WEMA SEPETU NA IRENE UWOYA WAFANYA BALAA KWENYE HARUSI YA WOLPER NA RICH MITINDO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
WEMA SEPETU NA IRENE UWOYA WAFANYA BALAA KWENYE HARUSI YA WOLPER NA RICH MITINDO
#Bonatv #Exclusive
Awa wa dada wakiwa wa tatu ivo ivo tuuuu wata fanya kitu ki kubwa tanzaniya ❤️❤️❤️❤️ machallah ni wa rembo wote
Wema jaman Nakupenda mnoo ❤️😍
Wema angekuwa bado yuko na mwili ule wa kwanza watu wangemwangalia Yy na mpaka sai watu wanaangalia Yy, mungu kamjalia MashaAllah, atakama wengine wamsema lkn n wema hivyo hivyo
Ana nyota kwakweli
Ama kweli Irene uwoya na jackline wolper mapacha kweli masha Allah asante kwa mpongeza pcha mwenzio
Wemaaaaaaaaaaa umenifurahishaaaaa jmniiiii ww kadada kazuriiiiiiiii unanfany niangalie mara mbil mbili aniiii
Tana wapenda 💙💙💙💙
hiyo style ya nywele kam mama yke kellyjene umependeza irine ,wema pia ❤sauti ndogo ila anahongea nimecheka😂😂
Uwoya na jack wanafanana
HARUSI OF THE YEAR NI YA AKOTHEE KENYA.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wema my love umependeza saana...Ida from Kenya
Wema madeko.huwezi kaa na jambo hahahaaa eti na najua mmetusemaaa ,mmetuchambaaa hahaaaa big up wema na Irene hakika mumeweza
Dada angu wema nakupenda jack Wolper nawapenda bure🥰🥰
Hlfu mkiketi wabongo mwasema wema sepenga kafulia😂😂😂vmcheki mi hela hyoo
Hawa walitaka kuja Lkn hawakutaka kuja kwenye xhuhuli zile walitaka huku kumwaga helaaa nawapenda xanaaaa
Wambea nyuso zimewashuka aibu yao kujifanya wanajuwa sana maisha ya watu
Hahaha kaazi kweli
BONGO MOVIE WENYE MJI WAO BILA BONGO MOVIE SHUGHULI HAZIENDI MJINI HAPA .WEMA ,UWPYA NA WORPER
Saaana💯
Wema kampita bi harusi😍🥰🥰🥰
NIMEWAPENDA WEMA SEPETU NA UWOYA KUSEMA UKIWELI SIO KUBAKI NA FUNDO MMEPENDEZA
Saaana
Kbsa wamependza mnoo
Uwoya umependeza sana
Mange kimambi hauna lakusema🤣🤣🤣Asante uwoya na sepetu kwa kufika kwenyu💥
Wema hongera sana
Yani wema kapendeza jamani nakupenda da wema
Wema umelewa mpenzi 🤣🤣🤣🥰🥰
Wema umependeza hata kama ulikonda bt Shepu yako ipo hapo
Mmependeza saaaana jaman
Nice.. inapendeza
Wema umependeza
Wema kapendeza buanaaaa
Hongereni Sana mmependeza san
Uwoya umepeneza umejeshimu👍🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kwann amwekangi pesa zote razima moja moja ujinga
Mashallah wote
Jaman had rah
😘😘😘😘Wema, uwoya, jack
Kwa kweli mpendenza sana
ila kiukweli wema alilewa hatar yani 😂
Wamewakomesha wambeya
Sana wambea bwana wangekuwa wamemtenga angekubari ata kuwapokea na kucheza nao hivyo
Kweli kabisaaaaa
Madam wema hanaga roho mbaya jmn nakapenda but wote mmenoga sana
Wabarikiwe kwa kuja na mungu awaongezee upendo na nakuombea wema arusi inayo data iwe yako na chibaba
Mmejua kutuumbua 🤣🤣🤣🤣
Uwoya na wolper nilikua nashindwa kuwatofautisha
@@sayunimwambene5796 mimi pie.
@@sayunimwambene5796 mie wote nilikuwa sijuwi kuwatofautisha na kajala pia. Nilikuwa naona wolper, kajala, uwoya wote wamefanana. Mpaka sasa bado wananichanganya🤣🤣🤣🤣🤣
Mmependeza mmependeza Tena ❤️❤️❤️
Wema kama wema
Safii
Wema mimba iko wapi 😂😂😂😂
Kwani umeona wapi one month pregnancy ikionekana😏😏😏😏
Natamanu huyu dada aolewe jamani na azae...
