"MAGUFULI ALIKIONA KIFO CHAKE, ALITAKA AKAFIE NYUMBANI KWAKE" MSTAAFU MABEYO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 62

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 5 หลายเดือนก่อน +7

    Kurudishwa nyumbani inaonekana kuna jambo aligundua sio zuri akachukizwa bora afie nyumbani kwake kuliko huduma aliyopewa hapo

  • @user-tl4cy7br6v
    @user-tl4cy7br6v 5 หลายเดือนก่อน +8

    Pumzika kwa amani our hero president jpm, pongezi kwa cdf mabeyo

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 หลายเดือนก่อน +15

    Dah kama naww imekugusa hii tujuane

  • @prophetjamesmzigaba4447
    @prophetjamesmzigaba4447 5 หลายเดือนก่อน +10

    Nimejifunza jambo sana ,hadi anaumwa lakin bado anasimama na msimamo wake alikufa kishujaa sana mwamba huyu

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 5 หลายเดือนก่อน +10

    😭😭 nimefarijika kusikia Kama alipata upako wa mwisho naamini alipata kitubio kabla ya sakramenti ya mwisho, walio wake Mungu amewachagua hata dakika ya mwisho atawaokoa. Amepumzika kwa amani mpendwa wetu.

  • @Tizah-255
    @Tizah-255 5 หลายเดือนก่อน +8

    CDF kwanini mlificha ukweli mkasema Rais ni mzima na anaendelea na ziara zake hamkutaka Rais aombewe na wananchi wake kama kawaida yake

    • @christianmwabukusi8132
      @christianmwabukusi8132 5 หลายเดือนก่อน

      Ndio swali! Usiri kwa mtu ambaye ni wa watu wengi...

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 5 หลายเดือนก่อน +4

    Yani tunajiulizaga maswali sana hero wetu nini kilimkuta lakini Mungu ajua yote tuntamkumbuka daima

  • @user-yi8pe8zz1t
    @user-yi8pe8zz1t 5 หลายเดือนก่อน +5

    mngemrudisha kwao huenda angewaona ndugu zake angepona,maana damu ni nzito kuliko maji😢

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 5 หลายเดือนก่อน +4

    Sasa ile watu wanasema ati kapelekwa Nairobi kumbe ulikuwa ni uongo tu. RIP Magufuri, umetuachia legacy kubwa sana nchini kwetu.

  • @amosmichael8986
    @amosmichael8986 5 หลายเดือนก่อน +5

    Kwahiyo mkuu wa majeshi ulikataa kutii amri ya amiri wako jeshi mkuu au inakuaje ebu tufafanulieni

    • @abdullynasry2205
      @abdullynasry2205 5 หลายเดือนก่อน

      Ndo najiuliza apa sipati majibu

    • @emanuelshine
      @emanuelshine 4 หลายเดือนก่อน

      Ni katika jitihada za kuokoa uhai wake.

  • @ivangasper1709
    @ivangasper1709 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani napata hasira sana kuhusu kuondoka huyu baba, ila itoshe kwa kusema kila jambo ambalo Mungu ameruhusu litokee basi ni kwa ajiri ya utukufu wake🙏

  • @crispinakimaro3821
    @crispinakimaro3821 5 หลายเดือนก่อน +2

    Why retired cdf ! we cried out again May our Lord God granted JPM eternal peace Amen 🙏😭😭😭

  • @JaphethKauno
    @JaphethKauno 3 หลายเดือนก่อน

    Mbele yako nyuma yetu. Hakika tutakukumbuka kwa mengi ulliyo fanya. Daima tunakuombea mungu akuondolee na adhabu ya kaburi. Daima tunakuombea pumzika kwa aman amen.

  • @yomamausafi1137
    @yomamausafi1137 5 หลายเดือนก่อน +2

    ipo sku mtasem ukweli

  • @charlesyapuka4992
    @charlesyapuka4992 5 หลายเดือนก่อน +2

    Daah CDF kukataa kumrejesha maskani ulizingua sqna...Kwahyo madaktari walikua huru kwa kila kitu?

