Jinsi Ya Kuagiza Bidhaa Alibaba (China) Hatua Kwa Hatua Kwa Simu (App)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • Jiunge nasi katika kuchunguza hatua muhimu katika ununuzi wa bidhaa China kiusahihi hadi kukufikia nchini kwako.
    Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigit...
    Karibu Tanzanite Digital ambapo, tujifunze namna tofauti tofauti za jinsi ya kujiingizia kipato mtandaoni kwa biashara mbalimbali. Ikiwa ungependa kujifunza zaidi. Subscribe na usikae mbali na channel yetu!
    Follow Platforms Zetu Nyingine:
    ✅ WhatsApp Channel: whatsapp.com/c...
    ✅ Instagram: / tanzanitedigital
    ✅ LinkedIn: / tanzanite-agency
    Enjoy!
    #fursa #mtandaoni #biashara #matangazo #jinsiyakufanikiwa #kazizamtandaoni freelancing #tipsforfreelancing #startfreelancing #howtobecomeafreelancerforbeginnersin2023 #howtobecomeafreelance #howtobecomeafreelancerforbeginners #alibaba #china #entreprenuer #aliexpress #jinsiyakununuachina #jinsiyakununuaalibaba #biasharachina #biasharayanguo #biasharayavyombo #silentocean

ความคิดเห็น • 113

  • @tanzanitedigital
    @tanzanitedigital  7 หลายเดือนก่อน +1

    Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigital.com/product/china-tanzania-complete-pdf/

  • @musictz1805
    @musictz1805 ปีที่แล้ว +2

    Aiii nimependa kaka maelezo yako Kila sku nilikuwa najiuliza nitawezje ila umenisanuwa chukuwa maua yako kiroh safi 🌹🌹🌹🌹

  • @UGE.9i
    @UGE.9i ปีที่แล้ว +2

    To be honest nimekuelewa vzr sana Boss, 💯

  • @zenaisngowi8321
    @zenaisngowi8321 6 วันที่ผ่านมา

    Asante sana

  • @KessanjaliMbij
    @KessanjaliMbij 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki na akuzidishie ulipotoa

  • @francelwehela4059
    @francelwehela4059 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe kaka

  • @runiglobe_explores
    @runiglobe_explores ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa video zenu kiukweli zinasaidia wengi nikiwa mmoja naomba niulize kama mtu anaweza kutumia wakala kwenye malipo

  • @MwanaidiSephu
    @MwanaidiSephu หลายเดือนก่อน

    Teyari😊😊

  • @laurenttibursius2661
    @laurenttibursius2661 9 หลายเดือนก่อน +1

    Boss 💯 nmekuelewa

  • @AdamAyoub-wq7ku
    @AdamAyoub-wq7ku ปีที่แล้ว

    Kaka uko vizuri sana maelezo yame nyooka Umetuzindua maan watu tuna pigwa bei balaa kumbe kuagiza ni bei chee2 sante sana mung aku bariki kaka❣️💯✔️

  • @veronicakawimbe3817
    @veronicakawimbe3817 11 หลายเดือนก่อน

    Nimependa mafundisho yako unaeleweka❤

  • @LukakuJonhson
    @LukakuJonhson 9 หลายเดือนก่อน

    Makini sana, hongeren san

  • @salehekisebengo8554
    @salehekisebengo8554 9 หลายเดือนก่อน +6

    Nmeshiba maelezo yako kiongozi,but nikipata shida nitakutafta,samahani naomba mawasiliano ya direct ,i means no za cm

  • @deograsiaskiowi
    @deograsiaskiowi 2 หลายเดือนก่อน

    Asante umeeleweka

  • @CarolinaRobert-mx6nw
    @CarolinaRobert-mx6nw ปีที่แล้ว

    I really appreciate it ❤❤

  • @veronicavenance5842
    @veronicavenance5842 ปีที่แล้ว

    youre the best

  • @ArysonAugustine
    @ArysonAugustine 10 หลายเดือนก่อน +1

    Big up sana Bro ❤..

