mwema
Eeee MUNGU , mwaka huu jidhihilishe kwenye maisha yang, nioneshe ni mwanaume yupi sahihi , ktk mahubr haya ya nabii mwamposa , katende miujiza Yako YESU 🙏🙏🙏🙏
Kutoka Saudi Arabia napokea uponyaji Amen 🙌🙏🙌🙏🙌🙌🙏 baba wa mbinguni nisaidie
Mungu nisaidie chuma ulete wa afya na maisha yangu atoke kwa jina la YESU AMEN
Mungu naomba nisaidie kupitia mahubili haya nipone kifafa kinachonitesa amin
Naomba ufungulivu kutokana na njozi niliyooteshwa mtumishi ulinijia ndotoni nikazane kuomba kwajina la yesu kristo aminaaaa
Ee mungu nisaidie namimi bwana badili historia yangu na jina langu nipe heshima nifanye wa viwango vya juu amen
Naomba mungu anijaliye mimba yangu inapoteya tumboni na yule aliye iba mtoto wangu tumboni anirundishiye mtoto wangu
Amina yesu Naomba unijibuu maombi yangu yote niliyoomba kutoka kwako na pia maombi yangu ya kuitwa nje yakubaliwe 🙏🏻🙏🏻😭
Asantee ee mwenyenzi mungu mwenyee huruma kwakunilinda mpaka leo hii naomba uzid kunipigania nilindee dhid ya maadui zang mungu naomba uilinde ndoa yangu ifunike kwadam takatifu ya yesu
E mwenyezi mungu nifanyie wepesi katika kazi zangu na uyafanye Maisha yangu kua mepesi na wazazi wangu waanze kumuamini mungu wamekua wagumu Sana mungu nisaidie naamini imekua amina
Yes naomba waondoee wachawii wotee kwenyee maisha yang
yesu naomba unifungulie hasubuhi ya leo nipate baraka unifungulie milango ya baraka amina
Namba mungu aingiliekati ilinifanikiwe ombilangu lakupata mtoto maana naamini mungu anatenda naatatenda kwajina la yesu ameee
Ee mungu naomba nipone hii homa ambayo inanisumbua ambayo bado sijaijua kupitia maombi haya naamin napona na kila dalili znapotea kwa jina la yesu naamin napokea hii leo amen
Mungu baba kupitia madhabau ya inuka uangaze naomba uniponye na mwaka usi ìshe bila kufanikiwa Amina,
Naomba mkono wa mungu unishike ktk maisha yangu ktk kazi zang ktk makaz yang yafungue maisha yang yawe mazur km ya wengine Emen
najiunga naiba hiii natubu nirikuw natumia majura myezi sita siingii bridi naomba mungu niponye
Mungu naomba mimi na Mme wangu tupatane kama zaman Amin
Naomb mwenyez mungu kupitia madhabau hii leo mm naend kufunguliwa kwa dam ya yesu ameen🙏🙏🙏
Yesu nisaindie mambo yangu yanyook nipata kazi na mume wangu niwanaee pamoja
Ee mwenyez mungu namuleta uyu mme wangu mikonon mwako akafunguliwe katika kaz Zake akafunguliwe katika jina la yesu kristo amena
Naomba mungu anisaedie kwasababu nimeandamwa na roho mbaya zakunikatisha tamaa na madeni yananinyima amani kabisa
Mungu mponye baba angu kirahisi na kila ugonjwa alio ambiwa ufutike kwa jina la yesu
Asante Mungu kwa Neema yako na omba nifaulu endsemister kwa GpA kubwa 🙏
E mungu wa madhibao ya arishe and shine naomba miujiza maishani mwangu,kwenye bihashara yangu miujiza tu, watoto wangu kufaulu kimiujiza zaindi katika jina layesu.
