WAKILI MADELEKA AMVAA MAKONDA HANA MAMLAKA YEYOTE KIKATIBA KUAGIZA VIONGOZI WA SERIKALI AOMBE RADHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 326

  • @georgemaziku6610
    @georgemaziku6610 11 หลายเดือนก่อน +9

    Mnapo ongerea chama Cha mapinduzi.chama kina Ilani yake ambapo Viongozi wa chama wanatakiwa kusimamia,serikari kutekekeza Ilani hiyo.

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kuingilia kazi za wataalam

    • @ramadhanpastory
      @ramadhanpastory 7 หลายเดือนก่อน

      Nimekwelewa sana kaka

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 11 หลายเดือนก่อน +2

    Asante kwaelimu nzuri.hata Polepole alikuwa anamuamrisha IGP Siro.

  • @gventanzania9548
    @gventanzania9548 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mbona tunasikiaga viongozi wa vyama vya upinzani vikitoa maagizo kwa serikali? Kwanini hapa Chama kishindwe kujisimamia au kujisahihisha chenyewe?

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele 10 หลายเดือนก่อน

      Havitowi maagizo vinatoa mapendekezo tu na ni hiari ya serikali kuyatekeleza au kuyakataa na VYAMA haviwezi kufanya lolote

  • @kjmoney9812
    @kjmoney9812 11 หลายเดือนก่อน +6

    Kikubwa tunahitaji maendeleo umeme unazimazima2 porojo 2 Makonda piga kazi watie muhasho hao

    • @MWIGAADAM-r3e
      @MWIGAADAM-r3e 11 หลายเดือนก่อน

      Apige Kaz wapi tatizo ni huyo mskonds na chama Chao?

    • @B23-i8p
      @B23-i8p หลายเดือนก่อน

      Maendeleo yapi utakayo yapata na katiba mbovu,inayo wabeba hao wezi wa mabilioni ya ayo maendeleo

  • @saturinimushi4746
    @saturinimushi4746 11 หลายเดือนก่อน +3

    Hoja Haipigwi Rungu
    Hoja Ijibiwe Kwa Hoja Siyo Viroja Wala Kebehi.
    Bro. Madeleka Unatema Madini.
    Maendeleo ni Pamoja na Wananchi Kujitambua Kwa Kutofautisha kati ya Pumba na Mchele.
    Ma-chawa Wamegeuzwa Ma-zuzu hawawezi kukuelewa zaidi ya Kukubaliana na Kila Kinachosemwa hata ikiwa kinapingana na Katiba.
    Wewe na Mwabukusi Mnatupatia Elimu ya Uraia Kwa Sehemu kubwa.

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kidumu cha chamapinduzi Makonda chapa kazi tu. Mwanachama wa CCM mpe maerekezo tu

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 10 หลายเดือนก่อน +1

    Acha kupotosha watu sisi wa Tz sio wajinga. Wabunge na wawakilishi ndio huchaguliwa na Raisi kuwa mawaziri iweje m'bunge wa chama asiwajibishwe na kiongizi wa chama wakati bila ya chama asigekuwa waziri?...

  • @afonsozacariasaide175
    @afonsozacariasaide175 11 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu wakili hajitambui mpinga selikari, chama kina ilani ya uchaguzi ndio mana chama lazima kisimamie Kile walicho ahidi wakati wa kampeni, je Muheshimiwa Mboe akitawala hatafuata Irani ya Chadema?

  • @SEURIDenis-so8ln
    @SEURIDenis-so8ln 11 หลายเดือนก่อน +5

    Waelimishe,, wewe mwanasheria msomi sana ,, huyu mwandishi Nate haelewi akasome katiba mana Naye ni miongoni ya wasiojua katiba😂

  • @leonardmao3311
    @leonardmao3311 11 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi ningelikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma aliyeagizwa kukimbia, hakika palepale ningesimama jukwaani na kuagiza polisi wamkamate Makonda na kuwekwa maabusu masaa 48 kwa kuidalilisha serikali ( dolla). Ni aibu tupu.!!!!

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 11 หลายเดือนก่อน +4

    Hata mimi nimeshangaa makonda kutoa maagizo kwa viongonzi wa serikali nilicheka sana jana duh ulimbukeni wa uongonzi bana ni mbaya mno

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 11 หลายเดือนก่อน

      Nadhani anajiona ni Rais wa Nchi tayari !!