  • @gsmtz5808
    @gsmtz5808 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka habar vipi utaweza kupata agent. address

  • @boniphacejeremiah5682
    @boniphacejeremiah5682 ปีที่แล้ว +1

    Asante Bro
    But nilizani naweza tumia hata simu card kufanya malipo mfano Mpesa and so on. But thanks for time and appreciate👏

  • @njalamayala2211
    @njalamayala2211 ปีที่แล้ว

    Asante Kwa SoMo zuri

  • @aggiebarton8315
    @aggiebarton8315 ปีที่แล้ว

    Katika tutorial zote nilizo angalia. Aloo hii nimeelewa vizuri sana.
    ✡️✡️✡️✡️✡️ Nimekupa

  • @NicksonKihombo
    @NicksonKihombo 8 หลายเดือนก่อน +2

    naomba namba yk

  • @irenejerome111
    @irenejerome111 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante Kwa SoMo zuri.. naomba kujua kunawwza kuwa na account fake yaan matapeli Alibaba?... Maana Kuna account za supplier nyingne zimeandikwa verified na zingne hazijaandikwa verified.. naomba maelezo kidogo

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  ปีที่แล้ว

      swali zuri, nakuandalia video wiki hii kwa uelewa zaidi boss

  • @JohnKuyumbe
    @JohnKuyumbe 3 หลายเดือนก่อน

    Hiii kali

  • @christasyliviajosephat2003
    @christasyliviajosephat2003 ปีที่แล้ว

    Naomba process za malipo au unatakiwa kuwa na visa au uwe na nn haswa ili kukamilisha malipo

  • @andrewmbwana6336
    @andrewmbwana6336 ปีที่แล้ว

    Namba yako Kaka

  • @Mgutehekima.
    @Mgutehekima. ปีที่แล้ว

    Vipi quality ya computer ukiagiza china?

  • @MtumwaHassan-tb7wr
    @MtumwaHassan-tb7wr 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asnt san nimepend ulivyoelekeza but mm nipo n shida moj.all processure nafanikiwa lkn shida inakuj kunako payment malipo hayakamilik afu ela ipo y kutosh kwrny account.hii inakuaje

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  7 หลายเดือนก่อน

      confirm na bank yako, kama kadi/account yako ina uwezo wa kulipia online.

    • @MtumwaHassan-tb7wr
      @MtumwaHassan-tb7wr 7 หลายเดือนก่อน

      Naomb usaidiz zaid tafadhali coz mm kil kit kinakua saw ila kitend cha kulip tuuu ndio haifanikiwi.really sielee shiada .naomb unisaidie

    • @MtumwaHassan-tb7wr
      @MtumwaHassan-tb7wr 7 หลายเดือนก่อน

      Ingekua kun uwez wa kutum pich ningekutumia uwo wap nakwama.if utojal naomb no yak y whatpp nikutumie

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  7 หลายเดือนก่อน

      Wasiliana na bank yako tafadhari. Eidha wamekublock kununua Alibaba. Watakusaidia. Ni changamoto ya kawaida. Itakaa sawa.

  • @angelmangi6138
    @angelmangi6138 8 หลายเดือนก่อน

    Chukua maua yako🤝

  • @MFUNGOMENGI
    @MFUNGOMENGI 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwasisi wa mikoani vp mzigo unafika Hadi nilipo au ndo nitafuata katika office zao

  • @MajaliwaTengule
    @MajaliwaTengule 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bro bila kadi ya benki siwezi kuorder bidhaa

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  2 หลายเดือนก่อน

      Tumia mpesa mastercard kama huna kadi ya benki

  • @JulianaJRichard
    @JulianaJRichard หลายเดือนก่อน +1

    Kaka naomba namba yako nikutafute unisaidie kuoder

  • @gasanatv4077
    @gasanatv4077 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi bado wananitatiza unakuta amount iliyoamdikwa chini ya bidhaa inakuwa tofauti when you start to make ordw inaweza hata kuwa mara mbili ya Ile ya mwanzo harafu wanakupgia total with shipping cost inakuwa kuubwa shida ni nini hapo au nakosea wapi

