We ushakua mtu mzima binti yako angekua hasomi angeshazaa lakn nashangaa unavaa vinguo haviendani na umri wako unafanya mambo hayaendani na umri wako punguza dada jua limeshakuchwa hilo 😂😂😂🤣🤣🤣
Wanasema dida m'baya ujijue ww mzuri unalevo ya dida?oooooh anakipaji cha umbea ww mwenye kipaji cha uhandisi unechora jengi gani?ndio yuko juu yenu mweeeeeeeh
@@rahmaramadhan2476 acha tu wangu kuna watu wakialikwa na diamond wanachizika hatari sasa mtu mzima kama huyu kuvaa gauni kama lile shida Yote ya nin amepata aibu kwa vitu vidogo mpka ameagiza tisheti kutoka nyumbani
Nyiye waswahili acha ushamba. Eti mimi mzungu, tanasha nimzungu, zari muarabu??? Ndo Nini? Waraabu tabia zao mbaya, wazungu washenzi, what you see in movies is all fake. Wazungu na warabu washenzi kuliko waswahili. This slavery mentality thinking that wazungu are better needs to stop. Black people learn to love yourselves, it's the only way we can help each other. Indians, arabs and wazungu love themselves that's why they help each other in work everywhere.
Dida I missssss you sooo much. We tokea chuo hupendi kufatilia ya mtu. Halafu hauna roho mbaya. Nakupenda na nakukumbuka saana.
Tunaoangalia baada ya kusikia amefariki tujuane kwa like😢
Kwani unafaidika nn mpk Uwe unaulza Hvyooo
Kumbuka mwenyewe kajulikana kwaajili ya Didi ndo kamtoa kalale mahali pema peponi
Wanaomponda Dida kazeeka kwani amewakosea wapi mbona uongeaji wake ni sehemu yake ya maisha na ndio kula yake...tuache chuki binafsi.
Mhhhh
Dida ni nashida kubwa sana dada angu na.jua.wew ndiye unawesa kunisaidia.dada angu mm niko kilimanjaro dada
Sijui kwanini watangazaji wa redio wana mionekano zero na zura nzito ila sauti mashallah
Mbona uyu dada hakua mbaya jmn😢
Wivuuu
Afu dida unaekinzanaga na kumbuka shoga kumbe ndio huyu aiseee big up dada
Nakupenda sana we dada coz unajitambua
Nime kupenda Dada Did a💕😍😘👌
Nampnd sanaa dida saut yak na mishushuo km yotee HAHAHA wakuache weeeee
Kumbuka so mshkaj wang😂😂😂 akat msibani kalia ka mmewwwke yan
Mnaomponda Dida mna wivu tu, naona michambo yake inawachomaa kisawasawa 🤣🤣🤣🤣🤣
Selina Thidwa .
R.I.P Dida wetu😢😢😢😢😢sauti yako tutaimisi sana.
Daa dida Masha ALLAH, umejibu vizuri
dada ume nonga sana
Nakupenda dida, ila watu wa instant wamekujalisha shoga, hadi umeenda kununua nguo nyingine!!!!
Bona TV Naanza kuwaelewa Sana Chapa Kaz Vjana Wenzangu Ila Wee presenter Jaribu kua Serious sana unachofnya maana Sjakuelewa hta kidgo
Kamuhoji wewe Kama unaweza
Dida, mtumzima. Mwenzang weeeee
Maashaa Allah Dada napenda kipind chako
Nampenda Sana huyo mtangazaji he looks nice
Safi sana dada wamie nakupendag sana da dida
D.I.D.A DIDA 😍😘😘😘😘
Wanaomponda kazeeka hongera zao,wao watabaki vijana Milele😏
Hapo sasa
👌
Nakupenda Sana dida
We ushakua mtu mzima binti yako angekua hasomi angeshazaa lakn nashangaa unavaa vinguo haviendani na umri wako unafanya mambo hayaendani na umri wako punguza dada jua limeshakuchwa hilo 😂😂😂🤣🤣🤣
🤣🤣🤣kabisa
Jamani kwa uzee ganiii?acheni zenu uuuuwi ulitaka avae gunia?
Wtz!hatuishi maneno na hupenda kukosoa tu sijui kwanini hatuachi kuchunguzana au kuongeleana.
wivu utakuua pambana na hali yako
Dida ushofel
Kweli Dida kila mtu na maisha yake!!
Jmn Yan huyu dida aliku wa Yukona mwonekane mzur kuliko hata vitoto vya mwaka 2000
Wew noma wanyonyoe hao kbx
Mmmh hyo dida kumbe ndoww wakawaida mno ilaunavyojua kuchamba wenzako 😀kumbe mwenyew sur Kam.......
Elimu imemfanya awe ivyo
sura kama nn? aliyekuumba ww na ndip kamuumba dida au kuna mtu anajiumba ? mkome kumdhihaki mungu
huyu mtangazaji ajatulia kabisa jifunze kwa wenzio ukishika maiki tulia unachechetuka sana bana we wakiume ujue
aim fetty 😂😂😂😂😂😂😂
I love Dida
Nakukubali my crass ment Makongo high school
Sio crassment ni classment hovyo
@@joanfabian4031 😂😂😂😂
guys muacheni jaman Dida next level
Sura nzito kama vutali ya magimbi alafu una roho mbaya sana unapenda shali
ARAFA MPOMA sura hana na make up zote
ARAFA MPOMA pendaneni wanawake🙏🙏🙏🙏 unamkashifu vipi mwenzako hivyo
We yako I post tuioje
Hivi nyie mnaosemaga mko cool kama mzungu ,mnajua kua mzungu ni mbea wa kwanza dunia mzungu anasengenya ana chinganisha kuzidi mtu yeyote hapa duniani
Judith Tibandebage mzungu yupi huyo? Au Bongo zozo?
Unasema kweli kabisa wasiowajua wazungu watasema wako poa lakini hakuna wambea na wasengenyaji kama wazungu. Ukikaa nao ndio utajua.
@@daimavlog 😂😂
Dida ana rangi sita.
Una akiri sana mama nimekupenda sana
Kiukweli dida mbaya
Ashukuru kitaulo
@@davinahevenly7899 Cheni majungu mbwa nyie
@@sudir.s.8073 Asante mbwa mbona mnyama rafiki. Ningekuwa Inzi wa Chooni kama wewe ndio ingekuwa taabu. Si kwa kunuka huko.
Salma 🙏🙏🙏kwa nn unamwambia binadamu mwenzako mbaya,binti wa kiislam unacomet hivyo.
@@Pedeshee01 Muambie huyoo anaemkosoa Allah
😭😭😭😭didah
huna lolote umuwezi @dr kumbuka alaf dada angu serios ujui kuvaa kabisaaa
muzney mpemba1 huyu aliona kumbuka atamfunika avhukue mashavu yake times ndio wakafanya figisu kiukweli kumbuka ni zaidi ya Dida
Umeonee Kumbuka kamzidii kwa taaluma basi povuu! Mwanamke bifu hadi kwa wanaume. Loo! Anamashavu kama puto
Davina Hevenly ahahahhHahahah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😋😋😋😋
Rest In Peace Dida
Nice dida
Nampenda huyu dada jaman
Wanasema dida m'baya ujijue ww mzuri unalevo ya dida?oooooh anakipaji cha umbea ww mwenye kipaji cha uhandisi unechora jengi gani?ndio yuko juu yenu mweeeeeeeh
Hio ndio rangi yake natural ama amejiongeza anemjua Dida atujuze nauliza tuuu
Ndio rangi yake toka anaigiza kipindi cha nyuma
Acha waseme mimi namkubali dida
Saut nzur lakin sura mbayaaaa
Hasha 34343 hiii
Dahhh huyu Diamond kicheche kweli yaan anawavua chupi wasichan kila kukacha duhh huyu kiboko
Wewe mžuri dada
uyu Dada mbaya bana kajiharibuu
Lamjombaangu😁😁😁😁😁duh....vituko jamani
Kweliiiii nimependa
Kwakitu gani ushuzi😏mishavu kama paka la muhimbili mxxxxxw👌
