Yaani umesema kweli kabisa😄 Mimi Niko na obimo wangu yaani ni mkimya tukitofautiana Mimi tu ndo huwa nazungumza hata nikimkosea huwa hataki mada utaskia tu yaishe😄😄 sasa hapo hutaelewa kakusamehe ama vipi
Kwa wale wanohisi wakimya ni watu wabay nahisi kama mnakosea hatupendi kuongea kwa kuwa hatupendi kubishana na watu na wengi husema kuwa tunadharau jeuri kutokana na ukimya wetu thank you sir
Nikweli kabisa. Mume wangu nimkimya yani hunichanganya kila mara kwasababu niki mkaribia tuongeye kawaida yeye hua hataki najikuta maranyingi najiongelesha mwenyewe kwanyumba hadi nashindwa chakufanya. niki mkosea kisha ni rudi kumuomba msamaa yeye huwa anajibutu ati yale yalipita. Unajiuliza ame kusamehe ama apana. Ila nilijifunza kuwa namuimba msamaa kila mara kwasababu sijuwaki ni kivipi kina mkasirikisha kwasababu haongeyi zaidi. Yaani ni shida tu. Tuombeane😀
Ni kwel kabisa ndo Mana wanasemaga watu wakimya ogopa Mimi mwenyewe zaman nilivyokuwaga mkimya mtu akiniuzi nilikuwa sisemi nilikuwa nawekea. Vitu moyoni paka mama akawa ananisemaga
@@veronicapotas5706 wala usimpe mpole nikiwa nje hua siongeagi hata nikute wat wanazungumza mada ambayo naijua hua stii neno ila nikiwa mamume nimcheshi mwanzo mwisho wala hajutii Allah kumpa mke kama mimi
Yaani umesema kweli kabisa😄 Mimi Niko na obimo wangu yaani ni mkimya tukitofautiana Mimi tu ndo huwa nazungumza hata nikimkosea huwa hataki mada utaskia tu yaishe😄😄 sasa hapo hutaelewa kakusamehe ama vipi
kaweka akiba moyoni
😂😂
Ukweli kabisa nikiwa mmoja wa watu wakimya
Ndio wanakuwaga ni wema lakin Wana hasira wakikosewa
Tabia zangu kabisa
Km ulinichunguza mimi vile
Inaonekana mtangazaji hata wewe ni mkimya maana umepatia sana
Walio coment humu kuwa ni wakinya ni waongo kabisa coz wakimya hawajubu ni wakimya tuu hawanacoment hawa
😂😂
Mi mkimya jamani kk umejuaje yani sifa zote ninazo
Kwa wale wanohisi wakimya ni watu wabay nahisi kama mnakosea hatupendi kuongea kwa kuwa hatupendi kubishana na watu na wengi husema kuwa tunadharau jeuri kutokana na ukimya wetu thank you sir
Tabia zote nikweli maana namimi niko ivo kbx
Yaani uyo ni mimi kabsa wallahi siwezi kuongea na uwa naumia sana wallahi
Mimi simkimya nisikudanganye ukinichokoza nimaneno nanguminyingi
Hakika hujakosea mtangazaji binadamu wakimya huwa ni wapole sana
Umetuweza sana
Wakimya tupo
Nikweli kabisa. Mume wangu nimkimya yani hunichanganya kila mara kwasababu niki mkaribia tuongeye kawaida yeye hua hataki najikuta maranyingi najiongelesha mwenyewe kwanyumba hadi nashindwa chakufanya. niki mkosea kisha ni rudi kumuomba msamaa yeye huwa anajibutu ati yale yalipita. Unajiuliza ame kusamehe ama apana. Ila nilijifunza kuwa namuimba msamaa kila mara kwasababu sijuwaki ni kivipi kina mkasirikisha kwasababu haongeyi zaidi. Yaani ni shida tu. Tuombeane😀
😂 😂 😂 😂 Nimecheka. Wallay pole my
🤣🤣🤣Hongera yako
Nimecheka.....🤣🤣🤣🤣😂
😂😂😂umesema kweli
Ukweli Kabisa Ndugu.Wazee Walisema Kimya Kingi Kina Mshindo Mkuu
Yaani umenigusa Mimi kabisaaaaa
Kweli kabisa
Yaani umenipatia sana , kunamda wananiambia Mimi waajabu ety sikasirikagi
kama mimi😂...kuna watu nna 6 years npo nao kama rafk hawajawai kuona nakasirika😆
Kumbe unakasirika kimoyomoyo😅
Mm nimkimya mpk najiogopa.
