DADA JACK : UWAKALA WA HUDUMA ZA KIFEDHA CHANGAMOTO,MATAPELI NI WENGI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 57

  • @josephinemichael1514
    @josephinemichael1514 ปีที่แล้ว +14

    Nimefurahi kukutana na hii video, nina plan ya kufungua hii biashara very soon nilitamani kujua changamoto zikoje, barikiwa sana Dada Jack

    • @aboually7656
      @aboually7656 ปีที่แล้ว

      Ushqpata eneo le kazi?

    • @jescarkinabo6281
      @jescarkinabo6281 11 หลายเดือนก่อน

      Vp una eneo? Lipo wapi​@@aboually7656

  • @MwesuaMganga
    @MwesuaMganga ปีที่แล้ว +3

    Dah dada jack God bless you. You seems a very nice person. Very open minded na fighter pia

  • @karimikaku-yz7gp
    @karimikaku-yz7gp 10 หลายเดือนก่อน +1

    Jack barikiwa sana kuna kitu nimejifunza kupitia ww ambacho sikuwa nakijua toka awal napenda sana hii biashara lakn najitahid sana kusoma vitabu pia najitahid sana kujifuatilia mitandao ya kijamii nime enjoy sana nilipokutana na hii video

  • @maragoramadhani3216
    @maragoramadhani3216 23 วันที่ผ่านมา

    congratulations my sister because you are of the super women

  • @meddymathias9772
    @meddymathias9772 2 ปีที่แล้ว +4

    dadangu kipenz...piga kazi mama...Mungu azid kuweka mikono yake yenye baraka juu yako....nakupenda

  • @bahatiselemani7850
    @bahatiselemani7850 5 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana dada Jack, napenda kufanya biashara hii ya uwakala, nimejifunza mengi kupitia video hii na nimehamasika zaidi.

  • @wiganmamboleo5341
    @wiganmamboleo5341 ปีที่แล้ว

    Hongera sana madam Jack for sure umeupiga Mwingi na nimeyapenda sana maamuzi yako Hakika na Mungu akubaliki katika kazi yako

  • @mack_B.
    @mack_B. ปีที่แล้ว +1

    Kwahyo umakini ndio silaha kubwa mnooo asantee hii imenipa nguvu mnoo asantee sana

  • @AloyceMahanga-b9f
    @AloyceMahanga-b9f หลายเดือนก่อน

    Hongera sana classmate.... Very interested

  • @sadatimakweto1632
    @sadatimakweto1632 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hii Biashara Mzuri sana Aisee Mwezi mmoja tu nimerudisha gharama zangu

  • @Robertkita-y5l
    @Robertkita-y5l 27 วันที่ผ่านมา

    Fantastic sister

  • @nestorymrosso4848
    @nestorymrosso4848 ปีที่แล้ว +1

    Am so inspired dada jack, how can i get more info abt this , please if possible naomba unielekeze

  • @ShabanAbdulrahman-b6r
    @ShabanAbdulrahman-b6r 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana sister

  • @HhosnaRashid
    @HhosnaRashid 7 หลายเดือนก่อน

    vzr ata mi naipenda sana iyo kazi

  • @gladymbisse7646
    @gladymbisse7646 ปีที่แล้ว +2

    Natmn kupta no zko dada jack plz

  • @abuuyahya849
    @abuuyahya849 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba ya dada jack tupige nae kazi mie pia ni wakala nipo Dom

  • @efugeniaathanas9726
    @efugeniaathanas9726 10 หลายเดือนก่อน

    hongera mwana arts mwenzangu

  • @athuman7480
    @athuman7480 ปีที่แล้ว +1

    Duh uko pw nakubali

  • @ayoubstanley6718
    @ayoubstanley6718 2 ปีที่แล้ว +2

    Naomba interview 🙌

  • @HelenSanga-f6q
    @HelenSanga-f6q 2 หลายเดือนก่อน

    Tigo mnanoa sana Tena sana huduma hazieleweki kama kupigisimu nilipo anzia napiga mnakata

  • @faridamndeme2751
    @faridamndeme2751 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana

  • @MganyiziPhinius-u8t
    @MganyiziPhinius-u8t 3 หลายเดือนก่อน

    Napenda sana Nazi ya uwakala

  • @jomethatungimana
    @jomethatungimana ปีที่แล้ว +1

    Dada kwanza congratulation,ila ningependa kupata namba ya Dada Jack ili tuongee kuhusu biashara

  • @witnesssenyagwa5334
    @witnesssenyagwa5334 ปีที่แล้ว

    Ukiwa na kitu unaongezewa kituu ,hii ni kweli kabisa naiyona mpka saivi 🤲🙏

    • @zahorosudi1814
      @zahorosudi1814 4 หลายเดือนก่อน

      Sio kweli amini ktk ipo siku Yako itafika tuu

  • @jojethytesha682
    @jojethytesha682 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @GainoGabone
    @GainoGabone 8 หลายเดือนก่อน +1

    Host hajui ku host

    • @wardaally8865
      @wardaally8865 5 หลายเดือนก่อน

      What is wrong with you

  • @mamudukilofase2768
    @mamudukilofase2768 10 หลายเดือนก่อน

    Akisanti Sana dada jina unaitwa Nani?

