Jinsi Ya Kuagiza Bidhaa Alibaba (China) Hatua Kwa Hatua Kwa Simu (App)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Jiunge nasi katika kuchunguza hatua muhimu katika ununuzi wa bidhaa China kiusahihi hadi kukufikia nchini kwako.
Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigit...
Karibu Tanzanite Digital ambapo, tujifunze namna tofauti tofauti za jinsi ya kujiingizia kipato mtandaoni kwa biashara mbalimbali. Ikiwa ungependa kujifunza zaidi. Subscribe na usikae mbali na channel yetu!
Follow Platforms Zetu Nyingine:
✅ WhatsApp Channel: whatsapp.com/c...
✅ Instagram: / tanzanitedigital
✅ LinkedIn: / tanzanite-agency
Enjoy!
#fursa #mtandaoni #biashara #matangazo #jinsiyakufanikiwa #kazizamtandaoni freelancing #tipsforfreelancing #startfreelancing #howtobecomeafreelancerforbeginnersin2023 #howtobecomeafreelance #howtobecomeafreelancerforbeginners #alibaba #china #entreprenuer #aliexpress #jinsiyakununuachina #jinsiyakununuaalibaba #biasharachina #biasharayanguo #biasharayavyombo #silentocean
Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigital.com/product/china-tanzania-complete-pdf/
Aiii nimependa kaka maelezo yako Kila sku nilikuwa najiuliza nitawezje ila umenisanuwa chukuwa maua yako kiroh safi 🌹🌹🌹🌹
To be honest nimekuelewa vzr sana Boss, 💯
Asante sana
Mungu akubariki na akuzidishie ulipotoa
Shukran 🙏🏾
Ubarikiwe kaka
Ahsante kwa video zenu kiukweli zinasaidia wengi nikiwa mmoja naomba niulize kama mtu anaweza kutumia wakala kwenye malipo
Teyari😊😊
Boss 💯 nmekuelewa
Kaka uko vizuri sana maelezo yame nyooka Umetuzindua maan watu tuna pigwa bei balaa kumbe kuagiza ni bei chee2 sante sana mung aku bariki kaka❣️💯✔️
shukrani chief 💯
Nimependa mafundisho yako unaeleweka❤
Makini sana, hongeren san
Nmeshiba maelezo yako kiongozi,but nikipata shida nitakutafta,samahani naomba mawasiliano ya direct ,i means no za cm
Asante umeeleweka
I really appreciate it ❤❤
Karibu ♥️
youre the best
Asante 💯
Big up sana Bro ❤..
Kaka habar vipi utaweza kupata agent. address
Asante Bro
But nilizani naweza tumia hata simu card kufanya malipo mfano Mpesa and so on. But thanks for time and appreciate👏
Asante Kwa SoMo zuri
karibu
Katika tutorial zote nilizo angalia. Aloo hii nimeelewa vizuri sana.
✡️✡️✡️✡️✡️ Nimekupa
naomba namba yk
Ahsante Kwa SoMo zuri.. naomba kujua kunawwza kuwa na account fake yaan matapeli Alibaba?... Maana Kuna account za supplier nyingne zimeandikwa verified na zingne hazijaandikwa verified.. naomba maelezo kidogo
swali zuri, nakuandalia video wiki hii kwa uelewa zaidi boss
Hiii kali
Naomba process za malipo au unatakiwa kuwa na visa au uwe na nn haswa ili kukamilisha malipo
Namba yako Kaka
Vipi quality ya computer ukiagiza china?
Asnt san nimepend ulivyoelekeza but mm nipo n shida moj.all processure nafanikiwa lkn shida inakuj kunako payment malipo hayakamilik afu ela ipo y kutosh kwrny account.hii inakuaje
confirm na bank yako, kama kadi/account yako ina uwezo wa kulipia online.
Naomb usaidiz zaid tafadhali coz mm kil kit kinakua saw ila kitend cha kulip tuuu ndio haifanikiwi.really sielee shiada .naomb unisaidie
Ingekua kun uwez wa kutum pich ningekutumia uwo wap nakwama.if utojal naomb no yak y whatpp nikutumie
Wasiliana na bank yako tafadhari. Eidha wamekublock kununua Alibaba. Watakusaidia. Ni changamoto ya kawaida. Itakaa sawa.
Chukua maua yako🤝
Kwasisi wa mikoani vp mzigo unafika Hadi nilipo au ndo nitafuata katika office zao
Bro bila kadi ya benki siwezi kuorder bidhaa
Tumia mpesa mastercard kama huna kadi ya benki
Kaka naomba namba yako nikutafute unisaidie kuoder
0747 177 677
Mimi bado wananitatiza unakuta amount iliyoamdikwa chini ya bidhaa inakuwa tofauti when you start to make ordw inaweza hata kuwa mara mbili ya Ile ya mwanzo harafu wanakupgia total with shipping cost inakuwa kuubwa shida ni nini hapo au nakosea wapi
Mimi pia nimeshtuka
Bdo ujafafanua vzr anza step by step
Hauko serious my friend
Naomba nambaako
0747 177 677 karibu!
