HIVI ndivyo unaweza kutengeneza PESA mtandaoni, zifahamu NJIA zinazowapa MAISHA mazuri vijana

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • Mahojiano na Baraka Mafole (Digital_Nomad) ambaye ni Freelancer na mwanzilishi wa Sanuka Kidijitali kuhusu fursa za kiuchumi zinazopatikana mtandaoni.
    Hizi ni link za majukwaa ya freelancers:
    Upwork - www.upwork.com/
    Fiverr- www.fiverr.com/
    People Per Hour - www.peopleperh...
    Freelancer - www.freelancer...
    Guru - www.guru.com/
    Glassdoor - www.glassdoor....
    Worknasi - worknasi.com/
    GigsSpace - www.gigspace.c...

ความคิดเห็น • 226

  • @jackwalson2712
    @jackwalson2712 2 ปีที่แล้ว +57

    Video nzuri, Lakini wacha nizungumzie jambo muhimu, naona vijana na wazee wengi wakifanya makosa ambayo nadhani hayafai. Nadhani kila mtu, mdogo au mzee, anapaswa kuwa na mpango wa uwekezaji unaoongeza mapato yao ya kifedha kwa takwimu tatu hadi sita. Uwekezaji unaweza kuwa mpango wako wa kustaafu au mpango wako wa baadaye, chochote unachotaka, lakini cha muhimu zaidi ni kwamba una uwekezaji wa faida.

    • @lovemorepatrick4869
      @lovemorepatrick4869 2 ปีที่แล้ว

      Uwekezaji ndio ufunguo wa maisha yenye mafanikio, ikiwa umebahatika kuona jukwaa au wakala aliye na mpango mzuri na utambuzi bora, fanya vyema kuchukua nafasi yako.

    • @arnulfbrand9753
      @arnulfbrand9753 2 ปีที่แล้ว

      Salamu kutoka Florida, nimesoma maoni mengi kumhusu katika majukwaa mengi, lazima awe mwanamume halali.

    • @emmanuelokoye4855
      @emmanuelokoye4855 2 ปีที่แล้ว

      Hii sio mara ya kwanza kumsikia Alexander Barnes na athari zake kwenye ulimwengu wa uwekezaji, nadhani nitajaribu kuwekeza naye.

    • @wilsonmurdoch4281
      @wilsonmurdoch4281 2 ปีที่แล้ว

      Ninamjua mtu huyu, ni bora katika kile anachofanya. Nilianza tu kufanya biashara naye kwa uwekezaji wa awali wa $1550 na nilipata hadi $3200 katika wiki moja tu ya kufanya biashara naye. Mikakati yake ni ya kutisha

    • @shedymontana1351
      @shedymontana1351 5 หลายเดือนก่อน

      Boss

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 2 ปีที่แล้ว +18

    Hatuna community Wabongo maana tuna roho mbaya. Hatupendi kusaidiana. Elimu yetu pia duni sana. Alafu mbongo siku zote anafikiria atampitaje mwenzie hata km ni kwenda kwa sangoma, kwakweli tupo wanafiki sana ndio maana hatuendelei. Wakenya wana mapungufu Yao lakini wana mshikamano ikitokea michongo ya kazi, wanaweka tofauti zao pembeni km Kuna masilahi.

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 2 ปีที่แล้ว +17

    Moyo wahivi Mungu atambariki saaaana daily kushare hivi Mashaalah

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 2 ปีที่แล้ว +9

    Hongera Sana baraka una akili Sana mdogo wangu utafika mbali Sana

  • @nureyna629
    @nureyna629 2 ปีที่แล้ว +13

    Hii interview inatakiwa isamabazwe mavyuoni kote, iko na manufaa kweli, halafu the guy anasema ukweli mtupu. Ahsante sana kwa kutufunza.

