PART28:MTAFYA TAJIRI ALIEUA WATOTO WAKE 2 KICHAWI NA KUISHI NA NYOKA NDANI ANAETEMA PESAKUMPA UTAJIR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 64

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 3 ปีที่แล้ว +3

    Pole Sasa hiki kipande kimeniumiza sana ,,Hawa ndungu hawafai walikutendea vibaya sana ,,

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 3 ปีที่แล้ว +3

    Mama yenu nimesha wasili karibu wanangu.... ❤️❤️❤️❤️💐

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 3 ปีที่แล้ว +4

    Msiwe mnahusisha ndugu kwenye mambo ya maendeleo wana wivu ni wabaya sana

    • @martinmaryogo3676
      @martinmaryogo3676 3 ปีที่แล้ว +2

      yan ukienda kwenu usifikir kila mtu anafurahi ulivo wengi huwa na chuki tena mbaya sana

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 ปีที่แล้ว +4

    People are so cruel sometimes we need to keep our mouth closed

  • @eliasgembe5800
    @eliasgembe5800 3 ปีที่แล้ว +4

    Stor nzur sanaaaaa inatufundishaaa meng xanaaaaa

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 3 ปีที่แล้ว +4

    Duh ameteseka jaman, na ni dada yake tu ndiyo anamfanyia hivyo?!🥲😭😭 kweli binadamu hatuna utu sikuizi

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 3 ปีที่แล้ว +2

    kila ck tunaambiwa anaekumaliza ni mtu wa karbu yako au ndugu yako, ila binadamu tunaroho mbaya sana sana aseee

  • @gracemkuki16
    @gracemkuki16 3 ปีที่แล้ว +4

    Nipeni hongera

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 3 ปีที่แล้ว +2

    Twende Kazi Mr........

  • @sadiqmwafrica6759
    @sadiqmwafrica6759 3 ปีที่แล้ว +2

    Pole Sana Layton Mtafya kwa mitihani uliyopitia, Allah akufanyie wepesi ndugu yangu

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 3 ปีที่แล้ว +2

    Pole sana kaka binadam ni watu hatari sana

  • @aymanzeable3196
    @aymanzeable3196 3 ปีที่แล้ว +1

    Umetisha mkuu niliisi huiweki tena

  • @kelvinkatende3871
    @kelvinkatende3871 3 ปีที่แล้ว +2

    Hutakiwi kufanya maendeleo na ndugu zako wakajua

  • @ramadhangona9085
    @ramadhangona9085 3 ปีที่แล้ว +1

    Duh watu wanapito kweli....pole sana bingwa

  • @lydiaedwin3998
    @lydiaedwin3998 3 ปีที่แล้ว

    Kusema ukwer Mungu anakupenda mno,

  • @mussamgonda3876
    @mussamgonda3876 3 ปีที่แล้ว +2

    Leo wa saba nimewahi sana

  • @lydiaedwin3998
    @lydiaedwin3998 3 ปีที่แล้ว

    Kwer ndugu ndo mtu wakwanza kukwamisha maisha

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 ปีที่แล้ว

    Pole Sana ndugu yangu laito inaumiza sana

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 3 ปีที่แล้ว

    Mh,,,,,,haya bhn tuendelee kuskliza Siku ziende😁😁😁

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 3 ปีที่แล้ว

    Kumbe akina mama walikua wawili hapo kazi kweli kweli

  • @margaretachieng9887
    @margaretachieng9887 3 ปีที่แล้ว

    Pole kwa sana

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 ปีที่แล้ว +3

    ungetembea kwa miguu yako uwache waende na gari lao

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 3 ปีที่แล้ว +2

    Wa 8 leo

  • @thequeenawifeofking8518
    @thequeenawifeofking8518 3 ปีที่แล้ว

    Ubinaadam kazi sana inasikitisha sana ndugu wanakuangusha kabisa hv hv

  • @gracemkuki16
    @gracemkuki16 3 ปีที่แล้ว +2

    Wakwanza

  • @petermahende3963
    @petermahende3963 3 ปีที่แล้ว +1

    duuu...!!!