Ameni hasante Sana Mungu wangu kwa neema yako msaadie Mme wangu afanikiwa kiuchumi na awe furaha naapande cheo kazi na mm nimiliki brach ,nipate nyumban, na usafiri kilahisi,na adaa yamtoto ameni namini utafanya
Yesu naomba uniongezee amani juu yangu.naamini nitarudi mshindi Tanzania na nyumba ya mama yangu itaisha kirahisi amen amen
Mungu naomba uniponye nipone niwe na afya nzur katka jina la yesu napokea na mm amina🙏
Munguuu naombaa funguaa milangoo ya maishaa yanguu msaidiee Sanaa bib anguu kwenye mipangooo yakeeee yotee nipee amanii maishaa yanguu yoteee na ndguu zanguuu
Mungu naomba uniongezee Imani kwenye moyo wangu baba
Arise and shine Tanzania mtumishi mm nahitaji kufunguliwa kiuchumi na mwili wangu
Kwa kupitia madhabau ya lnuka uangaze napokea uponyaji mie na uzao wangu pamoja na familia yangu kla aina ya vifungo vikafunguke kwa jina la YESU AMEEN 🙏🙏🥰
Naomba nipate ajila ya kudumu kupitiya mazabau hi
I receive in my name of Jesus
Ee mwenyezi MUNGU naomba unisaidie leo hii ucku huu mme wangu Yacobo Lazalo anitafte kupitia maombi haya ee mwenyezi MUNGU ucyexhindwa mtenda miujiza naomba ikawe zamu yangu kujibiwa na kupokea ndoa yangu irudi kuanzia sasa AMINA
Mungu uniponye kizazi changu kiwe Kama nilivyo zaliwa kwajina la yesu ameee
Mungu wa mbinguni naomba mwaka huu usipite bila kujibu haja ya moyo wangu naitaji majibu ya maombi yangu bwana usinipite 🙏
Mungu naomba ufungue milango yangu passport yangu lrudishwe office pesa yangu lrudishwe office njia zangu zifufunguliwe na watoto wangu wafunguliwe Kwa masomo na Maisha mafanikio lfunguliwe amen
Mungu najikabiz katika madhabahu yako naomba ubaliki maisha yangu na mume wangu ubaliki Kaz yake azidi kufanikiwa
Ameni napokea uaminifu kwa yesu ata uyu mwanaume ataki. Kunitafuta atani tafuta mwenyewe kwa jina la yesu na kwa ushindi mkumbwa atanitafuta yeye mwenyewe ameni nimeshoka kumlilia mtu nieli nimlilie mungu ameni
Napokea uponyaji Mungu Nisaidie.Niitwe mama Nizae mapacha kwajina layesu Napokea kwajina layesu Napokea uponyaji
Yesu naomb ujibu maombi yangu 🙏
Eee mungu nenda katende miujiza juu yangu nikapate kupata biashara yangu mwenyewe na nijenge kilahis nipate pesa kilahsi amen
naomba mabos wanitafute sana ili niwasaidie amen udat asitoke karibu yangu amena
Mungu ni mwaminifu mtumiahi mimi nasumbuliwa na madeni katika maisha yangu biashara zangu aziendi ni madeni yu kila kukicha namuomba Mungu madeni yote yaishe na biashara zangu zijizungushe zenyewe bila kutegemea mikopo Mtumishi
Naomba mtoto wangu apate uponyaji katika jina la yesu kupitia madharau ya mwamposa amen and amen
Siyo Madharau ndg yangu ni Madhabahu
Napokea kwa jina la yesu watoto mapach wa kike na kiume kupitia madhabau hii,
Asante mungu naomba niongezwe mshahala nieshimiwe kazini amen
Napokea mm na familia yangu tutafanya mambo makubwa kilahisi tu aameen tunapokea baba
Mungu niokowe Mimi kwachangamoto yangu ninayo pitia kwasasa nahitaji kuwa nafulaha kwenye maisha yangu na familia yangu najuwa mungu upo pamoja NAMI amen
e mungu baba nashukuru sana maombi yangu yamekubaliwa kiasi chake
Eee Mungu naomba Mwamposa utakapoanzaa kuomba naomba unifungue na kila vifungo nilivyofungwa na Nguvu za kishirikina Amina
Eee mwenyezi mungu naomba ubariki maombi yangu
Naomba mungu utende miujizabwako leo unifunguwe masikio yangu Leo yaanze kusikia kwanzia sasa tenda miujiza mungu wangu usinipite Leo kwa jina la yes
Naomba Mungu ani fungue na uwasho ya mwili iisha
Natangaza kufanikiwa ktk maisha yangu yote amina
Asante mungu kwakumtumamtumishi mwa.mposa mengi anatutendea kuptia nguvu zakp mungu🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏👏
Najiungamanisha na ibada hii napokea upako kwa jina LA yesu aminaaa
Mwamposa mungu akupe maisha marefu Sana kwa kuwaponya watu japo kua na mm natatizo sija fanikiwa kuponywa nahamini nitaponya amiina
Muda wako haujafika usife moyo endelea kuomba .. Matatizo yataisha 🙏
Amen 🙏
Naamini kwa upako huu na mimi naenda kupokea muujiza wangu wa kufunguliwa katika biashara yangu kwa Jina la Yesu
Mungu naomba nipate mapacha
Mungu nataka nipate watoto mapacha sita Niwazaee kwa njia lahisi kabisa nawote wawe wazima wenye afyaa tele
Mungu naomba tubariki mi na mke wangu tupate watoto na mafanikio na milango ya watu wabaya ufunge juu yeti Mungu tusaidie tunahangaika kutafuta familia Mungu tusaidie
Mungu naomba baba yangu kəsi yake ya mirathi iishe kiraisi kabisa na auze nyumba haraka kwapesa anyotaka yeye Amina
Baba naomba uingilie maisha yangu kila kila nilicho nyang'anywa kirudi kwangu Mara sana.Amen.
naomba mungu anijalie kwenye biashara yangu nizidi kufaanikiwa zaidi, pia naomba mungu atufungue mm na baba watoto wangu tuweze kuoaña kabs popote alipo, Moyo wake ufunguke kwangu moja kwa moja, aminaa,,
Naomba Mungu anifunguwe na family yote nisisumburiwe na ndoto mbaya za kunirudisha nyuma nifanikiwe na niongezeke kwa jina la Yesu kristo.