  • @GerryAllen98
    @GerryAllen98 2 ปีที่แล้ว +12

    Naona mawazo yng yameanza kufanyiwa kazi, nakumbuka kunakipindi niliwaomba SNS wawe wanapost content za kumake hela online, naona sasa waweanza kufanyia kazi, asante sana.🙌🏽

  • @samsonhamisi6480
    @samsonhamisi6480 2 ปีที่แล้ว +15

    Big up kwa SNS and Skywalker Bundala
    big up kwa Bwana mdogo, i wish kila kijana na mwanafunzi angepata kuisikiliza hii Interview i know it could change mindset za vijana wote kuhusu soko la ajira i wish ingetokea hii kitu, Baraka you are an amazing and selfish guy keep up this spirit. Sharing is Caring , baraka haziondokagi kwenye mikono na nyumba za watu wenye Mioyo kama yako🙏🙏🙏

  • @puremagic633
    @puremagic633 11 หลายเดือนก่อน +2

    Njia ya kuingiza pesa online ni nyingi sana. Big up kaka 👏🏾 Mungu akubariki kwa kushare na sisi 🙏🏾 sio wote wenye moyo kama wa kwako

    • @regnahillymushi1571
      @regnahillymushi1571 5 หลายเดือนก่อน

      Natafuta kazi ya kufanya online ya kulipwa pls yyt anipe connection jamn

  • @40kstore
    @40kstore 2 ปีที่แล้ว +2

    Fred umetisha sana kaka,Tuletee madini kama haya usichoke na Mungu akuweke 🔥🔥🔥🔥

  • @Simon_J_Msenga
    @Simon_J_Msenga 2 ปีที่แล้ว +14

    Am very inspired, Nimekuwa nikifanya hizi issue za digital kimasikhara napata pesa ya kawaida, ila now nimekuwa motivated zaidi acha mwaka huu nifanye maamuzi

    • @simpleboytz255
      @simpleboytz255 2 ปีที่แล้ว

      Brother Kama unafaham hiyo issue nielekeze na Mimi nijue

    • @gynae8407
      @gynae8407 2 ปีที่แล้ว

      Nimejifunza forex ila nimefeli pakubwa

    • @mymbaralitv2968
      @mymbaralitv2968 2 ปีที่แล้ว

      Real broo mfano me nalipwa 20,000 kwa mwezi kwenye kampuni zaidi ya 6 as side gigz kwaajili ya social media management

    • @mymbaralitv2968
      @mymbaralitv2968 2 ปีที่แล้ว

      @@gynae8407 forex inahitaji elimu saaana

    • @magafootball6569
      @magafootball6569 2 ปีที่แล้ว

      @@mymbaralitv2968 nipe idea bro tafadhali 🙏

  • @silverman6930
    @silverman6930 2 ปีที่แล้ว +27

    Since corona I’m working from home here in the uk for third year running your absolutely right bro the world is changing now .. I’m so impressed with your interview… 💥💥❤️❤️❤️🇬🇧🇬🇧🇬🇧

  • @demellor129
    @demellor129 2 ปีที่แล้ว +6

    Baraka umetuongeza ujasiri keep well bro I will try my best Asante sana Skywalker

  • @manaseh
    @manaseh 2 ปีที่แล้ว +27

    Thanks for bringing this bright young man, I could listen to him for hours. Yaani he has an amazing art of narrating his story that makes one want to listen more. Plus he’s humble but projects the confidence that makes him stand out. Mungu akubariki Baraka . Bundara you have a great sense of tracing such talents, thanks for putting him on , I wish he could also venture into teaching.

    • @themgizi
      @themgizi 2 ปีที่แล้ว

      pia yupo straight to the point, nimemuelewa sana

  • @saidnchimbi9951
    @saidnchimbi9951 2 ปีที่แล้ว +2

    Story nzuri sana kutoa info kuhusu remote. opportunities . Anajieleza vizuri Sana pia. Asante channel kushare hii hapa. Big up

  • @Mateomwakimi
    @Mateomwakimi 2 ปีที่แล้ว +25

    Actually😂😂 this is what people should hear in this Era!!
    Hongera sana Baraka.