  • @NzengoPeter
    @NzengoPeter 11 หลายเดือนก่อน

    Bdo ujafafanua vzr anza step by step

  • @HusseniQuraishi-rz8sm
    @HusseniQuraishi-rz8sm หลายเดือนก่อน +1

    Naomba nambaako

  • @tanzanitedigital
    @tanzanitedigital  ปีที่แล้ว +2

    Bei Za Kusafirisha Bidhaa Kutoka China Hadi Tanzania 👉🏼👉🏼th-cam.com/video/V-9AbEURPZA/w-d-xo.html
    Siku Ngapi Mzigo Unakufikia Kutoka Alibaba (China) 👉🏼👉🏼 th-cam.com/video/DrYVhHdqtnc/w-d-xo.html

  • @ChristianMwita-x7k
    @ChristianMwita-x7k ปีที่แล้ว +2

    Samahan tuelekeze jinsi ya kupata makampuni ya usafirishaj hasa ya ndege apo ndo pagumu sana msaada

  • @majidsalum1141
    @majidsalum1141 7 หลายเดือนก่อน

    Kaka naomb namba yako ya whsp

  • @suleimansherou7315
    @suleimansherou7315 5 หลายเดือนก่อน

    kaka mbona cost ya kusafirisha ni kubwa sana hapa au nivile mi sijaelewa?
    naona me nimehitaji kusafirisha naona shipping cost ni 257k

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  5 หลายเดือนก่อน

      Angalia video yetu ya mwisho, inaeleza chief!

  • @qamalimisanya39
    @qamalimisanya39 8 หลายเดือนก่อน

    Kaka Naomba hiyo address ya kampuni

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo436 7 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba namba bwana mkubwa

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  7 หลายเดือนก่อน

      tanzanitedigital.com/hire-us/

  • @hunchotv2011
    @hunchotv2011 11 หลายเดือนก่อน

    naweza pata namba yako bro

  • @JimyDaud
    @JimyDaud 5 หลายเดือนก่อน

    Sikuwa naamin kuagiza bidhaa via hio application ss naweza pia

  • @ausioausio
    @ausioausio 3 หลายเดือนก่อน

    je kam hela ipo kweny lain auna kadi je naezaje kulipia

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  3 หลายเดือนก่อน

      tumia voda au tigo mastercard/visa

  • @leonardkishe8613
    @leonardkishe8613 3 หลายเดือนก่อน

    bro naezaje kumpata uyo agent wakoo wa usafirishaji!..ili na mim niagize mzigo..

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo436 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba

  • @dezzypaul1227
    @dezzypaul1227 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba kuuliza, kuna kumtumia bidhaa afu ana kwambia Purchase on platform ndo nn

  • @silvaredwin2720
    @silvaredwin2720 5 หลายเดือนก่อน +1

    Umenipa mwanga sana aisee

  • @agnessmadale6498
    @agnessmadale6498 6 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba namba yako kaka

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  6 หลายเดือนก่อน

      For business only: 0747 177 677

  • @MonalisaRutta
    @MonalisaRutta ปีที่แล้ว

    Kaka naomba namba yako

  • @yustakipenya6231
    @yustakipenya6231 ปีที่แล้ว

    Kwanini nimechelewa kuifaham hii

  • @irenejerome111
    @irenejerome111 ปีที่แล้ว

    Hello my frnd.. nafanyaje kuweka card yangu kuweza kupay paypal

  • @NeemaElinihak
    @NeemaElinihak หลายเดือนก่อน

    Naomba no zako

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo436 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba mkuu

  • @ELIZABETHAUGUSTAWE
    @ELIZABETHAUGUSTAWE ปีที่แล้ว

    Vipi kuhusu ukitaka kuchagua company ya kitu unacho kitaka sana san mwenye spare

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani sisi watanzania hatuwezi kuuza bidhaa , alibaba.....???

  • @Sam_kaka
    @Sam_kaka 7 หลายเดือนก่อน

    Mkuu me nahitaj msaada zaidi jinsi ya kupokea mzigo ukifika dar kwa wale tulioko mikoan

  • @berthagama3787
    @berthagama3787 6 หลายเดือนก่อน +1

    Bank gani kwa Tanzania zinakubali?