Nikwel hiz tabia zote ninaz
Huyu jamaa apiga mulemule
Ni kweli nimeelewa wakimya Ni watu wema wabaya, barikiwa ndugu napenda wakimya
Ni kweli kabisa upo sahihi kabisa
APA unaniongelea Mimi wallah☑️☑️nanimtunzi wa mambo vizuri nakuaga na kumbukumbu mno
Umenifahamisha broo
Ukweli kbx.. Yaani mimi mwenyew huyo kbx toka utotoni n'a nimejitahidi kubadilisha lakini kashindikan.. Sasa tena naona kazidi kweli🙏
I like
Watu wabaya saana ,mke wangu pia yumo miongoni
mule mule jamani🤣🤣🤣 hakuna ktu umekosea vyote umesema aiseee😂😂
Ni kweli Niko hivo❤❤❤❤❤❤
🙆 Upo Sahihi kabisa Shukran Tabia za Mpenz Wangu 💯 Yaan, Nilikuwa Namuona kama Anazarau 🙏🏼
Ata Mimi nakumbu kumbu nakumbuka paka Mambo ya utotoni sema siku hizi ndo nimekuwa muongeaji mama alikuwa anasemaga mtu asiyejuwa kuongea akijuwa
True🫴💯
Ni watu wabaya sasa
Ni kwel kabisa ndo Mana wanasemaga watu wakimya ogopa Mimi mwenyewe zaman nilivyokuwaga mkimya mtu akiniuzi nilikuwa sisemi nilikuwa nawekea. Vitu moyoni paka mama akawa ananisemaga
umetuweza sasa mungu akubariki
I like it 👍
Ahsante sana kwa ufafanuzi sifa zote ninazo yaan nafurahia sana kuwa hivi
tuwaku benda bia wewe Thanks
Jmn kaka unajua sana big up nko hvyo kabisa duh
Najiona mm hapa, mpaka nyumban huwa wananifokea
Kweli kabisa 😂😂
Asante
Hio ni kama roho baya,Uwa wanapea mtu hasira.Ni wanafiki
Ndo Mimi jaman daaah
Unakili sana kulitambua hilo kamaunanijua hiv asante
Ni kweli izi tabia ni nazo
Ni sahihi wako hivyo mh nimejifunza kitu sasa kupitia ili somo
Wenye waume wakimya kazi kwenu
Hata wanawake wakimya wapo ikiwemo mm
@@aishaayoub305 basi nampa pole mumeo
@@veronicapotas5706 wala usimpe mpole nikiwa nje hua siongeagi hata nikute wat wanazungumza mada ambayo naijua hua stii neno ila nikiwa mamume nimcheshi mwanzo mwisho wala hajutii Allah kumpa mke kama mimi
Mhhhh
Haaaaaaa
Hiyo namba nane ninayo mm napenda sana kukaa mwenyewe
Kwel kaka ni sahh kabsa ulichokizungumza kuhusu mtu watu wakimya
Jaman hii ni kwel kabisa
Je hao ni watu wazuri au wabaya kwa jamii?
Wabay
Nikweli kabisa
Nimeguswa kabisa jaman.
Nilijua ninamapungufu
Nikweli ndotabia yangu
hahaaa!!! hatuna bahati, hakuna kitu unatuachiya
Somo xur san kk
Huyo Ni mm
Hujabakisha hata moja😂
Hii ni kweli
Asnte kwa kunipa nilichonacho
Kweli kabisa
Kweli yan
Live
Ndio mm
Asante ndugu
😢
😊😊😊💯💯
Napendaga sana unavyoongega kaka
Ahsante saana
Kwli kabisa mm ndoniko ivo
Ujakosea