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 ปีที่แล้ว +2

    Kwani contact ya dada ni ipi?
    Phone+ email... etc

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 ปีที่แล้ว

    Nimependa sana 🎉❤

  • @dominickpauline
    @dominickpauline 11 หลายเดือนก่อน +1

    Muuliza maswali hamna kitu kabisa watu tunataka umuulize mtaji ni kiasi gani na faida anapataje?

    • @gitanokambarage8789
      @gitanokambarage8789 9 หลายเดือนก่อน +1

      Ukipata location ndo la msingi, mimi nimeanza na mtaji wa laki nne tuu kwa mwezi kamisheni nilianza na elfu 30 tu kwa line zote nne ila sasa nina miaka miwili ya uzoefu na mtaji kwasasa ni haupungui mil 6 lkn bado unaona hautoshi, Kikubwa upate eneo lenye watu wengi mf stand za magari, au center yoyote iliyochangamka, maana asilimia kubwa wateja huwa ni wakujirudia hivyo nidhamu kwa kujali wateja inahitajika ili usimpoteze mteja. Ni hayo tuu

  • @Emanuelpetet-u5r
    @Emanuelpetet-u5r ปีที่แล้ว

    😂hongera Dada jaki

  • @SaitotiHinyura
    @SaitotiHinyura ปีที่แล้ว +1

    Malipo yakoje?

  • @msafirially7849
    @msafirially7849 ปีที่แล้ว

    Vizuri

  • @amoscharles9462
    @amoscharles9462 ปีที่แล้ว

    Dada mambo

  • @TeddyMpembah
    @TeddyMpembah 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @daudmartin-bm7kf
    @daudmartin-bm7kf ปีที่แล้ว +1

    dada samahani naomba nikuurize kwamba. nivitugani vya muhim ambavyo nirazima endapo nikitaka kuwa wakalawa benki

    • @AshaMohamed-ib4le
      @AshaMohamed-ib4le 3 หลายเดือนก่อน

      Uwaka w benk lazim uwe na tin na leseni ,kitambulisho Cha nida ,picha ya ofisi na uwe ulishaanza uwakala wa simu Huwa wanahutaj uambatanishe statement ya miamala ya simu ambayo unaipata kwa wakala wako mkuu wa simu alafu utaenda na pesa za kununua mashine ambaza utazidiposite bank kwa ajili ya mashine zamani mashine zilikuwa zinauzwa laki Tano kwa sasa ni million moja laki moja na elfu sita unaidumbukiza

  • @OmaryOdama-bk2fd
    @OmaryOdama-bk2fd ปีที่แล้ว +1

    Mtaji wake ulianza na bei gan na pia kuhus lain unapataje?

    • @gitanokambarage8789
      @gitanokambarage8789 9 หลายเดือนก่อน

      Mtaji unaweza anza na wowote ule kikubwa ni
      1, location
      2, watu wengi ( muingiliano)
      3, ndo mtaji.

  • @magrethezekiel6354
    @magrethezekiel6354 ปีที่แล้ว +1

    Ulianza na mtaji wa shi ngapi

    • @gitanokambarage8789
      @gitanokambarage8789 9 หลายเดือนก่อน

      Kama una nia... unaweza anza na mtaji wowote ule hata laki4 tuu

  • @officialjbk8827
    @officialjbk8827 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji aulizi maswali ya msingi

    • @ajirazetutv
      @ajirazetutv  ปีที่แล้ว

      Tutakuwa na Part two. Maswali yapi ungependa yaulizwe ?

    • @jescarkinabo6281
      @jescarkinabo6281 11 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@ajirazetutvmtaji shingapi,

    • @gitanokambarage8789
      @gitanokambarage8789 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@jescarkinabo6281kwa huyo sijui ila naweza kukushauri pia dada, mtaji siyo cha kuhofia, kuwa na location nzr, muingiliano wa watu uwepo afu kuwa na mtaji kuanzia laki nne tu, kakuhakikishia utaona mafanikia. Ila angalizo ni usimamie ww mwenyew, uwe unajal wateja maana huwa ni walewale hivyo ukiwa na kauli mbaya umeisha. Kuwa na nia na juta sana kumpoteza mteja. Ila jitahidi kujibana ili ukuze mtaji maana mteja kila akija anataka mf laki 7 afu huna mara ya tatu haji tena, inauma sana

    • @samsonmathias3727
      @samsonmathias3727 3 หลายเดือนก่อน

      Clip kama hizi ni mhimu sana! Zinatia moyo wanaotafuta
      Hongera sana mtangazaji!

  • @devothajonas7917
    @devothajonas7917 ปีที่แล้ว +1

    Jaman mbona wanasema et commision imepungua ni kwel???

    • @gitanokambarage8789
      @gitanokambarage8789 9 หลายเดือนก่อน

      Ndiyo imepungua, lkn haiathili kwa mtu anayejituma dada, kuwa na nia tuuu

    • @zahorosudi1814
      @zahorosudi1814 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@gitanokambarage8789kaka inaweza kua imepungua pakubwa sana