Ila tuongee ukweli cheni hajui kusherehesha kabsaaa sema wanasapotiana tu yaan anamsimamisha dj uku kasahau kama kiti kinaendelea kuzunguka angestopisha vyotee...billnas alichukia😀
Remember hakutaka watu wajue kama Tayari Wako juu... Na watu wote walikuwa wanaangalia mlangoni mc anasema shangilia watu wakawa hawashangilii maana hawawaoni watu mlangoni Akaona a stop kwanza mziki awatayarishe watu kushangiria then ndo miziki uendeleee wakati huo Ile stage Ina zunguka yaan haija setiwa iende na mapigo ya mziki...
Nandy kafunika harusi zamastaa wote bongo🙌🙌🔥🔥
👌
Ukweli
@@raelwere3300 okkñi
Kenge
Mamb
Hii harusi ni Konki true love still exist! Hongeren sanaaaa
Naomba Allah anijaalie nipate mume na mie niwe na mwenza wng insha Allah
Mwamini MUNGU na usiache kuomba
@@CatherineNzeki haya dada yng nimekusikia
Amin InshaAllah
wachagga naomba likes zenu, toto la kipare nandera tumemleta nyumban nahavache thanaa vapare vosee
Hii ndo weeding imefunika Tz wamejitahidi sana
Na hakuna mwenye atafanya kuliko hii
Hii ni sherehe bora ya harusi kuwahi kuishuhudia kwa umri wangu wanandoa wapo vizuri wageni wapo vizuri na ukumbi ulikua lit Sana
Waha watu walinitoa stress zote yan kila nikiwaangalia nifeel happy more than them 🤗🤗🥳
Sichoki kuwatazama billinas na nandy...as I was saying this couple is powerful proud of then..goo prove them wrong guys
Nawapenda sana
Sure
Niliipenda hiyo jamani walivyo ingia
Nandy ndie staa aliependeza zaidi katika harusi zote za mastaa
Mwenyezi mungu awalinde jamani Amina am from kenya.love you nanndi
Oua👠
Mmm emsi nae kajitahidi jamani,haijawai tokea kama hii naona rahaaaa kwanyie kufikia lengo lenu
Mc
Haitawai kuwa
Beautiful❤❤❤❤ hii kweli ni wedding
Yes after church here
Inashinda hata ya president
Harusi ya TAIFA
dr chen anaangaikia ugali wa wanae.umc kazi
Waoooh the best wedding ever
👍
Hii kweli ni Wedding na sio harusi
I love u both
Watoto wamependeza. Wazazi wamefurahi. Na Mungu ameibariki.wazinifu amuigi,? Shida nini nn?
Hujapata mpinzani my nandy.harusi yako bado ni namba moja bongo nzina
Mliokesha muniambie Billnass kavaa nguo ngapi
4
Ila tuongee ukweli cheni hajui kusherehesha kabsaaa sema wanasapotiana tu yaan anamsimamisha dj uku kasahau kama kiti kinaendelea kuzunguka angestopisha vyotee...billnas alichukia😀
Remember hakutaka watu wajue kama Tayari Wako juu...
Na watu wote walikuwa wanaangalia mlangoni mc anasema shangilia watu wakawa hawashangilii maana hawawaoni watu mlangoni
Akaona a stop kwanza mziki awatayarishe watu kushangiria then ndo miziki uendeleee wakati huo Ile stage Ina zunguka yaan haija setiwa iende na mapigo ya mziki...
In short wabongo iyo kitu ilikuwa mpya kwetu
Huyu jamaa hajawa upgraded, ni MC wa kizamani. Angalia hata uvaaji wa suti kaboa.
Kumbe na wew umemuona enh alivyorespond kwa mikono😂😂 yan aliboeka haswaa😂😂
I always like this couple they are the best ever
Hapo kwenye MC angewekwa Gara B ndio ninja wa mambo hayo
Kweli , ila alipangiwa kwengine
Mmetuweza,hongereni sana.Hatariiiii
Ilikuwa sherehe ya kistar kweli
Kumbe Nandy unapacha hongera
Halusi hii haijawahi kuwa na mpinzani
ni Zaid ya ndoaaaaaa
Mungu awajalie maisha malefu
Harusi kali kuwah kutokea mpaka sasa 2023 hakuna iliyovunja rekodi
Beutiful so beautiful 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽♥️♥️♥️
Hongereni mastaa wa bongo
Nandy kafanana sana na mama yake
Hii Ni fantastic kwakweli aitatokea
Bodyguard kapewa maua 😳
Akuna km iyo bongo❤❤❤❤
Nmegundua naigiza maisha haki vile
😀😀😀
nitafute hela sasa😂😂
Kila lakheri ktk maisha yenu kutoka moyoni nawapenda sana
Duuuuh cjawahu Ina 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Waahooo nice wedding mayGod bless ue
Harusi ya mwaka 2022
Nandy wangu
congratulation to ue dr
i really love your voice nandy
Nice nawaombea ndoa idumu Mungu awatangulie
Hadi laha yani kufunga harus laha yake jamani
Nice couple ❤❤
I love so much
Nice
❤
And good
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Mmependeza saana haijapata tokea
Nandy
Nenga uhakika
Hii ni konki nandy love sanaaaaaa
Hiii kaliii ya mwaka
❤❤❤❤❤
Wachaga hua wanamapacha Sana
Aiseeee,,,, mmeweza vipenz
Nec
Rah sana
Wooow is so beautiful ❤️❤️
Woow
Beautiful
Hadi raha
Waoooooo 💗💗💗
Wow 🇰🇪🇰🇪
❤️❤️❤️
So much ,♥️♥️♥️
Nawapenda sana