ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
KUFRU YAKITHIRI ZANZIBAR
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ธ.ค. 2022
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mufti na Masheikh mko kimnya sana jamani mtakwenda kujibu nini mbele ya Allah nyie Subhanallah
Wabakaji wote sio wazanzibar, ewe Mola tusaidie 😭🙏🏾
Hao wanyongwe ili iwe funzo kwa wengine wasifanye uchafu huo
Allah awalaani wadhalilishaji wa watoto.Wanaharibu jamii bora wafungwe kifungo cha maisha.
Wanyongwe watu kama. Hao msiwalelee lelee huruma hailei mwana
Suluhisho la ulawiti ni kunyongwa tuu, kinyume chake hao wabakaji na walawiti wataongezeka kila kukicha
Wageni wetu mtatumalizaaa
Mitihan hii Allah atuepushe na fitina na tujaliye kheir na baraka ktk familia zetu
Hasbunallah Waniimal Wakiil
Kam Sheria za serikali hazisaidiii basi tuchukue Sheria za dini tuingize hapo kweny jambo hili ili tubakishe taifa salama
Hao ni kuwaua tu wakipatikana ndio lililobaki maana Serikali imeshashindwa kabisa kudhibiti hili suala..
Hao Serikali wanapenda kusikia khabari hizo ndio maana na Masheikh na mufti kwa nini hawatowi fatwa madhali wamemdhalilisha mtoto wa ndugu yao Subhanallah kisa nini Yaarabiy pigwa mboko hadharani mpaka wafe
Ewe mola wetu tustiri na shahwa zetu yaa rabbiy
Innalillah wainna illahi rajuon zanzibar imekuwa shamba la bibi😭😭😭
Mmezidi serikali kutujazia watu kisiwa kidogo lazima kuwe na limit
😢😢Hatari
Asante wifi kumbe pale ulikua unaenda kufanya hivyooo
Acheni ujinga wenu huo upelelezi gani tena huo ukamilike wafyakeni ndani wakajenge taifa kisha wapelelezeni hao uraia wao inawezekana sio raia wa Tz.
Sirikali Lazima Itowe Adhabu Kwa Wote Wanao Fanya Kitendo Hicho Chakuwateka Watoto Na Kuwalawiti Ili Wengine Wapate Funzo Waache Tabia Hizo Za Qaum Lotwiy...
Mbona hamuonyeshi
Allah awaongoze na awasamehe popote walipokosea.
Allah awajaalie kwanza wapate adhabu kali kawa inawezekana wanyongwe ndio lije swala la kuwasamehe
Viongozi alive umba kila kilicho chini yajua kaweka hukumu zitumiwe kila nchi inafata dini take tucpangiwe sheria na wengine ili zisiwabane kwa matendo yao serikali icbebe mizigo ikaweka ndani nyonga finya
Mbona wanatuchafulia kijinichetu cha Bambi Hao
Zanzibar ya mtume msw hamta imaliza Bali itawa maliza makafili munafiki
Huyo ni mtoto wa kaka yao kabisa alitoweka siku nyingi huyo mtoto kumbe ami zake ndio wamemfanyia unyama mtihani
Daaah!! Huu mtihani mzito sana
Yarab stara
Nimesoma na subira dilshad muraad?. Je wanauhusiano na hao wahalifu
Ayo majina ya mwanzo sio Yao wame jipachika tuu watanganyika wakija zanzibar Wana jibadilisha majina
Hao ni wapemba
Jamani hatuwezi ku solve hili suala ikiwa Imani yetu tu kua wafanyaji ni Watanganyika, sio kweli watu wetu wa Unguja na Pemba tena mbaya zaid ni watu wetu wa karibu katika familia zetu ndio wafanyaji wakubwa wa vitendo hivi viovu..
Mimi nasema saiv ifike wakati tukiwabaini hawa watu ni kuwaua tu ndio lililobaki maana Serikali imeshashindwa kabisa kudhibiti hili suala..
@@mtumwakh.abdalla1813 tena wa ole km nawaona