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz 2 ปีที่แล้ว +18

    Kuna fedha nyingi sana online. Mim nafanya Forex online. Najua ni kwa kiasi gani imeninufaisha.

    • @mayalajames4159
      @mayalajames4159 2 ปีที่แล้ว +1

      Mr. Habari!? Unaweza nielekeza kujiunga na kufanya forex online?

    • @japhethmangaka3768
      @japhethmangaka3768 2 ปีที่แล้ว +1

      Niliwah kuckia hiyo issue jamaa nilivomuomba kujua alidai ni issue ya kusomea Sana naomba nipate experience yako.

    • @magafootball6569
      @magafootball6569 2 ปีที่แล้ว +1

      Idea please 🙏

    • @emmasalick4329
      @emmasalick4329 2 ปีที่แล้ว +1

      Please

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 2 ปีที่แล้ว +4

    Hiyo definition la freelancing kidogo tumepotezana njia ila twende kazi. Na asante kwa faida hii kutumia mda vizuri

  • @hanirashuwesu4239
    @hanirashuwesu4239 2 ปีที่แล้ว +12

    You really do a great job , congratulations baraka

  • @sakuvedoh_3696
    @sakuvedoh_3696 2 ปีที่แล้ว +4

    My nigga 2po apo Alison.....coursera, udomy uchumi hauruhusu..much respect kuiona community yangu

    • @veronicapetro
      @veronicapetro ปีที่แล้ว

      Unaweza kunisaidia nataka kusoma alson

    • @sakuvedoh_3696
      @sakuvedoh_3696 ปีที่แล้ว

      @@veronicapetro pakua application ya alison then register...
      Baada ya apo chagua interested course yako

  • @africano98.
    @africano98. 2 ปีที่แล้ว +5

    The Guy is Genius salute kwako kijana barakaa

    • @Liloaggy_18
      @Liloaggy_18 7 หลายเดือนก่อน

      @ttttffxddryuy8725help me please 🙏🏼

  • @jacksonwilson5772
    @jacksonwilson5772 2 ปีที่แล้ว +9

    SnS ningekuwa na uwezo ningewa-certify Diamond kabisa.

  • @ajirayako6992
    @ajirayako6992 2 ปีที่แล้ว +12

    Nimepend sana haya mahujiano, Mimi ni mmoja wa wanufaika wa Hizi Kazi za online

    • @msalikemedia
      @msalikemedia 2 ปีที่แล้ว +1

      Daaah nimefurahi sana kuona haya mahojiano but nataman sana nijifunze hiki kitu pia nataman maana enternet ninayo natumia kwa mambo yasio na maana nisaidie hili

    • @magafootball6569
      @magafootball6569 2 ปีที่แล้ว

      Naomba idea plz🙏

    • @Liloaggy_18
      @Liloaggy_18 7 หลายเดือนก่อน

      Help me please 🙏🏼

    • @Liloaggy_18
      @Liloaggy_18 7 หลายเดือนก่อน

      Nisaidie🙏🏼

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 2 ปีที่แล้ว +6

    Yaaani Niko omani ntaman kurud ila nawaza maisha ya Tz , mtusaidie na sisi tupate hyo elimu

    • @margarethkiatu5546
      @margarethkiatu5546 2 ปีที่แล้ว

      Don't come back it's hell

    • @khalidochieng6254
      @khalidochieng6254 2 ปีที่แล้ว

      Hizi opportunity zipo oman bro, tumia simu vizuri

    • @rahelifredrick8460
      @rahelifredrick8460 2 ปีที่แล้ว +1

      @Margaeth kiatu 😂😂😂😂 nyumban ni nyumban

    • @rahelifredrick8460
      @rahelifredrick8460 2 ปีที่แล้ว

      Inamaana kwa mda uliokaa umekosa hela ya mtaji kwenda kubuni biashara mbona zipo nyingi chukua hatua acha uoga

    • @shamilakalinga437
      @shamilakalinga437 2 ปีที่แล้ว +1

      Na mimi Oman nipatie number yako please tushare

  • @mrdocta3106
    @mrdocta3106 2 ปีที่แล้ว +7

    I am going to do this guys. Sky thank you bringing this guy. That’s why I like this channel .

