MASHABIKI SUGU WA STEVE MWEUSI. AND NDARO Tz. BASI TUJUANE KWA COMMENTS NA LIKE. PLEASE GUYS LEO NIPENI HATA LIKE MBILI TU? ZINA TOSHA ❤❤❤❤ TEAM MWEUSI FAMILY ATUPOI PIA ATUBOI 😅😅😅😅
Naweza kuigiza sana2 kama sitevu naomba anisaidie uwezo ninao pssss😢 nakipaji lakini cna uwezo wa kushot saporty tatizo nikiongea mnasoma2 nakuangaliaa kunisaidia aaah aaah😢
Much love from Kenya guys like back ❤😂
MASHABIKI SUGU WA STEVE MWEUSI. AND NDARO Tz. BASI TUJUANE KWA COMMENTS NA LIKE. PLEASE GUYS LEO NIPENI HATA LIKE MBILI TU? ZINA TOSHA ❤❤❤❤ TEAM MWEUSI FAMILY ATUPOI PIA ATUBOI 😅😅😅😅
ANGALIA KILICHOTOKEA BONYEZA HAPA th-cam.com/video/3V3Yb53eaY4/w-d-xo.htmlsi=zB9v_35EExggJdXu
#mweusi family AkA shady from kenya❤❤
Steve Na ndaro mtakuja kutuwua nyinyi
Nawafuatilia kutoka BURUNDI 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Noma
Tunao mkubali ndaro tujuane 👍🇨🇩
ANGALIA KILICHOTOKEA BONYEZA HAPA th-cam.com/video/3V3Yb53eaY4/w-d-xo.htmlsi=zB9v_35EExggJdXu
Tupo
Huyu jamaa walieigiza na kina Steve na ndaro nae anajua aisee,katembea na biti sana
Huyu bossi yuko sawa kabisa kwa ku acti, anakubalika kwenye kipindi, Steve na Ndaro muendelee kumshirikisha🥰
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂steve ❤❤❤ from kenya alafu ndaro mungu anakuona
Naweza kuigiza sana2 kama sitevu naomba anisaidie uwezo ninao pssss😢 nakipaji lakini cna uwezo wa kushot saporty tatizo nikiongea mnasoma2 nakuangaliaa kunisaidia aaah aaah😢
😂😂😂😂😂 pambana Mathias pambana
😂awasomagi coment so pambana na hali yako 😅
Unataka ubebwe utoboe bila kuhangaika. Pambana mzee simu unayo. Tafuta jina, fungua TH-cam, Tick tock na Instagram+Facebook. Tafuta dogo mtaani awe anaRecord skit zako. Jifunze editing n.k. Ukilia lia tunakuona mzembe.
Tafuta uigizaji wako usiokuwa kama wa steve.
Kabisa wakuu hawakumbuki wadogo😢😢.
anamupenda steve hapa gonga like tuwondoke
TEAM MWEUSI FAMILY TUJUANE JAMANI LEO MIMI NDO WA KWANZA 😂😂😂❤❤❤
ANGALIA KILICHOTOKEA BONYEZA HAPA th-cam.com/video/3V3Yb53eaY4/w-d-xo.htmlsi=zB9v_35EExggJdXu
Mm wa 2
Boss unaruhusu kuua hapa ofisini steve mikwala
one day i will work with this guys ama in kenya❤❤
First establish your acting prowess in Kenya first,get known then think of working with them
@@RKBro-jr1ts i think my abilities are enough i have been in acting not less than 5yrs now give me a hookup and see
Duh! aisee nimecheka mpaka machozi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti tukaongelee pembeni hahahahahaha steve na ndaro 🇹🇿🖐️
Sema mdada ana mshepu huyoo duuuh 😊🎉🎉
I like it😍🥳
Hata upewe watoto kama stevu na ndaro buree utawakataaa😂😂💔
Nyie mtatuchekesha ,kazi bora kwenyu
Asante sana Steve na daro,,,,mnatubamba vzr huku 🇰🇪
😂😂😂😂😂😂😂 ndalo umetisha adi masega unaysjuwa 😂😂😂😂😂😂😂 umetisha
Wapi likes za wakenya tukisonga 💯☑️☑️💯
Huyo anajua sana kucheza cinema
Yani Steve n'a ndaro mungu anawaona😂😂😂😂😂
Yanaweza Sana haya
Boss awa watu wawili watakumiza kichwa
Ww dada jieshimu ujistiri mwili wako ukienda Kwa Mungu utatoboa kweli
Jaman steve ananchekesha sana
Dada mrembo sana sana❤❤
Mimi namkubali sana Steve mweusi
Wew hauna akaa😂😂
Boss Ako na kibarua kweli
Ana kazi mbili kuangalia kazi yake na wafanyazaki
Uyu dada mzuri❤❤❤
Amnaaa kaziii apo!!!!