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 11 หลายเดือนก่อน

      Makonda hanamamlaka yakutoamaagizo yoyote ilakwenyechama haposawa

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 11 หลายเดือนก่อน

    Kaka Madereka Umeferi maana Umeshindwa Badari Umerudi huku Makonda Umuwezi fanya kazi zako kaka. Tafuta kesi

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 11 หลายเดือนก่อน

      Madelaka anafafanua aibu iliopo tanzania ujinga mwingi. Lini chama kikaingilia shughuli za selikali. Aya wazili mkuu angekuwa ni chama cha upinzani angefanyeje angetoa hayo maagizo. Tanzania kikubwa kuishi tu.

  • @Kasonadi-hp1lv
    @Kasonadi-hp1lv 11 หลายเดือนก่อน +4

    Kama ni ya kweli hayo ebu kafungue kesi mahakamani

  • @shakaurembo477
    @shakaurembo477 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ccm ndio serekali au?

  • @yusuphngwele4190
    @yusuphngwele4190 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna wakati sio kila jambo linapotokea unatakiwa kulitolea maelezo.unapoteza umaarufu.nifafanulie nini maana ya chama tawala.kipi kikojuu kati ya chama au serikali.

    • @Sikudhan
      @Sikudhan 10 หลายเดือนก่อน

      Kumbe haujui kama chama ni Cha wachache naserekal ni ya wote pole sana

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 11 หลายเดือนก่อน +5

    Maua yako mwanasheria. Tumeanza kujifunza katiba yetu

    • @DicksonIgnas-pq1rj
      @DicksonIgnas-pq1rj 10 หลายเดือนก่อน +1

      Serikali tuishauli katiba iwe inafundishWa shule kama masomo mengine

  • @marianyalusi259
    @marianyalusi259 11 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu vipi chama kinanadi kuwa kama kitapata ridhaa ya kuongoza sisi kama chama tutafanya hayahaya ndo inaitwa ilani

  • @johnmalale3860
    @johnmalale3860 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo siyo makonda Bali ni chama chake;:

  • @TAFUMWA
    @TAFUMWA 11 หลายเดือนก่อน +4

    Profesionalism ikitawaliwa na hisia za kisiasa ndipo mtu anaweza kujenga hoja dhaifu

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 11 หลายเดือนก่อน +3

    Nimepata elimu ndugu mwanasheria kweli baadhi ya viongozi wa CCM hawajitambui

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 10 หลายเดือนก่อน +1

    Muda Mwingine Izo Shelia Zinaludisha Nyuma Maendeleo Kama Ni Ivo Mbona Wakati Tunasikia Mafisadi Amjayumia Vizuli Shelia Zenu Kuwakamata Ayo Mafisadi Shelia Za Tanzania Ukizifata Unaweza Hata Usiwape Maendeleo Wananchi Wake Makonda Yuko Kazini Kuokoa Waliozulumiwa Kama Mko Na Shelia Kwanini Msiende Jela Kuwauliza Wafungwa Kujua Makosa Yao Mzitumie Kuwatoa

  • @yuenwilington835
    @yuenwilington835 11 หลายเดือนก่อน +7

    Makonda kwakua anahaki ya kuomba kura au ridhaa yakumuombea au kukiombea chamachake nafasi ya uongozi wa dola. Yaani udiwan,ubunge na urais.basi kwakua chama chake kilipewa ridhaa yakuongoza nchi.basi chama kitaunda serikali itaokua chini ya chama.hapo ilichama kitimize yale kilicho ahidi lazima kilesahani moja na serikali.kwakua serikali siolazima mlengo wa chamachako.
    Madereka huwezi kuwa na wasaidizi wako afu usiluhusiwe kusimamia mali anazosimamia msaidzi wako.

    • @shafee9128
      @shafee9128 11 หลายเดือนก่อน +1

      Huo Ni mtazamo wako binafsi lkn sio kisheria, kisheria makonda hana nguvu hiyo

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 11 หลายเดือนก่อน +1

      Haya mambo muwe mnasoma usifafanue kwa hisia. Kwenye nchi ya Kidikteta serikali ni chama na chama ni serikali.
      Haya mpaka hapo tuu wewe niambie Makonda yuko sahihi au hayuko sahihi kikatiba. Makonda hana uhalali wa kuielekeza serikali.
      Inamaana hiyo nafasi imeanzishwa leo niambie Katibu gani wa Uenezi ulishaona anafanya kama Makonda.
      Makonda hayuko sahihi Katiba haimruhusu hiyo iko wazi

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@shafee9128Uko sahihi 100%

    • @JoshuaGkubwq
      @JoshuaGkubwq 10 หลายเดือนก่อน

      Watanzania jamani jamani tusomekatiba alafu tuwe tunaangalia mtu anapo toa hoja kamazakweli alichokiongea madeleka nikweli kabisa ccm wezi wa katiba wanaiihujumu 2025.waondoke