  • @joharimillanga1587
    @joharimillanga1587 4 หลายเดือนก่อน

    Yote kwa yote Mungu ndo anajua kuzaliwa na kufa kwa mwanadamu. Imeshatokea basi hatuna namna zaidi ya kutulia

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 5 หลายเดือนก่อน +3

    Duuuuuuuu Muna tuuumizaaaaaaaaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @JackM.-mh5cs
    @JackM.-mh5cs 2 หลายเดือนก่อน

    Aliua watumie wengine sanaa hatuna mazombi yatamsaidia hukohuko kuzimu

  • @geofreymlingwa2914
    @geofreymlingwa2914 5 หลายเดือนก่อน +1

    Maneno hayo yameniuma Sana. Anyway R.I. P JPM

  • @chuisayi754
    @chuisayi754 5 หลายเดือนก่อน +4

    Ulikuwa wap zaman kuweka waz hayo maneno

    • @user-tl4cy7br6v
      @user-tl4cy7br6v 5 หลายเดือนก่อน +1

      Wew hy mambo si ya kukurupuka kutangaza hivhiviiiii

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 5 หลายเดือนก่อน +1

      Nakwambia wanafik tuu hawa...!!

  • @VeronicaVitus-rk5mf
    @VeronicaVitus-rk5mf 5 หลายเดือนก่อน +3

    😢

  • @joselinemwaki9665
    @joselinemwaki9665 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mwili unaongea mengi kuliko ya mdomoni, #ripmagufuli

    • @simasima8084
      @simasima8084 5 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa kugundua hilo😢😢

  • @GeorgeBenard-ue2gh
    @GeorgeBenard-ue2gh 5 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi nyinyi semeni vizuri, yaan mhmhmh

  • @JusteneAtilio
    @JusteneAtilio หลายเดือนก่อน

    Daaah

  • @user-ve1xm7gn9y
    @user-ve1xm7gn9y 5 หลายเดือนก่อน +1

    Alichokifanya Harmonize kwa Diamond State House ilikua maagizo ya Wachawi wa Harmonize.... Popo kazini 🦇🦇🦇 🦇🦇🦇🦇🦇🦇😭🇹🇿

    • @jullia639
      @jullia639 5 หลายเดือนก่อน

      Dah

  • @ezekielmbazi.8687
    @ezekielmbazi.8687 5 หลายเดือนก่อน

    Inswezekana angeenda Nyumbani angepona labda kuna kitu alishakigundua....... Mhhhh moyo unaniuma zaid

  • @mrmiamiaclassic6492
    @mrmiamiaclassic6492 5 หลายเดือนก่อน

    Duhuu kwa hayo maelezo CDF kuna kitu kipo nyuma ya paziaa

  • @deuslucas2256
    @deuslucas2256 5 หลายเดือนก่อน +2

    Inauma sana

  • @JulianaMakunja-vr4jl
    @JulianaMakunja-vr4jl 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yaan Magu uliniumiza sana 😭 nakumbuka wakat mzee wng naye anakaribia kufarik nilimuota Magu yupo maeneo ya home Baba anamwangalia now wote hawapo😭😭😭

  • @user-yi8pe8zz1t
    @user-yi8pe8zz1t 5 หลายเดือนก่อน

    hacheki huyu mzee ni askari jeshi sura yake haisomeki,unapo dhani anacheka ooh,mambo yanawezabadilika mara moja,askari huyo ohooo!

  • @vitalgiddy04
    @vitalgiddy04 5 หลายเดือนก่อน

    Wengi wanaamini Magu alifia Kenya hospitali kuu la Agakhan jijini Nairobi

  • @user-nh7ie5kz7l
    @user-nh7ie5kz7l 5 หลายเดือนก่อน

    ni vigumu kumsahau mwamba, kipenzi cha watanzaia apumzike kwa amani baba.yetu.

