ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Maombi ya Eric Omondi yamejibiwa😅😅😅
Ila wanangu eeh ...Wakenya ni wanaume khaa😃😃😃
Tanzania bado tupo kama Kobe sijui tunawaza nn... sijui ndo uoga😢😢
Kumbe nguvu ya wananchi inaweza kubadili mambo eeeh?
@RasTempaKalennjiki2024 Hata wakenya wamepigwa hadi kuuwawa ila wamepata matakwa yao, waTz ni waoga sana bora washabikie timu za mipira ama Diamond na harmonize 😅😅😅😅
sana tu, ila nyie munapenda amani kuliko maisha bora....Laleni bado hakujakucha !😂😂😂😂
power Iko na mwananchi hata sisi walitupiga nasi tukawapiga hawana lolote mkiwaamulia wabunge walikimbizwa kama watoto. Amkeni wabongo
Namuelewa ayo bongo uhuru wa wanahabari hamna akijaribu kukosoa tu atajipata pabaya
Ruto amesha panic jamani uongozi ni mgumu
Hayo ni mawazo yako. Raisi Ruto yuko ngangari, jasiri na mwenye kutumia akili kubwa na Hekima pia. Ndani ya baraza kulikuwa na mamluki.
Wabunge wote nje
Saahi Azimio ndani ndani kabisa
gen z hawakukufa ndio azimio wakule..no
Ruto ni mfamaji
mfamaji?
@@TheJamaa001 anaongozwa na hisia za wananchi, hajiamin, hajui nn hanataka, anafany vitu kwa shinikizo kwa kutetea tumbo lake aonekane mwema
Mbona hupost yanayoendelea Tz, ya jirani yanakuhusu nini Millard Ayo😂
Acha ushamba wewe, Habari za majirani hata sisi zinatuhusu.
Maombi ya Eric Omondi yamejibiwa😅😅😅
Ila wanangu eeh ...Wakenya ni wanaume khaa😃😃😃
Tanzania bado tupo kama Kobe sijui tunawaza nn... sijui ndo uoga😢😢
Kumbe nguvu ya wananchi inaweza kubadili mambo eeeh?
@RasTempaKalennjiki2024 Hata wakenya wamepigwa hadi kuuwawa ila wamepata matakwa yao, waTz ni waoga sana bora washabikie timu za mipira ama Diamond na harmonize 😅😅😅😅
sana tu, ila nyie munapenda amani kuliko maisha bora....Laleni bado hakujakucha !😂😂😂😂
power Iko na mwananchi hata sisi walitupiga nasi tukawapiga hawana lolote mkiwaamulia wabunge walikimbizwa kama watoto. Amkeni wabongo
Namuelewa ayo bongo uhuru wa wanahabari hamna akijaribu kukosoa tu atajipata pabaya
Ruto amesha panic jamani uongozi ni mgumu
Hayo ni mawazo yako. Raisi Ruto yuko ngangari, jasiri na mwenye kutumia akili kubwa na Hekima pia. Ndani ya baraza kulikuwa na mamluki.
Wabunge wote nje
Saahi Azimio ndani ndani kabisa
gen z hawakukufa ndio azimio wakule..no
Ruto ni mfamaji
mfamaji?
@@TheJamaa001 anaongozwa na hisia za wananchi, hajiamin, hajui nn hanataka, anafany vitu kwa shinikizo kwa kutetea tumbo lake aonekane mwema
Mbona hupost yanayoendelea Tz, ya jirani yanakuhusu nini Millard Ayo😂
Acha ushamba wewe, Habari za majirani hata sisi zinatuhusu.