Mungu naimani utaenda kubadilisha watoto wangu kuwa baraka na kichwa sio mkia
Yesu naomba unifunguwe matatizo yangu yote Amin nikombele zako bwana naomba
Ee mungu naomba usikie maombi yangu nahitaji kufaulu kakti masomo yangu ya kidato cha Tano na cha sita wote wasemao cwezi wakastaajabu matendo Yako naomba nikiamini amen🙏🙏
Mtumishi naomba uponye family yangu utuondolee mauti lahana namikos bali untuinue katika jina la yesu kristo maisha yetu yafunguke
Asante mungu Kwa kunipabkibali kazini kwangu.na kunipa wateja wengi
Kwa kupitia madhabahu mungu anisaidie hitaji la moto wangu
Eeeh nakuomba ute njia ya kupata pesa kazi ili niweze kuwalipia watoto wangu school fee's naamini mungu unatoa njia kwa jina la yesu kupitia ibada hii amen 🙏
Mungu simamia biashara yangu kwa jina la Yesu vita ni kubwa baba pambana nao wote wanaotaka kuniangusha kwa madhabahu hii Mungu naomba ukanitendee
Mungu kupitia madhabahu ya mwamposa ,naomba nipate kazi, afya kwa watoto wangu pamoja na ndoa yangu nifunge ndoa na mume wangu, naamini kwa jina la yesu kristo amen
♥️♥️♥️💖
Mungu nisaidie nipate mtoto humwaka usinipite hivi hivi
Najiungamanisha na madhabahu ya inuka uangaze,maisha yangu yafanikiwe kwa jina la Yesu
Mtume naomba uniombee nipate kazi
Naomba amani ikatawale katka kiuchumi kiafya
Mungu naomba nijibu maombi yangu kupitia mtumishi WA mungu
baba naomba udat anilalizimishe tukadhiliki tendo alafu mi nisiwe na mda nae amen
Aya
Mm naitwa mama meshack naomba uniombee nifunguliwe kiuchumi
🙏 naamini napokea uponyaji leo wa kufunguliwa me na familia yangu
Naomba mungu anijibie maombi yangu napitia wakati mgumu sana kwa sasa naamini nitavuka kupitia mtumishi wa mungu ameen🙏🙏
Eee mungu naomba unijibu maombi yangu ya kufunguliwa masikio yangu yaanze kusikia kwanzia sasa, na saut yangu itoke vzr, pia na ufahamu wangu kwa jina la yes tenda miujiza leo usaipite bila ya kunifunguwa leo kwa jina la yes
Imani Yangu Itaniponya Mimi ninaeamini!!!Hata Uwepo wangu naaamini n mungu katenda!!Asante Yesu najua hayo mengne utanipa🙏🙏
Mungu wa mwamposa unisikilie uruma namiye nipate wa toto ici miaka mungu wa mwamposanisikilie uruma mimi nimwenye Zambie nyingi sisistaili naomba unisamee kwa yote bila mwicho n'a mutoto yangu Pia bila mwicho mujibie n'a yéyé Pia siwezi kosa Ku chukuru 'isikilie uruma Sana mungu wa mwamposa
Amen baba mungu naomba nipe moyo yaibada
Naomb mungu akamfungulie mama ang anaumw Hana laha Kila cku namini kupitia mtumishi wamungu ameenii
Namuomba mungu Asimamie familia yngu Nakufungua mume wngu Apate kazi kirahisii
Mungu naomb unisaidiee nipate kaz na kweny ndoa yangu nipatee amani na mtoto wangu aponee tumboo
Yesu naomba ujibu naomba yangu na uingilie Kati hatima yangu Baba nisaidie mwanao nimechoka kulala na kila wanaume yesu nataka ubavu wangu wa milele Baba nipumuzishe yesu
Mungu naomba uingilie kati katika hii biashara umetusaidi tunaenda vizuri katika uendeshaji wa biashara yetu tupo wawili Mimi na mume wangu usiluhusu mungu
Biashara hii asimamie mtu mmoja naomba Kila wakati tushilikiane kama ulivyo tuweka tuwe wote pamoja ameni.
Eeee mungu naomba unibariki katika mlengo ni nayo tarajia kuyafanya
Mungu nataka nipone nguvu za giza
Yesu naomba unijibu maitaj yangu nipate mme sahii mwenye of ya mungu
Mungu mtazame huyo mwanao ameondika maneno mazito Mungu mtete
Mungu naomba nifanyie wepesi wakubeba mimba Ili nifurahie ndoa yangu
Naomba mungu atufungue mimi na mwahija pamoja na neema tuwe na furaha na mapatano emen
Eeeh! mungu naitaji uponyaji wa nafsi na Unitoe ktk chumba cha kiza naitaji kuwa huru sitaki Lahana naitaji Baraka
AMEN naamin nmepon kupitia ibada hii
Asant.mungu.kupitia.madhabahu.ya.inuka.uangaze.biashara.yangu.imeangaza.mungu.akubariki.mtume