    • @emmanuelmkuralinda5276
      @emmanuelmkuralinda5276 10 หลายเดือนก่อน

      Mheshimiwa Peter Madeleka sisi kama wanainchi tunakuona kama unapotosha Uma kwa sababu hata Raisi wetu amewaagiza Viongozi wa CCM kuisimamia serekari jee wewe unaanzaje kusema kua Viongozi wetu wa Chama wasiwe na nafasi ya kuielekeza serekali na wakati serekali imetokana na chama hicho isitoshe Raisi wetu ambae ndiye Mwenyekiti wa Chama pia ameelekeza hivyo na Mimi ninaamini kua kauli ya Raisi ni sheria kwa maana hiyo unawashauri mawaziri na viongozi wa serekali yetu wamdharau Raisi wetu ninakushauri unapotakakuongea jambo fikiri kwanza Faida yake na madhara yake hivi wewe ndugu yetu ukoje na akili yako iko wapi pamoja na elimu yako yote kwanini umshutumu Makonda kauli yake njema ya kuwaonya viongozi wa serekali yetu maana ninaamini kua mtu anaelipenda Taifa Lake na viongozi wake na watu wake atawaonya ili msiharibikiwe adui hawezi kukuonya kwa sababu anatamaani kuona mnaharibikiwa ndiyo maana hata ukichunguza utaona kua Upendo wa Mungu kwa wanadamu ndiyo uliomfanya Mungu wetu kuwaleta mitume na manabii ili wawaonye watu wake nduguyangu huo ni upofu una macho lakini hayaioni nia njema ya Mheshimiwa Raisi namwenyekiti wa CCM kuwaelekeza viongozi wa CCM kuisimamia nakuielekeza na kuikumbusha kutekeleza ilani ya CCM na pia huuoni upendo wa Mkonda aliyonao kwa Taifa letu ninamalizia kukwambia maneno yafuatayo ukiona uko na mtu ambae hakuonyi wala kukuelekeza na kukushauri huyo ni adui wako mkuu mwenye mapenzi mema na wewe atakuonya atakushauri na kukuelekeza na kukukemea pale anapoona unapotoka hivyo muondowe Makonda mudomoni mwako kwa sababu maneno yake yanadhihirisha anavyolipenda taifa Lake na jinsi anavyomtii Kiongozi wake aliemteua ninawaomba Waheshimiwa Mawaziri na viongozi wote wa serekali yetu watambue kua Makonda ni anawapenda ndiyo maana anawaonya na kuwaelekeza na ikibidi kuwakemea kwa sababu hapendi kuona mnaharibikiwa na huo ndiyo upendo wa kweli hivyo naomba nanyi mpendeni na mpeni ushirikiano ili tupate kupona ninaomba usome Biblia kitabu cha: 2Samweli 19:1-10. na ikiwezekana soma hiyo sura yote utaona jinsi rafiki mwema alivyomuonya na kumshauri na kumkemea Mfalme Daudi utaona kwa hakika kua mtu kama huyu alikua na mapenzi mema kwa mfalme Daudi ndiyo maana aliona vyema kumuonya.NB. mtu asiekupenda hawezi kukuonya kwa sababu hapendi kuona unafanikiwa bali yeye anapenda uharibikiwe pia ninaomba uelewe kua ninakupenda ndiyo maana nimekuonya uachane na jambo hilo kwa sababu halina afia kwa Taifa letu na ujumbe huu pia ni kwa wote wanaomshutumu Makonda katika jambo hili mtieni moyo ili afanye kaziyake na siyo kumvunja moyo kwa kumshutumu shut Uma hizo hazina afia kwa Taifa letu na kwa maslahi ya watanzania wote Ninaomba Mungu awasaidie mpapate kuona kwa macho ya ndani. Asante na Mungu awabariki. Amina.