  • @hamed_nassoro
    @hamed_nassoro 2 ปีที่แล้ว +8

    Big up sana baraka , i hope watanzania wengi wagundue hizi fursa za mtandao

    • @hamed_nassoro
      @hamed_nassoro 2 ปีที่แล้ว +1

      @baraka mafole for sure bro

  • @godfreykaisi6867
    @godfreykaisi6867 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana Baraka mawazo yako yatasaidia vijana wengi

  • @brendarichard6005
    @brendarichard6005 2 ปีที่แล้ว +6

    Hongera Baraka.😊

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 2 ปีที่แล้ว +6

    Kajana uko vizuri nimependa

    • @ninodebox3855
      @ninodebox3855 2 ปีที่แล้ว

      Umechapia 🤪🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kilimaentertainment1687
    @kilimaentertainment1687 4 หลายเดือนก่อน

    Nakupa sana ongera bundara hii inatuamsha sana Sisi vijana

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa994 2 ปีที่แล้ว +3

    Mimi mwenyewe nimeanza Kusoma Digital Garage imenisaidia sanaaaaaa

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 ปีที่แล้ว

    Mashallah kijana simuchoyo masikini anataniya nawengine wawe kama yeye mngu akulinde na akubariki

  • @njoostudio_
    @njoostudio_ 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Imenichukua Mwaka Toka Nitazame Hii Video Huwezi Amini A Proud SNS Leo 2024 Nimepata Ajira Kwenye Taasisi Kubwa Hapa Nchini Na Nafanya Pia Kazi Zangu Nje Ya nchi Kupitia Haya Majukwaaa TH-cam Pia Inanipa Deals Ukitazama Video Zangu Kuna Kampuni Natangaza Nazo So Ni Kubwa Sana Kwangu Vijana Maarifa Yapo Mtandaoni..!!!!

  • @hbizzymelodist1344
    @hbizzymelodist1344 2 ปีที่แล้ว +4

    I got something ...I won't take it for granted

  • @tujieleweglobal
    @tujieleweglobal 2 ปีที่แล้ว +6

    Thanks for this, SNS and Skywalker Bundala 👊👊👍👍💯💯

  • @issahassani9293
    @issahassani9293 ปีที่แล้ว

    Nawasalimu sana nashukuru sana kwa kutufunza Mimi Niko Somali land tutafanyaje kazi pamoja tuko pamoja

  • @isaackabass5990
    @isaackabass5990 2 ปีที่แล้ว +4

    Nadhani sahivi itabidi tuwekeze Mitandaoni ✅

    • @Benlogy7
      @Benlogy7 2 ปีที่แล้ว

      @travelstylish nurse How

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 2 ปีที่แล้ว +5

    I would like to learn more about trading. People are real making money

  • @Ballboys1112
    @Ballboys1112 2 ปีที่แล้ว +5

    Thank you SNS this is big to me I learn alot

  • @frankdominic664
    @frankdominic664 2 ปีที่แล้ว +4

    Duuuh bro nakupenda wewe siyo mbinafsi

  • @GLOBALHISTORYTZ
    @GLOBALHISTORYTZ 2 ปีที่แล้ว +9

    Jamaa ana same story kama ya kwangu, nipo chuo freelancing via Fiverr ndo issues zangu, dollar $400+ per month ni kitu cha kawaida

    • @tumatijr_9142
      @tumatijr_9142 2 ปีที่แล้ว

      mimi nafahamu adobe illustrator na Photoshop natamani nifanye freelancing pia

    • @gulinjaezekiel8489
      @gulinjaezekiel8489 2 ปีที่แล้ว

      @@tumatijr_9142 do it. Anza sasa ili uanze kujifunza.

