Je unaweza kuzaa mara ngapi kwa njia ya upasuaji? Maswali yanayo ulizwa kuhusu kuzaa kwa njia ya cs

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 95

  • @FedhaMbeleci
    @FedhaMbeleci 27 วันที่ผ่านมา

    Asante doctar umetujuza vitu ambavio utuvijui tunamshukuru sana

  • @norahndanzi4146
    @norahndanzi4146 11 หลายเดือนก่อน +1

    Asante doctor kwa elimu nzuri ulinitia moyo nakumbuka niliku dm ukanijibu vzr swali langu sikuogopa kufanyiwa op mara ya nne, nilifanyiwa this yr am strong with my baby, God bless you Dr

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  9 หลายเดือนก่อน

      Awwww 😍😍😍 Hongera sana my

  • @evelynejuvenary2631
    @evelynejuvenary2631 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana Doctor kwa maelekezo, mwenyezi Mungu akutunze Sana 🙏

  • @jeannekatembe6396
    @jeannekatembe6396 10 หลายเดือนก่อน +1

    Dr. Asante kweli kwa maelezo na faraja. Naogopa, please! Nisaidie nifanyeje nimepasuliwa mwezi wa 11 na mwezi wa 3 nimeshika mimba . Naomba msaada wako wa mawazo. Nimeisha zaa mara 7vizuri ya nane nikapasuliwa ivi tena nimebeba na Nikita Ka kufunga uzazi nikagundiwa tayari.

    • @SalomeAyubu
      @SalomeAyubu 10 หลายเดือนก่อน

      Tupo imenikuta hii vip mwenzangu kidonda hakiumi

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  9 หลายเดือนก่อน

      Usiogope my, ila huu ujauzito utapasuliwa unaweza ukafunga kizazi mda huo wa cs.
      Kila la kheri

  • @Meeynahhamid
    @Meeynahhamid 2 หลายเดือนก่อน

    Nmekupenda sana unaongea kwa upole na kuleta matumaini

  • @FaustaHassan-z2b
    @FaustaHassan-z2b 21 วันที่ผ่านมา

    Doctor mtoto wa ka1 nimezaa kawaida wa 2 kawaida na wa3 kwa opp kitovu nilimsokota now nina mimba je naweza zaa kawaida mtoto ana umri mitatu kasoro now now nina week 35

  • @RashidikenyaMahenge
    @RashidikenyaMahenge 10 หลายเดือนก่อน

    Asante my umenifariji sn

  • @MerryCharles-v7t
    @MerryCharles-v7t 3 หลายเดือนก่อน

  • @assmamohd9611
    @assmamohd9611 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dr smhn mimba ya mwanzo nmezaa kwa op nmekaa mwaka 1 nmebeba nyngn je naweza kuzaa kawaida

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  4 หลายเดือนก่อน

      hongera Daa ila haikubaliki

  • @AzizaNzovu
    @AzizaNzovu 11 หลายเดือนก่อน +2

    Nakupenda DR nime push marapili nimepasuliwa mara tatu na woote wakiume nilikuwa natamani mtto wakike sasa nilifanyiwa operetoin 22mwezi wa 8 2023 naweza kushika mimba lini nifanye yamwisho nifunge kizazi niki na 26years old

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  9 หลายเดือนก่อน

      Unaweza kujaribu tena all the best dear.

  • @reginapiter5302
    @reginapiter5302 11 วันที่ผ่านมา

    Nina operation tatu ila hii ya tatu nmekosa mtoto sina aman kabisa nataka kuzaa tena,naweza beba baada ya muda gani maana nina week tatu sisikii ata maumivu

  • @Ashasalim-h6h
    @Ashasalim-h6h 11 หลายเดือนก่อน

    Doctor me nimejifungua kwa upasuaji mara 2, je naweza kujifungua kawaida?