  • @tegemeantenga102
    @tegemeantenga102 5 หลายเดือนก่อน

    Kuna jambo halkuwa vzur ndio maana aliomba arudishwe nyumbn, huenda wazee wangemuwekea mikono ya baraka angepona,,,Kuna sku maelezo yatanyooka tu....najiulizaga kwann mzee aliumwa hivyo na serkal ilificha?

  • @user-zc1xq8xk1i
    @user-zc1xq8xk1i 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu kamanda mbona mwili wake unaongea mengi kuliko mdomo?? Anasema mda huo makamu hakuwa Dar alikuwa mbali,mbali ni Tanga??waziri alikuwa Dodoma, kamanda mdomo ni mzito,karuhusiwa kusema machache, anasema hadi Magufuli anakufa mkewe hakuwako, nyie watu

  • @user-mortone
    @user-mortone 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini anapata kigugumizi sana katika kuongea

  • @joshuambilinyi6655
    @joshuambilinyi6655 4 หลายเดือนก่อน

    Daah

  • @Eng2460
    @Eng2460 5 หลายเดือนก่อน

    😭😭

  • @MagingaJoseph-iw9nk
    @MagingaJoseph-iw9nk 5 หลายเดือนก่อน

    😢rip

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa na wewe askari km ulikuwepo na alikuambia umrudishe kwao wewe ulikataa kwann? yeye alijua pengine angelishugulikiwa na ndugu zake angepona. hapo ulimkosea sana kumkatalìa.

  • @justinjasson7070
    @justinjasson7070 5 หลายเดือนก่อน

    Mzera kulikuwa na vifaa?

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 5 หลายเดือนก่อน

    Daaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢R I P JPM

  • @GeorgeBenard-ue2gh
    @GeorgeBenard-ue2gh 5 หลายเดือนก่อน

    Sjakuelewa kabisa

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo mkuu wewe ulimtii amili jeshi wako alipokuwa mzima ilikuwaje alipougua ukakaidi maagizo yake na kugoma kumludisha nyumbani ina maana amili jeshi anasthili utii anapokuwa mzima akiumwa hastahili utii jamani mbona hapo sijapaelewa ?

    • @abdullynasry2205
      @abdullynasry2205 5 หลายเดือนก่อน

      Ndo najiuliza inakuaje kapinga kauli ya rais waongo walimua Yule mzee

  • @user-wl8ok7zz5d
    @user-wl8ok7zz5d 5 หลายเดือนก่อน

    rip

  • @RichardNyalucy
    @RichardNyalucy 5 หลายเดือนก่อน

    Ccm wamemlambisha kisu chenye asali

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 5 หลายเดือนก่อน +1

    Umebadilisha aliomba madactari waondolewe kabla ya kutaka kurudishwa nyumbani

    • @user-tl4cy7br6v
      @user-tl4cy7br6v 5 หลายเดือนก่อน +1

      Ulikuwepo syoooo????

    • @fortunendyamukama3906
      @fortunendyamukama3906 5 หลายเดือนก่อน

      Mind your language inaweza kuku cost🙌🙌🙌🙌😷😷

    • @shabanipanya1033
      @shabanipanya1033 5 หลายเดือนก่อน

      @@fortunendyamukama3906 tunasema mambo yaliyo sikika dunia nzima sio siri tunazungumza kutokana na mambo tulio sikia wakukamatwa ni yule alie tuelezea na hao walio kuwa kwenye mamlaka wamemsikia na wamemuacha tu azidi kutueleza na wanamjua na wala hajifichi sura wameheshimu freedom of speech nenda kwenye U-Tube andika hivi (kifo cha raisi magufuri generali mabeho kimeibua maswali 10,,,SK-Media on line)

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 5 หลายเดือนก่อน

    Hivi kwa nini cdf anacheka, na kutikisa miguu? yumkini naye anahusika.

    • @doiabel3793
      @doiabel3793 5 หลายเดือนก่อน

      Cdf alimpenda sana magufuli hapo anamachungu mengi sana kisimlia hii story anaweza kuangua machozi gafra ndo maana anatikisa tu mguu