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 11 หลายเดือนก่อน +5

    makonda hajui mipaka yake . ndo maana baba lao alimuondoa. analopoka tu

    • @awadhawadh5828
      @awadhawadh5828 11 หลายเดือนก่อน

      Makonda hakuondolewa na yeyote kazini ila aliacha yeye

    • @awadhawadh5828
      @awadhawadh5828 11 หลายเดือนก่อน

      Madeleka hana haki yeyote kukisemea chama cha ccm na ilani yake ! Hichi sio chama cha kikanda na sio Sacco's ya wachaga , kama chadema ,akae kushoto ! Makonda piiiiga kazi

    • @floramongi1410
      @floramongi1410 9 หลายเดือนก่อน

      Madeleka anafanya vizuri kama umeenda shule utae!ewa

  • @JosephatNyamageu
    @JosephatNyamageu 11 หลายเดือนก่อน +5

    Naliona giza katika nchi yetu ukweli utaongea daima RIP Magufuli

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 11 หลายเดือนก่อน

      Ulichoharibu ni kumtaja Magufuli lkn ukweli ni kwamba kuna giza nene linaiingia Tanzania.

  • @michaelmwalimu6057
    @michaelmwalimu6057 11 หลายเดือนก่อน +6

    Mimi sio mwanasheria na nikitumia akili tu ni kwamba, kwenye uchaguzi vinashindanishwa vyama na viingozi wa serikali wamepata nafasi zao kwa kupitia chama chao hivyo ni lazima viongozi wa chama hicho wawe na nguvu kwa wanachama wao walooko ktk serekali kuweza kuwawajibisha wanachama wao kufuata ilani ya chama chao kwa munibu wa katiba

    • @athumanbalozi9748
      @athumanbalozi9748 11 หลายเดือนก่อน

      Sahihi
      Makonda atakipangachama
      Achamawakili
      Walalahoi hawana hoja

  • @Sikudhan
    @Sikudhan 10 หลายเดือนก่อน

    Kasome na we kuliko kuwakashifu wanasheria HIV unaluma gang au umehitim kwakupewa kad ya CCM?

  • @David-zb6kk
    @David-zb6kk 11 หลายเดือนก่อน

    Bongo hamna Katiba na sheria za bongo siku zote zinawahusu watu hohehahe

  • @anytime5685
    @anytime5685 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hii ni sawa na mkuu wa wilaya akiwa muumini wa kanisa au dhehebu fulani au kiongozi mkubwa yoyote anapokwenda katika ibada za mila
    Kwa hiyo mwanasheria achoongea ni sawa kwa mktadha wa katiba lakini katika uhalisia hicho kitu hakuna kwanini kwasababu mkuu wa wilaya na cheo chake akiwa muumin wa kanisa akiingia kanisani anafata maelekezo ya kanisa ili aweze kwendana na imani hata kazi ataifanya kulingana na maelekezo ya imani yake

    • @asiliyetuonlinetv5063
      @asiliyetuonlinetv5063 11 หลายเดือนก่อน

      Kwani mkuu wa mkoa anatokana na chama ndugu😂 au na wewe haujaelewa,

    • @anytime5685
      @anytime5685 11 หลายเดือนก่อน

      @@asiliyetuonlinetv5063 ili uteuliwe kuwa mkuu wa mkoa lazima wajilizishe kwamba uko pamoja nao vinginevyo hupati hiki cheo nduguyangu

  • @alexandernkwamah5905
    @alexandernkwamah5905 10 หลายเดือนก่อน +1

    Viongozi wa Serikali waoga kwa chama. Uoga huo ndio unaodhoofisha utendaji wa serikali. Hawaconcentrate kuitendea haki katiba kwa kutimiza wajibu wao.

    • @engribertinnocent7536
      @engribertinnocent7536 10 หลายเดือนก่อน

      Hiyo tunaita ni kutaka kujikombakomba waonekane niwatiifu ili waendelee kutetea matumbo yao

  • @AlouiseNgenDanDumwe
    @AlouiseNgenDanDumwe 11 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda nikama mama lazima ajifanye kama rais hakuna utaratibu guy’s.

  • @LawiNgakala
    @LawiNgakala 10 หลายเดือนก่อน

    MH MAKONDA PONGEZI NYINGI KWAKO TUPO NA WEWE DAIMA KAZI IENDELEE DAIMA MBELE KWA MBELE MPAKA KIELEWEKE.

  • @salmaramadhan2725
    @salmaramadhan2725 10 หลายเดือนก่อน

    Makonda Kwa CHEO cha uenezi taifa ana mamlaka YA kutoa maelekezo,Yaan mamlaka

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 11 หลายเดือนก่อน

    Nchi hii inaongozwa na mbumbumbu wa KATIBA, hii ni shida kubwa sana!!! Wanaotutaka tupewe elimu ya KATIBA KUMBE WAO ndiyo wanatakiwa wapewe elimu HIYO!!! NI AIBU KWELI KWELI!!!