  • @SimonMustafa-g5d
    @SimonMustafa-g5d 2 หลายเดือนก่อน

    Mim nasikia ngaz

  • @MenidolaMlowe-i9w
    @MenidolaMlowe-i9w 11 หลายเดือนก่อน

    Umenitia moyo Sanaa ubalikiwe

  • @ZulekhaElyuther
    @ZulekhaElyuther 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nimefanya op wiki mbili zimepita mshono umepowa ila namaumivu makali sana wakati naenda haja ndogo inakuwa kama bd niko ule mpira wa mkojo

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  11 หลายเดือนก่อน

      Kulingana na unavyojieleza Ikaa ni uti zaidi, nenda kw hospital ama angalia video ya uti nilioifanya

  • @RoseKambona
    @RoseKambona 10 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa doctor ninaoparation 2 na nataman mwakan nibebe kwakwel umenitoa hofu

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  10 หลายเดือนก่อน

      amina. kila la kheir dada.

  • @Magreth-j8i
    @Magreth-j8i 5 หลายเดือนก่อน

    Dokta naomba kuuliza mm mtoto wakwanza alifia tumboni baada ya kufikisha miezi 9 na wik mbili nika fanyowa op kidonda kili nisumbua mwezi mzima bty nika pata mimba ya pili na yonikafanyiwa op mwaka jana 2023 nika beba mimba nyingine nikafanyiwa tena op mwaka hu 2024 mwez 4 na meniambia watoto wangu wana tanguliza matako na siyo kichwa ?je naweza kufanya njia gani ili niweze kujifungua kawaidaa kwa hapo baadaee kwa mtoto wa 4 cz waliniambia watoto wotee ita fanyiwa op ina kwa hapo

    • @EflemuAnselimo
      @EflemuAnselimo 4 หลายเดือนก่อน

      Abar dada Sorry nilkua naomba namba yko unielekeze kitu apa kuhusu alichokushauri doctor Maana mwenyewe nachangamoto iyo

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nilijifungua kwa oppareshen mwezi wa10 mwaka jana ila mtoto haikuwa riziki yangu hii hal imenitesa sana nikitaman kupata mimba nyingine naomba kujua niaweza kaa muda gan ndo nibebe tena mimba

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  9 หลายเดือนก่อน

      Pole sana dear ata hivi sasa unaweza kupata ujauzito ila utajifungua kwa kisu tena. Kila la kheri

    • @RodahAdonice-dz4sm
      @RodahAdonice-dz4sm 9 หลายเดือนก่อน

      @@dr.sarupendoTV barikiwa sana dr kwa kunitia moyo asante

  • @LatifaKiruke-jk9my
    @LatifaKiruke-jk9my ปีที่แล้ว +1

    Dr pile namajukumu. Nashkuru sana kwa kunitoa wasiwasi mana nazaa kwa upasuaji na nna ujauzito wanne nilikua nahemea navvy niutoe au nivumilie lakini kumbe naweza kuzaa vizuri to. Mungu akulipe wema

  • @SamiraNifashasssc-vn9bx
    @SamiraNifashasssc-vn9bx ปีที่แล้ว

    Docta mimi nimejifunguwa kwa opérations wiki mbili sasa ila kitovu kinauma saana ukigusa kama kitu kigumu kiko ndani pia damu mara moja inatoka kama maji ya maragi sazimojo inatoka mbichi sijaelewa pia iyi ni op yapili ila iyi kali umeuma mno

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  ปีที่แล้ว +1

      Kuna wale wanasema mshono wa pili unauma sana. Ila ukiona maumivu yamezidi rudi hospital na Hongera kwa kichanga

    • @SamiraNifashasssc-vn9bx
      @SamiraNifashasssc-vn9bx ปีที่แล้ว

      @@dr.sarupendoTV kweli mimi naona ivio Ila Mungu anisaidiye kwa sababu sijielewi kichwa kuuma hovio hovio maumivu mgongo Yani Mungu peke

  • @SummymaddyMaddy
    @SummymaddyMaddy 8 หลายเดือนก่อน

    Mm mtoto wa nne na funga kizazi kupasuliwa c mchezo naomba mungu atufanyie wepec

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  7 หลายเดือนก่อน

      Ameen. Hongera kwako

  • @ImmaBudazon-xm1pl
    @ImmaBudazon-xm1pl ปีที่แล้ว

    Je nikijifungua kwa upasuaji mara 3 naeza kujifungua kawaida?

