😂😅😅😅😅😂ukisikia mshikaji wa damu Ni madirisha ban 😅😅😅 wewe madirisha ni mbwa mwanangu daahh kiukweli unamsaidia sana dula ban daahh mshikaji hatari sana😂😂😂😂
Madirisha jamani hana tofauti na best yangu mmoja hapa chuga maarufu kama Johnson yaani hatujawai shindwa pisikali yoyote.. Mipango inapangwa chapu inapangika dah! 😃😃 Tx Dulla unanifanya kukumbuka mengi mzee
Madirisha Mtu Na Nusu I need To Be Like Madirisha For Wanang 99 😂😂😂😂 Like kama Unamkubali Madirisha
wakwanza leooo nipeni ata likes 10 tyu😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Hv like hua zinakazigan @fredy6431
Acha ukuma
Usifunge mkanda me mkanda tosha.. daahhh ila Dullah😂😂
Madirishaaa NI mmoja Tu ,,ukiwaaaa na MTU wako kama nadirisha Una uhakika WA kuishiii
😂😂😂😂tx na madirisha mna chemistry nzr sana nakubali
Oyaaaa we txdullah, madirishaaa mshikilieeeee anakituuuu
Feel at home, japokua tupo kwenye gari 😂😂
❤ Kutoka Mozambique 🇲🇿
Niko hapa kwaajili ya Madirisha, Madirisha the Legend ✊
Wakwanzaa leoo jmn likes plz team madirisha
😂😂😂🙌 ila mtatuua kwa vicheko madirisha man of the match
Sema ukiwa na mwana kama madirisha ni daar hauferi
Madirisha mhunii sana ukipata mwana kama hiyo mbona unyama😅😅
Muokoajiiii huyoooo kwa mbaliiiji madilisha kajiandaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila madirisha ndo mtu wa kwanza kuchelewa kufika mbingun😅😅
🤣🤣🤣🤣ivi tx dulaa wazazi wako wanajua unavyo tesa mtandaoni nakupenda bureeee kaka 👏👏👏👏 mnanifulahishaga Sana na timu yako
Waliekua wanaisubiri kwaham kama Mimi hapa gongeli lik
sanaaa madilisha mzee wa madili
No one like madirisha I wish niwe na jamaa Kama madirisha very technical man
madirisha muhuni sanaaaa😅
Ila madilisha anakupambania sana ataki ufeliij michongo muhimu😂😂😂😂😂😂😂
Nimerudi Tena cause it's amazing video 📸📷📸📸📸📷📸📸😅😅😅😅😅40age
Miaka 20 na 20 mnakuwa na 40 na bado mnatembea kwa miguu km wana wa israel.......... This line kills me😂
Dah ebana hebu nipe Namba ya madirisha mwanangu
Kiukweli katika comedy zote hii umenichekesha sana dullah yani nimefurahi kweli yani
Madirisha mbona anakupenda sana
Unamshabikia nani sana Ukiachana namimi kwenye maswala ya kuimba 😂😂 6:50 😂😂
😂😂😂😂
Vizuli sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dahhhj wew Tz dulla mhuni Sana nimecheka mpk machozi!!
Dar brother t x dulla nawapenda sana we na brother madilisha
MADIRISHA NI UNSTOPPABLEEEEEEEEEEEEEEEEE KAMA MAN CITY YA GUARDIOLA 🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣🤣
Hatar
Madirisha wewe utakua kuni yakuchomea wengine 😂😂😂
Sema ndo jamii ipo ivyo yaan wanawake wapo after money
Km mwanamke anavua nguo Kwa ajili ya pesa na gari ujue hamda kitu
Yan mond ndo umeongea nae ivoo😅😅😅😅😅
😅😅😅😂😂😂😂nawakubali sana madirisha💯💯💯
Magari yangu utaendesha ww😂😂😂😂
😂😅😅😅😅😂ukisikia mshikaji wa damu Ni madirisha ban 😅😅😅 wewe madirisha ni mbwa mwanangu daahh kiukweli unamsaidia sana dula ban daahh mshikaji hatari sana😂😂😂😂
Gari ya kaka imemvua pichu dada 😂😂😂😂😂 kwa usaidizi wa madirisha
TX umetisha Kaká, Niko Moçambique, thank you My brother