@@mwitaagness455 mungu atamjalia tuombeane mema jamani,mi mkenya but I hate the way tanzanians assault wema,it's not cool,sana unapata ni wanawake
Safi sana
Jmn mmependeza baba p na mama p wema woya mmedamshi jmn pongez zenu
Mlipendeza
Wema kapendez sna
Safi sana wema kwakusema ukweli ❤️❤️❤️
Irene and Wolper look like sisters
Wema nakupenda sana hauna kinyongo na mtu
Makin sana nawema achelew kubeba
Mange umelala bado ???? Kuna ujumbe wako huku.
Heureux mariage à vous deux.🥰🥰
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣unamtaka sio
Ila aliempaka Jak mek up mbinguni atapaona kwambali sanaaaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nawapongeza ndug zangu mungu awalinde
Nyei Irene mbn mnene hvy
Ameridhikaaa
Hinikomesha wambeya
Mama manunu kaamua kuwalewea kabxaaa 😂😂😂😂😂❤️
😂😂😂
@@verenabenjamin7893 yaan Hapo hajal rorosi
ukiwaona kwenye picha na video tofauti kidogo sema mmetuziba midomo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
sepenga
Watu wanafk na walivyo sema hawakufika mulitaka wafike kila hatua hawana kazi au
Kanumba ulihenda mapema baba hona dada zako hedi raha jamani
Mchaga anacheka kweli juu vipesa
Hivyo vihela vyenu hamuwezi kutoa mpk mzisasambue?
Bigger 6 mmemuumbua mange
Irene amependeza sana
Yaani! Kakosekana kajala Anty na lulu jmn ila mumependeza sana
Wema nakupenda bure
Pesa jaman
Wema alibeba nyingi kuliko uwoya jaman
Wemeenda kutokana watu wamezungumza Sana ndio wameona haya sababu ni ukweli maneno
Wakienda maneno wasipoenda maneno mmmh wa2 mna maneno nyie 🙄
Ndio ameona alewe😂
Who wears white to a wedding? Washamba,u can't dress to outshine the bride of the day
Uwoya umevaa kwa kujiheshimu had raha
Lkn michambo wa watu wa insta kwa kweli ikona nguvu aisee
Haooo hawasikiii michambo Wala vichamboo ,, mbn wacngependa wacngetokeaaa ,,, hajatokea kwa petit sebuse jack
Kama huyo Irene ndio hanaga mda mama manunu ndio kaja kawalewea kabxaaa il acwacklze 😂😂😂😂
Kwani hii ndoa ni miaka mingapi jamani 😄 🤣
Wema kalewa sitokuwa mnafik nilipenda ule mwili wako wazamani huyu bi harusi anakaa ana roho kakachuki vile
My ribs aki chimamy
Mmependeza wote Mungu awalinde na kuwabariki.
Wengine wakisema wema vibaya hana pesa ona alicho kifanya nawapenda wote jamani
Sio shida zawooo😂😂😂
Wema kawa kama catoon jamani
Mmependeza hadi basi yani
Wema kalewa nn?😂😂😂
Uwoya mbona Kama anamimbaaaaa
Shia nire shinjiaa🤣🤣🤣
Hii ndio gauni la kg 45
Kwani shilole na shamsa Ford bila kusahau Lulu hawajaalikwa
Mchangie na wasanii wenzenu wenye matatizo jamani povu ruhusa hayo ni maoni yangu
Wema ulikonda sana ujana maji ya moto kama ungezaa mtoto wako sai haungekua unaregret
Wema atabariki n mtoto wake
Et nachekaa😄😄😄
Hichi kiwema kama kimdori vile
😅😅😅😅
Nimewapenda bureee
Icho kiwema ovyooo
❤❤❤❤❤
Wamechambwa ndio wameamua kwenda waache wivu
Wema leo hajui swahili
Jamani makeup zikizidi yani unakuwa kama kinyago . Wopa umependeza sana
Wamependeza kama wamerekani
Wolper chunga hyo wema kukusifia bure akakunyakulia😂😂😂halianza hivyohvyo kwa tunda na whozu🤣🤣🤣🤸♀️🤸♀️🤸♀️
😮😮😮😂😂😂😂
Kabisa hachelewi
Ila unafiki wa marafiki kazi kweli Kweli
Wanafiki ndio wazur ww kaz yako kuwapiga bao
Mbona Kama Wolpar kampa pesa wema 🤷
Wewe wema umekwisha mtihani huo kwenda uturuki kukata utumbo utaenda mjibu nini mungu wewe wema
Ila wema n mkali jamn.
Bibi ya harmonize ako wap
Safi sanaa umoja ni nguvu
Wema anachezesha bega tu