    • @africatoday861
      @africatoday861 2 ปีที่แล้ว

      Naomba Namba yako kipnz

    • @beatricetv5611
      @beatricetv5611 2 ปีที่แล้ว

      Naweza kujifunza kwako au unawezA kunipa muongozo?

    • @nathanaelshinyanga5395
      @nathanaelshinyanga5395 2 ปีที่แล้ว

      Mkuuu naomba namba yako

  • @denisychalamila3097
    @denisychalamila3097 2 ปีที่แล้ว +5

    Kunktu naweza share na hyo dogo shida mawasiriano yake nayapata vp

  • @morisjasely1655
    @morisjasely1655 2 ปีที่แล้ว +2

    Am already open the bitcoin account,tupooooo together💪🏽💪🏽

  • @traveleremanuel7021
    @traveleremanuel7021 2 ปีที่แล้ว +1

    Naomba connection na huyu jamaa plz

  • @nas_tv6101
    @nas_tv6101 2 ปีที่แล้ว +6

    Several times nimeseach tu hvyo vitu lakini naishiaga kugonga mwamba aisee

    • @Liloaggy_18
      @Liloaggy_18 7 หลายเดือนก่อน

      @ttttffxddryuy8725how sasa especially kwenye malipo

  • @jack.thegoldenboy1704
    @jack.thegoldenboy1704 2 ปีที่แล้ว +6

    Mpaka saa8 cjalala namsikiliza

    • @Liloaggy_18
      @Liloaggy_18 7 หลายเดือนก่อน

      @ttttffxddryuy8725I’m still listening rn 1 year later help me please

  • @NelsonIzack
    @NelsonIzack 2 ปีที่แล้ว +4

    Safi sanaa! Tanzania imeanza kukua kitechnologia.. I have being work online since 2012. It's being a journey. Full time job for me selling traffic and affiliate marketing.
    Keep hustling guys.💯🚀

    • @magafootball6569
      @magafootball6569 2 ปีที่แล้ว

      Please give me online business idea 🙏

    • @Liloaggy_18
      @Liloaggy_18 7 หลายเดือนก่อน

      @@magafootball6569did you get
      Help me too

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 2 ปีที่แล้ว

    Hongera wajina Akina Baraka wote ni wajanja sana

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy5277 2 ปีที่แล้ว +5

    Natamani Baraka ungekua mwanangu yani may our God continue blessing you 💪💪

  • @ibrahimperez8219
    @ibrahimperez8219 2 ปีที่แล้ว +2

    Respect.. Broh!..

  • @evangelistusengimanaelie9589
    @evangelistusengimanaelie9589 2 ปีที่แล้ว +5

    Thanks my brother balaka

    • @zahrababygarl1568
      @zahrababygarl1568 2 ปีที่แล้ว

      @baraka mafole naweza pata number yako kaka

  • @hammybrown6313
    @hammybrown6313 2 ปีที่แล้ว +3

    First to view first to put comment, i got u Fred bundala

  • @nanaleetz
    @nanaleetz 2 ปีที่แล้ว +2

    Actual huyu ni shemeji yangu actual anazipenda ila actual anajua mambo mengi pia nataka nijue maana ya actual. Actual anadowld hela online actual actual actual actua

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 ปีที่แล้ว

      Kusema kweli

    • @Liloaggy_18
      @Liloaggy_18 7 หลายเดือนก่อน

      @ttttffxddryuy8725can you help me please

  • @Georges.Kitchen
    @Georges.Kitchen 2 ปีที่แล้ว +7

    Jamaa kanifungua macho sana 🙏🏽

  • @maseiafricano1250
    @maseiafricano1250 2 ปีที่แล้ว +2

    Thanks a lot bro for share your story may god bless you more

  • @user-fv2sn7js7g
    @user-fv2sn7js7g 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu atawabaliki

  • @DenisDeusDexter
    @DenisDeusDexter 2 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana, Baraka.