Steve nakubali mpaka chechi inabaki
Wa5 lik zang wadau
Steve tu vas me tué de rire😂
masegaa
Jama.noma.sana
Kuchonganishana tu, Kuoga Aaaaaah!!!
Ndaro my all time crushiee😊
Nawakubali sana
Jamani mimi naomba mugonge kwa picture tu mukipendezua na videos zangu munisaport na sabo ahsanteni🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huyo ni boss au
Watching from Nairobi City🥰
Tokooos
😂😂😂😂😂 Steve kakimbia 😂😂😂
Kazi iendeleeeee
daah! nyie steve na ndaro mtatuua jaman👍👍 7:48
Niko congo
😂😂😂😂😂ndaro nakupenda walah
Nawakubali sana Steve na Ndaro
Vraiment Steve 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Noma sana
Kaka nawakubari
Ndaro stev 🔥🔥🔥
Ouma from kenya migori county
Wa kwanza from Kenya 😂😂😂😂
ANGALIA KILICHOTOKEA BONYEZA HAPA th-cam.com/video/3V3Yb53eaY4/w-d-xo.htmlsi=zB9v_35EExggJdXu
Mm nipo apa Qatar 🇶🇦 🎉lakini nampa hii
Rim Allignment duh Mamae Ndaro😅😅
😂😂😂😂Boss unaruhusu kuua kazini 😅😅😅Steve wewe kweli
😂😂😂😂😂 boss unaruhusu kuua hapa kazin
Ndaro na stive safi sana
Etiii kuniangaliaa tuu kuogaaa aaah😂😂😂😂
@Highlight🔥🔥
Kazi mzuri sana💪💪💪
hahahah dah aiseeh nime pnda sn
Mr fire 🔥🔥🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hatari sana
😂😂😂😂😂 kofiya na vi rasta hawajuwiii lolote kuhusu mambo ya garage 😅😅😅😅
😂😂😂😂daaaaah nyie watu
Wakati steve kamfuata huyo dada kuna majamaa walikuwa kwenye boda, wamesikika wakisema wee umecheki mzigo huo
Steve wewe unanipasua mbavu ukiwa na ndaro 😂😂😂
Kuniangalia tu kuoga aaah..😂😂😂😂😂😂😂
Ahaha ndalo na steve
Tu mukate Steve mushahara wake😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😅 ila nyinyi😅
Naombeni tafadhali Steeve mtuletee Amad Kijiicho bro
Kazin Kuna kazi😅😅😅
Nawakubali san
Good job
Steve na ndaro ongera San mungu awape nguvu san
Yeah
❤❤s❤
We stive mbona ujibu coment
Eti alama za gereji😂😂😂😂😂
nimechoka kununua band jemeni 😂😂😂😅😅😅😅😂
Mimi nampendag uyo dada tu ananyama za makalio kinoma
like yako ipige hapa tukuhesabu🇹🇿🇰🇪
Nakubali sana
Nacheka Sana pka nasahau kuwa mm ni mwanaume
Hio Kofi ya mwisho ilikuwa personal 😅😮
🔥🔥🔥🔥🔥
Dah hawa jamaaa dah😂😂😂😂😂😂😂😅
Hauna akaaa😂😂😂
“Kuoga ahhhhh 😂😂😂😂😂”
” umeskiaaaa?”
Ok
Ok
Naomba namba ya Steve
Ream alignment
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mtaniuwa nyinyi 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 njaaaa we nani akatwe nani😂😂