Ah we noma Tx ft madirisha
Nimemkumbuka rafikiangu nae km madirisha
MADILISHA BONGE LA SAPORT MJINI😂😂😂
@lways madirisha man of the mach
😂😂😂😂 madilisha umetisha Sanaa unamuokoa sana Tx Subaru usipokuwepo michongo yake yote inabuma duuh 😂😂😂😂😅
Tulio kuwa tunaisubiri Kwa ham gong like😢😢😢😢
😂😂😂😂we Txdurrah sku ukimkorofisha madrisha bac umeisha
Man of the Match Madilisha 😂😂😂😂
Madilisha mwana kweli😂😂
another time for madirisha 😊🎉
Madirishaaa jmn madirishaaaa mbingu ataisikia😂😂
😅😅😅madilisha bhana from Kenya 😊🎉
Madirisha men of the march
Madirishaaa ni mzuri sana akianzia bench! 😂
Madilisha ni mmoja tu bongo dah what an assist 😂😂😂
Nani kama TX Mnyama sanaaaaaa😂😂😂❤❤
Kweli hujawahi kudanganya😅😅😅
Tunaomba award yakipekee kwako Dullah❤️❤️❤️🇨🇩
Kweli txdula hajawahi kudanganya
TxLee mnyama Hatujawahi Kudanganya
Madirisha... Madirisha aseee ni game changer
Huyu madirisha kiungo mchezeshaji man of the mechi Kila siku😂
Madilisha noma 🙌🙌🙌🙌
Madirisha ni kama KDB pale mancity kiungo fundii😂
Madirisha Noma sana , Aseee😂😂
Madirisha mmoja ni sawa na watu 100 😂😂😂
Ndo TX ukisikia mwingine feki!😅😅😅😅😅
Sjawai kukufatilia kabisa singanganyi
Tulioskiza sauti ya mlango wa gari✋😂
Mullah hii mmetisha wanawake wanapenda kudanganywa ukweli hawataki
Kama wanaumeote tungekua tunaumoja kama madilisha Hawa kuku wacnge tusumbua kabisa
Ndo utuite kuku jmn
Madilisha ni hatari iiiiiiiii good wew ndo fan ulopewa
Saluti sana kaka sikupingi
Wanaomkubali madirisha gongeni like
Ndani utachagua ma 2 unyatwe na mbwa 🐕 au unyatwe na mm Dulla 😂😂😂😂
Madilishaa😂😂😂😂😂😂mtu hatari sana🎉🎉🎉🎉
Dah kwakweli Leo umetishaaaa😂😂
😂😂😂😂 ila ukiwa na madirisha kama wa3 hata Putin wa urusi hawezi kuvamia
🤣🤣🤣🤣🤣ila madirisha nataka dinner na wew Christmas 😆😆😆😆😆😆😆
Sjaamini kuskia mlango wa gari unatoa sauti kama mlango wa nyumba😅😅😅kweli dullah ujawai kudanganya😂😂😂
Kichaa cha mbwa na changu kama vinaendana😂😂😂😂
oyaaa madirisha nmnomaa
Hawa wasenge wanajua mpk kero yaan
ila madilisha kanyoshaa vibaya mnooi😂😂😂😂
Madirisha 😂😂😂🔥 man of the match.
😂😂MADIRISHA mzee waku solve
Tutafute ela Gar tuu
Ndio anataka kudhalilisha watu😂
kichaa cha mbwa na mm vinaendana😂😂😂😂
Imetosha ,mzee apo mwisho 🎉
Madrisha ni mwana sana😅😅😅😅
Madilisha mbingu utaisikia hahahahaaaaaaa
Sijawahi kusema uongo halafu hii anuani yenyewe ni uongo, Waswahili bhana!😂
Hapend kujikweza ila hik ni kibanda chake alikitelekez😂😂😂😂
Hii muvi ume upiga mwing broo nakukubali sana kaka
Nakubali kaka madirisha 😂😂,,,TX🫡🫡
Ushukuru madirisha
Madirisha jamani hana tofauti na best yangu mmoja hapa chuga maarufu kama Johnson yaani hatujawai shindwa pisikali yoyote.. Mipango inapangwa chapu inapangika dah! 😃😃 Tx Dulla unanifanya kukumbuka mengi mzee
Sasa kutopenda kazi za tx dulla si udwanzi huo.. 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 madilisha utatuua kaka kwa vicheko❤❤❤❤
Madirisha Madirisha Madirisha Nakuita Maratatu we nizaid ya madirisha
Kaka tuko nje ya muda😅😅😅😅😅
Ugatwe na mbwa ama ungatwe ni Mimi 😅😅😅😂 dah
Niko hapa kusema
SALUUUUUUUUTE MADIRISHAAAA 🖖🖖🖖👮👮♀️👮♂️