  • @ZainabuSeleman-iv5re
    @ZainabuSeleman-iv5re 9 หลายเดือนก่อน

    Mm nimepasuliwa mara mbil ila hii yapili mshono unasumbua unaniuma sn na Kwa ss Ina mwaka wa 4 cjui tatizo nn

  • @AliceMumbi-mx5vs
    @AliceMumbi-mx5vs ปีที่แล้ว +1

    Je naeza kufanyiwa upasuaji and at the same time nikafungwo uzazi

  • @bokabokaa4673
    @bokabokaa4673 9 หลายเดือนก่อน +1

    Na uliza ..changamoto ya mama kuzaa kwa kawaida baada ya mshono wa miaka sita.

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  9 หลายเดือนก่อน

      Kama sababu ya mshono wa kwanza ilikuwa ya mtoto au ambayo haiwezi jirudi unaweza my kujifungua kawaida

  • @SammyMagindu-ft8gy
    @SammyMagindu-ft8gy ปีที่แล้ว

    Operation

  • @marianamwita4168
    @marianamwita4168 9 หลายเดือนก่อน

    Vp docta nina operation 2 Nataman kujifungua kawaida je hii inawezekana?

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  9 หลายเดือนก่อน

      Hapana mpenz haiwezi

    • @CATHERINEVENANCE-m8d
      @CATHERINEVENANCE-m8d 7 หลายเดือนก่อน

      Dah ili jibu limenifanya niumie sijui kwann sitamani Tena op nimezaa mala 2 kwa kisu dokta alinitia moyo akanambia op ya tatu nikae miaka miwili na nusu adi mitatu ndo nibebe mimba Kisha nijaribu kusukuma chini ya uangalizi Sasa dah nachanganyingiwa Dr saru ili linanichanganya nilitamani nizae watoto watano nimezaliwa peke yangu natamani nipate ndugu zangu watano lkn nikifikilia kisu nakata tamaa.

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  7 หลายเดือนก่อน

      @@CATHERINEVENANCE-m8d usikate Tamaa dear kisu Hata mara sita ni sawa tu.

  • @AlimaJuma-nq2xb
    @AlimaJuma-nq2xb 6 หลายเดือนก่อน

    Dokta naomba namba yako tuongee faraga jamani

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  6 หลายเดือนก่อน

      @@AlimaJuma-nq2xb ni dm facebook au insta my.

  • @TatuSalum-y2b
    @TatuSalum-y2b ปีที่แล้ว +1

    Dawa ya kuvimba Kwa kifua na matiti dawa yke nini

  • @CATHERINEVENANCE-m8d
    @CATHERINEVENANCE-m8d 7 หลายเดือนก่อน

    Dokta msaada nimejifungua mala la kwanza kwa op mtoto alikuwa na kilo 5 ivyo alikuwa mkubwa ilivyofika mtoto anamwaka mmoja na miezi mitatu nikabeba mimba ivyo nikaambiwa inatakiwa nipasuliwe tena kwasababu nilibeba mimba kabla ya miaka miwili na nilikuwa nakilo 105 ila mtoto alikuwa na kilo 3.100 ,Swali ni ili naweza kizaa kawaida mimba ya tatu na kama naweza nikae mdagani ili nibebe mimba ya tatu yani natamani kuzaa kawaida dr

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  7 หลายเดือนก่อน

      Mda wa pili ulikuwa na uwezo wakujifungua kawaida kama ungesibiri miaka miwili

  • @AndreaJulieth-v6s
    @AndreaJulieth-v6s ปีที่แล้ว

    Naomb kuulza m niljifungua kw operation nawez kukaa mda gan na kubeba mimba nyingne

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  ปีที่แล้ว

      MWAKA.

    • @TatuSalum-y2b
      @TatuSalum-y2b ปีที่แล้ว

      Naomba kuliza dawa ya kukazwa na kifua na kuvimba matiti

  • @SammyMagindu-ft8gy
    @SammyMagindu-ft8gy ปีที่แล้ว

    Ninaa Op 1 naweza kaa baada ya muda gan nikabebaa tenaa na kujifungua bila oppression

  • @JacoboMjungu-ql8fj
    @JacoboMjungu-ql8fj 10 หลายเดือนก่อน

    Nie naomba namba za cm

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  6 หลายเดือนก่อน

      @@JacoboMjungu-ql8fj dm facebook au insta.