  • @mbojetalaga2670
    @mbojetalaga2670 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe Madeleka fanya kazi zako mambo ya makonda achana nayo, wanaofata katiba na sheria mbona ndio wamekuwa kipaombele kuihujumu nchi ikiwemo kuuza rasilimali za nchi, kulinda mafisadi, matamshi ya makonda hayana tatizo kwani anaowapa maelekezo ndio waliomweka pale hana chakufanya .

  • @asingizibwejacobkalokola7351
    @asingizibwejacobkalokola7351 11 หลายเดือนก่อน +1

    Serikari inasimamiwa na CCM hivyo HAKUNA ubaya CCM ikitoa maagizo kwa Watendaji wa Serikari.

    • @willyngailo4549
      @willyngailo4549 11 หลายเดือนก่อน

      Serikali inasimamiwa na bunge sio ccm

  • @sailepumaneno2069
    @sailepumaneno2069 11 หลายเดือนก่อน

    Makonda aisome katiba ya jamuhuri,, na y chama Ili atofautushe chama na serikali

  • @geraldrobert1801
    @geraldrobert1801 11 หลายเดือนก่อน +4

    Tunataka katiba mpya sasa

  • @hamisibakari342
    @hamisibakari342 11 หลายเดือนก่อน

    Dah,,Atamimi nilishangaa sana Mkuu wamkoa anakimbizwa na kiongozi wachama AIBU yaani Haijui ata nafasiyake

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 11 หลายเดือนก่อน

      Mkuu wa mkoa anaganga njaa zake asifukuzwe kazi

  • @dastunluswaga5182
    @dastunluswaga5182 10 หลายเดือนก่อน

    Sasa na hiyo Ilani ya chama unapimaje we wakili bhana....😂😂

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 10 หลายเดือนก่อน

    WEWE PIGA KELELE WEEEE....
    SISI TUNAJENGA NCHI KISHA TUTAKUHOJI TENA WAKILI UCHWARA

  • @byegomarwa3673
    @byegomarwa3673 11 หลายเดือนก่อน +2

    Uko vizuri sana wakili mspmi, elimisha waTz wamedangamywa sana mpaka wamekuwa mbumbumbu.😮

  • @JohnHerbet-os7uh
    @JohnHerbet-os7uh 11 หลายเดือนก่อน +2

    Asnte kutunyamazisha wastaafu mungu mkubwa

  • @HelenaNkwera
    @HelenaNkwera 11 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa wakiendelea kupelekeshwa washitakii wt🤣🤣🤣

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 11 หลายเดือนก่อน +1

    Anachokifanya makonda kwa sasa ni zao la vitu vitatu,navyo ni; 1.Bangi. 2.Madaraka. 3.Kipato. Sasa kwa makonda huenda vyote vinamsumbua.Ukivuta bangi itakutuma useme au utende lolote bila aibu.madaraka na pesa navyo hivyo hiyo.

    • @tosh7671
      @tosh7671 11 หลายเดือนก่อน

      Na 4. Ulimbukeni

  • @JonathanvenanceMwakalund-jb5uc
    @JonathanvenanceMwakalund-jb5uc 11 หลายเดือนก่อน

    Unawapotosha watanzania so tunataka maendeleo katiba ya chama inaeleza hivyo ccm Oyeee

  • @MwanjelwaMwakyusa
    @MwanjelwaMwakyusa 11 หลายเดือนก่อน +1

    Boundaries has to be established

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 11 หลายเดือนก่อน

    Ckiliza Milad Ayo Waziri Mkuu kajibu nn???? Wacheni kupotosha watu bhana nyie

  • @andrew29468
    @andrew29468 11 หลายเดือนก่อน +2

    mwandishi wa habari uwezo wake ni mdogo sana

  • @ErnestSAIMON-b3q
    @ErnestSAIMON-b3q 10 หลายเดือนก่อน

    Mbona ninyiwagumu kuelewa? CCM.ndo mama wa serkali Makonda yuko sahihi pigakazi Makonda

  • @TeodoryMgaya-pr4pe
    @TeodoryMgaya-pr4pe 11 หลายเดือนก่อน

    Unabugi kwa sababu viongozi waserikali wote wapo pia kwenye chama,,hao wakuu wa mikoa ni wajumbe wa ccm,,isitoshe serikali inasimamia Sera za ccm

  • @pandonzingula8798
    @pandonzingula8798 10 หลายเดือนก่อน

    Mh.Madeleka anajizima data kujitengenezea mjadala you tube wakati anajua ukweli na anajua anacho taka yeye.Ukweli wakati wa uchaguzi kitakacho kuja kupimwa kama kinatosha kuongoza Nchi si Waziri mkuu wala Rais Bali ni Chama Hajui kitu gani huyu afutiwe cheti cha uwakili,na elimu ya katiba aanze yeye kupewa,hajaelimika anajua anacho soma tu .