  • @jovingeniuss1711
    @jovingeniuss1711 ปีที่แล้ว

    🧠🙏🏼

  • @DanielKassi-r6f
    @DanielKassi-r6f 5 หลายเดือนก่อน

    😢Ahsante Kaka nimepata mwanga,ila naomba nisaidie namba za cim

  • @TinaHilary
    @TinaHilary หลายเดือนก่อน

    Habari kaka mm nashidwa kupata address ya alibaba

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  หลายเดือนก่อน

      HUJAELEWA, RUDIA KUANGALIA TENA NDUGU YANGU

  • @AsiaAbdi-b4u
    @AsiaAbdi-b4u 3 หลายเดือนก่อน

    Kwani haifai kulipia kwa kutumia lain ya sim

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  3 หลายเดือนก่อน

      tumia voda au tigo mastercard/visa

  • @ndamo2653
    @ndamo2653 6 หลายเดือนก่อน +1

    Braza tuachie namba yako ya simu

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  6 หลายเดือนก่อน

      Serious enquiries only: 0747 177 677

  • @JohnKuyumbe
    @JohnKuyumbe 3 หลายเดือนก่อน

    Naitaji maelekezo Whatsapp

  • @SamwelMisungwi
    @SamwelMisungwi 5 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji unisaidie jinsi ya kuagizia vitu Amazon kk

  • @hubertelisha5431
    @hubertelisha5431 4 หลายเดือนก่อน

    Tunaepukaje matapeli

  • @AhmedKhalid-vr2bh
    @AhmedKhalid-vr2bh 9 หลายเดือนก่อน +2

    brother umeagiza pikipiki kupitia njia ya meli umetumia ajent kuna ushuru labda utatoa mzigo ukifika

    • @mr_ola_tz
      @mr_ola_tz 7 หลายเดือนก่อน

      Kupitia ndege huwez ukaagiza pik pik😂😂

  • @hawabuhashim
    @hawabuhashim ปีที่แล้ว

    swal lang n ,agent akshafika inchin mzgo anakufkishia mahal unapokua(mf.mkoa nje ya dar)!?au mteja ndo inabd afate kwa ofs zao may be!. maelekezo tafadhar

  • @ElikaeliasKapaya
    @ElikaeliasKapaya 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona kuna baadhi ya bidhaa ukibonyeza unakuta nauli kwa chin imeshaandikwa na unakuta ni kubwa saaana.naomba unisaidie inakuwaje hapo

    • @pappilonfar
      @pappilonfar 4 หลายเดือนก่อน

      M mwnyw apo nmeshndwa elewa kbs

  • @mazikumathew8873
    @mazikumathew8873 9 หลายเดือนก่อน

    Huo mzigo ulishaulipia unauchukulia daressalam au hata mikoano unafikishwa maana Mimi Niko mkoani shinyanga nisaidie

    • @LindaSalumu-yw9hq
      @LindaSalumu-yw9hq 9 หลายเดือนก่อน

      Ukiagia unalipia cargo yako uliotumia then utatumiwa mkoani then unalipia kwa gar ulotumia kusafirisha

  • @rosemkude4804
    @rosemkude4804 6 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba nipatie utofauti wa "suppliers" Na "manufacturers".... Yupi ni bora kati ya hawa wawili?

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  6 หลายเดือนก่อน

      natumia neno supplier kama muuzaj yoyote Alibaba, na manufacturer ni muuzaji ambaye anatengeneza hiyo bidhaa mwenyewe. (sio kila supplier ni manufacturer)

  • @StephanoShambogo
    @StephanoShambogo 8 หลายเดือนก่อน +1

    Vp natak nifany manunuz na sina agent ntapataj agent

  • @motivationinlife345
    @motivationinlife345 ปีที่แล้ว +1

    🫡🫡🫡

  • @JohnKuyumbe
    @JohnKuyumbe 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba ya Whatsapp

  • @zuhuraommary-ld2dn
    @zuhuraommary-ld2dn 5 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba namba yako kaka

  • @JohnKuyumbe
    @JohnKuyumbe 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba ya Whatsapp

  • @JohnKuyumbe
    @JohnKuyumbe 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba ya Whatsapp