Wakati akili umefika mwisho una ujanja MUNGU ndio hufanya Jambo amekuletea malaika kwa njia yaki binadamu nainakuwaga ivyo hupati nafasi yakumshukuru aijalishe unafanya mabaya au mazuri🙏🙏🙏
Bangi ina harufu sana,,,kwa kusafirisha huo mzigo mkubwa kiasi hicho ndani ya gari ya abiria na kuizuia harufu kunahitaji kaz ya ziada sana,,,,Sijui ulkwa na bahati gan hiyo🙉
et mdogo, ila kwel atakuwa mdogo sana huy, ivi huy dav ni kwl hayo mamb huw hayajui au anauliza tu ili wengine waelew!? mbn km hajui vtu vngi sana hahahahaaaa,
@@florencerose859 maisha ndo yalivo hata hao waliokaaa na biashara moja had leo utakuta hana hata kibanda kwa hiyo utaftaji hauna formula ucje kumwambia mtu ivo kuwa ana tamaa sio pow ,mtaftaj kuangalia frusa nzur zaid n mhm
Chap chap bila kuchelewa Ndani ya story Mtafya@matukio.....🏃🏃🏃🏃
Mimi natafuta hela lkn mtafya hapana 😃🙏
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ,,wa kwanza 💃🔥
Kuma we
Mwanamke Chuma....jina limeweza.....tumesalimika
Na Kazi iendeleeeeeeeeee pamoja sana 🤜
Kazi iendelee
Story tamu ongela sana Mr Everything
Mimi n Producer Nipo Mpemba Tunduma
Kijana nimekukumbuka huyo mzee ni mimi
Kama wewe upo mpemba kama mimi wakazi wa Tunduma gonga like hapa ili tujuane
Misimlaum meibi madhabau yakwao nimazito kama madhabau ijavujika kufaulu nigumu unajaribu lakini inakurudisha nyumba🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Swa swa kk
Malaika anapenda bangj 😂😂😂
Kweli kabisa😅😆🤣😂
🤣🤣🤣🤣
Wakati akili umefika mwisho una ujanja MUNGU ndio hufanya Jambo amekuletea malaika kwa njia yaki binadamu nainakuwaga ivyo hupati nafasi yakumshukuru aijalishe unafanya mabaya au mazuri🙏🙏🙏
Afuu wee ulikua unasema huibiwi landa uibe ww hasa mbona umeibiwa duka lako nahaujampata aloiba
No 1
Kuma we
Thanks
Ama kweli hii dunia ukisema una magum kumbe Kuna wenye magumu zaidi yako
@@maxwelltech653 🙆🙆🙆
Nimeamua isikilaza hii baada ya kuona umeweka 27.
Weka chap. Maana ikichelewa hainogi
Pesa nzuri sana...
Eehuu, kaka kaja😊😊
Ahsanteee davistar
Stori umekua somo la biashara ni mzigo kuuza na kununua
Uyu mtu ni harar sana.akili za kijiongeza naendelea kusoma nje ya darasa.
Twende Kazi Mr...
Hamlali jaman !!!
Watz kwaiyo tupo wezi sana tunachafua nchi zawatu
Bangi ina harufu sana,,,kwa kusafirisha huo mzigo mkubwa kiasi hicho ndani ya gari ya abiria na kuizuia harufu kunahitaji kaz ya ziada sana,,,,Sijui ulkwa na bahati gan hiyo🙉
First
Kuma we
Hahahhahaa eti malaika naye anapenda bange
Davista huyo alikua jini katika ukoo wa Bob Marley. Hakuna malaika mpenda bangi
Hio aina ya mfuko ulikuwa Unaitwa A-POINT na hio sio ngumi mbali STONE kitaalamu.
Hao ni viumbe ambao wanaishi kwa ulimwengu usionekana eeh alikua malaika ndio maana hukumuona alipotea
Hajaelezea kuhusu yule nyoka ambae mchungaji alishikwa na tamaa akawa anafuga yy akamshinda
Ok
Nzri stoli
Let's goo!!
Jamaa yuko makini sana
Jamaa wa madili
Atari sana duuuuuu😳😳😳
Watu wanabeba gari nzma ya ganja madawa haya zuiriki ata kuwe na ulinz wa vp watu wanapigana kaz mzee
Davis bado dogo sana hata beg ya volcano huljui
et mdogo, ila kwel atakuwa mdogo sana huy, ivi huy dav ni kwl hayo mamb huw hayajui au anauliza tu ili wengine waelew!? mbn km hajui vtu vngi sana hahahahaaaa,
@@martinmaryogo3676 me huwa nahisi ni peke yangu huwa namshangaa😂😂😂
Santa
Nimzigo gani naskia mzigo tu
Mzigo-bangii 😃
@@rosekingalu4403 Duuh kumbee
Huyu jamaa alikwua mtu watama sana mara biashara, uwizi, mukulima, Bada boda, yote hata hukufaul
sio tamaaa, sema mpambanaji, na unapotafta huwez kujua wap unatokea, maan alkuwa anaacha kimoj ndo anafanya kingine, sasa tamaa iko wap hapo!?
@@martinmaryogo3676 Jee amejenga magorofa mangapi? Sana sana kwua hilo ya uwizi na bangi yote unarudu tu square one
@@florencerose859 maisha ndo yalivo hata hao waliokaaa na biashara moja had leo utakuta hana hata kibanda kwa hiyo utaftaji hauna formula ucje kumwambia mtu ivo kuwa ana tamaa sio pow ,mtaftaj kuangalia frusa nzur zaid n mhm
@@florencerose859 Mm naona kuna sehem nako anaongeza sifuri sifuri kwa maana akiwa na buku anasema efu 10,,bla shaka tunaelewana
@@vaghoghontweki9827 tungoje mwuisho vile simlizi litaisha
TAJIRI ALIEUA WATOTO WAKE 2 KICHAWI NA KUISHI NA MKE NYOKA