  • @AzizaNzovu
    @AzizaNzovu ปีที่แล้ว +1

    Shukuran sana kwakunipa moyo niko na op 3 na boys tu nilikuwa natamani girl. Nikawa najifikiria. Sitoweza kushika mimba ila kwasabu umesema ivo. Nitajaribu 2030 natamani baby girl

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  ปีที่แล้ว

      kila la kheri dada ake

    • @AzizaNzovu
      @AzizaNzovu 11 หลายเดือนก่อน

      Wewe namimi tunafanana niko na 4boys natamni mtto wakike

  • @marianyamweru9426
    @marianyamweru9426 5 หลายเดือนก่อน

    Liyefunga anaweza kupata mtoto tena

  • @EflemuAnselimo
    @EflemuAnselimo 4 หลายเดือนก่อน

    Dor Sorry naomba namba yko ya wasap sorry lkn

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  4 หลายเดือนก่อน

      naomba unidm Facebook @ drsarucythia

  • @INYASIANGWETA
    @INYASIANGWETA 6 หลายเดือนก่อน

    Sorry dactar et ni kweli ukiwa na mshono wa wima huez jifungua kawaida mshono mmoja

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  6 หลายเดือนก่อน

      @@INYASIANGWETA sio kweli

  • @ezronisamwel8787
    @ezronisamwel8787 6 หลายเดือนก่อน

    Nkwa nn uwa kidonda kinawasha baada ya miez cta

  • @EmmaDaniel-fd8pr
    @EmmaDaniel-fd8pr 10 หลายเดือนก่อน

    Nime pasuliwa mala Moja inawezekana kuza kawaida maan mshon ounamyenz 9

  • @EmmaDaniel-fd8pr
    @EmmaDaniel-fd8pr 10 หลายเดือนก่อน

    Nime pasuliwa mala Moja lakini sijakaa Sana Kama myszi 9 iiv inaawezekana kupushi

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  9 หลายเดือนก่อน

      Hapana ungesubiri kama miaka miwili

  • @abedingolokera5783
    @abedingolokera5783 9 หลายเดือนก่อน

    aliye jifungua kwa upasuaji kiafya agiliwe bahada ya muda gani

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  9 หลายเดือนก่อน

      Kivipi Sijaelewa swali

  • @damaclinenyanchera3478
    @damaclinenyanchera3478 6 หลายเดือนก่อน

    Mtu anafaa kuzaa watoto wangapi qwa njia cs

  • @LilianSamwel-rk6tn
    @LilianSamwel-rk6tn 7 หลายเดือนก่อน

    Dokta mm nimejifungua mwez huu kwa cs lkn mtot haikua rizik nawez kaa mda gan tena kubeba ujauzito

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  7 หลายเดือนก่อน

      Pole sana dear. Angalau mwaka ila ujue utajifungua kwa kisu tena ila ukingoja miaki miwili unaweza jifungua kawaida

    • @LilianSamwel-rk6tn
      @LilianSamwel-rk6tn 7 หลายเดือนก่อน

      @@dr.sarupendoTV asantee san dr yan ata kam kisu ten mm nipo tayar bol ngekua n ka childvan

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  7 หลายเดือนก่อน

      @@LilianSamwel-rk6tn kila la kheir.

  • @MiriamJ.D.Kabadi
    @MiriamJ.D.Kabadi ปีที่แล้ว +1

    Mimi naomba ushahuli,nina visu3 watoto3 Wakiume na WA mwisho anamiaka9 Sasa natamani kutafuta Cha mwisho nahitaji kupata baby girl Je naweza fanikiwa kupata,nisaidie natamani hata kesho niinebebe.

    • @dr.sarupendoTV
      @dr.sarupendoTV  11 หลายเดือนก่อน

      all the best dear, ndio unaweza kubeba, Iła utajifungua na kisu bad

  • @elinoramasagho6622
    @elinoramasagho6622 6 หลายเดือนก่อน

    Na.kama.nilizaa.nikashonwa.alafu.sitichi.zinatoka.ije.shuda.nini

  • @MerryCharles-v7t
    @MerryCharles-v7t 3 หลายเดือนก่อน +1

    nimezaa watt wawil kwa njiaya upasuaji. wakwanza anamiaka7 wapil anakaribia miaka3. now niko na mimba jee kunahatari ganii nawaza sana