Kaka heche kwa uelewa wangu2 mdg nimekupata vzr sana upo vzr kaka..sio huyo wakili anatafuta madaraka makubwa hana tofauti na wanasiaisa wa uongo..sheria zake hazijamsaidia maana hajui kama raisi bado ni amri jeshi mkuu..sasa anamtukana IGP kijinga kbs anamaanisha IGP hana akili ni sawa na mtoto wa mwisho darasan daah et huyu ni wakili jamaniii
Peter wewe siasa achana nazo kaka angu fanya2 mambo yako mengine ya kimaisha huo ni usiasa kabisa ambao unakushusha viwango sanaa...unajifanya unajua katiba umefeli sana aisee...et hata katiba hii ina vipengele vya muhimu sana..sasa nani kasema katiba ikibadilishwa vinabadilishwa vipengele vyote..mbona umefanya tupate mashaka na elimu yako kaka
Peter uko vizuri Sana Tena sana
Peter anazingua bhanaaa
Watanzania agalia mkono wa Siro Mishipa himemtoka kwa huogo
Acha uongo kamanda anapiga kazi
Choko uyo
Kaka heche kwa uelewa wangu2 mdg nimekupata vzr sana upo vzr kaka..sio huyo wakili anatafuta madaraka makubwa hana tofauti na wanasiaisa wa uongo..sheria zake hazijamsaidia maana hajui kama raisi bado ni amri jeshi mkuu..sasa anamtukana IGP kijinga kbs anamaanisha IGP hana akili ni sawa na mtoto wa mwisho darasan daah et huyu ni wakili jamaniii
Peter wewe siasa achana nazo kaka angu fanya2 mambo yako mengine ya kimaisha huo ni usiasa kabisa ambao unakushusha viwango sanaa...unajifanya unajua katiba umefeli sana aisee...et hata katiba hii ina vipengele vya muhimu sana..sasa nani kasema katiba ikibadilishwa vinabadilishwa vipengele vyote..mbona umefanya tupate mashaka na elimu yako kaka
Vipi kuhusu sabaya