    • @Liloaggy_18
      @Liloaggy_18 7 หลายเดือนก่อน

      @ttttffxddryuy8725naomba unisaidie na mimi please 🙏🏼

  • @ismailchongera9812
    @ismailchongera9812 2 ปีที่แล้ว +3

    Tunachojua sisi nikuuza connection za fanta

  • @allentzemma9737
    @allentzemma9737 ปีที่แล้ว

    Kaka nakukubali sana unajua kugusa vijana nakuona mbali sana na sns Yako miaka kadhaa ijayo... Ila nasikia kuna games zinalipa pia mitandao ya kijamii inayo lipa endelea kutusanua

  • @BetBusiness257
    @BetBusiness257 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Baraka

  • @djbestseries5634
    @djbestseries5634 2 ปีที่แล้ว +1

    Actually nmeipenda hii...😀😁😁😁😁

  • @kibokibosho7476
    @kibokibosho7476 5 หลายเดือนก่อน

    Dah dondosha link mzee unyama sana

  • @michaelgodfrey1253
    @michaelgodfrey1253 2 ปีที่แล้ว +3

    Thank you sns

  • @user-fv2sn7js7g
    @user-fv2sn7js7g 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamani na mm munifundishe plz

  • @shedluckdevis3098
    @shedluckdevis3098 2 ปีที่แล้ว +4

    Nimewahi soma upwork na fiver nkapuuzia. Duuh

  • @benardkibet8228
    @benardkibet8228 2 ปีที่แล้ว +2

    Ajira is a government sponsored initiative here in the 254.

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante Sky...

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 ปีที่แล้ว

    Actually baraka utafika mbali sana

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 2 ปีที่แล้ว +2

    Ulipo taja forex hapo ndio umenitach hongera sana kijana umeamsha wengine mm Nina degree ya Sanaa ya ualimu Ila sijaajiriwa lakini naingiza $800 kwa mweziii kwenye cryto index

    • @vj8313
      @vj8313 2 ปีที่แล้ว

      @Rasid Juma naomba nielekeze pls

    • @veronicapetro
      @veronicapetro ปีที่แล้ว

      Naomba unisaidie na hitaji kujifunza

  • @godfreyerasto1208
    @godfreyerasto1208 ปีที่แล้ว

    Nimevutiwa sana nataka kumjoin

  • @bekatv1009
    @bekatv1009 2 ปีที่แล้ว +1

    So kwa mwenye yuko na elimu ya sekondari si anaeza soma online pia

  • @zephaniahmayau5114
    @zephaniahmayau5114 2 ปีที่แล้ว +2

    Thanks bro!!!

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 ปีที่แล้ว

    Mngu akupe roho hiyo mashaalkah

  • @muranisalim3572
    @muranisalim3572 2 ปีที่แล้ว +3

    Contact ya huyu bro napataje

  • @ezekilepaskali1106
    @ezekilepaskali1106 2 ปีที่แล้ว +1

    thanks bro for your story

  • @kzk111
    @kzk111 2 ปีที่แล้ว +2

    Nipo huko kwenye App wewe jamaa unajuaa

  • @herbertshija6326
    @herbertshija6326 2 ปีที่แล้ว

    Mdogo wangu Umenifungua macho

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 2 ปีที่แล้ว

    Jamani mmenitoa taka za macho naweza vipi kukutana na huyu kijana nisaidie bro

  • @kilamegroup2968
    @kilamegroup2968 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtu makini sana

  • @megamallex9305
    @megamallex9305 2 ปีที่แล้ว +1

    Hello, I am very glad to know about this interview. I need that platform of freelancers from tz