Dida umependezaaa nakupenda bure
Nakupenda sana dada😍😍
We mkali
Panda sana dida
Nampenda sana dada huyu
Kupapalikia shuhuri ya watu ndo kumekufanya ukavaa gauni kama mfuko wa gita kwa ajili ya kupania shuhuri
Da nimecheka sana mpaka nimepaliwa
@@rahmaramadhan2476 acha tu wangu kuna watu wakialikwa na diamond wanachizika hatari sasa mtu mzima kama huyu kuvaa gauni kama lile shida Yote ya nin amepata aibu kwa vitu vidogo mpka ameagiza tisheti kutoka nyumbani
Siwema Michael 😂😂😂😂
wakuache dida wetu, mamaaa michambooo, mbabe Wa michambooo
ZENA ABDULRAZAKI CIO kwajicho Hilosura dida
😁😂😂😂 Nimeipenda
I love dida
Nakupenda buree dida
Dida muongeaj sana rakini
Sura na mikono haviendani
😁😁😁😁
Ndio mlivyo wadada wamjn
Wa Dada wa Dar😅😅😅😅
Mzanzibar mlevi bayaa...
Penda sana dada dida wanao kuchukia tupa kule
Mm napenda dida anavyongea na sauti yake
Yani huyu usomnene mwili mwembamba Ata cmuelewi
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hili dada sura nzito
Mie nakukubar sn mama samira
LA jioni hiloo
Did nkupnda sn tyyyy jomon has pale unaptoa mipsh kw taarab
Ana sura nzito huyuuu
Acharoho mbaya
Umedamsh mwaya
Dida sasa
Fanya mambo yanayoenda na umri wako dida
Wewe unajeuli yakumjibu yakumjibu dr kumbuka jinsi anavyokunyonyoa duuuuu.alikwambia maziwa km fuko latakaaaaaaa
Dida kweli kabisa hicho kipaji wengine wanapoteza muda waangalie wasijejitia bure penda sana
Pulova
Present nimekukmbali san
Hamad Saidy m binas nampenda sana dida
LEO UMEVUA MIWANI KULAMEK MACHO VIMBEEE
Nyiye waswahili acha ushamba. Eti mimi mzungu, tanasha nimzungu, zari muarabu??? Ndo Nini? Waraabu tabia zao mbaya, wazungu washenzi, what you see in movies is all fake. Wazungu na warabu washenzi kuliko waswahili. This slavery mentality thinking that wazungu are better needs to stop. Black people learn to love yourselves, it's the only way we can help each other. Indians, arabs and wazungu love themselves that's why they help each other in work everywhere.
Oi
Mtangazaji mbona kama kichaa umekunywa nini
Siwema Michael
Mtangazaji kama kapagawa , sijui hakutegemea kama Dida atakubali kuhojiwa ??
Au pombe za buree ??
Maana sio kwa mhemko huo .
@@chayogasperi9783 hakutegemea
nakupend bule
Iyoo mikonoo vp
Mbona uso na mikono havina ushirikiano
Dida yuko poa sana
We presenter mbona kichefchef
Wajina ushazeeka kwa kweli na uwache ujinga bhaana
jamani hatari nakupenda bure
Presenter anae radi
Mambo diddah
Una hekima Dida, penda sn wewe.
Mkorogo sasa
Kwani dida usoni ulichopaka ndo makeup ama
😂😂😂😂😂😂
Diana Baddy 😂😂😂😂
Huyu mtangazaji mbn cmuelewii
Hamida Mahmoud
Kama mwehu ha ha ha ha .
😁😁😁
Kipaji cha ujingaa loooh.
Ibua chako cha kijanja ufike levo yake kwanza ndio uje useme shiti
dyda nakupenda bule ila sauti ndo konk sana
Waoooh
Shoga nakupenda hatariii😍😍
🙌🙌🙌
Mtangazaji kama bangi vile????
Tarabu