  • @mussamgonda3876
    @mussamgonda3876 3 ปีที่แล้ว

    Yan ingekuwa mm nixnge acha hata mtu mmoja aishi inauma san yan

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw 3 ปีที่แล้ว +1

    Mishe atari sana

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 ปีที่แล้ว +1

    good Mr

  • @gracemwakalukwa8352
    @gracemwakalukwa8352 3 ปีที่แล้ว

    No 29

  • @rispernanjirananjira6728
    @rispernanjirananjira6728 3 ปีที่แล้ว

    .hapo nikwelikabisa wachawi husukuma visaga badae vikifanyika kwaboma yamtu wanabakiwakichekelea nakusukuma sana kumbe wako kinyume nahayo mambo🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 3 ปีที่แล้ว

    Loooh Mtafya kayapitia kweli

  • @lydiaedwin3998
    @lydiaedwin3998 3 ปีที่แล้ว

    Yaan kutoka chimala mpaka njiapanda mlangali kwerii ndugu sio watu

  • @nancygeorge3749
    @nancygeorge3749 3 ปีที่แล้ว

    Kuna ndg wana roho ngumu dah!!

  • @latifajabil1707
    @latifajabil1707 3 ปีที่แล้ว

    Pamoja 🤝

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys 4 หลายเดือนก่อน

    Hata mie imeniumaa mnoo, ila siku zote uongo unakubalika haraka ila ukweli unachukua muda kueleweka. Sijui kwa nini?

  • @happynesskimt6249
    @happynesskimt6249 3 ปีที่แล้ว

    Atii mgonjwa, unaskia😂😂😂😂😂 du yaan nimecheka kama mazur

  • @macamezunguzungu5584
    @macamezunguzungu5584 3 ปีที่แล้ว

    Together 💪 Mr everything

  • @kravitemmanuel293
    @kravitemmanuel293 2 ปีที่แล้ว

    Ninavyo jijua nngemfanya mtu kitu kbaya sana

  • @kalssambaboo9932
    @kalssambaboo9932 3 ปีที่แล้ว

    Pesa ya freemason

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 5 หลายเดือนก่อน

    Mtafya nimekuita × 3

  • @kikoadventures6933
    @kikoadventures6933 3 ปีที่แล้ว

    Here we gooooo!!!

  • @bariuezekiel5841
    @bariuezekiel5841 3 ปีที่แล้ว +1

    12

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 3 ปีที่แล้ว +2

    Story taamu

  • @petersimatya7632
    @petersimatya7632 ปีที่แล้ว

    Duuh

  • @bacwaadyeeri5887
    @bacwaadyeeri5887 3 ปีที่แล้ว

    🤔

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 3 ปีที่แล้ว +1

    Huo ni uzembe! Unashindwaje kukimbilia polisi kwa msaada zaidi? We unaenda kunywa soda!

    • @martinmaryogo3676
      @martinmaryogo3676 3 ปีที่แล้ว

      yan ndo hata mm nashangaa yan anajua anataka kufanyiw kitu kibaya lakin hakuwa na umakin kabsa yan alikuwa mzubavu sana sijui alikuwa hayuko saw huyu, ivi unakaaa kunywa soda wakat unajua unataka kuliwa? ushamba wake ulikuw unampoonza hata ile ya kuachia wadada wa mwanz duka et wauze kisa tu et kaandka barua nilion huyu hakuwa siliasi na maisha kabsa

    • @aminaally863
      @aminaally863 3 ปีที่แล้ว

      Labda hukukuwa na police karbu

  • @marychacha7084
    @marychacha7084 3 ปีที่แล้ว

    Nimecheka sana..eti you tube ni kitu gani🤣🤣

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 ปีที่แล้ว

    Hii kali

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 ปีที่แล้ว

    Jamani hili liwe funzo ukiwa na mke jifunze kuandamana nae kokote uendako jamani wewe mwenyewe ni mwembamba Sasa walikuketia wapi

  • @tututz100
    @tututz100 3 ปีที่แล้ว +1

    MTAFYA TAJIRI ALIEUA WATOTO WAKE 2

  • @philipoluzege3200
    @philipoluzege3200 3 ปีที่แล้ว

    Hata kama hauna nia ya kutoa watu kafara nawatoa wote walionikamata🤣🤣🤣

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 3 ปีที่แล้ว +4

    😂😂
    Hao wanakijiji wanachekesha, eti "sisi sio wajinga". Yaani wanaijua TH-cam zaidi.
    🤣😂

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana