Magazeti ya leo,22/10/24,POLISI WAFUNGUKA KISA MKASA KUWAMATA MAKADA CHADEMA,NINI KILIMKUTA CAMARA?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- #magazetiyaleo #wasafitv #magazetiyaleo #wasafitv #goodmorning #powerbreakfast #magazetiyatanzanialeo #magazeti #tanzania #Cloudsfm #wasafimedia #Magazetileo #Magazetilive
Magazeti ya leo,22/10/24,POLISI WAFUNGUKA KISA MKASA KUWAMATA MAKADA CHADEMA,NINI KILIMKUTA CAMARA? GAMONDI MAFIA
PATA habari mbalimbali za michezo na burudani bila kusahau makala za kijamii pamoja na vivutio mbalimbali vya utalii kupitia katika channel hii pendwa ya TOKAZAMANI TV.
SUBSCRIBE HERE:th-cam.com/users/toka...
Nakupata vizuri Uvinza, Kigoma.
Hatar
Yaan kwel mpango hajui kuusu ajira ngum??
Mpango hajui sababu?
Mpango haijui serikali yetiu make watoto tumesomesha hawana ajira ukijishugurisha serikali inapambana nawewe pili tuna vijana wavivu ktk nchihii niutitili Baada ya serikali kuunda utaratinu wakupambana na wavivu wao Wana agiza porisi kupambana na wanafanya kazi niwambie ukitaka kujua tz ilivyo nzuri usijishugrishe na chochote na ukitaka kuona turivyo na nchi ya hajabi jishugrishe ndo utajua
Ni kweli. Jaribu kulima uone. Kuanzia mbegu mpaka kuvuna ni shida. Mara mbegu feki, mara mbolea haba. Mara madalali, mara masoko hakuna, mara bei zimeshuka, na kadhalika.