  • @swalehramadhani664
    @swalehramadhani664 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mamlaka amepata kupitia cha cha mapinduzi au ccm Ndio anakiwakilisha na viongoz ano waamrisha ni wachama cha Mapinduzi

  • @afonsozacariasaide175
    @afonsozacariasaide175 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu wakili hajitambui! Hivi Muheshimiwa Tundulisu akitawala nchi Chadema hawatashauri selikari yao?

    • @josephzitto4857
      @josephzitto4857 11 หลายเดือนก่อน

      Yan ww ndio hujielewi

  • @michaelmaja-1699
    @michaelmaja-1699 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani katiba huletwa na nani katika taifa.. hata asiwe na mamlaka anafanya ya muhimu

    • @bundalamabula6264
      @bundalamabula6264 10 หลายเดือนก่อน

      Kanisani kusipokuwa na biblia sizani kama waumini mtasali, sheria na katiba ndo zinatuweka mjini, lasivyo watu tunaweza kuuwawa kisara bila sheria

  • @AishaMakana
    @AishaMakana 10 หลายเดือนก่อน

    Acheni roho za fihi watanzania,yy sio mwehu kufanya ivo wao walishakaa nakumpa maelekezo ya utekelezaji wa ilani ya chama bila kuchagua ni kiongozi yupi na ndo kazi yake mwenezi.hujiulizi kwann wanakubali nahawakaidi maelekezo???

  • @ibinmfika8096
    @ibinmfika8096 10 หลายเดือนก่อน

    Serikakali inaongoza na chama,ila chama hakiongozwi na serikali twelewe,kwahiyo makonda yupo sahihi kwasababu serikali ikishindwa nichama kimeshindwa

  • @marianyalusi259
    @marianyalusi259 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kila chama kinakatiba yake je unalijua hilo?

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 10 หลายเดือนก่อน

    Hii ndio inazidi kunianinisha kwamba wengi waliosoma sheria hawaijui sheria
    Ni vipi katiba iruhusu inchi iendeshwe na Serikali ya Chama kisha Chama kikose nafasi ya kusimamia Waliyoahidi kwenye kampeni zao za kunadi sera
    We Mwanasheria kumbuka
    Vyama vyote kwenye kampeni hutoa ahadi zao sasa haitowezekana kuwazuia ktk usimamiaji

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof3874 10 หลายเดือนก่อน

    Hao mawazori wanachaguliwa na chama . Munahaza kumuchonganisha . Makonda anafanya vya chama chake na sio vya katika. Wabunge wote ni wachama . Makonda hajawajibisha mtu bali anawahambia mawaziri wa chama chao. Chukibinasfi.

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nilishanga saana, makonda anawaagiza mawaziri, dharau kubwa saaana

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 11 หลายเดือนก่อน

      Hivi binadamu huwa mnataka Nini? Angalau makonda anasikiliza kero za watu, kweli ubinadamu KAZI kweli kweli

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 11 หลายเดือนก่อน

      Wivu na roho ya ushetani

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 11 หลายเดือนก่อน

    We mwanasheria acha kupotosha watu mtandaoni Makonda yuko Sawa Serikali imeumdwa na Chama Tawala na Makonda ni kiongozi wa juu wa Chama sasa unayegemea Nini hivi uanasheria wako ulisomea wapi

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 11 หลายเดือนก่อน

    Sikia muuliza Maswali hata wafuasi wa ccm kuvaa sare za chama kwenye ziara za rais za kiserikali mnajua kwamba sio sawa ila watu hawajui hilo wanavhukulia poa tuu.
    Serikali ni Taasisi sio kitengo cha Chama cha Siasa 😂😂😂. Akiwa pale rais ni mwajiliwa wa Nchi sio chama na ndio maana halipwi na chama ila analipwa na Taasisi inayoitwa serikali. Shida hii Nchi ni welevu wanatake advantage ya wajinga kuwaburuza

  • @charlesmdoe24
    @charlesmdoe24 11 หลายเดือนก่อน

    Wewe mwandishi wahovyo Sana, unatakiwa kuwahoji viongozi wa hovyo Kama wewe ulivyokuwa hovyo,

  • @Sikudhan
    @Sikudhan 10 หลายเดือนก่อน

    Kasome na we kuliko kuwakashifu wanasheria HIV unaluma gang au umehitim kwakupewa kad ya CCM?