Bei Za Kusafirisha Bidhaa Kutoka China Hadi Tanzania 👉🏼👉🏼th-cam.com/video/V-9AbEURPZA/w-d-xo.html
Siku Ngapi Mzigo Unakufikia Kutoka Alibaba (China) 👉🏼👉🏼 th-cam.com/video/DrYVhHdqtnc/w-d-xo.html
🎉🎉
Samahan tuelekeze jinsi ya kupata makampuni ya usafirishaj hasa ya ndege apo ndo pagumu sana msaada
Kaka naomb namba yako ya whsp
kaka mbona cost ya kusafirisha ni kubwa sana hapa au nivile mi sijaelewa?
naona me nimehitaji kusafirisha naona shipping cost ni 257k
Angalia video yetu ya mwisho, inaeleza chief!
Kaka Naomba hiyo address ya kampuni
Naomba namba bwana mkubwa
tanzanitedigital.com/hire-us/
naweza pata namba yako bro
Sikuwa naamin kuagiza bidhaa via hio application ss naweza pia
je kam hela ipo kweny lain auna kadi je naezaje kulipia
tumia voda au tigo mastercard/visa
bro naezaje kumpata uyo agent wakoo wa usafirishaji!..ili na mim niagize mzigo..
Tuwasiliane 0747 177 677
Naomba namba
0655 355 670
Naomba kuuliza, kuna kumtumia bidhaa afu ana kwambia Purchase on platform ndo nn
Umenipa mwanga sana aisee
karibu sana! 💯
Naomba namba yako kaka
For business only: 0747 177 677
Kaka naomba namba yako
Kwanini nimechelewa kuifaham hii
Hello my frnd.. nafanyaje kuweka card yangu kuweza kupay paypal
Naomba no zako
0747 177 677
Naomba namba mkuu
Vipi kuhusu ukitaka kuchagua company ya kitu unacho kitaka sana san mwenye spare
Kwani sisi watanzania hatuwezi kuuza bidhaa , alibaba.....???
inawezekana
Mkuu me nahitaj msaada zaidi jinsi ya kupokea mzigo ukifika dar kwa wale tulioko mikoan
Bank gani kwa Tanzania zinakubali?
Zote
🧠🙏🏼
😢Ahsante Kaka nimepata mwanga,ila naomba nisaidie namba za cim
karibu! 💯 0747 177 677
Habari kaka mm nashidwa kupata address ya alibaba
HUJAELEWA, RUDIA KUANGALIA TENA NDUGU YANGU
Kwani haifai kulipia kwa kutumia lain ya sim
tumia voda au tigo mastercard/visa
Braza tuachie namba yako ya simu
Serious enquiries only: 0747 177 677
Naitaji maelekezo Whatsapp
Nahitaji unisaidie jinsi ya kuagizia vitu Amazon kk
Tunaepukaje matapeli
brother umeagiza pikipiki kupitia njia ya meli umetumia ajent kuna ushuru labda utatoa mzigo ukifika
Kupitia ndege huwez ukaagiza pik pik😂😂
swal lang n ,agent akshafika inchin mzgo anakufkishia mahal unapokua(mf.mkoa nje ya dar)!?au mteja ndo inabd afate kwa ofs zao may be!. maelekezo tafadhar
Mbona kuna baadhi ya bidhaa ukibonyeza unakuta nauli kwa chin imeshaandikwa na unakuta ni kubwa saaana.naomba unisaidie inakuwaje hapo
M mwnyw apo nmeshndwa elewa kbs
Huo mzigo ulishaulipia unauchukulia daressalam au hata mikoano unafikishwa maana Mimi Niko mkoani shinyanga nisaidie
Ukiagia unalipia cargo yako uliotumia then utatumiwa mkoani then unalipia kwa gar ulotumia kusafirisha
Naomba nipatie utofauti wa "suppliers" Na "manufacturers".... Yupi ni bora kati ya hawa wawili?
natumia neno supplier kama muuzaj yoyote Alibaba, na manufacturer ni muuzaji ambaye anatengeneza hiyo bidhaa mwenyewe. (sio kila supplier ni manufacturer)
Vp natak nifany manunuz na sina agent ntapataj agent
🫡🫡🫡
Naomba namba ya Whatsapp
Naomba namba yako kaka
0747 177 677
Naomba namba ya Whatsapp
Naomba namba ya Whatsapp
0747 177 677