    • @barakamafoletz
      @barakamafoletz ปีที่แล้ว

      Upwork ,Guru ,Gigspace unaweza anza nazo

  • @baharanimasoud
    @baharanimasoud ปีที่แล้ว

    Jamaaa yukooo vizurii

  • @fidelayubu2175
    @fidelayubu2175 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbona sielewi fundisha kaka watu wanataka kuona jinsi mnavyofanya apo ni story tu punguzeni story au darasa linapatikana wapi

  • @ZANZICTSOLUTIONS2
    @ZANZICTSOLUTIONS2 ปีที่แล้ว

    neno actualy mzee kalitumia mara miaaa🤣🤣🤣 ila all in all big up

  • @mussachichajr
    @mussachichajr 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa anatumia jina gani Twitter

    • @Benlogy7
      @Benlogy7 2 ปีที่แล้ว

      @baraka mafole Help me Mr baraka

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 2 ปีที่แล้ว

      @baraka mafole
      SANUKA KIDIGITAL

  • @menasjohn6837
    @menasjohn6837 2 ปีที่แล้ว

    😇😇 watu tunatengeneza zaidi ya mishara uku online

    • @Liloaggy_18
      @Liloaggy_18 7 หลายเดือนก่อน

      May you help me out please 🙏🏼

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa994 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna Digital marketing..

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 ปีที่แล้ว

    naomba nijiunge na community yenu

  • @bunditz8477
    @bunditz8477 2 ปีที่แล้ว

    Thanx a lot SNS this is more than I expect

  • @user-zd9ei3wx6k
    @user-zd9ei3wx6k 11 หลายเดือนก่อน

    Tena Sana kabisa

  • @mtazamodox
    @mtazamodox ปีที่แล้ว

    Verry nice keep it up Baraka🙏

  • @halimabakari1085
    @halimabakari1085 2 ปีที่แล้ว +2

    Much love

  • @abdallasaid5593
    @abdallasaid5593 2 ปีที่แล้ว +2

    Mr. Actually 😂😂😂, read more story books bro😂😂😂

  • @princeyabili789
    @princeyabili789 2 ปีที่แล้ว +2

    Nikweli sana

  • @marianakapeller4699
    @marianakapeller4699 2 ปีที่แล้ว

    Kaka Sky Fredrick Bundara mlikua mnakaa shekilango zamani? kama Leah Bundara ni dada yako tafadhali just like below i will understand thank you. Asante kwa kipindi

  • @SYLMASVISIONFORSCIENCE
    @SYLMASVISIONFORSCIENCE 2 ปีที่แล้ว

    Hello sky naomba unisaidie namba ya huyo jamaa

  • @manasekamnde5802
    @manasekamnde5802 2 ปีที่แล้ว

    Bro umenisaidia kwa sehemu

  • @emmaconlucky9981
    @emmaconlucky9981 2 ปีที่แล้ว +2

    Big up bro,,,actually😅

  • @hatuatv
    @hatuatv 2 ปีที่แล้ว +2

    Learned 🙏🏽🤝🏽

  • @TemboMedia
    @TemboMedia 2 ปีที่แล้ว +2

    TRICK ZA MBOJO IZI NA WAUKWELI😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @youngboy1482
    @youngboy1482 2 ปีที่แล้ว

    Actually Mimi nimemwelewa uyu actually bt actually ni vizuri sana actually naomba nimalize kwa kucoment actually Asante sana actually 😂😂😂😂😂

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 2 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah 36 bado nipo nipo tu sielew Cha kufanya 😅 aisee tufundishage jamani

    • @jamil1547
      @jamil1547 2 ปีที่แล้ว

      Wewe ni mdogo kabisa mwenzako 40 na sielewi kitu napata hela kwa jasho kweli

    • @yussufrabba2282
      @yussufrabba2282 2 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @vanessarobyn4584
      @vanessarobyn4584 2 ปีที่แล้ว

      😅😅😅😅😅😅🙌🙌