  • @barakagwata4160
    @barakagwata4160 10 หลายเดือนก่อน

    Makonda anaweza kumuondoa mtu kupitia kwa raisi wanchi, kwasababu katumwa na yeye hivyo usipo mtuu makonda utakuwa hujamtii raisi, nguvu anaitoa kwa raisi, au mwenyekiti wa chama, ambae pia niraisi wanchi

  • @CheerfulClothes-fd7vl
    @CheerfulClothes-fd7vl 10 หลายเดือนก่อน

    Wewe madeleke wewe inabid uwaombe radhi watanzania make makonda anasemea watanzania walioichangua CCM

  • @danielkagola6332
    @danielkagola6332 11 หลายเดือนก่อน +4

    Katiba mpya ni sasa

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 11 หลายเดือนก่อน

      Sana!

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 11 หลายเดือนก่อน

      I wonder where is Bashiru....

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 11 หลายเดือนก่อน

      Welldone Wakili Madeleka.👏👏

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 10 หลายเดือนก่อน

    WANATOKANA NA CHAMA NA HIVYO WWANAWAKILISHA CHAMA CHAO...
    KUME UNAJUA CHAMA KINANGUVU SASA UNASEMAJE KUHUSU ILANI YA CHAMA?
    ACHA MASIFA HAUJU CHOHOTE MADELEKA

  • @StellaSeif
    @StellaSeif 11 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mwandishi naye ni chenga

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda toboa mwanangu.🎉🎉🎉majipu mama yupamaja nasi❤❤❤❤❤❤

  • @geraldemanuel3613
    @geraldemanuel3613 11 หลายเดือนก่อน +1

    Chini ya katiba ya ccm wakichukuwa kadi ya ccm majaliwa hana uwaziri mkuu ndio wanafata maagizo ya chama makonda ajavunja katiba angekuwa waziri ni tlp akampa maagizo hayo hapo sawa ameagiza wana ccm wenzake

  • @Sikudhan
    @Sikudhan 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera msomi kwakutupa elimu japo wanzania tuvichwa vigum

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 11 หลายเดือนก่อน

    Chama chetu kina ilani wasimamizi wa utekelezaji wa ilani ni mwenyekiti wa chama ambae ndie msimamizi wa selikali kutimiza maazimio ya CCM hakuna jipya makonda piga mzigo wana CCM tunakuelewa mpaka makaaa😂😂😂

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 11 หลายเดือนก่อน

    Makonda anawadaa wanananchi kuwa ccm ina nguvu hii ni geresha toto ya ya serkali na ccm yao iliyopoteza mwelekeo ccm haifai kuendelea kuiongoza nchi imeharibu kila kitu

  • @SeleIddi-gj9fu
    @SeleIddi-gj9fu 10 หลายเดือนก่อน

    Wabunge wote ni CCM

  • @B23-i8p
    @B23-i8p หลายเดือนก่อน

    Hii elimu huwezi ipata shuleni kwenye somo la civics

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 10 หลายเดือนก่อน

    Madeleka wakati mwingine tukifanya makosa lazima tutumie vizuri uwezo wetu wa kufikiri. Chama hakiwezi kutenganishwa na Serikali kwa mfumo tulionao ambao hauna mgombea huru. Huyu anayetoa maagizo hajakosea, Chama ndiyo mwajiri wa Viongozi wote wa kuteuliwa kwenye nafasi zote za kisiasa. Eleza ukweli, common sense uitumie na angalia miundo

  • @GabrielMwakasege-sx9wv
    @GabrielMwakasege-sx9wv 11 หลายเดือนก่อน

    Mwanasheria anaongelea vitu vyakitoto sisi tunataka maendeleo

  • @BrunoBenithoSigala
    @BrunoBenithoSigala 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi ninaomba ututajie kipengele kinachomkataza kufanya hivyo pia utufafanulie kusudi na kazi ya ilani ya Chama katika kuomba uongozi.

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 11 หลายเดือนก่อน

    Ukiwasikiliza wasomi unapotea wanatumiwa nawazungu kutukologa

  • @JonathanvenanceMwakalund-jb5uc
    @JonathanvenanceMwakalund-jb5uc 11 หลายเดือนก่อน

    Hivi serikali ikikosea chama kinawajibika Sasa kwann? Isisinamie serekal

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 11 หลายเดือนก่อน

    MAKOSA NA LAWAMA ZOTE ZINAMWENDEA MAMA SAMIA KWA UTEUZI WA MAKONDA....KULETA MAPENZI KWENYE UONGOZI WA CCM NA NCHI....WAJIBU WENU CCM KUMPINGA MAMA SAMIA KWA UCHAFU HUU!

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 10 หลายเดือนก่อน

    What his job description Makonda?

  • @B23-i8p
    @B23-i8p หลายเดือนก่อน

    Wavumilie tu ndo waandishi wetu hao😂😂😂

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 11 หลายเดือนก่อน

    Waxenge mnatolewa kwenye leli mpate cha kufanya mmejadili bandari mda mrefu na ilani imetimia sasa msikae kimya chuma icho kazi kwenu msojielewa mnahisi CCM ni ngoma ya kiti moto wanawamba ngozi ya Ng'ombe

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 11 หลายเดือนก่อน

    Ila raisi samia alisema kuwa katiba ni makaratasi hivyo hawaeshimu katiba

  • @bashirusalumubashirusalumu7140
    @bashirusalumubashirusalumu7140 11 หลายเดือนก่อน

    Com inasemea kwenye ilani yao na mwandishi sijui aelewi?

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is 11 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wa ccm huwa hawafuati sheria na huyu makonda ni wale wale

  • @YunusuKantangayo
    @YunusuKantangayo 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu wakili Madeleka aache kumsakama Makonda wetu sisi tuko pamoja na Makonda Wewe Maderdka Uongelee juu ya kuvurugana na chama chako cha Chacema sisi Utuachid Makonda wetu hata ufanyeje Makonda tunampenda kuliko Maelezo Makonda hoyeeeeeee Mungu Akubariki sana Makonda

  • @NestoryMwezimpya-bc7th
    @NestoryMwezimpya-bc7th 11 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wa selekari wanapo fanya vibaya chama ndo kinalaumiwa kua kinatuwekea viongozi waxembe inakuwrje Leo useme chama hakidtaili kuwasimamia viongozi wa serekari?

    • @hatibuadam3022
      @hatibuadam3022 8 หลายเดือนก่อน

      Ndugu kuwa na uelewa kikatiba hiyo sio sawa kama Kuna shida wao wanatakiwa Waitane waambizane wenyewe Sasa ikiwa ivo basi tusifate katiba ambayo ndo sheria mama yaan tujifanyie tu mambo nje ya katiba mfano wananchi wasilipe kodi wasifanye yote yaliyopo kwenye katiba uone kitakachotokea na kwa nn waliweka katiba? Hakukuwa na maana kama ndo ivo

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 11 หลายเดือนก่อน

    Makonda ni mvunjaji wa Amani ya Nchi yetu

    • @ramadhanikasanduku1508
      @ramadhanikasanduku1508 11 หลายเดือนก่อน

      Nikweli hayo tutete mtu ambae amsha asha mandeleo,na kuwatetea masikini ambao Awana pakisikilizwa

  • @KennedyNgusa
    @KennedyNgusa 10 หลายเดือนก่อน

    Mmm hata mimi naona kunakitu hakijakaa sawa kiongozi upo sawa

  • @JackKagine-qr9rk
    @JackKagine-qr9rk 11 หลายเดือนก่อน +1

    Niseme tu kua makonda awe amekosea ama hajakosea aendelee tu nchi imepooza sana hakuna maajabu katka hili achawakimbizwe mchaka mchaka wamelala sana

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 11 หลายเดือนก่อน

    Duh mnafanya makonda asilale mamlaka Tena bac

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba 10 หลายเดือนก่อน

    Makonda wakimbize wakimbize maana hawajitambui

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 11 หลายเดือนก่อน +1

    Chama tawala ni chama cha CCM na chama cha CCM ndicho kinaongoza serekali..... Kama vile China na nchi zingine duniani. Ndio maana upinzani husema serekali ya CCM imeshindwa kuongoza nchi... Makonda na chama chake ndio wapo juu ya serekali...

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 11 หลายเดือนก่อน +1

      Mbona Magufuli alikuwa anasema serikali yangu?Makonda ni lazima umtofautishe na Rais au Waziri Mkuu au Waziri tu wa kawaida.Makonda anatakiwa ashughulike na CCM tu.

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri9176 10 หลายเดือนก่อน

    Serikali inasimamiwa na chama ili kukamilisha ilani ya chama,

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi yawagagagigikoko katiba huwa haina kipaumbele kabisa

  • @HongeraCharles
    @HongeraCharles 11 หลายเดือนก่อน +1

    Akili kubwa

  • @hilalmohamed5494
    @hilalmohamed5494 10 หลายเดือนก่อน

    Ndugu mwandishi kichwa chako kizito mnoo